Askofu KILAINI awaliza watu kanisani/aeleza sababu za Mdomo wake Kupinda mbele ya Makamu wa RAISI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ( Miaka 50 ) ya Upadre wa Mhashamu Askofu Method Kilaini
    ORIGIONAL SOURCE:TUMAINI MEDIA
    #BreezOnlineTv​​​​​​​​​​​​​ #Jubilei
    S.L.P 38655
    Dar Es Salaam Tanzania
    Phone No: +255 756494796
    Barua pepe: izackbreez11@gmail.com
    Mitandao Mingine ya Kijamii:
    Facebook: breez online Tv
    Facebook Link: / breez-online. .
    Instagram:Breez Online Tv

КОМЕНТАРІ • 46

  • @sofiaoman5901
    @sofiaoman5901 2 роки тому +5

    Atanishika mkono tuu Nitaamka tuu Mungu akulinde

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +5

    Dr M ana unyenyekevu Sana katika Mambo ya Imani. Hajikwezi

  • @korentinisilayo8125
    @korentinisilayo8125 2 роки тому +6

    Mungu akupe maisha marefu uzidi kutuogoza kiroho baba asikofu amina

  • @FrolenceRogath-fv6ku
    @FrolenceRogath-fv6ku Рік тому +2

    Baba mwenyezi mungu ahenderee kukupigania . Kwel din yetu unaijua vizur

  • @genovevakato3409
    @genovevakato3409 2 роки тому +8

    Hongera Sana Baba Askofu kwa Mungu kukujalia kuinjilisha katika kipindi cha miaka 50. Mungu akubariki uwe na afya njema, hekima na busara🙏🙏🙏

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 8 місяців тому +1

    Mungu akutunze Baba Askofu wetu!

  • @andrewmunishi8484
    @andrewmunishi8484 2 роки тому +5

    Mungu akupe maisha marefu nayaishi yote uliyotufundisha katika semina za uchumba na ndoa makuburi baba

  • @meckymethy9225
    @meckymethy9225 2 роки тому +7

    Mungu azidi kukupa nguvu na afya njema Baba

  • @marthakimalila4268
    @marthakimalila4268 Рік тому +2

    Mungu akulinde

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +6

    Mungu aendelee kukutia nguvu na uzee mwema.

  • @amanimakombe7141
    @amanimakombe7141 2 роки тому +5

    Ubarikuwe baba askofu kwa utume mwema

  • @rwelamira
    @rwelamira Рік тому +2

    Proud of you Baba Askofu

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 2 роки тому +4

    Hongera sana baba

  • @wilbrodtungaraza6204
    @wilbrodtungaraza6204 2 роки тому +4

    Hongera sana baba askofu kwa kumbukizi ya miaka hamsini ya upadre

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 роки тому +5

    Mungu aendelee kukutunza Baba.

  • @respiciusjoseph2293
    @respiciusjoseph2293 2 роки тому +5

    our Father...

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 роки тому +5

    Heri sana baba Askofu. Pension yako ipo miguuni pako.

  • @benny4345
    @benny4345 2 роки тому +7

    Askofu Methodius Kilaini ni tunu kwa Kanisa Katoliki Tanzania na Ulimwengu.

  • @urumtewele9693
    @urumtewele9693 2 роки тому +6

    Hongera sana BABA Mungu azidi kukushushia baraka zake

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +5

    Si atanishika mkono nitaamka tu!.Usikate tamaa.

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 роки тому +4

    Amina baba 🔥🔥🔥

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 2 роки тому +5

    Mungu akuwekee tunakupenda sana

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Рік тому +2

    Muna Bebana sana Sisi hapa tuna jua Hata Waovu wapo kwa kusudi la MUNGU
    HIVYO Hata Ninyi Mpo kwa kusudi lake

  • @magdalenasanga6378
    @magdalenasanga6378 2 роки тому +4

    Mungu akuzidishie neema na baraka baba yetu. We missed you in DSM

    • @andrewmunishi8484
      @andrewmunishi8484 2 роки тому +2

      Tunamshukuru mungu kwa zawadi ya uhai kwako tulikufaidi sana ulipokuwa dar na mafundisho yako na semina zako za vijana Jimbo kuu la daresalaamu

    • @rafaellamba6724
      @rafaellamba6724 2 роки тому +1

      Hongeara sana baba kilain wew ni chachu katika kanisa la Tanzania na kanisa la Mungu hapa dunian

  • @hildambielmasawe9467
    @hildambielmasawe9467 2 роки тому +5

    Niseme nini mimi kwa zawadi ya baba askofu kilaini. Tunakupenda baba tunakuombea.

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 8 місяців тому

    Bwana Yesu ni wa rehema mno na anaponya udhaifu wote.
    Zaburi 103:3-5

  • @user-bw2gm7pt5q
    @user-bw2gm7pt5q Рік тому +2

    jamani mbona anatulazimisha atuachie bandali yetu aende zanziba kaweke mkataba sis hattaki

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +6

    Makuzi yao ya upendo. Neno kubwa sana.

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 2 роки тому +6

    Asante Mungu kwa zawadi ya Askofu Kilaini. Baba Kilaini umekuwa zawadi na chachu nzuri kwa Kanisa la Tanzania na ulimwengu mzima. Nimefurahishwa na hotuba yako 🤣

    • @user-rq1ld8wy3t
      @user-rq1ld8wy3t Рік тому

      nakule kusini mwa Tanzania tunataka kujitenga atuoni faida gas yetu kusini kama maasikofu wachukia kuwekezwa bandali kusini tunaibiwa gassi bila yawatu wakusini kunufaika

  • @maryjoseph6973
    @maryjoseph6973 Рік тому

    Amina🙏🙏

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Рік тому

    kama kila kinacho semwa na wengi tunataka selikali tatu ndio tunasema muungano utakua umefika mwisho

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Рік тому

    kama tutaongozwa na maasikofu basi muungano ndio mwisho wake umefika

  • @dativafidelis388
    @dativafidelis388 Рік тому +1

    Ila BABA ETI DAISALAMU🤭🤭🤭. NIMEFURAHI TUNAKUPENDA SANA

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому +2

    Tunae Rais na Mama. Nani Kama Mama?

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Рік тому

    mbona amtoi tamko kuhusu gasi mtwara imeporwa na wananchi wame kufa mbona hamkutoa tamko kwakua kanisa lina hisa yake

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 роки тому +3

    bukoba tunakupenda baba askofu wewe uwe askofu wa jimbo letu

  • @EutropiaMinja-rx8sv
    @EutropiaMinja-rx8sv Рік тому

    Mijitu mingine haina akili kama hili linalojiita user. Hili user halina akili kabisa sijui ni chizi hili!!!

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Рік тому

    tunasubili kuona selikali au maasikofu ndio wataiongoza Tanzania

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Рік тому

    biashara chafu mtakosa kufanya ndio maana mlimchukia magufuri akujali udini halikua muwazi

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Рік тому

    kanisa limeiba madini ndanda kue masasi rondo chidia namtumbo mbona selikali imekaa kimya nyie maasikofu ndio wala rushwa sugu hamlipi kodi mnaonaselikali ikiwekeza mtatakiwa mlipie na biashala zenu za pembe za ndovu zitakwama

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 роки тому

    Tumebebana