GOROFA LA CHINO WANAMAN SIO MCHEZO /HADI STUDIO YA MZIKI NDANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

КОМЕНТАРІ • 47

  • @saidulaya7308
    @saidulaya7308 Рік тому +17

    KAMA UNAMKUBALI CHINO WANA MAN GONGA LIKE👉🔥🔥🔥

  • @AllyJuma-b7d
    @AllyJuma-b7d 7 місяців тому +2

    Daah kweli chino yuko vizuli sana anaupendo na nduguzake

  • @Juke995
    @Juke995 10 місяців тому +12

    Mama chino apewe maua yake kwa kumlea huyu kijana vizuri sijawah ona msanii chupkizi mwenye nidhani na upendo kama huyi hata ongea yake ni ana adabu sana

    • @hastatz
      @hastatz 9 місяців тому +2

      Kwahio baba hakumlea kabisa

    • @vailetjulius4782
      @vailetjulius4782 9 місяців тому

      Sana anaheshima mstaarabu

  • @Queen_of_june
    @Queen_of_june 10 місяців тому +4

    Yani naangali interview namuona marehem nabeel akipita hapo😔

  • @JennyJma
    @JennyJma 9 місяців тому +2

    Numba milioni 3 kwa mwezi na umesema unalipa miezi sita ambayo sawa na milioni kuna na nane18 hongera sana unapambana kaka

  • @arushijuma6056
    @arushijuma6056 10 місяців тому +3

    Maskin marehem alipita palee 😢

  • @HellenJeston
    @HellenJeston Рік тому +3

    Mimi kati ya madancer wote ninaowapenda ni wawili tu mose iyobo na chino kwasababu hao madanser wananidhamu kubwa ya hali ya juu alafu sio watu wa mitandao kwasababu mungu anzidi kuwapa mafanikio kubali sana chino

  • @mariamsaid-d7d
    @mariamsaid-d7d 9 місяців тому +1

    Chino nakukubali...

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Рік тому +4

    Chino anaupendo Sana Hana roho mbaya ndomana mungu pia anampa

  • @mimihuyo8239
    @mimihuyo8239 Рік тому +3

    Chino anaonekana ananidhamu sana, atafika mbali

  • @JennyJma
    @JennyJma 9 місяців тому +1

    Namuona Nabil kapita Mungu amsamehe makosa yake yaani alivyopita kama yupo hai😢😢

  • @lilianlupeke8040
    @lilianlupeke8040 Рік тому +5

    Nimeanza kukufuatilia kupitia kipindi cha DIVA and Hasler. Una moyo wa upendo sana na unajituma utafika mbali mdogo wangu.

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz4563 Рік тому +3

    Jamaa anajielewa sana

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 Рік тому +3

    Dogo ana roho nzuri sana atafika mbali😍

  • @JtmBcr
    @JtmBcr Рік тому +4

    Nipenda anavyo kuwa na upendo uyu kaka Mungu akupariki saana

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 місяців тому +1

    Swalehe hajala Leo 😂😂😂😂😂😂

  • @sumabiggy
    @sumabiggy 9 місяців тому +1

    Show love

  • @RehemaMustafa-x6o
    @RehemaMustafa-x6o 9 місяців тому +1

    Nan kama mama jaman

  • @jacqueisaac8155
    @jacqueisaac8155 Рік тому +5

    Dah jamaa yupo very humble na anaonekana ana roho nzur sana

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Рік тому +2

    Ana roho nzuri mpaka raha

  • @giztony2009
    @giztony2009 Рік тому +2

    Nimejikuta nastaajabu kweli mziki unalipa haya maisha nadhani level ya mbunge lla civil servant wa kawaida hawezi kuishi!

    • @deborahsamwel-ss2wb
      @deborahsamwel-ss2wb Рік тому +1

      Unawaza kama mimi 😅😅 Yani wakijipata kidogo tyu maisha yao mpaka unaogopa mgorofa ma range mpaka unawaza ni mziki au

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 9 місяців тому

    Chino mwanawan mm/mumgu azid kukupa afya njema

  • @FatmaFatma-uj6hp
    @FatmaFatma-uj6hp Рік тому +4

    Wapir linge hap

    • @mgnchama
      @mgnchama 10 місяців тому +1

      chinochinochino

  • @samysong
    @samysong Рік тому +1

    endelea kupambana

  • @safian.9518
    @safian.9518 Рік тому +4

    Huyu kijana atafik mbali sana maana ananidhamu na upendo wa hali ya juu

  • @JosephMchaki-fy5te
    @JosephMchaki-fy5te 9 місяців тому

    Nyumba mchongoo

  • @Lameck-r2i
    @Lameck-r2i 9 місяців тому

    😮😢😢🎉😂❤😊

  • @shyllahnekesa216
    @shyllahnekesa216 Рік тому

    Zamaradi asiyelipa watu mishahara

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 9 місяців тому

    Nimezania yake

  • @husnaabdullah3009
    @husnaabdullah3009 Рік тому

    Mashallah mwanangu Allah akuongoze ni mm mama othu au mama lao 7

  • @Gwenoboy
    @Gwenoboy 9 місяців тому

    Kamambele

  • @yustina4621
    @yustina4621 10 місяців тому

    Daaaah kweli we kaka mstaalabu chino wanaman na mm niwamorogoro naomba ata nije nikufanyie kaz za ndan kwako ❤❤

    • @hamesomar9912
      @hamesomar9912 8 місяців тому

      Njo Nairobi Kenya kazi utapata

  • @hajiramadhan6970
    @hajiramadhan6970 Рік тому

    Pls wakwanza like hapa

  • @selemanikiumwa4903
    @selemanikiumwa4903 10 місяців тому +3

    Mashaallah chino una nizam sana ongera

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 Рік тому +3

    Mtangazaji mbona unaajifanya mwenyeji kaa

    • @giztony2009
      @giztony2009 Рік тому +3

      Na yy amepanic nikama hakutarajia balaa hilo

  • @princessmimi4404
    @princessmimi4404 Рік тому +1

    Hii nyumba c ndio ile aliosema amberlulu ni yake ktk kipindi cha mpaka home ya global😂😂😂 Yani wasanii wa bongo

  • @NelsonBakeri
    @NelsonBakeri Рік тому

    Chino una moyo mzuri brother

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 Рік тому

    Mjengo mzuri sana na kodi rahisi sana

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Рік тому

    Respect bro Chino ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤