Mimi huenda kanisa jumapili na nmekua nikifuatilia video zako Ndacha. Sasa nimeamua kwa moyo wangu baada ya kuujua ukweli kuwa naingia SDA. Asante kwa mungu wangu alienielekeza kujua amrizake tukizitunza na kuzifanyia kazi tutakua twaelekea kwa njia ya kweli.
Nashukuru mtumishi ndasha kwa sababu nilijaribu kuwaelezea ndugu zangu Wakanitenga kiimani Leo hii nashukuru mungu maana umeliweka hadharani ubarikiwe sana.
Asante Sana mwalimu Mungu akubariki kwa Ku uweka ukweli wazi ,endelea kutufundisha Sisi ambao hatujuwi mambo yanayo fanyika kwenye kabisa letu la SDA, nikotayari kupokea ukweli huo asante.
Great message brother.... Yesu akasema "many shall come from east and west and shall be gathered at my fathers throne...while the sons of the kingdom are thrown out" kazi ipo kwa waadventista..uasi umelivamia na hatuna habari
one thing i love about this man he knows God and his word but he does know the mind of God,coz as all religion do he does reducing God to religion called Christianity while that is not the will of God ,His will in Genesis 1:26is to rule earth through the unseen (soul&spirit)in the seen (fresh)so its all about government,leadership,control,the Bible is a constitutional book coz in Psalm he says i exalt my word above my title so He is under His word just like earthly govt no one is above the constitution,again Bible is a law book containing legal words like,king,kingdom,govt,council, lawyer,laws,judge,courts,judgements,territory,nations,cities ,rulership,and thats why no one is fighting kingdom all are fighting religious battles😮
Roho wa Mungu hayuko tena Kwa wasabato,Sasa injili yao si kuongoza watu waokoke bali wakariria siku. Ilhali siku zote ni za Mungu.Hawa ni mafarisayo na waandishi wa Sheria waliotetesha yesu Kwa kuponya siku ya sabato.
Mimi nakuunga mkono ndugu Ndacha ,kwa kweli ukaongea kweli namna ilivyo kutoka katika vitabu ya roho ya unabii unaitwa mpagani tangu hiyo siku hutarudi kamwe kwenye mimbari tena,leo hii kanisa la sda limekwisha kuenda kinyume na imani ya awali. Ombi langu ni Mungu atusaidie ili kweli yake iangaze dunia mzima
we need this timely message bro.jua kwamba tuko pamoja.wacha wanafiki watatoka tu pole pole.we firmly stand on those timely heritage the bible and the spirit of prophecy.no more no less.
Unaenda unaijua kweri mwenyezi Mungu azidi kukuogoza Kuna siku utaamini kuwa utatu mtakatifu Ni mafundisho ya kipagani siyo mafundisho ya mwenyezi Mungu kutoka kwenye biblia hayo mafundisho hayapo
Wengi watafilikilia wao wafikiliao ila ni ujumbe wa roho mimi naitwa Miracle miraji kutoka Tanzania nimetumwa kulisadikisha hili ni ujumbe wa Mungu mwenyezi
Ndugu Dacha, nakuelewa vizuri sana. Mimi nilikuwa SDA na nilisema maneno fulani yanayofanywa kinyume ya maandiko mpaka rafiki wangu alipigwa na Pastor alipouliza nimefanya makosa gani na ilibidi niende. Kama una jambo tafadhali wasiliana na mimi. Mwalimu Onyango ananifahamu vizuri. Maneno yako ni ukweli mtupu!
Ingiya sana ndani mtumishi mimi piya ninaiheshimu Sabato na nimekuwa ndani ya Adventiste ila kanisa hili si la kweli hata kidogo lina mambo linaloamini yasiyo kweli piya mwanzo wa Adventiste ikianzishwa na William Miller imekuwa katika uongo kabisa mfano neno Bwana Yesu Kristo ametoka patakatifu akienda patakatifu sana ????????? "MARKO 16:19 -MATENDO 7:55 -WAHEBURAYO 10:12" fikiriya hii sana hii ni mfano tu barikiwa sana
Mungu alitoa hukumu ya haki juu ya shetani, majini na mapepo wote... Inakuaje Mohammed kuwasilimi, hapa kuna mambo fiche... God judgement is final and no one can compromised....
ukweli nivema usemwe na ndio naona ata wengine wanaingiza waislamu kwenye madhabahu kukuja kusema yesu sio mwana wa mungu. tena kwenye madhabahu umoja sda. nachukia sana hicho kitendo.
Nimekufwata vizuri, na Yale unasema kunakuepo ukweli. Dini ya SDA imefunuliwa maandiko matakatifu ya kipekee. Ila ujue kama shetani naye amelishambuliya. Matengenezo tutaifanya ndani sii kwa mtandao. Huenda unawaza kufanya matengenezo kwa kufunua hazarani makosa, Ila kwa kweli unafanya kazi ya shetani kuwaonesha Wale ambao wangesikia ujumbe huu warudie nyuma. Rudi kanisani, n'a ufanye matengenezo humo humo, apana kwa mtandao. Leta mashahiri, na onesha ukweli katika vitabu vya unabii, nazani utasikika.
Muchungaji ndacha wewe umekoza msimamo wa kidini umekoza kisimama na ukweli ,unapingana na kila imani, mara wajumapili mara waislamu leo hii umerudi kwa kanisa lako mwenyewe,bado hujafika kakaangu kesho ukiona nzuri kwe qurani utakimbilia wislamu, mimi nakushauri kaa kitako ukasome vitabu vyote ndio uje kwetu ukiwe na maamuzi kamili asanteh.
SDA ni mbili kama hauna habari,Kuna wale waliuswa watu wa msalaba na Trinity.Na SDA ya ukweli kama hiyo ya Ndacha Mungu akubariki karibu Old SDA church
Iyi ndio kazi sasa .. schana na waislam hao hawana ukweli Bali jikite kunyoosha izikanisa zinawaaribi kondoo nakuwapoteza .. ila naamini yesus kasema ametuweka sisi kondoo kwenye mkono wake naaakuna kitu wala mtu anaeweza kututowa kwenye mkono wake . So fundisha waliowake wataiskiya sauti yke ..ameen
Na mimi nilikuwa mu sda kwasasa nimeokoka kabisa.nanimeona kwamba nilikuwa chini ya cheria mara yapili.ila sasa niko kwa fpct.ona mbali ndugu .yesu hakupumuzika s'abato hata siku moja.
Helen g white uyo kuanzisha kanisa na yeye alikuwa Ni nabii wa Mungu na alifunuliwa kitabu Kama mitume wengine au alipata ufunuo gani Ali alitabiliwa ndani ya biblia ?
Huu niukweli kwa mtu mwenyekusoma maandiko ataungana na wewe kuitetea kweli ndani ya kanisa, tutazidi kupiga ndullu ndani na nje ya kanisa kuisema kweli
Mimi huenda kanisa jumapili na nmekua nikifuatilia video zako Ndacha. Sasa nimeamua kwa moyo wangu baada ya kuujua ukweli kuwa naingia SDA. Asante kwa mungu wangu alienielekeza kujua amrizake tukizitunza na kuzifanyia kazi tutakua twaelekea kwa njia ya kweli.
Welcome to church read Revelation 14:2
amina ndugu barikiwa sana ukweli umekuweka huru
Umepotea kaka , pole sana
Ubalikiwe
@@venancenkoronko9250 toa sababu ✍️
Nashukuru mtumishi ndasha kwa sababu nilijaribu kuwaelezea ndugu zangu Wakanitenga kiimani Leo hii nashukuru mungu maana umeliweka hadharani ubarikiwe sana.
Kuwa hivo madam
Thanks Mwalimu Ndacha I like it God be whit you
Mungu akubariki Ndacha
Asante sana
Mungu akubariki na kukufunulia zaidi kwa Roho Mtakatifu
Mungu akubariki sana kumbuka nabii alisema kanisa litaoneka kuaguka lakini baki humo maana diko kwenye usalama
Asante Sana mwalimu Mungu akubariki kwa Ku uweka ukweli wazi ,endelea kutufundisha Sisi ambao hatujuwi mambo yanayo fanyika kwenye kabisa letu la SDA, nikotayari kupokea ukweli huo asante.
mungu akubariki sana umenifundisha mengi mtumishi wa Bwana
Daaaaah yaan umenifumbua ufahamu mwalimu God bless you all the time
Amen
amina kaka mungu aendelee kukufunulia ukweli
Listening to you feel rich Mr Gatibandashafrancix We are getting blessed beyond description Congratulations SIR keep flying hardworking pays
Yes mr.ndacha give us really information
Mmmmmmh. .I admire the Grace and anointing apon you SIR Behind-the-scenes
Hi Madam
@@kristopapaapaulo811 Yup my Bwoyfured
Tuombeane sana kwa idini ya kiadventista na mungu atulinde tuone ufalme wake
Napenda sana wahubiri wa kutaja kosa na kusema ukweli live live na huu ndio mfano Yesu alifanya
It was my mission to tackle those issues...in the church of SDA..
Am happy umeweza kufunuliwa niliyokuwa nayaona! Mungu akusaidie Mwalimu!
Ubarikiwe mwalimu nimejua mengi kupitia mafundisho yako
Great message brother.... Yesu akasema "many shall come from east and west and shall be gathered at my fathers throne...while the sons of the kingdom are thrown out" kazi ipo kwa waadventista..uasi umelivamia na hatuna habari
Napenda sana ukweli kwa sababu ukweli hutuweka huru..Mungu akubariki
one thing i love about this man he knows God and his word but he does know the mind of God,coz as all religion do he does reducing God to religion called Christianity while that is not the will of God ,His will in Genesis 1:26is to rule earth through the unseen (soul&spirit)in the seen (fresh)so its all about government,leadership,control,the Bible is a constitutional book coz in Psalm he says i exalt my word above my title so He is under His word just like earthly govt no one is above the constitution,again Bible is a law book containing legal words like,king,kingdom,govt,council, lawyer,laws,judge,courts,judgements,territory,nations,cities ,rulership,and thats why no one is fighting kingdom all are fighting religious battles😮
This is a pure truth bro ..we saw it long time ago ..thank God you are seeing this ..thanks to God ..thanks so much.
Roho wa Mungu hayuko tena Kwa wasabato,Sasa injili yao si kuongoza watu waokoke bali wakariria siku. Ilhali siku zote ni za Mungu.Hawa ni mafarisayo na waandishi wa Sheria waliotetesha yesu Kwa kuponya siku ya sabato.
Mimi nakuunga mkono ndugu Ndacha ,kwa kweli ukaongea kweli namna ilivyo kutoka katika vitabu ya roho ya unabii unaitwa mpagani tangu hiyo siku hutarudi kamwe kwenye mimbari tena,leo hii kanisa la sda limekwisha kuenda kinyume na imani ya awali. Ombi langu ni Mungu atusaidie ili kweli yake iangaze dunia mzima
Mwalimu unafunsha kweli na Mungu akuongezee siku za maisha yako
Amen 🙏 mwalimu ndacha Bwana aendelee kukufunulia mengi zaidi
barikiwa sana mwalimu mungu akubariki azidi kukupa uzima uifanye kazi yake
Kumbe pastor Ndacha hajapata ufahamu wa majini kua ni viumbe wa Mungu. Na hajajua tofauti ya shetani na jini
Watu sio wajinga bwana. Mnaabudu majini.
Kiukweli uko sahihi,lakini pamoja na uovu huo wote pamoja na hila hizo zote kuna watiifu wa Mungu na hili ni jukwaa lillo imara,Ndacha Mungu akubarik
Mungu akubariki mchungaji ila naomba njinsi ya kupata kitabu Cha bambano kuu
this is how your videos should be clear and full screen.shalom
Kalibu sana, kanisa la kiristo
Thanks bwana Ndacha kwani tutajua ukweli lini
we need this timely message bro.jua kwamba tuko pamoja.wacha wanafiki watatoka tu pole pole.we firmly stand on those timely heritage the bible and the spirit of prophecy.no more no less.
pasta ndaca mimi nimikriso .mudogo tu arakini nakupenda sana .naomba tukutane
Mungu akuariki unapoendelea na ukweli wa Mungu
Ni pepeto umepepetwa Na Mungu mwenyewe tunakuombea sana kama utasikia Sauti ya Roho mtakatifu Kanisa La Mungu lipo na halitabadilika hata siku
Asante Mungu atusaidie sana
Mungu akubariki, tusaidie maana wengine hatupati vitabu hivyo ili tuvisome ila wewe unatufulia. Mungu alisaidie kanisa letu.
Mungu akuongoze na roho mtakatifu awe pamoja nawe
Mimi nilikua natafuta ukweli huu na SASA nmeipata.nashukuru mungu
Naona tunafanana kabsaa
Ni kweli useme na usiogope ,Mungu akubariki.
Mungu akubariki
Mimi nakubaliana nawe pastor hakika wanena ukweli watu wanaangaika kuijaza majina kwa daftari yamakanisa
Unaenda unaijua kweri mwenyezi Mungu azidi kukuogoza Kuna siku utaamini kuwa utatu mtakatifu Ni mafundisho ya kipagani siyo mafundisho ya mwenyezi Mungu kutoka kwenye biblia hayo mafundisho hayapo
niko iringa - Tanzania
mtumishi, Mungu akutie nguvu sisi tunakupata vizuri
Leadership mostly kutoka juu mpaka jini wako na sida sana . Mungu tusaidie
God bless you my leader
Wengi watafilikilia wao wafikiliao ila ni ujumbe wa roho mimi naitwa Miracle miraji kutoka Tanzania nimetumwa kulisadikisha hili ni ujumbe wa Mungu mwenyezi
Mungu akubariki mwalimu wangu
Amina
Mwalimu Ndacha tuko pamoja
Ndugu Dacha, nakuelewa vizuri sana. Mimi nilikuwa SDA na nilisema maneno fulani yanayofanywa kinyume ya maandiko mpaka rafiki wangu alipigwa na Pastor alipouliza nimefanya makosa gani na ilibidi niende. Kama una jambo tafadhali wasiliana na mimi. Mwalimu Onyango ananifahamu vizuri. Maneno yako ni ukweli mtupu!
Njoo ukunda wajue kweli kweli watu wa Mungu. Watu wanaitaji kujua kweli
Pastor piga kelele usinyamanze, hadi ujumbe utakapofikia kila muhumini wa sabato arekebike
The great controversy now the great hope!
Ingiya sana ndani mtumishi mimi piya ninaiheshimu Sabato na nimekuwa ndani ya Adventiste ila kanisa hili si la kweli hata kidogo lina mambo linaloamini yasiyo kweli piya mwanzo wa Adventiste ikianzishwa na William Miller imekuwa katika uongo kabisa mfano neno Bwana Yesu Kristo ametoka patakatifu akienda patakatifu sana ????????? "MARKO 16:19 -MATENDO 7:55 -WAHEBURAYO 10:12" fikiriya hii sana hii ni mfano tu barikiwa sana
Wee nawe unafata upepo kaka soma biblia uelewe so kusema kwerkwer tu wakati huelew bro
Mungu alitoa hukumu ya haki juu ya shetani, majini na mapepo wote... Inakuaje Mohammed kuwasilimi, hapa kuna mambo fiche... God judgement is final and no one can compromised....
Nawafatiliya Sana ndugu zangu.
I need your support Ndacha
Mungu na akuongezee siku mpaka yesu arundi
Mungu azidi kukufunulia ilikusudy uzidi kufungua mateka waliofungwa nashetani
ukweli nivema usemwe na ndio naona ata wengine wanaingiza waislamu kwenye madhabahu kukuja kusema yesu sio mwana wa mungu. tena kwenye madhabahu umoja sda. nachukia sana hicho kitendo.
Nini maana ya madhabahu ndug
Ukweli mtupu pastor, hata wametumia elimu ya makaratasi kuzuia wale ambao wangeongoza kanisa LA mungu kwa ukweli na haki ili kulinda mkate wao
Aminaaa
Uko sawa mtumishi mm pia ni member but kuna mafundisho sijaamini
Nimekufwata vizuri, na Yale unasema kunakuepo ukweli. Dini ya SDA imefunuliwa maandiko matakatifu ya kipekee. Ila ujue kama shetani naye amelishambuliya. Matengenezo tutaifanya ndani sii kwa mtandao. Huenda unawaza kufanya matengenezo kwa kufunua hazarani makosa, Ila kwa kweli unafanya kazi ya shetani kuwaonesha Wale ambao wangesikia ujumbe huu warudie nyuma. Rudi kanisani, n'a ufanye matengenezo humo humo, apana kwa mtandao. Leta mashahiri, na onesha ukweli katika vitabu vya unabii, nazani utasikika.
Ndacha punguza kiburi na umruhusu Roho wa Mungu akuongoze.
Ndiye ameniongoza kusema hayo .. ana unataka niongozwe na roho wako niseme vile unataka?
@@BIBLIANURUYADUNIAkanisa linafanya kazi kubwa lakutangaza neno la MUNGU
Lazima ukweli usemwe kwa sababu wasabato wamepotea turundi Old SDA
True.. end time hours
Kalibu kanisa la kiristo
Kwel mtumishie
Wame imeingizwa r.c bila kujua. Pole yao
Hakika, Mungu akubariki
Muchungaji ndacha wewe umekoza msimamo wa kidini umekoza kisimama na ukweli ,unapingana na kila imani, mara wajumapili mara waislamu leo hii umerudi kwa kanisa lako mwenyewe,bado hujafika kakaangu kesho ukiona nzuri kwe qurani utakimbilia wislamu, mimi nakushauri kaa kitako ukasome vitabu vyote ndio uje kwetu ukiwe na maamuzi kamili asanteh.
SDA ni mbili kama hauna habari,Kuna wale waliuswa watu wa msalaba na Trinity.Na SDA ya ukweli kama hiyo ya Ndacha Mungu akubariki karibu Old SDA church
SawA
Haleluya
Ukweli mtupu...
Ndasha wambiye wajuwe mungu c miungu
Nimependa ujumbe ndugu
Iyi ndio kazi sasa .. schana na waislam hao hawana ukweli Bali jikite kunyoosha izikanisa zinawaaribi kondoo nakuwapoteza .. ila naamini yesus kasema ametuweka sisi kondoo kwenye mkono wake naaakuna kitu wala mtu anaeweza kututowa kwenye mkono wake . So fundisha waliowake wataiskiya sauti yke ..ameen
Na mimi nilikuwa mu sda kwasasa nimeokoka kabisa.nanimeona kwamba nilikuwa chini ya cheria mara yapili.ila sasa niko kwa fpct.ona mbali ndugu .yesu hakupumuzika s'abato hata siku moja.
Enderea kuvunja amri
😅mshilriki akiasi anafutwa ushirika pastor akiasi ana pewa transfer
Pastors are after money. Plz roho nyingi zimepotea. God bless you .
Hongera mwalimu Ndacha
Kweli kabisa. ata SDA zingine zina vutuko ndani
Naomba ukuje meru tuchambue ukweli pamoja
Umepona.diraa
Ukweli lazima usemwe,Mungu azidi kukupa hekma na Nuru ya kuendelea kuangaza
Unao yatamka ni kweli kabisa,yafaa tujirekebeshe turudi kwenye msingi yazamani.
Jerusalem Seventh Day Church of God
Mimi nakusikiliza sana maana unasoma maandiko na sio akili yko
Kuna vile umenifungua Mimi katika kuelewa maandiko na mhimu zaidi unabii
Nimekupenda hapo hutuendi mahali tutengeneze hapo.
Masikini ndacha pole maana maana matengenezo yanafanyika ndani ya kanisa nasio kukurupuka pole
Umeongea ukwel Yesu mwenyewe hakutoka
Ubalikiwe
Mimi ni mwislamu leo nimesilimu
njoo kwa yesu ndugu
@@achilesfaustine9478 mpaka mkubali kwanza Yesu sio Mungu muumbaji na mtoke kwenye hilo shimo la utatu ndo tunawez anza kuelewana
Umetoka kwa yesu umeingia ndani ya manjini pole kwako
Kwanza kabisa soma Quran sura ya 72
Jamani wasabato mnasikia ujumbe WA sahihi tena mnatumia pesa coast field mbona tusiwasapot hawa watumishi jamani
Ni kweli
Teacher, shida iliopo ndani ya Adventist inaumiza sana.ashante kwa kunitia ujasiri.nashukuru
Helen g white uyo kuanzisha kanisa na yeye alikuwa Ni nabii wa Mungu na alifunuliwa kitabu Kama mitume wengine au alipata ufunuo gani Ali alitabiliwa ndani ya biblia ?
Huu niukweli kwa mtu mwenyekusoma maandiko ataungana na wewe kuitetea kweli ndani ya kanisa, tutazidi kupiga ndullu ndani na nje ya kanisa kuisema kweli
Mimi ni wa j pili nimefuatilia mahubiri yako nimejua ukweli kiukweli nahitaji nijiunge sda ila izo changamoto tutazishindaje?
amina ndugu barikiwa kwa kufahamu ukweli
Wakolosai 2:16