Yaani simulizi za bingwa Edgar Mbogo huwa sina haja ya kupitia comment kwanza ili kujua inafaa kuifungua, ninahakika hana kazi mbovu hata moja, tatizo hatoi kwa wakati, naomba vipande virefu mfano msimu wa kwanza zote uweke pamoja 1--12 vyote kipande kimoja hata kama kina saa 12 naomba ufanye hivyo, pia msimuliaji asibadilike aweFelix mwenda.Ombi jengine juzii niliona simulizi YAKO mwalimu naye anataka Ambayo inazaidi ya miaka 3.lakini nzuri sanaaaaaa naomba vipande baadhi havipo naomba uigawe vipande viwili, kimoja season one yote iwe kwa pamoja, season two yote iwe pamoja nakuomba sana 🎉🎉❤🎉
@@maseleenaesleen8149 kipenzi Asante kwa kunijali, ukweli sehemu ya kwanza vipande viwili vitatu havipo, sehemu ya pili vipande vinne havipo, halafu ni story ya zaidi miaka 3 , lakini mie kipindi hicho nilikuwa sijui kama Youtobe kuna simulizi,nilipokuwa chuo ndio nikasikia wanasikiliza, ilikuwa KIAPO CHA DAMU, mwenzangu hapo ndipo nilianza kuvutiwa na mwandishi bingwa bwana Edgar Mbogo, namsimuliaji wake mwamba wa sauti Felix Mwenda 💯💯 yani hii miamba naikubali kila mmoja katika sehemu yake*pia yupo msimuliaji mwengine naye anakipaji sauti Anko Jei ,
Kumanisha huyuu babu hujipatia pesaa kupitia kwa mabint wanaozulumiwaa na na huyoo mtoto wamkubwaaa nayy ndohuwa anawauwaa kisha pesa anaweka mfukoni Leo ameulaa wachuyaaa akaxulunu kuximu huko
Kaka Felix wew unibamba sana na kicheko chako
Kama kawaida mwendo ni ule ule 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu mlinde doctor linda
Mbona gobole halifanyi ile kitu jamani ❤😂
Felix wangu❤❤❤
Shukran sana simulizi mix ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
Doctor linda wauwe wote
Dho!!😢 vipi tena uyu babu😢 c kila anae taka kukusaidia ana nia ya dhati😢😢😢
1+ per day 🎉🎉🎉 big up
Wakwanza jamani naombeni likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Kazi nzuri Edgar na msimuliaji wetu mpendwa felix Allah akuhifadh na vijana wa hovyo km kina king
Kumbe hili libibi (mama Raphael) Lina tabia chafu sana, lzm litalipia haya lifanyayo, chawi sn, mtoto wa mwenzio ukamharibu🤔🤔🤔
😢😢 huyu mzee kumbe ni mpuuzi Acha akule umauti
Nani kafaa
Joyce amesahau hela alizopewa na mama Rafale kwa maiti ya babu kajogoo
Oooyo basi leo Gobole litoe mtu roho😂😂😂❤❤🎉🎉
Sema simulizi nzuri ila tu dudu zimekuwa nyingi sana
Haya sasa kijogoo Kula jeuri yako mpuuzi sana tamaa ya nn kufilia mbali na huko
Labda hua ywapokonya afu ywaudi ywaenda pewa yy
Wakwanzaaa luke zang😂😂🎉❤❤
Wakwanzaaa😅
Nawaona mko chonjo ila hata mm nko chonjo
BASI MSICHELEWESHE
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Jamani pendo😢mpaka nimehisi maumivu yake
Tunaendelea sasa shukuruni
Wa 6 jamani ❤❤❤😂
Ooh hoo kumekucha familia yenye laana loooh 😢😢 Mungu saidia wadhaifu
duuh hao police nao vp jamani😢😢😢
Nice
Tuweke vipande viwili
Mbona sina imani na huyo babu anayemsaidia joice 😢😢au ndo huwa anawauwa wadada wa kazi wanaofanya kazi kwa maembe
Yaan nmewaza kama ww kashanpa mashaka yeye ndio Kla wa wacchana wengne 😢😢😢😢😢
❤❤❤
Huyuu mtaown kwann amechoma kituo cha zahanati tena anewatuma haozimwii kwakwanyumba yawatu kisha nyuma ametuma asikari huyuu atamtafutaa nn jamani
Mbona huyo king asiletwe Kenya na familia yake🤔🤔
Yaani simulizi za bingwa Edgar Mbogo huwa sina haja ya kupitia comment kwanza ili kujua inafaa kuifungua, ninahakika hana kazi mbovu hata moja, tatizo hatoi kwa wakati, naomba vipande virefu mfano msimu wa kwanza zote uweke pamoja 1--12 vyote kipande kimoja hata kama kina saa 12 naomba ufanye hivyo, pia msimuliaji asibadilike aweFelix mwenda.Ombi jengine juzii niliona simulizi YAKO mwalimu naye anataka Ambayo inazaidi ya miaka 3.lakini nzuri sanaaaaaa naomba vipande baadhi havipo naomba uigawe vipande viwili, kimoja season one yote iwe kwa pamoja, season two yote iwe pamoja nakuomba sana 🎉🎉❤🎉
Mwalimu naye anataka ilisha isha surch kwa makini utaipata yote dear
Baadhi ya vipande wamevipiga lock uk8visach huvion mfate felix au smix ofisi akutumie@@maseleenaesleen8149
Season 2 hatujaionaga@@maseleenaesleen8149
@@maseleenaesleen8149 kipenzi Asante kwa kunijali, ukweli sehemu ya kwanza vipande viwili vitatu havipo, sehemu ya pili vipande vinne havipo, halafu ni story ya zaidi miaka 3 , lakini mie kipindi hicho nilikuwa sijui kama Youtobe kuna simulizi,nilipokuwa chuo ndio nikasikia wanasikiliza, ilikuwa KIAPO CHA DAMU, mwenzangu hapo ndipo nilianza kuvutiwa na mwandishi bingwa bwana Edgar Mbogo, namsimuliaji wake mwamba wa sauti Felix Mwenda 💯💯 yani hii miamba naikubali kila mmoja katika sehemu yake*pia yupo msimuliaji mwengine naye anakipaji sauti Anko Jei
,
@@maseleenaesleen8149 nimeitafuta zaidi ya CK lakini vipande baadhi havipo kabisaaaaa
🎉🎉🎉❤❤❤❤
Itakua wakumi jomon ❤❤❤
Mua kauwawa 😂chezea gobole wewe
Kumanisha huyuu babu hujipatia pesaa kupitia kwa mabint wanaozulumiwaa na na huyoo mtoto wamkubwaaa nayy ndohuwa anawauwaa kisha pesa anaweka mfukoni Leo ameulaa wachuyaaa akaxulunu kuximu huko
Oyoooo❤❤❤❤
yamotoo❤❤❤
Yamoto
🇹🇿🇮🇶🎉🎉🎉🎉
Achana nae pendo
❤❤❤