Neno mama linamaana nyingi sana. Mama kapewa sehemu tatu na M.Mungu. Baba kapewa moja. Mimi nilijuwa kuwa Nchi kapewa mama wengi tutafarijika kwa huruma zake. Mungu akulinde na maadui na akulinde na kila baya. Actual is sign humanity no comment no argument. My eccept my solute mama Samia. Nakupenda sana. Naomba Mungu anikutanishe na wewe. Amiin.
Mama Samia ana moyo wa kipekee ni matajiri wangapi hata ndugu zao hawawasaidii. Mungu azidi kukulinda Mama Samia 🙏🏽🙏🏽 kwa hili uliofanya umenifurahisha sana
You touch our hearts, As poor people we have been suffer a lot in our own country......Doing such a thing make us feel valued God bless you madam president for this.
Hivi ndivyo Mungu hufanya ukifika wakati wa kukumbukwa.!! Sifa na utukufu kwa Mungu.Mungu akubariki Mama Samia,Mungu akulinde mtoto Hamimu.# KAMWE!!USIKATE TAMAA!
Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassann amefanya jambo jema sana, lenye utu, ubinadamu na heshima kwa uamuzi wa kumjengea Nyumba Mtoto Hamimu Mustafa Balanyukwa. Mungu akubariki sana Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Hongera sana mama yetu mama Samia umefanya jukumu lako kama raisi umeweza kumtetea mtoto hiyu na kumfanya awe bora kama walivyo wengine mungu akusimamie katika kutenda majukumu yako nakupenda sana rais wangu ❤❤❤❤❤
Kwa hili nimeamini ya kuwa Mungu ni wa watu wote,huwanyeshea mvua wema na wabaya na pia huwaangazia juu lake wema na wabaya!Mungu akubariki mh Rais,umeweka tabasamu kwa familia hii maskini
Rais wangu pokea maua yako huyu ndo Rais wa wanyonge nawaombea kwa MUNGU wote wenye vipato katika maisha mjitoe kusaidia wahitaji na wagonjwa badara ya kufanya anasa za kidunia huku wengine wanateseka
Nakushukuru sana Rais wetu mpendwa Mh. SSH kwa moyo na upendo huu upendo wa Agape. Ushauri watu wa namba hii wapo wengi Tanzania nzima tena hata zaidi ya huyo kijana wetu. Ikikupendeza pata wa namna hiyo angalau kila wilaya mmoja mmoja ili nao waupate utume wa Mungu kupitia kwango. Asante mama Mungu akuongoze akupe afya njema akulinde katika uongozi wako. Amina
From DRCongo kwa hilo alilo lifanya Raisi Mama Samia Suluhu ni jambo la Ku mushukuru Mungu Na yeye Pia,anaonekana kuwa ana moyo Sana Na anae wajali wana inchi wake,maisha marefu Mama Samia ❤❤
Mashaallah mama mungu akulinde na kila shari hasada maradhi na hao laana wanao kufuata fata hasbiallah laana tullah mungu atawaangamiza wasifike popote
Mungu akubariki mama Samia. Libarikiwe tumbo ambalo ndani yake ulikaa miezi tisa wabalikiwe wazazi wako ambao walikulea Kwa malezi mazuri sana na mwisho nikushukuru Kwa kujari utu wa mtoto hamimu hakika mungu atakulipa Kwa mema yote unayoendelea kufanya
Mungu akubariki sana Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan Raisi wetu. Mungu aendelee kustawisha ndani yako moyo wa upendo uliojaa huruma na unyenyekevu kwa masikini. Hongera sana Mama yetu uliojaa Umama.
Mama samia,,Raisi,wa Tanzania Ashante sana,may God give you long life,you are the best in Africa,,l wish you the best mom,....for building agood ahouse for the poor boy,,Nenda,mama president to give more.God will bless you more....l IN USA 🇺🇸
Hongera sana Rais wetu. Na ingekuwa maskini wanafikiriwa kujengewa kama hivi au hata nyumba ndogo tu nzuri ya kuishi basi umasikini ungepungua siku Hadi siku Tanzania. Kila awamu wangejengewa masikini kiasi Cha bajeti inavyoruhusu. Asante
Nyumba nzuri ushauri wangu kwa wale wazee au walezi wamtunzie mtoto maana nikiangalia hii nyumba inataka usafi wa hali ya juu ili iweze kupendeza na isijekua kinyume chake. Taizi na kuta zikawa hazitamaniki.
Hii ndio Raha ya kuwa na mama hasa mama mwema .Mungu akupe maisha marefu na akutangulie ktk majukumu yako mama yetu mh Rais Samia
Daaah sahiv Mpka Amepona,,,,,Mungu Akubariki mno Raisi wetu mzuri ❤️❤️❤️❤️
Mungu akubariki Rais Dr Samia, 👏👏 Nimeipenda ramani ya nyumba
Neno mama linamaana nyingi sana.
Mama kapewa sehemu tatu na M.Mungu. Baba kapewa moja.
Mimi nilijuwa kuwa Nchi kapewa mama wengi tutafarijika kwa huruma zake.
Mungu akulinde na maadui na akulinde na kila baya.
Actual is sign humanity no comment no argument.
My eccept my solute mama Samia.
Nakupenda sana. Naomba Mungu anikutanishe na wewe. Amiin.
Mama Samia ana moyo wa kipekee ni matajiri wangapi hata ndugu zao hawawasaidii. Mungu azidi kukulinda Mama Samia 🙏🏽🙏🏽 kwa hili uliofanya umenifurahisha sana
Amiin amiin
Aaamin aaamin aaamin
Amiina Rabbil A'alamiin, Alhamdulillah
hongera yanini akat kodi zetu izo?
@@jonijomk3107hjb jmn kaa mitanzania imell sn
Mungu akupe maisha malefu mama ni ngumu kuwafikia wote ila umeonyesha upendo wa juu
Unalala Maskini unaamka tajiri kwenye Maisha never give up 😅😅Allah amzidishie kheri Mama na barka na Kwa wanao mpiga vita Mungu awasogeze mbali 🎉🎉🎉🎉
You touch our hearts, As poor people we have been suffer a lot in our own country......Doing such a thing make us feel valued God bless you madam president for this.
Mungu ni mwema pongezi kwa mama yetu kipenzi cha watanzania ❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
Mashallah uwezi kuwafikia wote mmoja tu mungu a akubariki, Asante Dr rais wetu
😢😢😢jmni naliaa Kwa furahaa wallah Allah amzidishiee mama etu
Mashallha kwa hili tumpe mauwq yake raisi kwakweli Mungu amtupi mja wake nyumba nzuri mno
Jazzakah llahu kheir Amirat Samia Suluhu Hassan🤲...kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi
❤❤❤ hongera raisi wetu tunakupenda Sana wewe ni mama Bora hongera ni mfano mzuri kwetu mashallah Allah akupe Kila Aina ya kheri
Hongera sana raisi wetu mpendwa una moyo wa pekee sana, Mwenyezi Mungu akulinde na apigane na wote wanaopigana nawe. Tunakupenda mheshimiwa raisi wetu
Allahumma aaamin
Mwenyenzi mungu azidi kukubariki uendelee na afya njema uzidi kiwasaidia na wengine mama Samia
Na hili lifanyeni lionekane baya maana munamfanya raisi wetu kua hana jema na jitihada zake munaziona kama hizi Mashallah
Mashallwah mh rais samia mungu akulinde naakupe nguvu na afyaa ishallwah iwe nisababu yakuipata pepo
Hivi ndivyo Mungu hufanya ukifika wakati wa kukumbukwa.!! Sifa na utukufu kwa Mungu.Mungu akubariki Mama Samia,Mungu akulinde mtoto Hamimu.# KAMWE!!USIKATE TAMAA!
Kabisa MUngu hukumbuka kwa wakati unaofaa tusikate tamaaa
Asante mama kwa upendo mwenyezi mungu hatanyamaza kwa wema wako kwa wahitaji
Mashallah
Allah Amlinde mamaetu
Rais wetu❤
Masha'allah Tabarakallah Mwenyeez Mungu amzidishie alipotoa Mheshimiwa Rais Samia.Kijana Hamimu anaakili sana. Anajua kujielezea.
Mwenyeezi Mungu
Ampe Rais Dr. Samiha
Hassan umri mrefu ili
Azidi kuwasaidia wengine wenye shida
Palipo na uwezo.
Aameen...
Hongera sana mama Samia kwa hili Mungu akuzidishie afya njema napia kijana wetu naye Mungu amponye kabisa maradhi yake.
Alafu anatokea mjinga flani na anamtusi President makini na Safi Madam Samia. Nakasirika sana
Hongera Mama Samia usichoke
Aise wanakera sana.Wajinga na majambazi madhulumati ndo wanamchukia Raisi
Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassann amefanya jambo jema sana, lenye utu, ubinadamu na heshima kwa uamuzi wa kumjengea Nyumba Mtoto Hamimu Mustafa Balanyukwa.
Mungu akubariki sana Mh Rais Dr Samia Suluhu Hassan.
Mashallah ❤ Allah akulipe kheri rais wetu,hyo nyumba aandikwe Jina lake wasomzulum
Mwenyezi Mungu akubariki sana mhe dkt SSH Rais wetu mpendwa.hakika upendo mkubwa
Ma-shaa-llah 💕...Allah Barik Ms President Samia
Ongera mama Allah akupe maisha marefu na tija
Mungu awajalie wote walio shiriki kwa namna moja au nyingne kurejesha furaha na tumaini kwa mtot na familia nzma
Hongera sana mama yetu mama Samia umefanya jukumu lako kama raisi umeweza kumtetea mtoto hiyu na kumfanya awe bora kama walivyo wengine mungu akusimamie katika kutenda majukumu yako nakupenda sana rais wangu ❤❤❤❤❤
Mh rais honorable Sana kazi nzuri uliofanya
Wasikaloge sasa jamn wachawi wa bihalamlo mmeelewa...
Nyumba ni masha Allah Mungu awabariki wote
Hongera mama Allah atakulipa kwawem na imani aliyokup mungu hakika mung atakulip nakuweza kuwasaidia wengn weny uhitaji
Amaa kweli watoto ni hazina kubwa sana ndomaana kipindi nahitaji mtoto nliumia sana na sasa namshukuru mungu kunijalia watoto,
Mungu azidi kukulinda mama jambo hili ni la Baraka sana
Mungu mbariki Rais wetu
Hongera san mama mungu akupe maisha marefu raha ya kuwa na mama watoto wanafurahia
Hongera mama Samia wewe ni mama na nusu🥰
Kwa hili nimeamini ya kuwa Mungu ni wa watu wote,huwanyeshea mvua wema na wabaya na pia huwaangazia juu lake wema na wabaya!Mungu akubariki mh Rais,umeweka tabasamu kwa familia hii maskini
Hapo ndugu wote watahamia,kama nawaona wanavyokimbizana kutaka kuhamia hapo😂😂😂😂😂
Barikiwa Sana mh Rais wangu nakupenda na Mungu wa mbinguni akujalie maisha marefu Sana
Mungu ambariki Rais Samia jmn
Nzuri Sn Mungu Ambariki Mama❤❤❤
Mama hongera piga kazi,hakuna aliye mkamilifu chini ya jua,binafsi nasema piga kazi na ukifanya kazi mkono utafika kinywani.
Mwenyezi Mungu mpe afya na umri mrefu Rais wetu SSH na wote wanao mshauri na kumsaidia majukumu yake
Hongera sana mama Samia natamani na mimi uniongezee hela kidogo nimalizie yakwangu
Kwa hili mama kura yangu ushaichukua yan nakupa Asante sanaa mama samia
MASHAALLAH MASHAALLAH :ALLAH azidi kukuogoza kwakila jia ya kheri mama SAMIA .ALLAH barik
Amin Thuma amin
Saf sana rais wetu hongera sana
Maraisi nikama hao wengine nikushidikisa tu raisi samiya mungu akutangulie ❤
Hongera sana Mama Mungu akuzidishie na kukulinda na kila lilo baya
Mashallah Allah akupe pepo Rais samiya
Rais wangu pokea maua yako huyu ndo Rais wa wanyonge nawaombea kwa MUNGU wote wenye vipato katika maisha mjitoe kusaidia wahitaji na wagonjwa badara ya kufanya anasa za kidunia huku wengine wanateseka
Bwana ambariki Rais wetu kwa kuvaa viatu vya Hamimu! Nimejikuta natokwa na machozi ya furaha ❤🎉🎉
Nakushukuru sana Rais wetu mpendwa Mh. SSH kwa moyo na upendo huu upendo wa Agape. Ushauri watu wa namba hii wapo wengi Tanzania nzima tena hata zaidi ya huyo kijana wetu. Ikikupendeza pata wa namna hiyo angalau kila wilaya mmoja mmoja ili nao waupate utume wa Mungu kupitia kwango. Asante mama Mungu akuongoze akupe afya njema akulinde katika uongozi wako. Amina
Mashallah alhamdulillah,allah akuhifashi samiha my love
Mashallah ! M.mungu Akubariki sn mama Rais kwa kuguswa na hali za wananchi wako wasio na uwezo. Allah atakulipa ujira wako inshaallah 🤲
THANK U SOOO SOOO MUCH MAMA SAMIA
ALLAH AKLIPE KILA LA KHERI
Mungu akulinde mama yetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassan
From DRCongo kwa hilo alilo lifanya Raisi Mama Samia Suluhu ni jambo la Ku mushukuru Mungu Na yeye Pia,anaonekana kuwa ana moyo Sana Na anae wajali wana inchi wake,maisha marefu Mama Samia ❤❤
Maashallah. Mama ni mama tu. Allah akuhifadhi. Amin
Mashaallah mama mungu akulinde na kila shari hasada maradhi na hao laana wanao kufuata fata hasbiallah laana tullah mungu atawaangamiza wasifike popote
Mashallah mungu akulinde mama na kila baya mama la watanzani na wageni
Mashalah mama Samia🙏
Mungu akubariki mama Samia. Libarikiwe tumbo ambalo ndani yake ulikaa miezi tisa wabalikiwe wazazi wako ambao walikulea Kwa malezi mazuri sana na mwisho nikushukuru Kwa kujari utu wa mtoto hamimu hakika mungu atakulipa Kwa mema yote unayoendelea kufanya
Ila mkataba wa bandari haukubaliki! 🥴
@@j.c.maxima816 roho mbaya huwa haishindi hata siku moja.
Amiin
Uchungu wa mwana aujuaye mama🙌🏾
hongera sana rais samia kwa kumfanya mtoto huyu kurudi katika tabasam lake
Nimefurahia mnoooo,jamani ,Mungu akulinde RAIS wetu Mheshimiwa SAMIA SULUHU HASSAN
IAsante mama Mungu akuzidishie ulipotoa🙏
😅😅😅😅eti, hatuachi kulia kilio kuhusu bandari, maana msiba ni mkubwa mno. Mashallah.
Mungu akubariki sana Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan Raisi wetu. Mungu aendelee kustawisha ndani yako moyo wa upendo uliojaa huruma na unyenyekevu kwa masikini. Hongera sana Mama yetu uliojaa Umama.
Hongera mama wa taifa la Tanzania umefundisha wengine utu wa kujali watu mola akuzidishie moyo huo wa huruma na akujaze jaza njema insha'Allah
MashaaAllah tabaraka Allah
Mungu akubariki mama samia akulinde hata kwa hayo mema unayoyafanya
This is great, may God bless her indeed
Sasa wasije wakafikili kisha raisi kamjengea ndo waingieingie kwake bila hodi Mungu ambariki Mama Samia.
Hongera kwako Madame President Kwa uungwana wako mkubwa!!
Haya ndiyo matendo ya huruma ambayo Mungu hupendezwa nayo ubarikiwe mama kwa ulichokitenda
Mungu ambariki raisi wetu
Hakika wewe ni mama mungu akujalie Uzima na hekima zaidi tuko nyuma yako kipenzi
Tungekuwa tunaishi kwa kusaidiana hivi tungekuwa mbali wengine waige kwa Rais wetu
Mungu ambariki mama kwa Jambo hili..! Wema Ni akiba
Ee mwenyezi mungu mpe afya ukawe mlinzi wa rais wetu mama hasani Samia suruhu. Mama mwenye huruma mama mcha mungu. Mama mama mama. Nani kama mama.
Nani kama Mama jamani ,ubarikiwe sana na mungu Jemedari wetu Rais,Dk, Samia Suruhu Hassan
Mama Samia Raisi wetu mpendwa! ufalme wa Mbinguni ni wako.
Asante Mama Samia Mungu akutangulie
Mama anaupiga mwingi👏👏👏
Mama samia,,Raisi,wa Tanzania Ashante sana,may God give you long life,you are the best in Africa,,l wish you the best mom,....for building agood ahouse for the poor boy,,Nenda,mama president to give more.God will bless you more....l IN USA 🇺🇸
Hongera sana Rais wetu. Na ingekuwa maskini wanafikiriwa kujengewa kama hivi au hata nyumba ndogo tu nzuri ya kuishi basi umasikini ungepungua siku Hadi siku Tanzania. Kila awamu wangejengewa masikini kiasi Cha bajeti inavyoruhusu. Asante
Raisi wetu anaonesha kabisa kuwa eye nikaka mwenye huduma,mungu akubariki mama yetu
Watamuroga huyo mtoto..wahaya nawajua vizuri jaman..jaman mungu Amlinde 🎉
Asante mama kwa hili tendo lahuruma ulilomfanyia huyu mtoto umenifunga mdomo hata bandari siongelei Tena keengele Mimi🤐🤐🤐
#Nimecheka tu.
"Basi kisha muombeeni "Dua" ya kheri na baraka! Msimuangalie na jicho la uhasidi kwani ni majaliwa yake! Good job MUM!
Safi mama mungu akubariki kwa ku saidia mtoto
Mama yangu Rais wangu, mungu akupe maisha marefu yasiokua na maradhi🙏❤️
Amin
Mungu akulinde mama kutoka moz,,🇲🇿🙏
Nyumba nzuri ushauri wangu kwa wale wazee au walezi wamtunzie mtoto maana nikiangalia hii nyumba inataka usafi wa hali ya juu ili iweze kupendeza na isijekua kinyume chake.
Taizi na kuta zikawa hazitamaniki.
Kwani unawaonaje wazazi wake 😂😂wanadamu mnanogwa
@@prettynayally2177
Sio nongwa ila kwa sisi ambao tupo kwenye field hii tunajua,sio kwamba nongwa.
@@hatibbaraka3956 field ya nn fata kilichokupeleka