MAMA MTOTO wa STEVE NYERERE AFUNGUKA ''Ndoa sio lazima"AKUNA ANAEJUA SABABU YA SISI KUACHANA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 кві 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 323

  • @raniathebosslady7073
    @raniathebosslady7073 2 роки тому +19

    I like the way she talks, they way she express her self, she is the woman with dignity, nampenda Sana'a

  • @raniathebosslady7073
    @raniathebosslady7073 2 роки тому +23

    She is the best actress, number one in Tanzania, I admire her acts,she is amazing, wallah, huyu ndio actress mzur in Tanzania nampa 100% number one in Tanzania

  • @roseneema4020
    @roseneema4020 2 роки тому +39

    She is so cute and she deserves better than Steve . Am praying for her for the best.

  • @salamaali4726
    @salamaali4726 2 роки тому +8

    So cute nakupenda sana kweli mapenzi ni upofu kwan chongo huona kengeza.

  • @neemakilango7445
    @neemakilango7445 2 роки тому +36

    Huyu dada ni mzuri you deserve better my dear a

  • @jacklinalberto3338
    @jacklinalberto3338 2 роки тому +5

    She is beautfful achana nae Mw/Mungu atakupa mwingine ucjal

  • @gloryqueen6296
    @gloryqueen6296 2 роки тому +10

    Nakupenda sana Mungu akutie nguvu mwanamke mwezangu...

  • @EdokiaCostantine
    @EdokiaCostantine Місяць тому +1

    Nakupenda sana wewe dada na move zako nzuri

  • @juliasitibenda7160
    @juliasitibenda7160 2 роки тому +15

    yaan huyu mwanamke nampenda sana toka enzi za movie yake ya matirida

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Рік тому +3

    Ninyi wote mnaojadili hapo kwani hamjajua kuwa yote hayo yanatokana na nn? Lazima mjue huo ni wivu wa mapenzi jamani Steve anampenda Sana lkn Welu Hana mpango na Steve hiyo ndio shida wanatunishiana misuli mm ningeshauri mazungumzo ya hivyo myafanye kwa kubalance msiongeze chuki ninyi Akina Dida mtavuna ajali wasanii wengi wanawake wa kibongo hawana heshima kwa waume zao kabisa kwa hiyo msichochee moto wa mabox.

  • @nduwimanadidjaaimee5964
    @nduwimanadidjaaimee5964 2 роки тому +14

    Matilda mzuri Sana kbs napenda dass❤️❤️❤️❤️

    • @lovecutetz9668
      @lovecutetz9668 2 роки тому

      Pole sn achana nae bhnaa riziki anagawa maanani

  • @mantentonja1210
    @mantentonja1210 2 роки тому +2

    Nakupenda Sana wellu Mungu atakutia nguvu achana nae Kwanza Ana roho mbaya

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 2 роки тому +14

    Steve Ana roho kubwa Sanaa. Ana roho Masikini Sanaa. Mtu ukizaa Nae sio umwekee bifu. Badirika Steve. Ana roho ya kichwawi. Badirika Steve unatia aibu. Unasali kweli Steve? Wala huna ofu ya mungu.

  • @jumahamisi5383
    @jumahamisi5383 2 роки тому +3

    Actor mzuri sana wa bongo movie huyu Dem

  • @chriacuschanga8730
    @chriacuschanga8730 2 роки тому +1

    Sipendi bongo movie wala wasanii siwafatiliagi lkn huyu Dada nampenda sana sana She's smart inside and outside yan yupo vzuri balaa. MUNGU akutunze na akutunzie mwanao mwaya #lots of ❤

  • @deborabrown2114
    @deborabrown2114 2 роки тому +1

    Nakupenda sana welu unajua sana Mungu akusimamie

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 роки тому +5

    Nakupendaaaa bureeeeee welu I♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @naakabwe1595
    @naakabwe1595 2 роки тому +3

    Dada aliebarikiwa utu na utulivu nakupenda sana unauzuri wa asili na haujishaui ata kdg Allah aibariki kaz yako

  • @moseskisingi7696
    @moseskisingi7696 2 роки тому +2

    Ila wanawake kwakweli mmebarikiwa mioyo.
    Yaani kweli kabisa huyu dada aliamua kulala na Steve,kama haitoshi akaruhusu kutotumia kinga kiasi cha mbegu za Steve kuingia ndani yake? KWELI JAMANI?
    Mungu nisamehe, lakini ukweli ni kwamba Mama zetu,Binti zetu na Dada zetu kichwani wana mapungufu makubwa sana.

  • @zainabujuma4278
    @zainabujuma4278 2 роки тому +22

    Huyu dada ni mzr jmn nampenda kweli.

  • @Resudahexiaomianbao
    @Resudahexiaomianbao 2 роки тому +3

    Dada welu Hakuna kumsujudia mtu hata kama unakwama VP unayo pitia nikama yangu maisha nimejipambania nikafungua kajiduka ka nguo bwana kazuia mpaka ndugu zake kunisabahi na mtoto Wang wanaume wengin nishida tupu

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 роки тому

      Wengi wao wako ivyo Ila tuendelee kupiga kazi,na kumwomba mungu, 🙏🙏

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 2 роки тому +6

    Hii tabia ya kusemana kwwnye mitandao mambo binafs haina afya muyaseme na kwenu hapo

  • @veronyanganda2166
    @veronyanganda2166 2 роки тому

    Pole saana Dada hiyo Hali ilishanikta nilivyoacha namzazi mwenzangu alikua anazani hata nitoweke duniani pasipo kjali tumezaa kwakweli kna baadhi ya wanaume nimashetani kwenye hii dunia.

  • @nicoletanjau9875
    @nicoletanjau9875 2 роки тому +3

    She's beautiful and intelligent woman 💝 but why this men's ware so wicked surely...

  • @veronyanganda2166
    @veronyanganda2166 2 роки тому

    Hii kali imenigusa saana maana ilishanitokea kna mijanaume ina roho zakishetani kasoro mapembe yaani mpaka nashindwa kuelezea ila mungu ck zote nimwaminifu atutee saana wanawake haswa wale single mother tusimame imara maisha yaendelee kwawatoto wetu.

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 2 роки тому +17

    Dada mrembo mwenye utulivu wake yaani Nina list yangu ya wasanii nao waelewa na wewe umo

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 2 роки тому +6

    Huyu Dada nampenda jmn the way anavyo act

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +3

    Nimekuelewa vizuri *WELU* Ila kiukweli mimi sijawah kumkubali steve nyerere.

  • @barakakagere5479
    @barakakagere5479 2 роки тому +3

    so cute

  • @restbeshy3817
    @restbeshy3817 2 роки тому

    Mungu akutie nguvu pamoja na washiriki wako wanaokisapot achana na huyo asiyejua maana ya mapambano. Mtitu na jb na wote wanaokushika mkono mungu awaongezee Mara dufu maana hawakusaidii wewe Bali wanampa maisha Bora mtoto

  • @josephmaguza6413
    @josephmaguza6413 2 роки тому +4

    Nampenda sana uyu mdada sijui nifanyaje

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 2 роки тому +4

    I love her

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 2 роки тому +5

    Dah!! Mapenzi kweli ni kipofu yaani Steve nyerere kazaa na mrembo kama huyu?

  • @cathykan7572
    @cathykan7572 11 місяців тому

    Mzuri Mashaallah! 😔😢❤️❤️

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 2 роки тому +8

    Wanaume wafupi Ni short kuliko umeme wa Tanesco. Dada mzuri alifata Nini kwa Mr short? Anataka asiganikiwe mungu ndio mtoa riziki. Steve anaa faika tuuu. Mtu umezaa nae ameshakuwa ndugu Yao. Kwa Nini unamwaribia malengo yake? Hiyo roho uliyokuwa nayo itaku cost Sana unakowlekea sio kuzuri. Change your attitude Steve.

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 2 роки тому +11

    Juma mmbea jmn mpaka kiti kaona kibayaa mweee

  • @user-hx2cu2id8p
    @user-hx2cu2id8p 2 місяці тому

    Mzuri mashallah❤️❤️

  • @ashamwalabu2998
    @ashamwalabu2998 2 роки тому

    Kumb uyu dda kazaa nastvu 😘😘

  • @sheilajuma8963
    @sheilajuma8963 2 роки тому +1

    wallah dada umeongea points

  • @thawabuunique8054
    @thawabuunique8054 2 роки тому +6

    Mwanamke aliyefundwa akafundika huwezi Seema public mapungufu ya mzazi mwenzio hata kama unabifu nae, hiyo sio hekima ukiona hivo WW ndo mwenye shida,

    • @veronicasambagi9479
      @veronicasambagi9479 2 роки тому

      Ww kuweza kuwa na lijitu kama steve

    • @mwakwelisaid3152
      @mwakwelisaid3152 2 роки тому +1

      Lakni hajataja mapungufu bali Steve n kiziba rizk lakini kwa Mungu atamjalia

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 роки тому

      Huyu anatumiwa na wenye tofauti na steve. Nimeona Steve ana uvumilivu sana

    • @bellogregory7175
      @bellogregory7175 2 роки тому

      @@veronicasambagi9479 🤣🤣🤣🤣🤣ya Nini mie ya Nini mie ( in tivu ake voice)

  • @RoseMbise-rw9sz
    @RoseMbise-rw9sz 9 місяців тому

    Hongera

  • @zohrazohra1051
    @zohrazohra1051 2 роки тому

    Nakupenda dada

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 2 роки тому +2

    Wanafiki na wambea hujionaga wao ni wasafi sana,,hii studio ya kipuuzi

  • @laxmikhairah1503
    @laxmikhairah1503 2 роки тому +2

    Ndyo mana bible inasemaga be careful to not marry your enemy pole Dada ndyo sehemu ya maish mola akusimamie

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 2 роки тому +2

    Mzuriiiii

  • @hassanibanzi9322
    @hassanibanzi9322 2 роки тому

    Ila welu she's pretty walah❤

  • @dorislionel8223
    @dorislionel8223 2 роки тому

    Sia Anamke Zawadi Mrangu Mashala

  • @zulfaomar8185
    @zulfaomar8185 2 роки тому +4

    Dada mzuri hivi unazaa na steve kweli

  • @alfashine3643
    @alfashine3643 2 роки тому +2

    I love you my sis wellu you deserve congratulations ❤️❤️❤️🥰🥰🥰🙏🙏

  • @slywish4098
    @slywish4098 2 роки тому +3

    Dah mapenzi bana yani dem mkal hv ety steve kala doh mcheleee😴😴😴

  • @fatumadugulu351
    @fatumadugulu351 Рік тому

    Huku juma huku dida eewh buanaa,,nakupenda bure wellu sengo

  • @neemamzava5891
    @neemamzava5891 2 роки тому +6

    Namapozi yote hayo kweli steve kakuweza .wanaume shkamon

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 2 роки тому +1

      Anajickiag uy dada kujifanya mzngu Mara ajui English.afu piya hvi inawezekana je mtu n mume wke kuongelea masuala yenu kwenye midia??? Wakat mlipokuwa na furaha na rahaaa mlkuwa mnatunziana Siri zenu mm cpendi haya mambo jmn

    • @mhonokihita8203
      @mhonokihita8203 2 роки тому +1

      Stv alivyo mfupi sipati picha alivyokuwa anapambana na huu mwili.

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 роки тому

      🤣🤣🤣😜🤣sana

    • @nasraabdallah850
      @nasraabdallah850 2 роки тому

      @@mhonokihita8203 🤣🤣🤣🤣

    • @pendo8082
      @pendo8082 Рік тому

      ​@@mhonokihita8203 😂😂😂

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma5428 2 роки тому

    Nice

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 2 роки тому +1

    Huy dada nampend mnoo, wanaume wa hv wapo weng sanaa 😭

  • @ashuragonga5244
    @ashuragonga5244 2 роки тому +2

    Welu sengo msanii wg ninaempenda, usijali mdogo wg jipange upya , kuteleza sio kuanguka, Cha muhimu afya hasa afya ya akili na we uko sawa, mfanye historia tu !

  • @mankamushi4588
    @mankamushi4588 2 роки тому +4

    Mimi nampenda Sana huyu dada nataka Kaka yangu akupe.acha na stive ni mnafiki Hana lolote

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 роки тому +3

    Niseme ukweli midia sasahivi hazina balans ilimradi mtu yupo kwenye maic

  • @khadijamasoudmikidady1726
    @khadijamasoudmikidady1726 2 роки тому +1

    💖💖💖

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 Рік тому

    Ili kubalance story inatakiwa mmuhoji na Steve
    Ukisikiliza upande mmoja tu huwezi kujua vya uvunguni zaidi,
    Nashauri muwakutanishe wote wawili kama mlivyofanya kwa Mkojani na Samofi

  • @upepobeka6877
    @upepobeka6877 25 днів тому

    Huyu dada ana upendo sana yani alivyo mzr hivyo bado kazaa

  • @renoxnmpinga576
    @renoxnmpinga576 2 роки тому +3

    Mbn dada mstaarabu,mzuri,mpole

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 2 роки тому +1

    Welu sengo very young this one went one school with my youngest sister quit school and decided to pursue her career I love her❤️ beautiful girl

    • @user-pe9uo4ec6y
      @user-pe9uo4ec6y 2 роки тому +1

      Exactly kasema Lord Baden na aliacha shule akiwa form two kwasababu ya matatizo ya familia yao

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 2 роки тому

      @@user-pe9uo4ec6y yes my sister told me so

    • @sekelamwangomo5458
      @sekelamwangomo5458 2 роки тому

      @@user-pe9uo4ec6y so she might be young km wa 1995?

  • @peterdani9740
    @peterdani9740 2 роки тому +4

    Steven kumbe mshamba 2 mtoto kama huyo nilikuwg namkubari sn rakini Steven kumbe hmm k2

    • @modysultan6170
      @modysultan6170 2 роки тому

      elimu unajua ukisoma kidogo hata lasaba b ushamba ushamba unakuwa huna

  • @Rebekasteven-gp4ft
    @Rebekasteven-gp4ft 17 днів тому

    Rebeka❤

  • @loulumony8519
    @loulumony8519 2 роки тому

    Uyudada namupendag dida nakuag nakukubal😘😘

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Місяць тому

    Halafu mlivyo wamb ea Sasa kutaka kuju a siri za watu na ma mbo ya watu Sasa mrihani

  • @user-dq9bx1qf9e
    @user-dq9bx1qf9e 2 роки тому

    Kuweni kama chuchu hapendi kuongelea mambo yake nampenda sana chuchu

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 роки тому

    Cyo vizur wadada kuwasema waume zenu mitandaon cyo powa kbsaa at kma mmeachna? Aijalish kumbuka mmella kitanda kimoja mmesher mengi leo hi unamuona afai aisee wanawake wengi mbingun watapasikia

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 2 роки тому

    Mary I love u so much

  • @hazrathassan1134
    @hazrathassan1134 2 роки тому +1

    Matildaaaa

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 2 роки тому +7

    wanaume hawa wapo mie baba watoto wangu pia mpk kuniroga nisisimame kimaisha na nimezaa nae wallah hawa wanaume wajinga sana kuacha sio tabu kuacha akuache yy vitiko akufanyie yy shida hii

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 2 роки тому +1

    Dada anajifanyaga anamapoz uyu navingereza vizivyo isha atimae duh kweli mapenz shikamo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuangukia kwa Steve mmmmmm hatar 🤣🤣ndomana waswahili wasema uchagua sn upata koroma nimeamin 🤣

  • @mohammedalikhan5766
    @mohammedalikhan5766 2 роки тому +1

    Mimi nasimama na msemo unaosema "HAKUNA MTU ALIEWAHI KUSHINDWA KWENYE KESI YA UPANDE MMOJA"

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 2 роки тому

    Huyu mdada sijui alifuata nn Kwa tivu hawajaendan hata kama n pesa mmmhhh..she is very cute

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 роки тому +1

    Maskn pole
    Lkn kawaida ya wanaumee
    Ukiwaacha tu shida unaipata
    Mungu akusaidie

  • @MariethaMpwizu-cl7qs
    @MariethaMpwizu-cl7qs Рік тому

    Welluuuu

  • @airinsumeno2490
    @airinsumeno2490 2 роки тому +4

    Huyu Dada mzur jamn

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 2 роки тому

    Huyu dada ni mzuri jomn

  • @kishakisha730
    @kishakisha730 2 роки тому

    Welu ulivyo mzuri uendani na Steve. Uendani na wanaume wafupi tofauti. Uliingia choo Cha kiume .j

  • @nurdinmasoud9953
    @nurdinmasoud9953 2 роки тому

    Love u more c* welu sengo😍

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 роки тому

    Nimekushangaa dada mzuri hv kulalwa na stivu nyerere mi yule hapana kwakweli hata ndoa

  • @neemadevis883
    @neemadevis883 2 роки тому +1

    kumbe huyu kazaa na Steve mdada nampenda huyu

  • @christinepeter6872
    @christinepeter6872 2 роки тому +4

    I was asking my self mbona welu n mrembo n she knows how to act but, kwann hatokei sna kwenye series..
    Kumbe tivu akeee nd ttz... shame on him kwakwel
    Welu jus pull up🌹❤️

  • @khalfanikassimu7380
    @khalfanikassimu7380 Рік тому

    dah kuna watu Wana Bahat Yakula vizuri

  • @edwardmalila5230
    @edwardmalila5230 2 роки тому

    Mmmmm

  • @rehemamdoro5165
    @rehemamdoro5165 2 роки тому +6

    Ila kweli mpenzi niupofu ukimwaona na Steve hawaendani kabisa

  • @user-xo4pw2pw1o
    @user-xo4pw2pw1o Місяць тому +1

    Wanaume wafupi hawana akili pole mwaya hata hamuendani ndy kawaida ya hao wanaume wakihurumiwa

  • @stivenjohn7746
    @stivenjohn7746 2 роки тому

    Akili ana uyo

  • @josephmaguza6413
    @josephmaguza6413 2 роки тому +1

    Mdada uyu nampenda kuliko maelezo bola angezaa namimi

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 роки тому

    Kama kweli stevu unakosea sana mana uyu mmezaa wote kesho we umeishiwa mama anasomesha mtoto.wachana na izo mwanamke mzuri wacana nae

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 2 роки тому

    Wanaume wengi wako hivyo ukiachana nae anataka ufulie akuone una maishamagumu ndiy happy yao

    • @zubedamagambo9600
      @zubedamagambo9600 2 роки тому

      Yaan n washenzi mno, wanapenda mapenzi yakivunjika mwanamke atesekee, achakae. Mwanamke akinawiri akapendeza ,wanaumia. Roho mbaya tu

    • @zainabusabas7421
      @zainabusabas7421 2 роки тому

      @@zubedamagambo9600 mimi ndiy najifanya sinadhiki hata kama nikiwa na dhiki na hanijui ndiyo kwanza nakia happy napendeza hapo jitu linaumia roho linatamani kama likuue😂😂😂😂

  • @pascalcharles9807
    @pascalcharles9807 Рік тому

    Cjui nimm pekeyangu huyu dada werusengo huwa namfananisha Christina shusho.

  • @fadhilimlingi7367
    @fadhilimlingi7367 2 роки тому +1

    Dada onge toa sauti watu awawezi kukupenda kama unautulivu kwenye kuonge

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 2 роки тому +3

    Dada mzazi mwenzio hata akikukosea bora ukae kimya

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 2 роки тому +1

      Ili aendelee kukukalia rohoni

    • @tinamahega9848
      @tinamahega9848 2 роки тому

      @@fatmafaki6163 hapo Sasa,kama vile ni miungu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    We juma lokole unasema nini wewe we ndo mnafiki unaharibu mahusiano ya watu wengi yacht mahusiano ya steve

  • @ibrahimvcphilimoni7115
    @ibrahimvcphilimoni7115 2 роки тому

    Ndoaa siyooo kuvunjaaa mkasahauriana Ebuuuu Jitahidiii kujuaaa kuwaa kukosea kupooo mtaachana na wangapiii nanyie mnashabikia baadala ya kushauli acheni Maisha ya Kuwaaa na Roho mbaya Kwenye ndoa ya watuuu. Me nawaombea mrudiane msameheaneee

  • @pigapesa1627
    @pigapesa1627 2 роки тому

    Do!

  • @ggcrank6264
    @ggcrank6264 2 роки тому

    Huo ni upande mmoja wa story, upande wa tivu ake hatujauskia ila kwakuwa iyo shoo ni wanawake hapo lazima wamsupport mwenzao, wanawake siku zote huwa wanatengeneza mazingira kuonekana wao ndio wahanga wameonewa

  • @zenakihondo5195
    @zenakihondo5195 2 роки тому

    Rebeca wang

  • @nashfatyjuma2495
    @nashfatyjuma2495 2 роки тому

    Wapo weng sana wao wanaume wenye tabia hizo