BONDIA HASSAN AFARIKI AKIPIGANA - ALISEMA ATACHINJA JOGOO AKISHINDA - MAMA YAKE ALIA AKISIMULIA...
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- BONDIA HASSAN AFARIKI AKIPIGANA - ALISEMA ATACHINJA JOGOO AKISHINDA - MAMA YAKE ALIA AKISIMULIA...
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
Jamani msiba usikie kwa mwinzio,pole familya, Mungu awatie nguvu ,
Poleni sana ndugu msiba wetu wate wa Tanzania
Dah! Pale kwenye ulingo alipodondoka moja kwa moja wangempeleka Hospital sio nyumbani.
Hivi kwanini mnahoji mfiwa wakati ndiyo kwanza tukio bichi tafute hata mtu mwengine wa karibu bhana kupoteza mtoto ni jambo gumu kama Mimi hata kuongea nisingeweza
Mwenye zi mungu aiweke roho yake hassan mahali pema peponi milele na milele daima aminaa nimeumia sana poleni sana familia yake yote
Inalilahi wainalilai lajun polen wanafamilia, hassan mwenyezi mungu akulaze mahal pema pepon
Wanafamilia Mwenyezi Mungu Awape Subra inauma sana Apumzike kwa Amani Kila Nafsi itaonja Mauti
Waandishi wa bongo sasa hawajuagi maumivu ya wafiwa😢😢wao wanachojal ni habar tyu
maskini mamake mzuri,pole sana dear, Mungu amlaze mahali pema Amen
Mamaake mzuri tena😮
Kijana wa chochote kitu
Mlezi
@@EddahBure-te7ftmbona kafanana nae
Masikini pole dadangu Allaah akupe subraah sana ndugu yangu inauma sana
Waislamu wote kiujumla mambo aliyoyakataza kipenz chetu Muhammad rasulullahu tuyawache kila siku yatatufika mengi kwa kumkanusha kipenz cha Allah tuachani tusubir lile alotupangia Allah litufike liwe kwa uwezo wake sio kusababishwa na wengine
Jamani hii michezo haifai kabisa 😢😢,, watu wanapigana kweli bila kosa na wanashangiliwa kabisa😭😭😭😭
Kabisa michezo ya ajabu hii
Mchezo huu Mimi siuafiki kabisa
Hunishindi mimi siutaki hata kuusikia.ila nifanyeje tu
unafanana na Nandiiii
innalillahi wainnalillahi rajioun.hapo Mzee amesema wawe wanaangaliwa afya ni Bora zaidi..pole sana wafiwq ..Mungu awape subra inshaaAllah
Ni mipango ya Mungu but mngewai jamaniii mgaya angeponaaa mtoto wa watu bado mdogoooo
Sisi sote ni maiti .Mungu amuweke mahala pema peponi aaahmmin rabbil aghlamin
Poleni sana wanafamilia.Mungu awape faraja.
Kijana mdogo nikufanya mazoezi tu lakini sio kupogana wengine sio binadamu wengi e unapigana na mizimu
Kabisa
Pole sana mama daa h nimelia sana allah amuweke mahali pema peponi 😢🙏🙏🙏🙏
Mama mzuri azeeki duh adi raha , lkn mtoto kaenda kaacha mama bado kijana na nguvu zake. Mungu wee 🙌🙏😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ndugu yangu !Mama mlezi pole sanaa kwa msiba.Lkn sijuwi ulifungwa na kitu gani ndugu yangu?Hukupaswa kukubaliana na maelezo ya hao rafiki zake.ulitakiwa mda huohuo kwenda huko aliko mgonjwa!
Pole dada jamani nimeumia sana😢😢
Poleni sana jamani Mungu awape faraja
Poleni sana ndugu wa marehemu. Apumzike kwa amani
Huu mchezo sio mzuri waachiwe wenyewe akina mwakinyo na mandonga
Allah amesema hautatokea msiba wowote katika ardhi mpaka yeye apende kwahy hiyo ndo ilikuwa ajali yake tumuombee TU kwa Allah amurehemu na amuondolee azabu za kabri😢😢😢😢😢
Jamani huu mchezo haupo na aifai wazungu wanatuaribu aiwezekani kupigana kichwani huu ni ujinga huu mchezo ufungiwe auleti tija Tz
Kwa nini kila tukio baya tunawalaumu wazungu? Ajali hii inawahusuje wazungu? Je, wazungu ndiyo walioandaa pambano hili? Je, sheria za nchi zinasemaje kuhusu mchezo wa ngumi?
Malafiki fek toka jana wapo nae geto akiwa aongei wamekaa nae tu uzembe mkubwa sana na kukosa helimu
Sana kaka hao marafiki ni feki tena hawafai kuwa rafiki. Japo kifo ni ahadi @@EmmanuelMajele
Pole sana
Uzembe kweli ayo mambo ya kienyeji sanna Allah tu atusaidie
kufanya chekap kila mara nini😢😢😢 bondia wa ngap huyu anafarik ondoen huu mchezo kwang me binafsi cutaki😢😢😢😢😢
Poleni xana wanafamilia
Innalilah wa innalillah lajiun,,mbele yko nyuma yetu pumzka vema shemej angu jmn ngumu kuamn 😌😭😭😭
Pole mama
Poleni sana
Poleni sana Kwa kweli inauma sana
Inalilahi wainalilah rajighuun polen wanafamilia pamoja na jamaa wote wa marehem pola ampe khauli thabiti ndugu yetu
Bwana ametoa bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. RIP HASAN, WAZAZI WAFIWA POLENI. FARAJA!
HII MICHEZO HAIFAI.MTU HAMNA UGOMVI HARAFU MNAGOMBANISHWA UNATEGEMEA NN HAPO
Unawaza vema kabisa
Innalillah wainan lillah rajoun , kwahiyo mwezi huu wamefariki bondi wawili yule aliyefiwa zanzabar na huyu au nimekosea mimi
Ndy mtihani kwa kweli
Hakuna Mungu kwenye mchezo wa ngumi, period.
Walio andaa pambano hawana vigezo ilitakiwa wao wamkimbize hospital mapema 😢
Poleni sana ndugu zetu
Pole sana mama 😭😭🤲🙏
NENO LA BABU YUPO PAFECT WAWE NA MADOCTOR KUWACHEK KABLA YA BAMBANO☝️🤲😭
Pengnie ashamnywa usi ndio akaongea vizur😢😢
Jmn tunaumia sis bondia wetu hassan wetu hatuamin umametuachia simanz mtaan kwetu
Tatizo hawa watu wanaotayarisha hayo Mapambano wanatakiwa washitakiwe na wajibu mashtaka ya uuaji
Pole mdogo angu
Pole sana inalilah wainailah pole sana dada
Hii pia ni dhambi jamani, Mungu hapendi😢😢
Poreni sana wana familya 😢😢😢
Poleni sana jamani
Unaçhekiwa unakuwa Safi kiafya wakati wa pambano ukipigwa sehemu mbaya yanaweza kutokea!poléni
Jamani pole mama
Innalillah wannalillh rajiun poleni familia na ndugu na marafiki ila Uyo dd wanase mama mlezi ninamsikia hapo mtsngazaji je mama mzazi yuko wapi au.ndo Uyo Uyo ila mtangazaji anaita mama mlezi. Hakika sote ni wa ALLAH na kwake tutarejea
Mm michezo ya ngumu sitak kiukweli japo kifo huwa kinasababu
Ni kweli hu mchezo sio mzuri
Miaka 26 mdogo sanaa mi naona
Kabisa
Innalilahi wainnalilah-rajuuni daaah pambano la tandale hili 😢😢
Inna Lillah wa inna illaih rajiuuna nas tupo nyuma
Bona wamemchelewasha hsptl jamani
Hii michezo ni hatari,yan sipendi kama nini ALLAH MSAMEHE MREHEM
Ndiomana mwakinyo anavyogombana na mapromota watu wanamsema vibaya ngumi sio nzuri unakufa unaona watu wajue haki zao
bina bn pengne hata alikua hampend ila hapa analia kunafiki
Kifo kina fumbo.shida sio marafiki zake kifo kinakufunga
Pore sana mama nimeria sana😭😭😭
Pore sio pole tn
Michezo ya ulaya hiyoo mnaleta tz ndo afyaa zetu mgogoro
Innalillah wainna ilayh rajiuun
Poleni sana ni juzi tuu Hassan alikua kariakoo akiwasaidia kuokoa watu kwenye ajali leo allah amemchukua hiki ndio kifo hakuna anaejua kifo chake
Afu malipo yenyewe 60000 tujmn
Inna lillahi waina ileyhi rajioun 😢😢😢😢
Mchezo mengine aaah. Inasikitisha
Innalillah wainaillah rajuun
Allah ampe pepo ya fldaus iwe makazi yake
Amiina thuma amiin
Yenyewe jina Hassan Lina upendo sana roho ya huruma anapenda watu na anapendwa pia Yani rafiki kwa Kila rika
Innalillah wainna ilàih rajiuna
Usiseme hivyo mama kila nafs itaonja umauti hakika madaktari hawawez kuzuia umauti
Mm namlaumu san huyo mama ingaw limeshapangwa litokee wew unaambiwa mtoto kapata tatizo unaendeleaje kulala
R.I.P.Marehemu.Poleni Wafiwa.
Ss kwann muda wote hawakumpeleka hospital jmn mbona uzembe hivyo
Jamaa wamemdhulumu kwanini wasimuwahishe hospitali wakampeleka kwa nyumba?huo ni uZembe
NA NYIE SERIKALI HV KWANINI MTU AKIUMWA AKIENDA HOSPITAL ANAAMBIWA BILA HELA HATIBIWI KWANINI HAMUWEZI KUREKEBISHA? CY MASKINI TUNAKUFA BILA KUWA NA HELA.
Ni mama mlezi kumbe huyo mama bado mdogo kuweza kuwa na mtoto wa miaka 26 😢 sio mama mzazi!!! Wala hajawaishwa hospitali yan alicheleweshwa dah ktk kujitfta kuna mitihani mingi sana!!! Ndoto zake zimeishia hapo.Mungu atusaidie ktk harakati za kujitfta tunapitia mengi sana
Rest in paradise hassanooh my comrade
Shukuru Mungu ila usiwalaumu watu,huyo mwanao wa kumzaa?Unaweza ukakubali kweli uambiwe mwanao kapatwa na jambo ila tulia hadi asubuhi utaweza kulala kweli?,Usilaumu rafiki zake lawama kwako pia ni nzito
Polen
Huu mchezo ungefutwa jamani. Afya za kwetu hizi hazimudu huo mchezo
Alie mpiga Hassan nae afungwe
Waliyoitisha pambano waiilipe familia fidia
mimi ningekuwa raisi huu mchezo ningeufungie mabondia wanazidi kufa tu
Sasa hao mtu kadondoka halafu wamekaa nae tu sijui walikuwa wanategemea nini jamani. Wapuuzi sana hao kwanini wasingemkimbiza hospital muda huo huo.
Inna lillah waina illahy rajion
Hata mm nilitak kusem ili mtu anapoingia kwenye michezo lazim afanye vipimo vya Afya aijalishi alipim lin
Hii michezo siyo mizuri jamani mbona mnaikazania
Sorry mama so sad
Poleni saana ila jogoo kasave na mjue huo mchezo haramu jamaa hela zitatuuwa
Kupigana sio mchezo kupigana ni kupigana
bado hatuna usimamizi mzuli tanzania kwa mabondia uongoz mbovu
ajar kazini kama jeshini tu hivi ni vipaji hata
mimi ni bondia kiukweli siogopi kufa
Kwani ww hakujua ngumi ni kifo
RIP MWANANGU
Siku izi imekua desturi kwenda kuwahoji wafiwa hasa km hivi mama mke mume hamuoni km imekaa vibaya iyo
Huzuni
Wapare ubahili ni jadi yenu, rip