MAMA MTOTO wa STEVE NYERERE AFUNGUKA ''Ndoa sio lazima"AKUNA ANAEJUA SABABU YA SISI KUACHANA.
Вставка
- Опубліковано 20 кві 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
I like the way she talks, they way she express her self, she is the woman with dignity, nampenda Sana'a
She is the best actress, number one in Tanzania, I admire her acts,she is amazing, wallah, huyu ndio actress mzur in Tanzania nampa 100% number one in Tanzania
She is so cute and she deserves better than Steve . Am praying for her for the best.
So cute nakupenda sana kweli mapenzi ni upofu kwan chongo huona kengeza.
Huyu dada ni mzuri you deserve better my dear a
She is beautfful achana nae Mw/Mungu atakupa mwingine ucjal
Nakupenda sana Mungu akutie nguvu mwanamke mwezangu...
Nakupenda sana wewe dada na move zako nzuri
yaan huyu mwanamke nampenda sana toka enzi za movie yake ya matirida
Ninyi wote mnaojadili hapo kwani hamjajua kuwa yote hayo yanatokana na nn? Lazima mjue huo ni wivu wa mapenzi jamani Steve anampenda Sana lkn Welu Hana mpango na Steve hiyo ndio shida wanatunishiana misuli mm ningeshauri mazungumzo ya hivyo myafanye kwa kubalance msiongeze chuki ninyi Akina Dida mtavuna ajali wasanii wengi wanawake wa kibongo hawana heshima kwa waume zao kabisa kwa hiyo msichochee moto wa mabox.
Matilda mzuri Sana kbs napenda dass❤️❤️❤️❤️
Pole sn achana nae bhnaa riziki anagawa maanani
Nakupenda Sana wellu Mungu atakutia nguvu achana nae Kwanza Ana roho mbaya
Steve Ana roho kubwa Sanaa. Ana roho Masikini Sanaa. Mtu ukizaa Nae sio umwekee bifu. Badirika Steve. Ana roho ya kichwawi. Badirika Steve unatia aibu. Unasali kweli Steve? Wala huna ofu ya mungu.
Daaah welu sengo nampenda Sana anaigiza vizur Sana
Actor mzuri sana wa bongo movie huyu Dem
Sipendi bongo movie wala wasanii siwafatiliagi lkn huyu Dada nampenda sana sana She's smart inside and outside yan yupo vzuri balaa. MUNGU akutunze na akutunzie mwanao mwaya #lots of ❤
Nakupenda sana welu unajua sana Mungu akusimamie
Nakupendaaaa bureeeeee welu I♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Dada aliebarikiwa utu na utulivu nakupenda sana unauzuri wa asili na haujishaui ata kdg Allah aibariki kaz yako
Ila wanawake kwakweli mmebarikiwa mioyo.
Yaani kweli kabisa huyu dada aliamua kulala na Steve,kama haitoshi akaruhusu kutotumia kinga kiasi cha mbegu za Steve kuingia ndani yake? KWELI JAMANI?
Mungu nisamehe, lakini ukweli ni kwamba Mama zetu,Binti zetu na Dada zetu kichwani wana mapungufu makubwa sana.
😁😁😁😁😁
Huyu dada ni mzr jmn nampenda kweli.
Sanaa
Hata mimi nampenda sana
Ata mi nampenda sanaaaaaa 😍
Zyai juma wa gamba ww
Tena ni mzuri kwel mali🔥🔥
Dada welu Hakuna kumsujudia mtu hata kama unakwama VP unayo pitia nikama yangu maisha nimejipambania nikafungua kajiduka ka nguo bwana kazuia mpaka ndugu zake kunisabahi na mtoto Wang wanaume wengin nishida tupu
Wengi wao wako ivyo Ila tuendelee kupiga kazi,na kumwomba mungu, 🙏🙏
Hii tabia ya kusemana kwwnye mitandao mambo binafs haina afya muyaseme na kwenu hapo
Pole saana Dada hiyo Hali ilishanikta nilivyoacha namzazi mwenzangu alikua anazani hata nitoweke duniani pasipo kjali tumezaa kwakweli kna baadhi ya wanaume nimashetani kwenye hii dunia.
She's beautiful and intelligent woman 💝 but why this men's ware so wicked surely...
Hii kali imenigusa saana maana ilishanitokea kna mijanaume ina roho zakishetani kasoro mapembe yaani mpaka nashindwa kuelezea ila mungu ck zote nimwaminifu atutee saana wanawake haswa wale single mother tusimame imara maisha yaendelee kwawatoto wetu.
Dada mrembo mwenye utulivu wake yaani Nina list yangu ya wasanii nao waelewa na wewe umo
Huyu Dada nampenda jmn the way anavyo act
Rebeca
Nimekuelewa vizuri *WELU* Ila kiukweli mimi sijawah kumkubali steve nyerere.
so cute
Mungu akutie nguvu pamoja na washiriki wako wanaokisapot achana na huyo asiyejua maana ya mapambano. Mtitu na jb na wote wanaokushika mkono mungu awaongezee Mara dufu maana hawakusaidii wewe Bali wanampa maisha Bora mtoto
Nampenda sana uyu mdada sijui nifanyaje
Mtafute Mbona Yupo kajaa Tele Wewe tu
I love her
Dah!! Mapenzi kweli ni kipofu yaani Steve nyerere kazaa na mrembo kama huyu?
Ata ww utapata kuliko uyo broo 😂
Mzuri Mashaallah! 😔😢❤️❤️
Wanaume wafupi Ni short kuliko umeme wa Tanesco. Dada mzuri alifata Nini kwa Mr short? Anataka asiganikiwe mungu ndio mtoa riziki. Steve anaa faika tuuu. Mtu umezaa nae ameshakuwa ndugu Yao. Kwa Nini unamwaribia malengo yake? Hiyo roho uliyokuwa nayo itaku cost Sana unakowlekea sio kuzuri. Change your attitude Steve.
Sila kizuri kina bahati
mh kweli wanaume wachache kweli
Juma mmbea jmn mpaka kiti kaona kibayaa mweee
😄🤣🤣🤣😅😅😅😅😅
ani anaona akikaa atoskiaa vizuriii
Hahahahahaha chezea Juma weweeee
Mzuri mashallah❤️❤️
Kumb uyu dda kazaa nastvu 😘😘
wallah dada umeongea points
Mwanamke aliyefundwa akafundika huwezi Seema public mapungufu ya mzazi mwenzio hata kama unabifu nae, hiyo sio hekima ukiona hivo WW ndo mwenye shida,
Ww kuweza kuwa na lijitu kama steve
Lakni hajataja mapungufu bali Steve n kiziba rizk lakini kwa Mungu atamjalia
Huyu anatumiwa na wenye tofauti na steve. Nimeona Steve ana uvumilivu sana
@@veronicasambagi9479 🤣🤣🤣🤣🤣ya Nini mie ya Nini mie ( in tivu ake voice)
Hongera
Nakupenda dada
Wanafiki na wambea hujionaga wao ni wasafi sana,,hii studio ya kipuuzi
😆😆😆
@@nasrahassanabioll6559 wanafiki sana hawa,wasafi studio
Ndyo mana bible inasemaga be careful to not marry your enemy pole Dada ndyo sehemu ya maish mola akusimamie
Mzuriiiii
Ila welu she's pretty walah❤
Sia Anamke Zawadi Mrangu Mashala
Dada mzuri hivi unazaa na steve kweli
Huwezi jua kampendea nini
Imagine😊
Hivi Steve SI mume wa mtu?
Kwani tatizo liko wapi
I love you my sis wellu you deserve congratulations ❤️❤️❤️🥰🥰🥰🙏🙏
Dah mapenzi bana yani dem mkal hv ety steve kala doh mcheleee😴😴😴
😆😆😆
Huku juma huku dida eewh buanaa,,nakupenda bure wellu sengo
Namapozi yote hayo kweli steve kakuweza .wanaume shkamon
Anajickiag uy dada kujifanya mzngu Mara ajui English.afu piya hvi inawezekana je mtu n mume wke kuongelea masuala yenu kwenye midia??? Wakat mlipokuwa na furaha na rahaaa mlkuwa mnatunziana Siri zenu mm cpendi haya mambo jmn
Stv alivyo mfupi sipati picha alivyokuwa anapambana na huu mwili.
🤣🤣🤣😜🤣sana
@@mhonokihita8203 🤣🤣🤣🤣
@@mhonokihita8203 😂😂😂
Nice
Huy dada nampend mnoo, wanaume wa hv wapo weng sanaa 😭
Welu sengo msanii wg ninaempenda, usijali mdogo wg jipange upya , kuteleza sio kuanguka, Cha muhimu afya hasa afya ya akili na we uko sawa, mfanye historia tu !
Ajipende na aendelee na busara zake Kuna mengi Mungu atamfungulia tu
Mimi nampenda Sana huyu dada nataka Kaka yangu akupe.acha na stive ni mnafiki Hana lolote
😂😂😂😂😂
Niseme ukweli midia sasahivi hazina balans ilimradi mtu yupo kwenye maic
💖💖💖
Ili kubalance story inatakiwa mmuhoji na Steve
Ukisikiliza upande mmoja tu huwezi kujua vya uvunguni zaidi,
Nashauri muwakutanishe wote wawili kama mlivyofanya kwa Mkojani na Samofi
Huyu dada ana upendo sana yani alivyo mzr hivyo bado kazaa
Mbn dada mstaarabu,mzuri,mpole
Welu sengo very young this one went one school with my youngest sister quit school and decided to pursue her career I love her❤️ beautiful girl
Exactly kasema Lord Baden na aliacha shule akiwa form two kwasababu ya matatizo ya familia yao
@@user-pe9uo4ec6y yes my sister told me so
@@user-pe9uo4ec6y so she might be young km wa 1995?
Steven kumbe mshamba 2 mtoto kama huyo nilikuwg namkubari sn rakini Steven kumbe hmm k2
elimu unajua ukisoma kidogo hata lasaba b ushamba ushamba unakuwa huna
Rebeka❤
Uyudada namupendag dida nakuag nakukubal😘😘
Halafu mlivyo wamb ea Sasa kutaka kuju a siri za watu na ma mbo ya watu Sasa mrihani
Kuweni kama chuchu hapendi kuongelea mambo yake nampenda sana chuchu
Cyo vizur wadada kuwasema waume zenu mitandaon cyo powa kbsaa at kma mmeachna? Aijalish kumbuka mmella kitanda kimoja mmesher mengi leo hi unamuona afai aisee wanawake wengi mbingun watapasikia
Mary I love u so much
Matildaaaa
wanaume hawa wapo mie baba watoto wangu pia mpk kuniroga nisisimame kimaisha na nimezaa nae wallah hawa wanaume wajinga sana kuacha sio tabu kuacha akuache yy vitiko akufanyie yy shida hii
Dada anajifanyaga anamapoz uyu navingereza vizivyo isha atimae duh kweli mapenz shikamo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuangukia kwa Steve mmmmmm hatar 🤣🤣ndomana waswahili wasema uchagua sn upata koroma nimeamin 🤣
🤣🤣🤣
Mimi nasimama na msemo unaosema "HAKUNA MTU ALIEWAHI KUSHINDWA KWENYE KESI YA UPANDE MMOJA"
Kweli
Huyu mdada sijui alifuata nn Kwa tivu hawajaendan hata kama n pesa mmmhhh..she is very cute
Maskn pole
Lkn kawaida ya wanaumee
Ukiwaacha tu shida unaipata
Mungu akusaidie
Welluuuu
Huyu Dada mzur jamn
Huyu dada ni mzuri jomn
Welu ulivyo mzuri uendani na Steve. Uendani na wanaume wafupi tofauti. Uliingia choo Cha kiume .j
Yaani hata kidogo ....mapenzi haya
Love u more c* welu sengo😍
Nimekushangaa dada mzuri hv kulalwa na stivu nyerere mi yule hapana kwakweli hata ndoa
🤣🤣🤣
kumbe huyu kazaa na Steve mdada nampenda huyu
I was asking my self mbona welu n mrembo n she knows how to act but, kwann hatokei sna kwenye series..
Kumbe tivu akeee nd ttz... shame on him kwakwel
Welu jus pull up🌹❤️
dah kuna watu Wana Bahat Yakula vizuri
Mmmmm
Ila kweli mpenzi niupofu ukimwaona na Steve hawaendani kabisa
Kabisa mm nilijua atakuwa kazaa na kigogo furani
Ni kweliii hawafananiiii,,,
😹
Mmewaza km miee😂
Sijuhi tivu aliingia na gia no ngapi apa kwa kweli
Wanaume wafupi hawana akili pole mwaya hata hamuendani ndy kawaida ya hao wanaume wakihurumiwa
Akili ana uyo
Mdada uyu nampenda kuliko maelezo bola angezaa namimi
Kama kweli stevu unakosea sana mana uyu mmezaa wote kesho we umeishiwa mama anasomesha mtoto.wachana na izo mwanamke mzuri wacana nae
Wanaume wengi wako hivyo ukiachana nae anataka ufulie akuone una maishamagumu ndiy happy yao
Yaan n washenzi mno, wanapenda mapenzi yakivunjika mwanamke atesekee, achakae. Mwanamke akinawiri akapendeza ,wanaumia. Roho mbaya tu
@@zubedamagambo9600 mimi ndiy najifanya sinadhiki hata kama nikiwa na dhiki na hanijui ndiyo kwanza nakia happy napendeza hapo jitu linaumia roho linatamani kama likuue😂😂😂😂
Cjui nimm pekeyangu huyu dada werusengo huwa namfananisha Christina shusho.
Dada onge toa sauti watu awawezi kukupenda kama unautulivu kwenye kuonge
Dada mzazi mwenzio hata akikukosea bora ukae kimya
Ili aendelee kukukalia rohoni
@@fatmafaki6163 hapo Sasa,kama vile ni miungu
We juma lokole unasema nini wewe we ndo mnafiki unaharibu mahusiano ya watu wengi yacht mahusiano ya steve
Ndoaa siyooo kuvunjaaa mkasahauriana Ebuuuu Jitahidiii kujuaaa kuwaa kukosea kupooo mtaachana na wangapiii nanyie mnashabikia baadala ya kushauli acheni Maisha ya Kuwaaa na Roho mbaya Kwenye ndoa ya watuuu. Me nawaombea mrudiane msameheaneee
Kwani walioana??
@@missykalele5520 Inaonekanaaa
Do!
Huo ni upande mmoja wa story, upande wa tivu ake hatujauskia ila kwakuwa iyo shoo ni wanawake hapo lazima wamsupport mwenzao, wanawake siku zote huwa wanatengeneza mazingira kuonekana wao ndio wahanga wameonewa
Kabsa wanawake awanaga garantii
Rebeca wang
Wapo weng sana wao wanaume wenye tabia hizo