Mama chino apewe maua yake kwa kumlea huyu kijana vizuri sijawah ona msanii chupkizi mwenye nidhani na upendo kama huyi hata ongea yake ni ana adabu sana
Mimi kati ya madancer wote ninaowapenda ni wawili tu mose iyobo na chino kwasababu hao madanser wananidhamu kubwa ya hali ya juu alafu sio watu wa mitandao kwasababu mungu anzidi kuwapa mafanikio kubali sana chino
KAMA UNAMKUBALI CHINO WANA MAN GONGA LIKE👉🔥🔥🔥
Daah kweli chino yuko vizuli sana anaupendo na nduguzake
Mama chino apewe maua yake kwa kumlea huyu kijana vizuri sijawah ona msanii chupkizi mwenye nidhani na upendo kama huyi hata ongea yake ni ana adabu sana
Kwahio baba hakumlea kabisa
Sana anaheshima mstaarabu
Yani naangali interview namuona marehem nabeel akipita hapo😔
Numba milioni 3 kwa mwezi na umesema unalipa miezi sita ambayo sawa na milioni kuna na nane18 hongera sana unapambana kaka
Maskin marehem alipita palee 😢
Mimi kati ya madancer wote ninaowapenda ni wawili tu mose iyobo na chino kwasababu hao madanser wananidhamu kubwa ya hali ya juu alafu sio watu wa mitandao kwasababu mungu anzidi kuwapa mafanikio kubali sana chino
Chino nakukubali...
Chino anaupendo Sana Hana roho mbaya ndomana mungu pia anampa
Chino anaonekana ananidhamu sana, atafika mbali
Namuona Nabil kapita Mungu amsamehe makosa yake yaani alivyopita kama yupo hai😢😢
Nimeanza kukufuatilia kupitia kipindi cha DIVA and Hasler. Una moyo wa upendo sana na unajituma utafika mbali mdogo wangu.
Chino wanamaaa💋
Jamaa anajielewa sana
Dogo ana roho nzuri sana atafika mbali😍
Nipenda anavyo kuwa na upendo uyu kaka Mungu akupariki saana
Swalehe hajala Leo 😂😂😂😂😂😂
Show love
Nan kama mama jaman
Dah jamaa yupo very humble na anaonekana ana roho nzur sana
Ana roho nzuri mpaka raha
Nimejikuta nastaajabu kweli mziki unalipa haya maisha nadhani level ya mbunge lla civil servant wa kawaida hawezi kuishi!
Unawaza kama mimi 😅😅 Yani wakijipata kidogo tyu maisha yao mpaka unaogopa mgorofa ma range mpaka unawaza ni mziki au
Chino mwanawan mm/mumgu azid kukupa afya njema
Wapir linge hap
chinochinochino
endelea kupambana
Huyu kijana atafik mbali sana maana ananidhamu na upendo wa hali ya juu
Nyumba mchongoo
😮😢😢🎉😂❤😊
Zamaradi asiyelipa watu mishahara
Nimezania yake
Mashallah mwanangu Allah akuongoze ni mm mama othu au mama lao 7
Kamambele
Daaaah kweli we kaka mstaalabu chino wanaman na mm niwamorogoro naomba ata nije nikufanyie kaz za ndan kwako ❤❤
Njo Nairobi Kenya kazi utapata
Pls wakwanza like hapa
Mashaallah chino una nizam sana ongera
Mtangazaji mbona unaajifanya mwenyeji kaa
Na yy amepanic nikama hakutarajia balaa hilo
Hii nyumba c ndio ile aliosema amberlulu ni yake ktk kipindi cha mpaka home ya global😂😂😂 Yani wasanii wa bongo
Chino una moyo mzuri brother
Mjengo mzuri sana na kodi rahisi sana
Mno
Respect bro Chino ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤