INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 бер 2022
  • INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA...
    Mfanyabiashara wa huduma za Kifedha kutoka wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma, ameelezea jinsi alivyovamiwa na majambazi na kupigwa Risasi maeneo ya kiunoni wakati akitoka katika biashara yake majira ya usiku.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

КОМЕНТАРІ • 215

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому +4

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @nicklasndabiyeho6650
    @nicklasndabiyeho6650 2 роки тому +5

    Pole sana kastory , classmate muyama sekondari 2008-2011 , buhigwe kigoma Tanzania,

  • @neemasamwel9545
    @neemasamwel9545 2 роки тому +15

    Ndo maana huwa nasema watu wasikariri Sana maisha yako unaishije jitahidi watu wasijue ratiba zako kama nibiashara funga muda usio tabirika njia yakupita isiwe Moja

  • @marysinkolongo7347
    @marysinkolongo7347 2 роки тому +13

    YESU wa huyo mama aliyekua anasoma Biblia amekuokoa Asante YESU.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Місяць тому +1

    Allahu akbaru ooh allah tuondoleee hawa madhwalimu

  • @marrymenas
    @marrymenas 2 роки тому +29

    Nimecheka jinsi anavojieleza maskin pole broh! Eti anasema anasikia paa! Anajiuliza eeh nn hiyo inawaka kwenye mwili wang 😆😆
    Malaika mlinzi alikuwa na ww siku hiyo
    Bwana Mungu ashukuriwe 🙏

    • @fraviansweetberty8819
      @fraviansweetberty8819 2 роки тому +1

      😄😄😄😄😄😄😄😄😄👊👊👊👊

    • @user-jz8sj5us1h
      @user-jz8sj5us1h 2 роки тому

      🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁🤲🤲🤲😥😥

    • @elizabethsanga9184
      @elizabethsanga9184 2 роки тому

      😀😀😀

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 2 роки тому

      yaan kumb risas unawaka kma motooo🤣🤣🤣🤣

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 роки тому

      Halafu ana sema anamshukuru mke wake Kwa kimvumilia,kumogesha ,ni Sawa lazima ayafanye yote hayo Kwa sababu vi miamia.vipo ,,alisahau yakuwa Zama hizi hapendwi mtu ,,ilA kinapendwa kile ulicho kiandaa

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 2 роки тому +3

    Huyu walipanga kumua ndio maana walikua ata hawaangaiki, yani mmoja ameingia kuchukua ela wenzake wanamsubiri nje🤭 Mungua alikulinda bro Hongera sana kwa hilo. Pole pia na matatizo boss💙💙

  • @abbasbakary3491
    @abbasbakary3491 2 роки тому +7

    Kama picha pole sana na hongera huyu mama wa nguvu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +1

    Pole sana mungu akutaka ufe.Mungu ni mwema.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 роки тому +3

    Pole sana kk

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 роки тому

    Pole sana Kaka yangu. Mwenyezi Mungu akujaaliye upone Insha Allah.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 2 роки тому

    Pole sn Bro! Mungu atayaweka adharani yachomwe moto.

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому +3

    Ukiona dalili za kufuatilia wapoteze maboya usielekee nyumbani, ukibeba pesa inatakiwa uwe na machale sana

  • @jamesbilafumba6902
    @jamesbilafumba6902 2 роки тому +2

    Ooh Mungu wangu, pole sana Mwanafunzi wangu Mpoki

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 роки тому +3

    Pole sana

  • @estherwilliam3758
    @estherwilliam3758 2 роки тому +1

    Pole sana kaka
    Na pole na mafua

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 2 роки тому +1

    Dah pole sana

  • @belinamartini1768
    @belinamartini1768 2 роки тому +1

    Pole sana kaka na hongera sana kwa kupona Mungu yuko na ww

  • @AishaAisha-rh1fc
    @AishaAisha-rh1fc 2 роки тому +10

    Hawa watu wa 2 wana kujua uyu 1 wame mkodi

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 День тому

    😢😢😢😂😂😂😂😂 yaani inaumiza ila jamaa anavoelezea ni comedy tupu pole sana ndugu😢😢😂😂😂 😀😀😀😊

  • @YonaMbwilo
    @YonaMbwilo Місяць тому

    pole sana kaka

  • @learningswahilistreet7682
    @learningswahilistreet7682 2 роки тому +3

    Pole Sana my classmate

  • @elizabethsanga9184
    @elizabethsanga9184 2 роки тому +1

    Jaman pole sana kaka

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 2 роки тому +4

    SHIKAMOO TANZANIA YANI BONGO MOVIE NI NYINGI.MIMI HAPA ITALY NIKIPATA STRESS NAKUJA YOU TUBE KUANGALIA VITUKO VYA WATANZANIA

  • @happykimodoi1528
    @happykimodoi1528 2 роки тому

    Pole Sana Yan kaz hiz ngum

  • @MonayLai
    @MonayLai Місяць тому

    Pole sana ndugu

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 2 роки тому

    Mungu atulinde

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 роки тому +3

    Daah jamani pole sana kaka

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 2 місяці тому +2

    Sasa una mafua daah mbona ivyo mimi nakula banah stori mzuri ila mmmh 😂😂

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 2 роки тому

    Pole sana ndugu yangu

  • @angelclement9149
    @angelclement9149 2 роки тому

    Pole Sana

  • @user-rw6jc7zp9k
    @user-rw6jc7zp9k 9 місяців тому

    Poleni sana

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 2 роки тому

    Pole Sana kaka dunia inatisha sana saiv

  • @hanifaamani3363
    @hanifaamani3363 2 роки тому

    Lkn bando.. umetumalizia(pole na hongera kwa ujasiri)

  • @user-df6ui9ro8s
    @user-df6ui9ro8s Місяць тому

    Yote kwa yote kak. Hongera san san kuwez kupamban nao

  • @MonaJuma-cp3jg
    @MonaJuma-cp3jg Місяць тому

    Mungu nimwema

  • @tracejeezy8917
    @tracejeezy8917 2 роки тому +1

    Huyu jamaa vipi mbona Risasi hazitokii daahh 🤣 ila pole bro.

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h 2 роки тому

    Pole sana kaka

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 2 роки тому +3

    Pole sana mungu ni mwema😭🙏

  • @cecygeorge4443
    @cecygeorge4443 2 роки тому +1

    Huyo dada alokuwa anasoma biblia na tochi ndie alomlilia Mungu yote yakapita na leo upo salama toa sadaka umshukuru Mungu🙏🙏

  • @judithmakuto3612
    @judithmakuto3612 2 роки тому +1

    Pole babaangu

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 2 місяці тому

    Pole sn

  • @zainaseleman3043
    @zainaseleman3043 9 місяців тому

    Jaman Yesu yupo tumeona kaz zake

  • @modestersalmon7764
    @modestersalmon7764 2 роки тому

    Mh pole jaman

  • @asiasalum6735
    @asiasalum6735 2 роки тому

    Duu kaka pole sana

  • @pauloslemburislekamoi8624
    @pauloslemburislekamoi8624 2 місяці тому

    Pole

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 2 роки тому +4

    Pole jamani mungu yu pamoja nawe.

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 2 роки тому +3

    Pole sana ndugu japo kua nakusikia kwashisa sana yani unavyo ongea nakupata kwa tabu pole sana

  • @fredymbilinyi6323
    @fredymbilinyi6323 2 роки тому +10

    Aliponea nyu mba ya walokole na jambazi kukamatwa hapo yesu anaweza,njoon kwayesu,

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 роки тому

    Hii story haijakaa vizuri

  • @adamfundikira742
    @adamfundikira742 2 роки тому +7

    Yaani ukimpata mke wa kiha uwa ni wavumilivu sana

    • @doreenkaiza9930
      @doreenkaiza9930 2 роки тому +1

      Nakubaliana na wewe asilimia 98

    • @agnesn9947
      @agnesn9947 2 роки тому

      Hongera dd Mungu akuone mwanangu

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 роки тому

      Mimi kaka yangu ameoa muha aisee anaenjoy ile mbaya.Wavumilivu sana.Wapo wacheche walio kwisha kuwa chotara hawana uvumilivu.

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 2 місяці тому

    😢😢😢😢 pole sana kaka yangu

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 2 роки тому +3

    Nimependa kumusifia mke wake

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 2 роки тому +1

    Ila mwanamke alivyofuguwa geti agefuguwa kabsa ila mume aingie na pikipiki haya yote yasingemkuta sasa unafunguwa geti unarudi ndani maisha ngani hayo watu wengi sana wanafia nje ya geti kusubiri kufunguliwa geti watu tujifunze

    • @salustiashayo3486
      @salustiashayo3486 2 роки тому

      Ni kweli usiku mnaingia ndani eti mnamuacha mtu ndani

    • @florahthamson133
      @florahthamson133 2 роки тому

      inamaana hata huwaga hampokei mme wake huyoo😂

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 2 роки тому +1

      Ndo maana mimi naporudi nyumbani huwa nawaambia nakaribibia kufika,kaa getini ukiona taa za gari au pikipiki nitawasha nakuzima fungua geti mi sisimamagi getini akisha fungua nikipita tu nageti linafungwa haraka kama vile mimi ndo jambazi.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 роки тому +4

    Wakati wameshikana na huyo mama wewe uko wapi, mbona husaidii

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому +2

    Ashukuru alikutana na jambazi wanafunzi

  • @florahthamson133
    @florahthamson133 2 роки тому +1

    yesu ni mzuri ❤❤❤❤❤❤

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 роки тому +2

    Kumbe Ulikua Jeuli Toa Hela Unaleta Mabishano Wakati Wezio. Wako Na Moto

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +1

    Hao ni ndugu,na rafiki zako,jaribu kuludi mapema home.

  • @alaudindarji7147
    @alaudindarji7147 2 роки тому

    ماشاءاللہ یاحاہم=جرورآئےگے

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 2 місяці тому

    Ina maana huo mtaaa hauna watu, mbona ilichukua muda mrefu sana.

  • @bwanautamu2081
    @bwanautamu2081 2 роки тому +1

    Hizo hirizi ni hawa hawa waganga ambao mnawatangaza insta na mitandao mingine tuwe makini jamani na waganga

  • @atupilikembuba9093
    @atupilikembuba9093 Рік тому

    Pore sana namshangaa binadamu. Hawana huruma

  • @sashahauke2032
    @sashahauke2032 2 роки тому

    Jamani msikosoe mtu kwa maneno makali hivyo tuko tofauti eti alaa hata hivyo wewe ni jasiri sana sana sana

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому

    Hii bongo movie aisee

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 2 місяці тому

    Yaani muda wote huo haujapoga kelele tuuu watu wakaja jamaniiii.

  • @zakhianzuki9348
    @zakhianzuki9348 2 роки тому +2

    Jamani mie atasielewi yani muda wote huo wanazunguka na jambazi kwanini wasipige kelele mapema.

  • @user-vb3sy6oe2y
    @user-vb3sy6oe2y 2 місяці тому

    Maandaliziyote yakukuokowa YalifanywanaBABA MUNGUMWENYEWEhakukiwanaujanjawowoteule Kwahiyo BWANA ASIFIWE

  • @zawadimwakipale4222
    @zawadimwakipale4222 2 роки тому

    Poreni sana ira mkeo nijasiri sana ira ameniuzi kitu kimoja angefunguwa geti vizuri wara uasinge kukuta tote ayo ira binadam jamani niatari

  • @ummutaswaufi3980
    @ummutaswaufi3980 2 роки тому

    Maelezo ya mwanamke yamenyooka
    Ila pole sana

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 роки тому +3

    Pole kwa majanga, lkn unaongea vibaya kweli hususan waha wanaongea kaa cherehan maneno wanayabebesha🙌🙌🙌😬😬😬😬kusikiliza had uvivu+ mafua🙌🙌🙌

    • @ameenaameena1224
      @ameenaameena1224 2 роки тому

      Jamani wewe kama Mimi huku mwisho nilichobatika tu ni milioni Tena na nimepata mke ananijali

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 2 роки тому

      @@ameenaameena1224 😆 🤣 😂

    • @yusuphhugugu9759
      @yusuphhugugu9759 2 роки тому +3

      Afadhari yenu ninyi wenye kujuwa kiswahili fasaha. ......wanaharamu ninyi mnaoshindwa kujuwa utofaut wa lafudhi na kujiona wakamilifu kumbe madangaji t.....

    • @elizabethbusigara4568
      @elizabethbusigara4568 2 роки тому

      😂😂alafu anavuta na mafua ,,

    • @jacquelineadrian6436
      @jacquelineadrian6436 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwenye mafua

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 2 роки тому

    Duu . Jamaa ana Roho ngumu

  • @himnasalum2424
    @himnasalum2424 2 роки тому +4

    Pole sana kaka unavovuta hayo mafua yn namm nameza

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 2 роки тому +2

    mimi ni wakala pia ila siku hata tapeli tu siku ajichanganye kwangu amekwisha

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 2 роки тому +1

    Dada mama jasiri ile mbaya

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 Місяць тому

    Wana wake kamahoao nimojamoja sana

  • @smarttv3272
    @smarttv3272 2 роки тому +1

    Huyu jamaa ni hatari mara anavuta makohozi kwenye interview 🤣🤣🤣😂

    • @janeschurmanns7364
      @janeschurmanns7364 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣aise hadi kichefuchefu mke wake anamoyo du

    • @mweusiasili8345
      @mweusiasili8345 2 роки тому

      🤣🤣🤣

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 2 роки тому

      @@janeschurmanns7364 😆 🤣 kwani ana mafua kila siku jamani

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 2 роки тому +1

      Jamani kwani hamuoni kama anamafua yana msumbua. Nakila mmoja anajua mafua yanavo sumbua vumilieni tu tena jamani

    • @jackmacha6057
      @jackmacha6057 2 роки тому +1

      @@janeschurmanns7364 kichef chef KWA ww hujawai kuwa na mafua au ushamba

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому

    Pole sana brother 😔

  • @Juls7ur
    @Juls7ur 2 роки тому

    the story is unbelievable. uongo tupu. fiction fiction fiction. kwani hiyo place hakuna police.

  • @sophiamirambo9656
    @sophiamirambo9656 2 роки тому

    Ndio mjifunze kujiweka sawa biashara na ulinzi majirani wanatokaga tangia lini??

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 2 роки тому +1

    Nawe jmn usiku unaona watu huwaelewi kwanini unasimama kwa nje kuwachunguza?

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 роки тому +1

    Waha Kwa kuongea mko Sawa,ndio maana hata ubishi mnauweza,

  • @tithombeya5779
    @tithombeya5779 Рік тому

    Jaman majambazi ivi hamna huruma eti

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 роки тому

    Kwakweli ulikuwa na uwoga kweli mtu mmoja wenzake wamekaa nigemfinyanga bala na unavyosema lisasi alitoki🤣🤣

  • @monikakimath3810
    @monikakimath3810 2 роки тому

    Huuu ujinga umerudi;r.I.p magu

  • @jacquelinembowe3214
    @jacquelinembowe3214 2 роки тому

    Waha wabishiiiiiii Sasa si ungetoa begi

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 роки тому

    nmeguduna kuna haja kubwa ya kumpata mwanamke walau mwenye ujasili, maan hapo wengne akisikia tu lisasi anajifungia na kujikojolea ndan mwoga kama nini,

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 2 роки тому

    Pole Sana bro ila Waha waga ni wachafu kinoma Yani

    • @msaysha5886
      @msaysha5886 2 роки тому

      🤣🤣Kumbe hata wewe umeliona anavyo vuta makamasi 🤣🤣

    • @mwajabually2407
      @mwajabually2407 2 роки тому

      😆😆😆😆😆

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 2 роки тому +2

    Ksl kuna baraaaa

  • @tattoobobby3103
    @tattoobobby3103 2 роки тому +1

    Babu Kigoma saiv kama south Chicago babu ni robbery na shaba tu

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 2 роки тому

    Alahhhh .alahhhhhh.,alaaaaaaaahh..Ayo makohoo yanaonekana ni meeeengi Sana alafu matam kweli. Ila pole sanaaa broo

  • @heritier5119
    @heritier5119 2 роки тому

    Alishindwa kuona dalili mapema tangu anafatilia ajastukia

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Місяць тому

    Mpaka umepata mafua?

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 роки тому

    Sasa wote umo ndani mkashindwa kumkamata

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 2 роки тому

    Pole lakini usivute uchafu ukameza huuuf

  • @emmysfitnessandforex9403
    @emmysfitnessandforex9403 2 роки тому

    M pesa funga saa 12 acha tamaa

  • @mugema9813
    @mugema9813 2 роки тому +1

    Haya mambo yakianza tena yanaipaka matope serikali.

  • @irenewile
    @irenewile 2 роки тому

    Majirani jamani khaaa ,,

  • @sabahiali6021
    @sabahiali6021 2 роки тому

    Hata tabora ivo ivo jamani

  • @rehemanyoni9494
    @rehemanyoni9494 2 роки тому

    Ulikuwa na shilingi ngapi we we mpaka unauz roho