MNADI SIMBA TUNAFANYIWA FITNA NA GSM MANGUNGU NA TRY AGAIN WAAMKE TUMECHOKA KUONEWA NA YANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 тра 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

КОМЕНТАРІ • 19

  • @FabianiNguvumali
    @FabianiNguvumali 4 дні тому

    Wew kichaa Azam nan kwenye ling

  • @user-ct3ff5bu7j
    @user-ct3ff5bu7j 14 днів тому

    Hili lisenge ongea pointi acha ujinga

  • @OmaryJumakiyoga
    @OmaryJumakiyoga 4 дні тому

    Kumbe huyu jamaa ni chiz

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 14 днів тому

    Mangungu mchawi amefikia kuokota mpaka vyakula kwenye meza mchawi mkubwa

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 15 днів тому

    Huyu kumbe ni mngese nilikuwa sijui

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 15 днів тому

    Mmekwisha mhindi na mpira wapi na wapi

  • @user-eo6su2zy8i
    @user-eo6su2zy8i 15 днів тому +1

    viongozi ileteni timu Zenji muhimu ni Champion league ndio kiu yetu wanasimba huyu GSM lengo lake ni tofauti na Mo anamalengo ya kuishusha thamani ya ligi tu na kama fedha yote angeiweka kwa mtani na kuwajengea viwanja huo ndio ushindani wa kukuza mpira wetu

  • @aliceniyungeko2279
    @aliceniyungeko2279 15 днів тому

    Masikio popo huna lolote maneno ya mukosaji tatalalalala kama njugu kikaongoni ayibuuuuu jipangeni mwakani acheni fujo mjini

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 15 днів тому

      Vinyes wametega masikio kwa kripu za watu wa Simba hata haziwa husu nyie vinyes nyie

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 15 днів тому

    Uelewa, Hivi huko Uingereza timu ngapi zinadhaminiwa na EMERATES? Ni timu nyingi huko zinadhaminiwa na Emerates na ligi moja. Mpira umeanzia Ulaya, sasa unawakosoa? Unaonekana unakereka kwa mambo ya kawaida katika football, sasa unaanza kumshambulia mhindii mo mara umsifie, tafadhali mheshimu mo, tusijidanganye mo ni msaada mkubwa kwa klabu. Ahemedy Ally alisema asaidiwe fesal afunge magoli mengi ili awe mfungaji bora, je wazo hilo bado lipo? Sasa ujue mpira ni furaha na huzuni, kelele upunguze.

  • @minaniormar5841
    @minaniormar5841 15 днів тому

    HHHHHHH HHHHHHH HHHHHHH KAKA FUNGA GAME ZAKO ZOTE LEAGUE YA TANZANIA N

  • @user-ef2zr4un2u
    @user-ef2zr4un2u 15 днів тому

    Masikio popo klabu ambayo duniani haijulikani kiongozi nani msemaji nani hadi kero

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 2 дні тому

    SIMBA MNAFADHILIWA NA MO AMTAKI TIMU ZINGINE ZIDHAMINIWE SASA HUU UBAGUZI WA KIWENDAWAZIMU ,KAMA UNAFIKI HIVI ...MBONA SIMBA AMEFUNGWA GOLI 7 NA KUTOA POINT 6 KWA YANGA ? MBONA HAO WANAODHAMINIWA NA GSM ? KWANI MMEAMBIWA GSM NI MMILIKI WA YANGA ? MBONA AZAM NI MDHAMINI WA YANGA NA SIMBA ? MBONA AMLALAMIKI ?

  • @hamisimtupa7327
    @hamisimtupa7327 15 днів тому

    Mbumbumbu hongera sana rage kwa hili jina huyu dunduka hajui nini anachoongea nenda shule wewe elimu ya watu wazima bado ipo😅😅

    • @omanbarka1588
      @omanbarka1588 15 днів тому

      Hujielewi hii cripu co ya gongo wazi Kwa hiyo funga domo lako chula we

    • @hamisimtupa7327
      @hamisimtupa7327 15 днів тому

      @@omanbarka1588 sawa mama lakini acha shobo utapata mimba ya mdomo

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 15 днів тому

    Tukisema ukweli utoporo wanachukia hakuna ligi kama hiyo ni kweli kabisa

    • @binbadru8408
      @binbadru8408 15 днів тому

      Tatizo wanasema dalali aliwachagua watu wa kamati ya ufundi ambao hawana hata kadi kwa huku znz ,kamati za ufundi za Zanzibar hatuna ushirikiano km ilivyokua zamani

    • @nicodemuswidambe5132
      @nicodemuswidambe5132 15 днів тому

      Pana ukweli hapo nyie nyumbu? Mngebeba kombe mngesema hayo?? Timu lenu bovu tu!!