Sisi ni Muungano na hakuna mamlaka kamili kwenye Muungano wowote hata wa mtu na mke au mume wake achilia mbali nchi. Kuna mambo mengi ambayo Zanzibar haiwezi kuingia wenyewe kwa sababu hatupendi kusikia lakini Zanzibar sio nchi nchi ni Tanzania mbele ya mataifa mengine sisi ni Watanzania na Rais wa Zanzibar ni kama Govenor kwa nchi zinazotumia mfumo wa State (Muungano) ambapo kila eneo lina Kiongozi wake na taratibu zao lakini Rais ni mmoja na nje ya mataifa mengine anatambulika huyo mfano rahisi ni Marekani USA.
UPANDE WA UTALII MAGOFU KAMA MARUHUBI RUINS YANABOMOKA HAYA A UTUNZAJI MBONA GHANA WAMEWEZA KUTUNZA SOKO LA WATUMWA KAMA LIMEJENGWA LEO SISI TU NASHINDWA KWA WIZARA YA UTALII ISHUGHULIKIE NA MAGOFI KAMA UZINI KIBOMBANI KUNA GOFU LA KALE ZIMA NI KUREKEBISWA TU HAPO TUTAUTENDEA HAKI UTALII WETU
Idris-Khamis usiwe na wasiwasi na barabara ya kwenda kusini kwani huko kusini Unguja ndiko nyumbani kwa mkuu wa nchi nzima ya Tanzania hivyo ni muda tuu ila barabara itajengwa.
Kaka piga kazi wanafik wachawi fitna mahasid jashoga wapo wengi ila wala wasikukatishe tamaa unayo yafanya wewe haijawahi kutokea tokea zanzibar zanzibar ijitawale na marais wote heo wamepita hawajawahi kufanya hayo na hao wanaobeza yote unayofanya achana nao ni muwasho tuu wanawashwa wanajiskia skia hivi
Mh barabara ya bububu kwa kiwango cha flyover ingeweza kutatua foleni if possible
Jamuhuri ya muungano inatuhusu nini ktk mambo yetu ya maendeleo ya ndani tunahitaji mamlaka kamili Zanzibar
Tafuta mamlaka utayapata
Sisi ni Muungano na hakuna mamlaka kamili kwenye Muungano wowote hata wa mtu na mke au mume wake achilia mbali nchi. Kuna mambo mengi ambayo Zanzibar haiwezi kuingia wenyewe kwa sababu hatupendi kusikia lakini Zanzibar sio nchi nchi ni Tanzania mbele ya mataifa mengine sisi ni Watanzania na Rais wa Zanzibar ni kama Govenor kwa nchi zinazotumia mfumo wa State (Muungano) ambapo kila eneo lina Kiongozi wake na taratibu zao lakini Rais ni mmoja na nje ya mataifa mengine anatambulika huyo mfano rahisi ni Marekani USA.
HIVI KWELI KIFUSI KILICHOCHIMBWA MASHAMBA KUJENGA BARABARA BAADA KUUZA BASI ZURA WANGETOA TENDA MASHIMO YAKIOCHIMBWA YAFUKIWE.
Basi kama nigharama basi hata waliokweyehifadhi serikali na ivumiliwe Barabara ijegwe
Tusaidieni hali mbay fuoni kitongani tunaomba nasisi hatuna barabara
Zipo njian ishallah
Kinuni kuendea chunga naona meisahau barabara hiyo
Mimi naona bora ile barabara ya daraja bovu inyooshwetu
UPANDE WA UTALII MAGOFU KAMA MARUHUBI RUINS YANABOMOKA HAYA A UTUNZAJI MBONA GHANA WAMEWEZA KUTUNZA SOKO LA WATUMWA KAMA LIMEJENGWA LEO SISI TU NASHINDWA KWA WIZARA YA UTALII ISHUGHULIKIE NA MAGOFI KAMA UZINI KIBOMBANI KUNA GOFU LA KALE ZIMA NI KUREKEBISWA TU HAPO TUTAUTENDEA HAKI UTALII WETU
Congrats kiongozi
🙏
Ikiwa tutakuwa tunaogopa gharama hatuwezi kuujenga mji wa Zanzibar ifike wakati tukubali kuumia lkn tuujenge mji wetu
👍
Pemba ndo imetupwa kabisa barabara ndo haifaii kabisa
Angalieni ns barabara ya kuelekea kusini unguja haifai hasa mbovu, mbaya na masafa yake ni marefu zaidi kuliko hiyo ya bububu.
Idris-Khamis usiwe na wasiwasi na barabara ya kwenda kusini kwani huko kusini Unguja ndiko nyumbani kwa mkuu wa nchi nzima ya Tanzania hivyo ni muda tuu ila barabara itajengwa.
@@ameedamilja7992 Hiyo habari ya kujengwa barabara hiyo ya kusini imesemwa kitambo ila utekelezaji ndio haupo.
Mashekhe wapo tutaendeleza duaa
😄😄😄
Je hivi nikweli waliopembezoni mwa njia ya Bububu wapo katika Hitachi ya Barabar
Huyu midi au
huyu ni mwandishi wa habari au ni mpuuzi wa ccm maana hajui hata kuuliza suala au ndio komba kakutana popo kwenye tawi la muembe?
Mwakani zamu yako kuuliza😄😄
🤔
Kaulize ww ulosoma sana ulomaliza six na dgree
Ujuwaji mwingiiii hakuna kitu
Kaka piga kazi wanafik wachawi fitna mahasid jashoga wapo wengi ila wala wasikukatishe tamaa unayo yafanya wewe haijawahi kutokea tokea zanzibar zanzibar ijitawale na marais wote heo wamepita hawajawahi kufanya hayo na hao wanaobeza yote unayofanya achana nao ni muwasho tuu wanawashwa wanajiskia skia hivi
🙋🙋
Pl0