SHABANI ACHAFUKWA AWAVAA VIKALI MANGUNGU NA TRY AGAIN WATUACHIE TIMU YETU KISA USAJILI MBOVU SIMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 кві 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

КОМЕНТАРІ • 72

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Місяць тому +7

    Machawa wako studio kumezeshwa nyimbo za masiifa kwa viongozi..subirini k mziwanda, pasi milioni, mzaramo, kisugu, Dr Mo

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124 Місяць тому +2

    SIMBA tangu amejiuzuru BABRA tunayumba sana, kwenye ligi yetu tumeshuka sana hata CAF tumeshuka SANA

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Місяць тому +1

    Je akina Kisugu Mziwanda watakuelewa? Nawengine wamejificha ni hatari kwa kusifia hata kama Timu inafanya vibaya. Ila kwa kupiga Picha na Wachezaji wasio wasajili hilo ndio janja janja Yao

  • @jumaali9243
    @jumaali9243 Місяць тому +1

    Makuunga mkono ni kweli viongozi hamna simba . Viongozi wabadilike waboreshe timu

  • @ramadhanrashidmthailand9553
    @ramadhanrashidmthailand9553 Місяць тому

    Kweli kabisa Hawa viongozi wanatuona sisi mashabiki hatuna akili yaan viongozi wamekua wapiga ngonjera wapiga porojo mambo yakijibga kabisa kuleta siasa kwenye mpira

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c Місяць тому +1

    Tupaaze sauti ,wasitulete wachezaji wa mitumba hata sijui ni grade Gani 😢😢😢

  • @tonnyshonza5337
    @tonnyshonza5337 Місяць тому

    Ila kuna watu wana akili za kuungaunga,Yanga watawapita na kuwaacha hapohapo kwenye robo mbaki mnakusanya hizo robo.

  • @mweyaiddy
    @mweyaiddy Місяць тому

    Kwangu me naona mo Haina shida ila shida ipo kwa wa2 wliopo kama Mangungu,Try again ,na hyu bwana kajula hao ndo wanao2uumiza pale msimbazi

  • @YasintaKabaka
    @YasintaKabaka Місяць тому

    Viongozi wa Simba so Bora wampe timu mo tunataka Simba imala

  • @jeremiahmenaura6583
    @jeremiahmenaura6583 Місяць тому

    Viongozi wa Simba tupeni namba ya kuchangia timu yetu Ili tupate pesa ya kutosha kwa ajili ya usajili msimu ujao

  • @SaidiMndeme
    @SaidiMndeme Місяць тому

    Muindi uyo inabidi aende hana faida uyo

  • @zachariaevod8148
    @zachariaevod8148 Місяць тому

    Mmh,mmh,mmh
    😂😂😂😂😂😂mwandishi umetisha

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Місяць тому

    Huwa mara kwa mara nasema Simba tusajili watu wa kupambana.
    Quality ya wachezaji iwe
    1. Wachezaji wenye ball control nzuri
    2. Wachezaji wenye nguvu
    3. Wachezaji wenye speed
    4. Wachezaji wenye stamina
    Pili Simba isajili wanachama sisi ambao ni mashabiki tunataka uanachama tuchangie club yetu.
    Tuchague viongozi vijana wenye mapenzi na Club.

  • @bakarichina9948
    @bakarichina9948 Місяць тому

    Ivi nyinyi mnao sema Mo haondoke hao wachezaji mtawapa mishahara,Maisha yenu yanawa shinda alafu mna sema Mo haondoke mtawa lipa mishahara

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Місяць тому

    Muhindi na mpira wapi na wapi 😅😅😅😅

  • @user-en2md9kn5n
    @user-en2md9kn5n Місяць тому +1

    Uyu mangungu namwenzie wasenge awana mpango

  • @shaabanramadhan
    @shaabanramadhan Місяць тому

    Wajina upo sawa
    Kwa Nini hugombei uongozi hapo Simba,wewe,na wenzio wasema kweli?

  • @YasintaKabaka
    @YasintaKabaka Місяць тому

    Mchezaji kama saidoo anachezaje dk 80 Kwa ubora Gani?

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Місяць тому

    Simba viongozi wetu hawaielewi tasnia wanayoiongoza. Kuwa profeshno hakuhitaji aina ya viongozi tulionao kwamba mtu yoyote anayeweza kudanganya watu siku ya uchaguzi basi achaguliwe aingie katika safu ya uongozi wa Simba. Tunatakiwa tupate watu wenye wa Simba lakini wanaojua uongozi wa mpira. Tunahitaji viongozi bora sio bora kiongozi.

  • @kumwelaIsmail
    @kumwelaIsmail Місяць тому

    Kaka.nakubarina.na.ww.asirimia.ww.ongea.umeongea.kwer

  • @furahamoja6582
    @furahamoja6582 Місяць тому

    K mziwanda vipi tom boy ataolewa au maana alisema msimu huu tutakula biriyani 😅😅😅😅😅😅

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Місяць тому +1

    Sisi tunafainali sawa na robo nne

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Місяць тому

    Wachezaji waloanza kusajiliwa simba ni wale wa bei chee ukiangalia mchezaji akiwa mzuri dau likiongezwa kidogo timu haina uthubutu wa kumchukua kama manzoki azizi kii adebayo water bwalya hiii inaonyesha jinsi gani wao wapate balance kwenye usajili wapige pesa uwezi shinda nusu final na wachezaji wa kuokoteza

  • @mwitajohn4882
    @mwitajohn4882 Місяць тому

    😂tangu lini wazee wakoongoza mpira,jamani Simba wapeni uongozi vijana.

  • @user-ld6fy2fi5s
    @user-ld6fy2fi5s Місяць тому

    Ufunge Al ahly kikosi cha mabilioni kwa wachezaji wa Mia mbili Mia mbili tena wa kuokoteza wachezaji wazuri mnapiga nao picha afu hawasajiliwi huo ni uwongo

  • @BinAlly-ip6cc
    @BinAlly-ip6cc Місяць тому

    Mnaonge sana mpaka viongezi wemesha wazowea wanawaona madunduka kuweni namaamuzi kuwatoa viongozi wanaozalilisha simba yanga shirikisho moja kacheza fainali klabu bingwa mpaka nusu fainali sisi tunajua yanga wapo nusu

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Місяць тому

    Kaka nimekuelewa vema big up umesema kweli

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t Місяць тому

    Shinda niviongonzi tu dube apo muchukueni uyo kwanin watuletee wachechani wabali awajui mupila wanayo checha kadodo sioni viongonzi watoke tu niwezi ay wanalisha matumbo yao awana faida na simba

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Місяць тому

    Nimecheka mnooo ‘wamechukuzana na makanzu yao’

  • @user-xl5fd1yr6d
    @user-xl5fd1yr6d Місяць тому

    Sahihi mwanasimba...

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo Місяць тому

    Viongozi hao waondoke tu miaka 4 ni mingi kumalizia

  • @yahayagimbu4216
    @yahayagimbu4216 Місяць тому

    Sasa mayele angaliweza ku press kama anavyosema angalikaa bench😅😅 makolo hamna hata mikakati.

  • @user-tg3st6li2q
    @user-tg3st6li2q Місяць тому

    Kaka umesema ukweri

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Місяць тому

    😂😂😂😂 aseme asisemeee ........................
    tajiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, wamechukuzana kupiga piga picha

  • @ahadimahenge3845
    @ahadimahenge3845 Місяць тому

    Simba hatuna viongozi wa mpila trai agen,i mangungu hawawezi kutupereka mbere😂😂😂

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 Місяць тому

    Aliwaletea Manzoki ndo upuuzi ulipoanza.

  • @ROBERTJOHN-yg3zt
    @ROBERTJOHN-yg3zt Місяць тому

    Mo tunaomba urudi Simba sc iwe kama misimu 4 iliyopita.Hao viongozi wabadilike bwana.

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Місяць тому

    Simba tuna viongozi vipofu

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 Місяць тому

    Hawana jipya viongozi waachie ngazi pumbavuuu

  • @bensonmbuya-if1fc
    @bensonmbuya-if1fc Місяць тому

    Shunduu we Yanga wapo juuu kuliko dunduka nakuambia yanga watafika nusu fainali kabla ya simba chukua hioo!

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Місяць тому

    Mwekezaji mwekezaji mwekezaji sio mtu wa mpira achie wengine

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e Місяць тому

    ukweli usemwe

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 Місяць тому

    Mhindi na mpira na wap,😃😃😃

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Місяць тому

    HATA kwa MAYELE mumelishwa MATANGO POLI 🤣🤣🤣🤣

  • @user-qx2hm8ok4i
    @user-qx2hm8ok4i Місяць тому

    Mo tunaomba utuondolee hawa watu kwann unawaleaa,??

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Місяць тому

    Msemaji wenu ameyasikia haya?

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Місяць тому

    Kaka yangu mimi nakuona mishipa ya shingo inakutoka kuliko mwenye Simba Mo yake shida yote ya nini ? Hiyo mwenye tim yake Mohamed Mo hana hata wasi wasi ila wewe mishipa ya shingo inakutoka bure maplesha juu

  • @swaleherashidimayunga4891
    @swaleherashidimayunga4891 Місяць тому

    Hilo unalolisema kwa Moo ndiyo tatizo moo hafai aachie timu ila kwa maneno haya sema ukweli MOO AONDOKE AACHIE TIMU KASHINDWA TIMU TUNAOGOPA NINI

    • @luiceadam385
      @luiceadam385 Місяць тому

      Watu wanashindwa kusema ukwelii mm naona mo ndo tatizo letu kubwaa tusiwe waoga mo atuachie team yetu yeye ndo tatizo la kwanza

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Місяць тому +1

    Wachezaji wanalogwa kk .

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Місяць тому

    Nyinyi si wapumbavu au mambumbumbu au mabunduka

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Місяць тому

    Kwaann walimuuza sakho

  • @isaaabdala7016
    @isaaabdala7016 Місяць тому

    Ao viongozi wajinga sana pumbavu tupu hao viongozi na mwisho yatawakuta.yakuwakuta

  • @obedylupenza2519
    @obedylupenza2519 Місяць тому

    Mashabiki wa Simba sc wanafiki, baadae mtaanza mtaanza kusema viongozi watusamehe.

  • @user-so1iu4vd2v
    @user-so1iu4vd2v Місяць тому

    Kaka wewe mkelili

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      Juzi alikuwa anajisifu ana mapambio kibao , huyu nae ndo wale wale sema Leo amechafukwa kile kwa kile kilichofanywa na yanga 😂😂😂😂 .....

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os Місяць тому

    Viongoz wa simba ni wasenge wote na hawajitambui kenge hawa

  • @exaveryluyagaza118
    @exaveryluyagaza118 Місяць тому

    Saidia kusajili wewe kama unaoona waliopo hawafanyi kazi.

    • @AbdallahMayunda
      @AbdallahMayunda Місяць тому

      mpir hujui kungwi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому

      😂😂😂 asaidieee

    • @iddykivu1336
      @iddykivu1336 Місяць тому +1

      Wewe kweli Mbumbu Mtu Anaongea Vitu vya Msingi Wewe Unaleta Utopolo

  • @BinAlly-ip6cc
    @BinAlly-ip6cc Місяць тому +1

    Mnaonge sana mpaka viongezi wemesha wazowea wanawaona madunduka kuweni namaamuzi kuwatoa viongozi wanaozalilisha simba yanga shirikisho moja kacheza fainali klabu bingwa mpaka nusu fainali sisi tunajua yanga wapo nusu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Місяць тому +1

      Hawana uo ubavu , we kama analetwa Manzoki kwa danganya toto .... Unafikiriii Wanauo ubavu na uthubutu wa kufanya hivyoo 😂😂😂😂, juzi wamempeleka mayele kwenye kambi Yao ili kupunguza stress 😂😂😂