Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2018
  • JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
    Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
    Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea mkoa wa Mara, wilaya ya Bunda katika jimbo la Mbunge wa Chadema, Ester Bulaya na kisikiliza kero za wananchi wa eneo hilo kisha kuzitolea ufafanuzi papo hapo.
    Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
    / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
    Category

КОМЕНТАРІ • 202

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 років тому +124

    Yaan hii video imeniliza kabisa kweli huyu ni rais wa wanyonge kutoka moyoni kama unamkubali rais magufuli acha ubishi gonga like yako hapa

  • @issaomary9520
    @issaomary9520 6 років тому +50

    Kama unakubari serikari ya magufuri haichezewi gonga like hapo

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan9813 6 років тому +129

    Wale tunaompenda jembe letu hebu piga like kwa magu

  • @OFFTRACKTV
    @OFFTRACKTV 3 роки тому +4

    Kweli vizuri aviddumu mungu akutunze huko siku moja tutaonana tena😭😭😭

  • @davidandrew9575
    @davidandrew9575 6 років тому +19

    Mungu akulinde na kukupa maisha marefu yenye afya tele. Utuongoze vyema

  • @joshuamchiwa861
    @joshuamchiwa861 5 років тому +10

    Yaani hadi machozi yamenitoka. MUNGU akubariki sana mheshimiwa Raisi.

  • @mathiasambrose8027
    @mathiasambrose8027 5 років тому +12

    Mungu akulinde sikuzote Rais wetu John pombe magufuli

  • @ymusic803
    @ymusic803 5 років тому +12

    kama umetoa chozi kama mm gonga like

  • @felistakalindima8239
    @felistakalindima8239 6 років тому +11

    Mungu akubariki rais wetu nakupenda sana daah

  • @phillephillip6091
    @phillephillip6091 5 років тому +9

    Aisee nimepiga makofi nikidhani niko live kumbe naangalia video! Mkuu miaka 10 haitoshi kuinyoosha nchi wakuongezee 10 mingine! Allah akulinde baba yetu!

  • @happysteven1276
    @happysteven1276 5 років тому +4

    Safi sana mweshimiwa jpm,nakupendaga kwa kutenda haki

  • @manmborrow212
    @manmborrow212 6 років тому +23

    Nakupenda Raisi wangu

    • @joycekomba8427
      @joycekomba8427 6 років тому +1

      Uyo ndo Magufuli bwana

    • @annajoseph9959
      @annajoseph9959 6 років тому

      Mi pia

    • @robertobunga3158
      @robertobunga3158 5 років тому +1

      MAGUFULI IS A FIXER BUT FIXERS ARE KNOWN NOT TO FIGHT AND CHANGE SYSTEMS BUT FIX PARTS OF IT. HUYO KAMISHNA IS PART OF A ROTTEN ENTIRE SYSTEM WHICH HE NEEDS TO FIX... HE FIRED THE GUY LAKINI THE SYSTEM IS STILL INTACT

    • @donlen7273
      @donlen7273 5 років тому +1

      Man Mborrow uyu mheshimiwa atafika mbali Mungu ambariki

    • @mw.paulolaizer8262
      @mw.paulolaizer8262 5 років тому +1

      Ooooh my God mlinde huyu rais wetu jamani!!

  • @abelmakori
    @abelmakori 5 років тому +6

    How i wish things were this way in Kenya.

  • @joycekomba8427
    @joycekomba8427 6 років тому +6

    nampenda Jeee

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing482 6 років тому +67

    Wanaopenda Rais. Wetu Kipenzi Atutumikie Miaka 20 Layk Hapa Kuniunga Mkono

  • @alexsmongo1106
    @alexsmongo1106 2 роки тому +2

    Daaaaaaah inauma sana

  • @frankjoshua1152
    @frankjoshua1152 5 років тому +2

    safiii

  • @user-mi6zy3gn1u
    @user-mi6zy3gn1u 5 місяців тому +1

    Magufuli pongezi

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan9813 6 років тому +7

    Chapa kazi baba nakupendajeeee

  • @mababiyoo8099
    @mababiyoo8099 5 років тому +2

    Dah

  • @mwanajuma2666
    @mwanajuma2666 5 років тому +2

    Hongera Mheshimiwa Rais...mungu akubariki

  • @ombenilyawalika8731
    @ombenilyawalika8731 6 років тому +18

    Hongera sana Rais wetu kwa kutetea haki ya wanyonge kama huyo bibi

  • @aminaabdallah6009
    @aminaabdallah6009 6 років тому +5

    mungu akulinde daima

  • @judithcherono4141
    @judithcherono4141 5 років тому +2

    Ubarikiwe sana saidia wanyonge

  • @gipsonice7gipsonice791
    @gipsonice7gipsonice791 5 років тому +8

    Nawapenda viongozi kama hawa mimi

  • @nikolasemanuel233
    @nikolasemanuel233 6 років тому +11

    Mimi naendelea kusema ww ni rafiki wawanyonge kwakweli nimetokwa namachozi kwaraha maana maamuzi unayo yachukua ni uhalisia wa maisha ya mtu ambaye ni mtoto wamkulima.ule utanzania halisi tunauwona kwako.Barikiwa muheshimiwa raisi wetu,

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 4 роки тому +3

    Mashallah

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 5 років тому +4

    live long the righteous ruler

  • @silverjoseph4577
    @silverjoseph4577 5 років тому +3

    Big up Sana Mr President

  • @agapituslunalo9464
    @agapituslunalo9464 5 років тому +2

    Tanzania mumebarikiwa na kiongozi mwenye utu. I wish Kenya tungekua na kiongozi kama makafuli, you are blessed country

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 6 років тому +9

    Shikamoo magufuli safiiiiiiiiiiii

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 5 років тому +2

    Anaekubali kua huyu Nirais wa vyama vyote gonga like

  • @user-sb7ge6yj1i
    @user-sb7ge6yj1i 5 місяців тому +1

    Hata patikana Kama magu

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 6 років тому +4

    Haki ya mjane na masikini ni ya lazima kuisimamia.MWENYEZI Mungu huwatetea kwa mkono hodari watu wa kundi hili.Tusidhulumu haki za wajane na watu masikini jamani.

  • @user-kw5pb9dd7p
    @user-kw5pb9dd7p 3 місяці тому

    Ahsante

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan9813 6 років тому +33

    Ukiona mtu hamkubali magu bas jua alizoea kula vya bure

    • @saidomar5555
      @saidomar5555 5 років тому +1

      Kweli zinaumiza mioyo ya watu, what I can see there is future in tz hongera wrote wanaofahamu viongozi was juu was nchi. Pole nyimbo za zamani Bora sasa waombwe wa radio station wazipige X10 a day. Watanzania tuchape kaziiiiiiiii.

    • @ayubuchindo8002
      @ayubuchindo8002 5 років тому +1

      Mmh

    • @abdallaabdulrahman8319
      @abdallaabdulrahman8319 5 років тому +1

      true

    • @teddymwageni1763
      @teddymwageni1763 3 роки тому

      Ni mchawi

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 6 років тому +6

    Hongera JPM tunashukuru kwa kuwajari wanyonge Mungu akubariki sana Rais wetu.

  • @NOVATISIYAME
    @NOVATISIYAME 4 місяці тому +2

    RIP FATHER AFRICA

  • @blessingbagio4857
    @blessingbagio4857 6 років тому +18

    Ckua nampenda na wala ckumchagua magufuli lkn kunavtu anafanya namkubali.

    • @hidayaamri1112
      @hidayaamri1112 5 років тому +1

      Namkubali sana sana Uncle Magu jamani, yanikuna matendo yake

  • @melkonjalika4727
    @melkonjalika4727 6 років тому +4

    congratrats presdawa

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 6 років тому +5

    Mapenz yang kwako aya semek nakupenda sana magu

  • @danitarimo5013
    @danitarimo5013 4 роки тому +1

    Safii Jpm

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 2 роки тому

    Inauma sana roho ninavyo mtanzama hayati jonh Joseph pombe makufuli

  • @franciskarangwa6554
    @franciskarangwa6554 4 місяці тому

    I MISS DR Magufuli >> may the almighty God give him a confotable after earthly life!!

  • @alexsmongo1106
    @alexsmongo1106 2 роки тому +1

    Tanzania imejaa dhuruma sana wa2 wenye pesa wanasumbua wa2 maskini hii ni shida sana hakuna raisi kama magufuri aseeeeeeee

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 4 місяці тому

    Daaaaaah

  • @samsonkibona8702
    @samsonkibona8702 5 років тому +3

    Magufuri kweli ni jembe

  • @ericsamba464
    @ericsamba464 6 років тому +5

    kwa kweli hii nchi ina tatizo kubwa katika mfumo wa uongozi na namna ya kushughulikia matatizo ya wananchi, 'chain of command haipo vizuri. Matatizo yote hayawezi kuwa yanamsubiri rais peke yake

  • @hawasaimon9321
    @hawasaimon9321 6 років тому +13

    Mpaka nasikia raha kumsikiliza JPM wetu asiyemkubali basi tu jamani.

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 років тому +3

    Uchaguz hatutaki tena Rais wetu anatosha kila sekta karbu na dodoma

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 роки тому +1

    Kweli mnakula rushwa ila huyu mzee mjukuu wake atachukuwa kiwanja

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 6 років тому +1

    Mungu akubariki Rais wangu love you so much

  • @marie-rosesirikari6181
    @marie-rosesirikari6181 3 роки тому

    Dr. John Pombe Magufuli, hata mimi siko Mtanzania, uko ulikuwa kiongozi yangu kabisa😭😭😭😭😭😭

  • @MrChakoo
    @MrChakoo 5 років тому +1

    Kupatikane basi wakutupatia matokeo baadaye ya juhudi hizi nzuri za Rais Magufuli...kulienda aje baadaye.

  • @alexsmongo1106
    @alexsmongo1106 2 роки тому +1

    Jpm alikuwa mtetezi wa nyonge kabisa mungu amlaze pema poponi aseeeeeeee

  • @user-dm2le6jo4e
    @user-dm2le6jo4e 4 місяці тому

    Say ❤❤

  • @allyvumbi745
    @allyvumbi745 5 років тому +2

    Ndio mana tunakupenda mheshimiwa rahis wetu mpendwa mzee wetu John pombe magufuli mngu akuhifazi ili uwatetee wanyonge

  • @andreap.assenga8480
    @andreap.assenga8480 6 років тому +3

    Kwa hapo
    Mh, Mm namkubali maana
    anaweka mambo wazi hakuna konakona.
    Tatizo wengi walifanya kazi kwa mazoea.

  • @ngassaphilipo2427
    @ngassaphilipo2427 6 років тому +3

    I really love makufuli

  • @gilbertmtoshu4334
    @gilbertmtoshu4334 6 років тому +4

    mpaka choz aise

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 3 роки тому +1

    Watu hawapendi kujifunza cjui kwa Nini wanawaonea wanyonge,wakumbuke duniani tunapita tyuuu jamani hivyo mnavyowaumiza watu mtaviachaaa na hao wanyonge watawazika huko vijijini, ustaarabu muhimu

  • @annamfinanga3944
    @annamfinanga3944 3 роки тому

    Huyo Shewiyo ni mla rushwa mkubwa, hapa DSM alininyanyasa sana na kiwanja changu maeneo ya Mbezi Beach.

  • @jobashikoye8403
    @jobashikoye8403 4 місяці тому

    Sijaona Raisi mwingine kama Magafuli mtetezi WA wanyonge. Heri Mungu angelimpa uzima

  • @abbacabdul8475
    @abbacabdul8475 5 років тому

    hongera sanaa prezi dar

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 4 роки тому

    Makufuli nakupenda kwa kazi yako inanifurahisha

  • @raziambwana2145
    @raziambwana2145 5 років тому

    Mungu akuangazie nuru Rais wetu

  • @wolterdavid8979
    @wolterdavid8979 2 роки тому

    Magufuli Mtu wa Mungu.

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa3959 5 років тому +2

    Ongera sana Rais wa Wanyonge Hapo Magufuri Nimekupigia Saruti Tawala Miaka yote

  • @kalistchuwa7447
    @kalistchuwa7447 5 місяців тому +1

    Dhaaaa akika ww nd ulikuw mtawal w hak kwel😂😂😂😂

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 роки тому +1

    Watawaibia hela

  • @faizebrahim338
    @faizebrahim338 5 років тому +1

    Piga kazii kaka

  • @innocentpaulchillu1512
    @innocentpaulchillu1512 5 років тому +2

    thank you my president,the lord GOD give you along life

  • @delabossreizer9471
    @delabossreizer9471 5 років тому +1

    😂😂😂🙌🙌🙌🙌walai ukifanya kazi na magufuli ofisi moja kama ndio mm bola nikaacha kazi tu nikasake kwingine mzee kupumua kwa shida yaan ukipigwa swali moja pakuchengea akuna unakutana nacho duu magu 🙌🙌🙌

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 4 місяці тому

    Itatuchukua karne na miongo kupata Rais kama huyu

  • @shabaniiddy6565
    @shabaniiddy6565 5 років тому

    safiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana JPM

  • @ifraimifraimuhusen282
    @ifraimifraimuhusen282 7 днів тому

    RIP JOHN

  • @MasumbukoNgata
    @MasumbukoNgata 3 місяці тому

    Huyu baba

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 5 років тому

    Hii nimeipenda sananaaaaaaaaaa

  • @richardmanjira6800
    @richardmanjira6800 5 років тому

    Safi sana Rais wa wanyonge

  • @nancywangeci8189
    @nancywangeci8189 5 років тому

    In Kenya we need such leaders ...... Not thieves who steal from their people....

  • @jnkb257tv5
    @jnkb257tv5 4 роки тому

    Mimi naishi Burundi rakini mungu amubariki Magufure nimwawume hodari

  • @mohammadahmed8013
    @mohammadahmed8013 4 роки тому

    Ubarikiwe Mr president hapana mchezo hata mzungu hawajawahi Fanya mambo Kama yako

  • @BarakaMasanja-pc9xd
    @BarakaMasanja-pc9xd 4 місяці тому

    Rais wetu waukweli

  • @jomlawcrossslaw7932
    @jomlawcrossslaw7932 5 років тому +1

    ww magufuli ulizaliwa ama

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 5 років тому +1

    Gudi sana

  • @ezekielevarest6254
    @ezekielevarest6254 5 років тому

    Mam anatamwambia rais baada yakupewa 500000/= sasa atakae nijengea nyumb ni nni rais kamkataa hajajibu chochte kma ulikickia kipnde icho kma mmi gonga like hapa

  • @leilahomar5608
    @leilahomar5608 6 років тому

    one love jpm

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 років тому

    excellent Mr president

  • @kassimloav2402
    @kassimloav2402 2 роки тому

    January makamba na nape jifunzeni kupitia kunahofuya mungu

  • @binurarassi8156
    @binurarassi8156 6 років тому

    Jamani huyu Mtu analia machozi ya uchungu Na furaha kuona Rais wa wanyonge anavyoshughulikia viwanja vyao, Mungu akulinde Rais wetu, Mungu akulinde Waziri wa Ardhi Mh. Lukuvi.

  • @ngoshazedon9988
    @ngoshazedon9988 5 років тому +1

    wasaidie wasiojiweza mzee kazi nzuri naaaam

  • @rashidmohamed1949
    @rashidmohamed1949 5 років тому

    muheshimiwa Rais Magufuli Ni kiboko
    sijawahi kuona tangu nizaliwe Rais akiongea hadharan na kutoa amri ya kazi ifanyike...
    Nimependa Sanaa...
    Nilizoea grama hii ngoma live

  • @emaydickson4239
    @emaydickson4239 6 років тому +2

    ubalikiwe baba

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 4 роки тому

    Kiboko yenu ishakuja hio hapo hopo jee

  • @nassoromangi3597
    @nassoromangi3597 5 років тому

    raisi ana kazi kubwa sana,tuzidi kumwombea dua

  • @MusaMusa-dq3hd
    @MusaMusa-dq3hd 5 років тому

    safi sana rais kwahapo uko pamoja na wanyonge

  • @everistsiriri6393
    @everistsiriri6393 5 років тому

    nakupenda mpak nakufaaaa

  • @humayduwe1762
    @humayduwe1762 5 років тому

    Dah hii kali mwanaume unalia

  • @judithcherono4141
    @judithcherono4141 5 років тому

    Safi saidia maskini

  • @mwalukoerick2801
    @mwalukoerick2801 6 років тому +2

    jpm jpm jpm jpm jpm mbele yako nyuma yako tupo hakika utawale milele