GB64: YANGA WAMENYONGWA KIKUBWA/ ILE YA MAYELE NI SIASA TU VIONGOZI HAWATUFAI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 кві 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 90

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 2 місяці тому +2

    Mm nmegungua tukiacha ushabiki kumb na ukwl tunaujua hongera Sana Mzee wangu kwa kuongea real points miaka 💯 mzee wangu sio lazma tuongee kishabiki kila siku big Upo

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 2 місяці тому +5

    Umeongea kiwanamchezo cna hongera

  • @user-ob2ry8is7e
    @user-ob2ry8is7e 2 місяці тому +2

    Safi safi safi sana GB 64 watatuamisha kweli wao wapumbavu na sisi hatuwezi kuwa wapumbavu kama wao watoke kwani wanachonga'ng'ania nn? Daya yenu iko jikoni mamae

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Місяць тому +1

    Kwa mara ya kwanza umeongea ukweli kabisa

  • @njaujustin56
    @njaujustin56 2 місяці тому +7

    Gb leo nimekuelewa cjawahi kukuelewa congrats huu ndio mpira i wish nipate namba yako kwa pongezi 20k

  • @MaulidiMsingwa
    @MaulidiMsingwa 2 місяці тому +4

    huyu ndio shabiki anayejua mpira,ahmed ally pia hamfikii huyu jamaa.

  • @slymsameer5415
    @slymsameer5415 2 місяці тому +3

    Mchome na Sam Simba pekeee ndio wanauchungi na timu Yao. Maana wanazingumza ukweli

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 місяці тому

    Kqka umeongeya kwa uchungu nq umeongeya point tupu ahmedi ali akuskilize vizuri hakika umeongeya kwq facti kaka ahmedi ali ajifunze kwako kuongeya🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-rw5gx7cd2h
    @user-rw5gx7cd2h 2 місяці тому +2

    Uchawi nao mwingi viongozi hawashughuliki nawachezaji wawasaidie wanashughulika mambo yao

  • @user-uu7xt2hi8y
    @user-uu7xt2hi8y 2 місяці тому +2

    Apo uko sahihi sana ww katika mashabiki wa Simba ww mwerewa sana tena unajua mpira

  • @mgazamngeja8369
    @mgazamngeja8369 2 місяці тому +2

    Leo umeongea kwa kweli! Unakuaga wapi

  • @JapharyEwallah
    @JapharyEwallah Місяць тому

    asiekuelewa atokuelewa tu

  • @nazarethally9509
    @nazarethally9509 2 місяці тому +2

    Umeongea ukweli tupu yanga wamezingua wameshindwa kumzonga refa ingekuwa waarabu ile goli mpira ungeitwa kati

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 2 місяці тому +1

    Umeongea ukweli kaka

  • @Veni584
    @Veni584 2 місяці тому

    Umesema kweli kabisa

  • @user-ej5vc7zg7o
    @user-ej5vc7zg7o 2 місяці тому

    Ukovizuri sana

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 2 місяці тому

    GB nimekupenda bure baba angu❤❤❤❤

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h 2 місяці тому +2

    Gb 64 leo umeongea ukweli kabisa

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 2 місяці тому

    hongera sana broo

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 2 місяці тому

    Mm pia Simba inaniumiza sana timu yetu viongozi wa mchongo sema hata tufungwe Gori mia mm Simba sihami

  • @ShabaniRajabu-vw7ho
    @ShabaniRajabu-vw7ho 2 місяці тому

    Sana mzee nimekuelewa kamanda

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 місяці тому

    Huyu Jamaa zimo kumbe huwa anajichetua tuu😂😂😂.
    Ana hoja fresh na anajua ukweli uko wapi dawa imemfaa hebu tarehe 20 tumwongezee Mseto.

  • @shaabanbusolo4254
    @shaabanbusolo4254 2 місяці тому

    Mwanangu ongea bwana

  • @kenedysimon3566
    @kenedysimon3566 2 місяці тому +1

    Umeongea vzr yanga wamezubaa

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 2 місяці тому +1

    Mwamnyeto ucaptain haumfai kabisa😢

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 2 місяці тому

    Leo bangi zimetulia

  • @FelixMatiabo-cn9qm
    @FelixMatiabo-cn9qm 2 місяці тому +2

    Walienda juxhagaa mayele au kucheza mpira😊😊😊😅😅😅😅

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 місяці тому

    Ila hilo la kukubali kirahisi vile hata mimi nilishangaa badala ya kumkomalia Refa aende kwenye VAR wanashangaashangaa tuu yaani walinikera kishenzi. Lile goli angekuwa Mwarabu usingechezeka pale kwanza kungekuwa na vurugu. Wachezaji wetu wamekaa kama vifaranga vya kuku haki inatpiganiwa Come on next time wakikubali kizembe tunawashenyeta kwakweli si hatuwezi lala tunaota mechi inaendelea kwasababu yao😂

  • @user-gi6cd1pm4h
    @user-gi6cd1pm4h 2 місяці тому +1

    Nan kamuona mchiz aneae sinziaaa

  • @samsung-zb3xi
    @samsung-zb3xi 2 місяці тому

    17:59 nakukubari Kaka polesana🎉🎉🎉🎉

  • @JafarBakari-ty8bx
    @JafarBakari-ty8bx 2 місяці тому

    Nimekuelewa

  • @simonibupumula1200
    @simonibupumula1200 2 місяці тому

    Kweli walipaswa wamtie pressure referee na wangefanikiwa hapakuwa na pushing

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 2 місяці тому

    Wachezaji wetu Manyumbu hata ile ya Simba na orlando yaleyale yamejirudia tena leo wajifunze mamb kama haya hayatakiwi kuzembea

  • @user-uk9vr6yk5v
    @user-uk9vr6yk5v 2 місяці тому

    Sahihi kabisa

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 2 місяці тому

    Kilabu yenye maendeleo inayo fadhiliwa na mhindi? Kila kitu kina asili yake

  • @JuliusLulaca-vi5dp
    @JuliusLulaca-vi5dp 2 місяці тому +1

    Tatizo.simba.mtu akisema kweli muna sema.nimusaliti

  • @makulukambula
    @makulukambula 2 місяці тому

    Brother anaingeya kweli

  • @sikujuahamisi7252
    @sikujuahamisi7252 2 місяці тому +1

    Nimeanza kukuelewa ckuizi

  • @jeranibanzi8906
    @jeranibanzi8906 2 місяці тому +2

    Hongera kwa kuleta ujumbe mzuri

  • @sempaysensey6486
    @sempaysensey6486 2 місяці тому

    Misimba huyu jamaa anaongea ukweli

  • @user-pf6yw7vh1p
    @user-pf6yw7vh1p 2 місяці тому +1

    Kuna mchezaji namba 5 alikua offside possession

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y 2 місяці тому

    TatiZo huleweleki kesho una ponda kesho unasifia

  • @samsung-zb3xi
    @samsung-zb3xi 2 місяці тому

    Ok ungekuwa Musemaji wasimba ingesonga mbere wew kidogo Uwe kama Ally kamwe nimegusikiliza unamipangirio muzuri Ongera🎉🎉🎉toweni izo gundu za Ahmed anagundu hamuwezi gupatakitu muko n'a uyoshoga kuriko ahangariye Simba anaangariya Yanga ameja nugsi atoke hafayi😅😅😅😅

  • @user-pl7sx4mx5w
    @user-pl7sx4mx5w 2 місяці тому

    Brother unaongea points sqna leo

  • @user-vw2pr7wm8u
    @user-vw2pr7wm8u 2 місяці тому

    Hamaaa

  • @user-kz5pk5fv7o
    @user-kz5pk5fv7o 2 місяці тому

    Yani kweri wachezaji mmezubaa sana mchangamkage

  • @InnocentAnglerfish-rt2nw
    @InnocentAnglerfish-rt2nw 2 місяці тому

    Ongea bb

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 2 місяці тому

    Wapi mliona mhindi kwenye soka la upinzani?

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 2 місяці тому

    hapa kusema mamelod wamekubali kuwa lile goli hii kamba, jamaa wanafurahi kututoa tumetolewa kihujuma ila tutajipanga ila kwa hali ilivyo hizi timu kubwa zitakuwa zinawaza kukutana na timu zetu

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 2 місяці тому

    Mtakubali hata kwa lazima 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @LamaMandenga
    @LamaMandenga Місяць тому

    Daa kari

  • @nestory8045
    @nestory8045 2 місяці тому

    Khaah 😂😂😂 shabiki wa tp mazembe hatarii😂😂😂

  • @user-td9zr7ur5h
    @user-td9zr7ur5h 2 місяці тому

    Leo big up sana ningekuwa namba yako ningekupongeza

  • @user-rw5gx7cd2h
    @user-rw5gx7cd2h 2 місяці тому

    Uchawi nao mwingi viongozi hawashughuliki nawachezaji

  • @Jamessichone-tg7pm
    @Jamessichone-tg7pm 2 місяці тому +1

    Umegundua kwamba yanga ni timu kubwa

    • @sadih5333
      @sadih5333 2 місяці тому

      Timu kogwe sio kubwa

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 2 місяці тому

    Hebu niambieni kika yoyote yenye maendeleo nduniani anafadhili mhindi? Hii ni biashara ya pesa

  • @upendoabraham4002
    @upendoabraham4002 2 місяці тому

    ❤❤❤❤

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 2 місяці тому

    Kwelwatanzania tumekuwa washamba kuna muda tunatakiwa tukaze na huku ndo kukomaa

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 2 місяці тому

    Leo kolo huyo kawambia ukweli alie kuwa na masikio na amemsikia kolo ana kitu hasipuuzwe ana macho pia ana maono yanayo endelea kwa yanga baada ya 3 years wanaweza kabisa ku- kompit na hao wanao jiita ma Gaint of afrika.Big- up ww kolo mjanja huwezi kupata kombe la afrika mapambano ayaongoze mzee dalali ili hali vijana wenye nguvu wapo mkiendelea kuwaachia hao wazee basi hendeleeni kuvumilia maumivu.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 2 місяці тому

    Kweli watanzaniya tumeumiya mpaka mtani unaumiya

  • @user-nt6zo4no5l
    @user-nt6zo4no5l 2 місяці тому

    nikweli, simba, hana, wachezaji. wa. wakuifikisha. nusu. Fainali

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 2 місяці тому

    Mo deuji ameamia kukopesha ela ameisha toka simba amejitoa magugu na twawageni wanalisha matumbo yao tu

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 2 місяці тому

    Mh 😂😂😂 leyo nimaajabu mpaka wewe kuisifia yanga mh

  • @Khalidakidakileo
    @Khalidakidakileo 2 місяці тому

    Huyu mwamba anastahil kuwa ndan ya uongoz wa Simba ubongo wake ni mzima

  • @Zaynabahmed-ey4zu
    @Zaynabahmed-ey4zu 2 місяці тому

    Mbona GB goli alilofungwa ihef goli la tano si kama lile la mamelod? Mbona hamsemi?

  • @user-vs5ow5jt1w
    @user-vs5ow5jt1w 2 місяці тому

    Huo ushawishi ss gb chonde chonde.

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 2 місяці тому

    Kuna watu wa Simba wanamchukia Mchome kwa sababu anaongea ukweli.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 2 місяці тому

    Yote uliyoongea ni kweli

  • @StivinEliaza
    @StivinEliaza 2 місяці тому

    Yaani 6gb umeongea ukweli ingetakiwa wachezaji wamfate refaa. Hakika yanga wamefuzu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 місяці тому

    Hawa jamaa wanahisi biashara ya mpira ni kushinda tu hawataki kushindwa na wanahisi kuongea kwao ndio bora kuliko wale wanaoisimamia simba

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 2 місяці тому

      Na wewe kuna kitu unapata nini?
      Hawa wana mapenzi ya dhati na Timu yao.
      Wanavyoongelea kwani wanaongelea kwa Mechi Moja wana uchungu hawa kwa mapenzi waliyonayo kwa Timu yao Timu imefungwa nje ndani na jana imefungwa na Mashujaa.
      Wewe unataka ifungwe mala kumi ndiyo Waongee.
      Tunataka Timu hizi mbili zote ziwe Juu, hapo hata timu zingine zitapigana nao wafikie hatua za Yanga na Simba.
      Ndipo mpira wa Tanzania utapaa.
      Mwanachama - YSC

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 місяці тому

    UPO SAHIHI VIONGOZI WA SIMBA NI WABABAISHAJI TUU. WANAWAZIDI YANGA KWA USAJILI. YANGA AKIHUSISHA MCHEZAJI TUU ANAMCHUKUA. KUHUSU MAYELE SIMBA WANASIASA TUU

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 2 місяці тому +1

    Sasa wewe Gb 64 unawalaumu wachezaji wa yanga kutomzonga refa dhidi ya Mamelodi mbona sisi Simba dhidi ya Orlando Pirates tulifungwa goli la offside mbona wachezaji wetu walizubaa hawakumzonga refa? Huu ugonjwa ni wa Watanzania wote tulivyolelewa. Tunatakiwa tujifunze kutoka kwa Waarabu.

  • @user-rw5gx7cd2h
    @user-rw5gx7cd2h 2 місяці тому

    Kaka gb tusaidie kupaza sauti Hawa viongozi sio hata mwekezaji sio mwekezaji sahihi miaka mitano anawekeza nini Kila siku robo robo kweli na wachezaji wenyewe unga mtupu na yeye anapiga kelele nitamtaja anaeniludisha nyuma mbona hamtaji turuke nae nayeye niwale wale

  • @user-ez1ky4ls7c
    @user-ez1ky4ls7c 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂eti inonga yeye jana ndo katoa pass ila gb 64 leo umeongea kimpira🎉🎉

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 2 місяці тому

    GB64 hapo leo unaongea kama mwana michezo haswa kuna wakati mtu unatakiwa uwe unaongea ukweli unaacha unazi

  • @ngwizingwizi8513
    @ngwizingwizi8513 2 місяці тому

    Uyu jamaaa anajitambua

  • @saulostephen197
    @saulostephen197 2 місяці тому

    kuna mwamba pembeni anasinzia

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 місяці тому +3

    Ahamed akirudi unaufyata

  • @daudianselmo2956
    @daudianselmo2956 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂

  • @abdalaseleman921
    @abdalaseleman921 2 місяці тому

    Huyu ni mchome mwingine

  • @Zaynabahmed-ey4zu
    @Zaynabahmed-ey4zu 2 місяці тому

    Goli LA ihefi LA tank mbona hamsemi?