Kiswahili chako ni kizuri mno. Sio wale watu ambao wanatumia vibaya herufi "L" na "R". Kwa mfano kusema "Malekani" badala ya "Marekani", kusema "Kumsurubu" badala ya "Kumsulubu" na makosa mengine mengi katika matamshi ya Kiswahili. Kwa hiyo nakupongeza sana kwa ufasaha wako kwenye chaneli hii.
Duuuuuh ni mbinu nzuri mno
Safi sana
Kiswahili chako ni kizuri mno. Sio wale watu ambao wanatumia vibaya herufi "L" na "R". Kwa mfano kusema "Malekani" badala ya "Marekani", kusema "Kumsurubu" badala ya "Kumsulubu" na makosa mengine mengi katika matamshi ya Kiswahili. Kwa hiyo nakupongeza sana kwa ufasaha wako kwenye chaneli hii.
Asante sana mkuu. Vitu vizuri zaidi vinakuja
Safi sana
Hongera Sana
Big up kaka
Umeupiga mwingi
Mbona aichezi?