RUBANI WA NDEGE MPYA AFUNGUKA NAMNA WALIVYOIFIKISHA NDEGE TANZANIA, TAZAMA ILIVYO NDANI
Вставка
- Опубліковано 25 бер 2024
- #TANZANIA: Rubani aliyerusha ndege mpya hadi Tanzania afunguka namna walivyoisafirisha, Waziri Mkuu, Mbarawa, Makonda, Zungu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali wapanda kuitazama ilivyo ndani
This is a good improvement, congratulations madam samia suluhu hasani.
Hapa ndipo ccm ilipo tufikisha baada ya miaka 60 ndege moja tu garama walizo tumia 😭😭😭
Zilizonunuliwa Kwa mihemko hakuna mrejesho!
Huko zinapotoka wanazidampo sisi wajinga tunafurahi wote kama chizi kaona dampo jipya
Ruban anajiskia kinoma anajibu kwa mbwembwe.
Kweli bado tuko nyuma Sana!
Ukinunua gari nchi mzima isimame!?
Wanadamu hamna wema wala shukurani wewe unayo
Huu ni USHAMBA au ni DHARAU kwa wananchi??
Maswali ya mwandishi wa TBC hayana mashiko kabisa, inabidi ajifunze kuwa professional na kuuliza maswali inavyotakiwa, rubani amejibu kama ilivyopaswa kwa sababu hakukuwa na swali pale,,,,mwandishi anauliza kitaa kitaa tu, bado sana
Jamani ndege za magufuri izo
Hahahaaaa alinunua kwa pesa zake eenh
Mzee wangu abasi mtemvu namuona kwambali
Inachukua Abiria wangapi hii Ndege.
181
Kubwa lijalo
Aaaaaaaaaa