Asante sana Father, baadhi ya mambo niliyojifunza. 1. Ekaristi Takatifu ni Yesu mwenyewe. Mungu Kweli na mtu kweli. 2. Ni nafsi ya Mungu mwenyewe anaumia, anatamani kupendwa kama tunavyopendwa na ndugu zetu 3. Kisiwepo kitu chochote ambacho kitatutenga na uwepo Mungu, iwe ni mateso, mauti, wakuu n.k 4. Kutenda dhambi ni kumzuia Yesu kuingia ndani ya mioyo yetu. 5. Thamani ya Ekaristi Takatifu ni kubwa kuliko chakula chochote. 6. Ekaristi ni chakula ambacho kinatupeleka mbinguni, katika kuwalea watoto lazima tuwalee katika kukua kwenye imani, sio kuwahangaikia tu kupeleka shule, kuwapa chakula lakini hawana Neno la Mungu. 7. Ekaristi Takatifu sio kitu cha hiari kama ni kitu cha hiari kwako basi kuna dhambi imechukua nafasi. 8. Tusifiche uovu lazima tuukemee kwa nguvu zote. 9. Yesu hakuja duniani ili wadhambi tuendelee kutenda dhambi bali tuache na kuichukia dhambi.
Kristo! Asante sana fr ni wazi wakatoliki wengi hatujakaa ktk nafasi zet kama mkristo .tumekalia lulu lakini ni wachache wanaolitambua.Kwa Huruma yake Mungu atufunulie macho ya ndani kama wale wafuasi wa Emau.MUNGU AKUBARIKI
Asante padre kwa maubiri matamu tumebarikiwa sana.najivunia sana I wapo nayaona kwenye mitandao m’a Padri wetu Kutoa Injili .kanisa katoliki tujipongeze na Mungu atusaidie sana.Tumsifu Yesu kristu wa Ekaristi Takatifu.
Asante Baba kwa mafundisho, ni mazito hadi nafsi inasisimuka na mifupa inatetemeka, kuna mahali kabisa waumini tunakengeuka, tunakosa hofuu ya Mungu ndani mwetu kwasababu ya kiburii tuu. Eee Mungu tusaidie🤲 utuhurumie sisi na dunia nzima.
Ekaristi Takatifu ni Yesu, na Yesu ni Mungu na kama ndo hivyo Mungu lazima apigiwe magoti na kwa Mila zetu tu mkono wa kushoto ni ishara ya utovu wa nidhamu unapoutumia
😭dah nimekuerewa sana ubarikiwe Kuna vitu nilikuwa nafanya bira kuerewa haya yote nikuchukurie biblia kamakitu chakawaida ubarikiwe sana maombi yetu yanaachakujibiwa kwakutokuerewa
Ukweli padri un alitukana sana lishetani lakini jua sasa liko linakuwinda usiku na mchana maana hayo uyasemayo umelipiga mkuki kifuani gandamiza hivyohivyo tuko pamoja baba.
Huyu Fr. Analifafanua neno kiukwelikweli lilivyo, na kuwajenga wakristu kweli, jamani tujitahidi kumjua sana huyu Yesu Kristu. Maana huwa tunamuumiza sana
Paroko wa kanisa gani hili? Asante sana kwa mafundisho mazuri yametugusa sana kutukosoa yale tunayoyaishi pasipo kuiheshimu Na kuijua Ekaristi takatifu!
Asante sana Father, baadhi ya mambo niliyojifunza.
1. Ekaristi Takatifu ni Yesu mwenyewe. Mungu Kweli na mtu kweli.
2. Ni nafsi ya Mungu mwenyewe anaumia, anatamani kupendwa kama tunavyopendwa na ndugu zetu
3. Kisiwepo kitu chochote ambacho kitatutenga na uwepo Mungu, iwe ni mateso, mauti, wakuu n.k
4. Kutenda dhambi ni kumzuia Yesu kuingia ndani ya mioyo yetu.
5. Thamani ya Ekaristi Takatifu ni kubwa kuliko chakula chochote.
6. Ekaristi ni chakula ambacho kinatupeleka mbinguni, katika kuwalea watoto lazima tuwalee katika kukua kwenye imani, sio kuwahangaikia tu kupeleka shule, kuwapa chakula lakini hawana Neno la Mungu.
7. Ekaristi Takatifu sio kitu cha hiari kama ni kitu cha hiari kwako basi kuna dhambi imechukua nafasi.
8. Tusifiche uovu lazima tuukemee kwa nguvu zote.
9. Yesu hakuja duniani ili wadhambi tuendelee kutenda dhambi bali tuache na kuichukia dhambi.
Barikiwa zaidi na Mungu,uendelee kutufungua mtumishi wa Mungu!!!
Kristo! Asante sana fr ni wazi wakatoliki wengi hatujakaa ktk nafasi zet kama mkristo .tumekalia lulu lakini ni wachache wanaolitambua.Kwa Huruma yake Mungu atufunulie macho ya ndani kama wale wafuasi wa Emau.MUNGU AKUBARIKI
Asante sana Baba,Mungu aendelee kukuweke ili uliponye kanisa 🙏
Asante padre kwa maubiri matamu tumebarikiwa sana.najivunia sana I wapo nayaona kwenye mitandao m’a Padri wetu Kutoa Injili .kanisa katoliki tujipongeze na Mungu atusaidie sana.Tumsifu Yesu kristu wa Ekaristi Takatifu.
Point of correction ni Yesu Kristo na Aio Yesu Kristu..
Asante sana Fr. Injiri ya moto inayochoma kama upanga. Mungu akutunze sana.
Asante mungu kwa ajiri ya mtumishi wako huyu mungu na uzidi kumtumia kwa ajili ya roho zetu zipate uponyaji
Mungu akubariki fr ,nabarikiwa na najengwa sana na mafundisho yako juu ya Ekaristi Takatifu. Mungu atuwezeshe na viongozi tuyatende ufundishayo.
Barikiwa sana Fr. Kulwa hakika wewe ni Biblia inayoishi. Hilo andiko ....karipia, onya himiza... nmeliona kwako Baba. Nimekupenda bure.
Asante fr kwamafundisho mazuri tuieshimu ekarist ❤
Baba barikiwa saana ,,Mungu tusamehe,
Asante Baba kwa mafundisho, ni mazito hadi nafsi inasisimuka na mifupa inatetemeka, kuna mahali kabisa waumini tunakengeuka, tunakosa hofuu ya Mungu ndani mwetu kwasababu ya kiburii tuu.
Eee Mungu tusaidie🤲 utuhurumie sisi na dunia nzima.
Asante sana Fr. kwa ujumbe huu, Mungu atusaidie kuishi mashauri haya ya injili
Asante baba kwa mafundisho mazuri
Asante sana pdr.John Kulwa kwa mafundisho yako Mazuri.
Asante sana kwa mafundisho haya. Tuiabudu na kuiheshimu ekaristi takatifu. Amina
OMG,,, sikujua Hilo , Asante sana Father, kwa elimu hiyo wengi haijawafikia, hawaelewi kabisa Nami pia sikuelewa, Sasa umenifungua, 🙏🙏🙏
Asante sana Baba umenibariki kwa fundisho hili juu ya Ekeristi Takatifu. Utuombee sisi wakosefu.
Asante sana
Baba kweli tuponyuma
Safi sana Mzee kulwa kwa fundisho kubwa na zuri
Akhsante sana baba Mungu wetu alie juu na mwenye kuogofya Akutunze Hakika
Kweli Baba Padre zinaa inaonekana kama ustaarabu fulani siku hizi kumbe ni upuuzi mtupu na kujilisha upepo! Mungu akupe maisha marefu father.
Baba nashukuru kwa mafundisho mazuri kuhusu Ekaristi takatifu Mungu akubariki sana
Baba asante sana.
Asante sana baba
Ee Bwana sistahili, sistahili ee Bwana uje moyoni mwangu. Lakini sema neno tu na roho yangu itapona. Asante Baba kwa neno lenye uzima.
Asante Sana father kulwa sikujua niliona mazoezi tu.
Asante Sana Father Kwa Mafundisho Ya Ekaristi Takatifu 🙏
Asante baba! Mwenye sikio na asikie🙏🙏
Ukweri ni huo juu ya ekarist mungu akupe neema ya kueneza neno lake.
Asante Fr kutulisha kiroho
Asante baba
Amina yesu atupe hekima ya kumjua zaidi kuliko chochote
Asante baba kwa kutuelimisha kuhusu ekarist takatifu
Naam. Call spade a spade. Nimebarikiwa sana na mahubiri haya.
Asante baba paroko,tunaomba rehema ya Mungu,kwa kuiudhi nafsi hii
❤️❤ mafundisho mazuri sana ya ekaristi takatifu
Baba mungu akupe maisha
Asante sana kuna kitu kimeingia kichwani mwangu
Ekaristi Takatifu ni Yesu, na Yesu ni Mungu na kama ndo hivyo Mungu lazima apigiwe magoti na kwa Mila zetu tu mkono wa kushoto ni ishara ya utovu wa nidhamu unapoutumia
Wewe yesu co mungu, ni mwana wa mungu acha uongo
Mapadri wangekuwa wanatulisha neno kama huyu tungekuwa na hofu ya Mungu, tungebadilika,
😭dah nimekuerewa sana ubarikiwe Kuna vitu nilikuwa nafanya bira kuerewa haya yote nikuchukurie biblia kamakitu chakawaida ubarikiwe sana maombi yetu yanaachakujibiwa kwakutokuerewa
Asante kwa neno zuli ungeshuka mpaka vijijini watu wajue utisho wa MUNGU Asante sana.pd
Asante sana pdr Kulwa kwa mafundisho mazuri
Ukweli padri un alitukana sana lishetani lakini jua sasa liko linakuwinda usiku na mchana maana hayo uyasemayo umelipiga mkuki kifuani gandamiza hivyohivyo tuko pamoja baba.
Huyu Fr. Analifafanua neno kiukwelikweli lilivyo, na kuwajenga wakristu kweli, jamani tujitahidi kumjua sana huyu Yesu Kristu. Maana huwa tunamuumiza sana
Kweli baba ekaristi ni muhimu sana
Amen!
Ni kweli kabisa,.
Asante SANA Baba Padre Kwa Mafundisho Ya Hali Ya Juu Kuhusu EKARISTI TAKATIFU.
Tatizo ni sakaramenti ya kitubio na kipako cha mafuta wanajua kesho Kuna maungamo Kwa padree
Kama mafundosho yangekua yanatolewa hivyo kuanzia ngazi ya jumuiya wakatiriki tungekua nanidhamu katika kanisa
Farther kulwa nayakunali saana mafundisho yake
❤❤❤❤❤❤
Homilia ya hali ya juu kabisa kwani ekaristi takatifu ni ukombozi wetu
Paroko wa kanisa gani hili? Asante sana kwa mafundisho mazuri yametugusa sana kutukosoa yale tunayoyaishi pasipo kuiheshimu Na kuijua Ekaristi takatifu!
Ni mlezi na mwalim wa seminari ya Segerea.
@@user-rt8df5ce4sPadre Kulwa alirudi Jimboni kwake Tabora.
Tumeyamisi mafundisho yake
Kwani mkono wa kushoto siyo mkono? Basi ulimi tusiutumie
Huyu padri wa wapi amejaa roho wa Mungu namna hiii!!
Alikuwa Mwalimu Seminari ya Segerea lakini kwa sasa yuko Jimbo la Tabora