JPM "Kama Mkandarasi ni Mshenzi, Mimi ni Mshenzi Zaidi Yake"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 55

  • @habilicharles4410
    @habilicharles4410 6 років тому +4

    Huyu rais aliletwa na mungu kwenye uongozi Tumshukuru mungu kwa hili

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 роки тому +3

    Huyu mtu alikufa mapema mnooo yaaan kulikuwa na respect kazini watu nidhamu kwa sana ....Magufuli wetu💔😭🇹🇿✍️💞😭💔

    • @bettykarume5619
      @bettykarume5619 3 роки тому

      😭😭😭😭😭😭🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @goodluckruben5212
    @goodluckruben5212 6 років тому +1

    hongera muheshimiwa tatizoo watendaji wakoo ndo wanakuangushaa ila uko vizurii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaà

  • @saidiomali3324
    @saidiomali3324 6 років тому +4

    safi sana Rais wa wanyonge.

  • @saloummlaula6542
    @saloummlaula6542 6 років тому +4

    nakukubali sana mh.

  • @musasagonge9208
    @musasagonge9208 6 років тому +2

    Mungu akulinde Rais wetu mzuri. Mi ni mzaliwa was Mara na kwa sasa nipo Loliondo Arusha kikazi. Nimetokwa na machozi kwa jinsi unavyotatua matatizo ya wananchi kwa moyo wako mmoja. Natamani ufike na nyumbani kwetu Wilayani SERENGETI. Mungu akulinde sana nami nazidi kukuombea.

  • @saidkabelele6325
    @saidkabelele6325 6 років тому +4

    MHS, JPM, hakika kwa speed hii hata sisi unatupa ujasiri wa kupiga kazi, Hapa kazi tu

  • @juliusmakongoro4726
    @juliusmakongoro4726 3 роки тому +1

    Mungu wangu umetuachia nn maana kaondoka mutu mwema

  • @sebastianmgassa8804
    @sebastianmgassa8804 6 років тому +1

    Hahahaaaa nimecheka sana eti Magoma oyeeee!Mzee hongera kwa kazi nzuri ubarikiwe sana!

  • @alexdogan6057
    @alexdogan6057 6 років тому +1

    One love 🙌🙏

  • @alexdogan6057
    @alexdogan6057 6 років тому +4

    Huyu mzee ni hatare Sana,

  • @kiyabonjemu9885
    @kiyabonjemu9885 6 років тому +7

    You are good in deed our hon president, cjui tutapata tena mwingine kama wewe???

    • @leilainnocent6532
      @leilainnocent6532 6 років тому

      Tuombe Mwenyezi Mungu atupe Makonda baada ya Magufuli

  • @lusese1
    @lusese1 6 років тому +3

    Ndio Mzee Babaaaaaaaaaa sema nao haoooooo

  • @gracerosi6179
    @gracerosi6179 6 років тому +2

    Nakupenda Sana unamtazamo mengi wanakuficha hili uwe unayackia kwawananchi

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 роки тому +1

    Lakuongea nawananchi ndo lilikuwa linakufanya upte kujua matatizo ya wananchiii nakutatua shida zao tutakukumbk baba

  • @shajonahamad2330
    @shajonahamad2330 6 років тому

    MWENYEZI MUNGU akulinde Rais wetu JPM

  • @fatumahamisi7002
    @fatumahamisi7002 3 роки тому

    Jahaz

  • @jamilahkihange9391
    @jamilahkihange9391 6 років тому +1

    Nilikupenda nakupenda na ntaendelea kukupenda raisi wangu Dr magufuli piga kazi baba wanaokupinga watajibeba

  • @samsonsamwel2388
    @samsonsamwel2388 6 років тому +1

    mh. Rais magufuli hongera sana kwa uchapakazi wako, tupo pamoja na ww, njoo na Simiyu

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 років тому +1

    Shukuruni Mungu mnaweza kujieleza, mngekoma leo 😂😝😜

  • @heshimakibali1431
    @heshimakibali1431 6 років тому +2

    tukombowe mheshimiwa rais wetu mpendwa, mkoa wa mara tuko nyuma hasa barabara, mfano barabara ya Butiama kuja Serengeti hadi Arusha.. inasua sua sana.. sijui mkandarasi gani

  • @michaelcanisius1615
    @michaelcanisius1615 6 років тому

    big up my president sikukuchagua ila nakukubali sana uchaguz ujao asbh sana kura kwako

  • @barakachelango1695
    @barakachelango1695 2 роки тому

    Duu chema hakika hakidumu pumzika kwa amani Magu

  • @charleskaflela5747
    @charleskaflela5747 6 років тому +2

    Uko vizur mkuu bila uso wa kaz hakuna kinacho endelea, chapa kazi

  • @amandamapunda6201
    @amandamapunda6201 6 років тому

    Mungu akupe Maisha marefu Rais wetu tunakupenda na kukujali

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 роки тому +1

    Huyu mtu alikufa mapema mnooo yaaan kulikuwa na respect kazini watu nidham

  • @allymliloh1760
    @allymliloh1760 6 років тому +1

    Niko UK napata furaha sana ninapoona Nchi yetu Tanzanian imepata Rais mchapa kazi

  • @machelengamachelengafatuma6862
    @machelengamachelengafatuma6862 6 років тому

    Unakieleeleeeee

  • @hamisaserega1439
    @hamisaserega1439 6 років тому

    Piga kazi mweshimiwa rais

  • @hassanhabibu635
    @hassanhabibu635 6 років тому

    Yupo bungeni ester bulaya nadhani

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 роки тому

    Nimemic sana maswaliii yakooo jamniiiiiiii kwann mrad wa maji haujakamilikaaaa dah!!!! Nalia mwenyew tuuuu

    • @bettykarume5619
      @bettykarume5619 3 роки тому +1

      😭😭😭😭😭Kila nikimsikiliza machozi yananitoka R.I.P. jemedari

    • @fraviansweetberty8819
      @fraviansweetberty8819 3 роки тому

      @@bettykarume5619 tupo pamoja 🤝🤝🤝🤝 tumuombee tuu apumzike kwa Amani

  • @raageabdi3123
    @raageabdi3123 6 років тому

    Tatizo la global Tv channel Yao ya Yutube ina adversity zaidi milioni 346.2

  • @hassangaudence1814
    @hassangaudence1814 6 років тому

    Sasa hawa wananchi wanazomea nini

  • @ayoubmkeya8709
    @ayoubmkeya8709 6 років тому +1

    wanaopingana na raisi watapata tab sana

  • @gillbertmapesa4603
    @gillbertmapesa4603 6 років тому

    Mheshimiwa Rais tunaomba uje mikoa ya nyanda za juu kusini ikiwemo Songwe na Mbeya wananchi kero chungu mzima.

  • @joanithasalvatory9707
    @joanithasalvatory9707 6 років тому

    Bado madudu ya halmashauri ya kishapu

  • @muhidinmsabaha494
    @muhidinmsabaha494 6 років тому

    mtaweza kweli kuzua ubambikiaji kesi ?

  • @raphaelpaschal7892
    @raphaelpaschal7892 6 років тому

    mh rais chapa kz hadi 2035 Mimi nategemea kuanzisha iyo kampeni

  • @doramarcel1013
    @doramarcel1013 6 років тому

    Njoo na manispaa ya shinyanga mh Rais ujionee madudu yanayo fanyika kwene miladi ya manispaa hii

  • @BidayoTV
    @BidayoTV 6 років тому

    Kweli hapa kazi tu, piga kazi mzee wetu tunakuamini mia mia!!!

  • @innocentOficially
    @innocentOficially 6 років тому

    Nafrah xana kuona rais kama huyu

  • @nashonalubala5729
    @nashonalubala5729 3 роки тому +1

    🤣🤣

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu3781 5 років тому

    jembe langu baba aminia. Nikomeeshee mabeberu

  • @goldensensemedia.7906
    @goldensensemedia.7906 6 років тому

    sitahama ccm miaka buku

  • @tegemeomusule2284
    @tegemeomusule2284 6 років тому

    Nabadoooooo!