SHETTA afunguka alivyoachana na MKEWE 'Nilimwachia nyumba, nilibeba kila kitu nikaanza upya ' - Pt 3

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 бер 2022
  • Shetta anafunguka jinsi alivyoachana na mke wake, Mama Qayllah
    #ChillnaSky

КОМЕНТАРІ • 163

  • @oliverkyara8232
    @oliverkyara8232 2 роки тому +68

    Sema kwa sasa unaona wanao wanaishi vizuri na unawahudumia na wanafuraha lakini niamini endapo utaoa mwanamke mwingine tofauti na mama yao aiseee kaka watapata wakati mgumu sana kama.ningeambiwa niwashauri jipimeni kwa muda mliotengana angalieni uwezekano wa kuwa pamoja muwaleee watoto wenu kwa upendo ukioa mwanamke.mwingine haya unayoongelea hapa hayatakuwepo mawasiliano na wanao au akulelelee wanao duh kaka aiseee kaka Neema ya Mungu Iamue Mioyoni Mwenu kabla hamjamove on.

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 2 роки тому +10

    umekaaa miaka mingi ...... kuna mnyamwezi Byser salute sana kwake

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 роки тому +18

    Baba Kyler nakukubali Sana afu upo na bonge la mwandishi

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 2 роки тому +15

    Safi sana sio wanaume wengine wakigombana wanasusa watoto dhambi ajui watoto wanateseka badae wko vizuri wahanza kusumbua

  • @maureenmollel
    @maureenmollel Рік тому +7

    Shetta anakuaga na akili mingi ..maturity at it's best

  • @florameza1028
    @florameza1028 2 роки тому +12

    Nimekupenda kaka endelea kupenda wanao

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 роки тому +13

    Sijawah muona mkewe akihojiwa but ombi langu ongeeni mlee watoto family ya baba na mama ni nzur mno mm nimelelewa na momy tu na kisha momy kafarik tukiwa wadogo tukalelewa na bibi now keshafarik tupo wenyew tu na naomba mungu mno nipate mwanaume bora na mwenye hofu ya mungu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Рік тому

      Pole Sana lakini endelea kumuamini Mungu na usiwe na haraka atakupatia yule roho yako inamtamani.

    • @Sonia_abass
      @Sonia_abass 24 дні тому

      Amiin

  • @starshinetz
    @starshinetz 2 роки тому +13

    Shetta full inspiration brother

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 2 роки тому +32

    Shetta ni mwanaume wa kuigwa💪💪💪

  • @saidmasika8738
    @saidmasika8738 2 роки тому +20

    mwanamume anae jielewa Allah akupe uzim

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 роки тому +4

    Brother kwanza hongera sna kwa kweli ktk maisha yangu nakua nakufiatilia sana kaka nakila siku nakuombea sana kaka nakuomba sana,niweze kukupata lkn sijui nakupata wapi kwa kweli kaka,nisaidie nikuone sana kak mm Niko Pemba,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 роки тому +8

    Ni vizuri msije mkauana kitu chema ni kujali watoto tu

  • @lathifaa860
    @lathifaa860 2 роки тому +5

    Mashaalah kaka yangu allah akupe subara kaka

  • @dosianasimon312
    @dosianasimon312 Рік тому +3

    Huyu jamanaa ndio maana mambo yake yananyooka ingawa katengana na mke wake naamini yule mwanake anamuombea sana mungu azidi kukuinua ili ulee watoto wako kwa upendo huohuo

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 2 роки тому +16

    Sheta kumbe kiumbe safi Sana🙌

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 2 роки тому +12

    Swadakta kuowana Kwa wema kuwatana Kwa Amani👏👏

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 роки тому +13

    this is what i call maturity

  • @beatricethomas4061
    @beatricethomas4061 2 роки тому +3

    Ubarkiwe hadi ushangae bro wanaume wote wa rika lako wangeipata hii akili dah watoto wasngepata tabu kitaa

  • @irenembura8045
    @irenembura8045 2 роки тому +1

    This is real nice👍👌

  • @meryfrank5272
    @meryfrank5272 2 роки тому +3

    Vizuri sana , watoto hawana makosa.

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 2 роки тому +4

    Malaki 2:16 NEN
    “Ninachukia kuachana,” asema BWANA, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema BWANA Mwenye Nguvu Zote. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.
    NEN: Neno: Bibilia Takatifu 2014

  • @officialmariamdaudi401
    @officialmariamdaudi401 2 роки тому +2

    Ni kweli kabisa

  • @user-sv1lr5qj6x
    @user-sv1lr5qj6x 6 місяців тому +1

    baba mzuri kwa jamii❤❤❤

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni 9 місяців тому

    Masha laah❤

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 2 роки тому +1

    Mwanangu san.. sheta the don

  • @estertiffathomas5651
    @estertiffathomas5651 2 роки тому +4

    Safi kbxaaa hku kwetu mkiachan ni majang matup yaan full kuchamb status nimekutan na x wngu amekonda mmbwa yule na emoji ya kukunyal juuu😏😏😏

  • @JohnJafary-he7tk
    @JohnJafary-he7tk 10 місяців тому

    Vip kakah nakuhusu daimond kukut#mbea mke

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 2 роки тому +2

    Watoto wawili mrudie mkeo hakuna lisiloweza kurekebishwa miaka 9 mmeishi dah mkataeni shetani salini saana wekeni mambo Sawa Mungu ashindwi na kitu kikubwa kumtanguliza Kwa kila jbo

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Рік тому

      Kweli warudiane! Imekaa hawaku achana Kwa ugomvi, shetani mbaya huyu!

  • @bintyy_sultan3569
    @bintyy_sultan3569 6 місяців тому +1

    Natamani interview iendeleeeeeeeeeeeee

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 2 роки тому +2

    Sema jamaa kawa boss bwana saivi

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 2 роки тому +4

    ongea kiswahili bwana ,unazingua

  • @bellahappy2119
    @bellahappy2119 2 роки тому +11

    Mrudie mke wako una watoto wazuri sana

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 2 роки тому +3

      @21yrs bado kabisa Shetta alikua hajala ujana, ukizingatia ni msanii na by then alikuja kua maarufu hasa zile tracks kama Shikolobo etc ni wazi alikutana na ngozi nyingi sana waluwalu halaf ni pisi kali mzee damu inachemka pesa ipo, jogoo kick moja tu kavimba kama chuma, weeh sio rahisi kuvuka kituo aisee. Umri ule wa 20-35yrs ni vigumu mno kijana kujifanya una drive mwendokasi express we vituo unauza tu!
      Hapo kudumu ndoa ni ama mwanamke akuvumilie sana, au nae asilipize kisasi.
      Vinginevyo sio rahisi ukizingatia mazingira ya kisanii anayoishi Shetta.
      Nyie Mungu anasisitiza Upendo. Upendo kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu asilimia kubwa hufikia kwenye kuoana na kuishi pamoja, kadhalika upendo huo ndipo Mungu alipoweka amri zake na nyingi huvunjwa na binadamu kwa kua shetani nae achezi mbali kushawishi. Atakuingia kichwani na kukwambia hii ni pisi kali, piga kama vipi, iba pesa ukaspend nayo, ua ie toa mimba maana ishanasa etc .
      Kifupi ujana maji ya motoo

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 2 роки тому

      @@jojigeorige1056 inawezekana ndio sabab waliachana. Nae sasa kashaanza kuchoka hyo lyfstyle ndo anamkumbuka mama watt wake.

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 2 роки тому

    Uko vzr san, wanaume jifunzeni kwa huyu kuachana hamna vita

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 2 роки тому +3

    Unasema uhusiano wako ni mzuri na huyo X wako na upo single? Ngoja upate girlfriend utaona atakavyo badilika

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 6 місяців тому +1

    Yani ndo najua leo 31/12/2023 kuwa sheta aliachana na mkewe

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 роки тому +2

    Mungu akusaidie ikiwezekana msameheane mrudiane Maisha ni yale yale mama k au Kaka shetta ebu jaribuni ku angalia kama mrudiane tena if it’s possible please

    • @melensianakemanzi8325
      @melensianakemanzi8325 2 роки тому

      Mimi naomba mwangalie kusameheana Ili watoto wawe na utulivu na akili ya kulelewa na baba na mama inapendeza zaidi

  • @azzizazizion5056
    @azzizazizion5056 2 роки тому +4

    mm kuna dem niliachna nae kama leo kesho namkuta na panga mlangon kwangu 😄😄

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Рік тому

      😂 pole sana 🤗

  • @mariamgaya2
    @mariamgaya2 2 роки тому +1

    Nice

  • @bakariathmanathman2187
    @bakariathmanathman2187 6 місяців тому

    Asnte sana kaka sky ni mejifunza ilikua mm na bimkubwa wangu simu yake akini pigia tu mapovu ama sheta amevaa uhalisia wamsanii kioo chajamii umenifunza kaka sheta 😭

  • @SWAGGELI
    @SWAGGELI 2 роки тому +8

    Dude you so fucking strong Man eehh sio mchezo

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 2 роки тому +6

    Dunia ingekua na wanaume kama shetta ingekua raha sana

  • @abubakarymsuluzya2195
    @abubakarymsuluzya2195 2 роки тому +1

    Safi mkuu

  • @trio9911
    @trio9911 2 роки тому +15

    Mwamba mzungu sana huyu 😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Рік тому +1

      Mno! Nimempenda bure! Huyu ni Mbongo kweli au ....

  • @mussajabiry3891
    @mussajabiry3891 2 роки тому +4

    Mm ndonapend mfumo uo WA maisha cy mmetengan mnakua madui

  • @beatricejoseph3537
    @beatricejoseph3537 2 роки тому +3

    Ulioa mdog sana lakin umekoamaa akili mapema hongera sana

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 роки тому +8

    Shetta ana akili

  • @Cyper255
    @Cyper255 2 роки тому +7

    Sheta akiamua kupasha kiporo hakuna upinzani

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      hilo mbona lipo wazi si kashasema ni washikaji.

  • @Summertechtz
    @Summertechtz 2 роки тому +2

    Shetta safi sana

  • @abusalman5139
    @abusalman5139 2 роки тому +2

    Huyu bwege kweli... Mwanaume unazungumza na mkeo kuhusu mabwana zake? Hovyo sana.

  • @ngutuismail6945
    @ngutuismail6945 2 роки тому +7

    Sheta ulifanya kama mimi nilichofanya ukiachana na mkeo na mna watoto ni bora baba ukaondoka wewe ukawaachia nyumba ukiendelea kutoa support kuliko kumfukuza mwanamke

    • @jasmineshechambo3401
      @jasmineshechambo3401 2 роки тому

      🙏

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 6 місяців тому

      Vp kama mama ndio chengachenga?yani yy ndio kaharibu unamfanyaje?😂

    • @IBENGM
      @IBENGM 6 місяців тому

      Hilo ni jambo la busara sema hapo inategemea na mmeachana kwasababu zipi na mwanamke ni mtu wa aina gani!

  • @rhodafredy2251
    @rhodafredy2251 2 роки тому +6

    Shetq ni mwanaume wa kuigwa wallah sijapata kuona

  • @mozamagaya8618
    @mozamagaya8618 6 місяців тому

    Ongera kaka

  • @herryignasy8711
    @herryignasy8711 2 роки тому +1

    Profeda jay amekaa muda gan

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 2 роки тому +1

    Asa kingereza cha nini nakwazikaga mimi ,,, duhhh

  • @kibongephotographer9224
    @kibongephotographer9224 2 роки тому +2

    Kwahiyo wote mna dimpoz anhaaa

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 роки тому +4

    Uzungu mwingi

  • @kingsanya6860
    @kingsanya6860 Рік тому

    jaman kiswahili kitume sana

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 місяців тому

    Ndugu zangu kama ni jambo liliwatenganisha , kaeni TU MUONGEE maana MUNGU HAFURAHII na EX ni EX TU labda kama mnapendana ndani Kwa ndani

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu5069 2 роки тому +4

    Jamani nipeni tu huyo shetta

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому +2

      usiamini kila uonacho kwenye social media.huyo ni msanii hawezi kuongea vibaya.

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 2 роки тому

      @@ahz6907 nimecheka kifala love jast joke

  • @winnieamanya1550
    @winnieamanya1550 2 роки тому +7

    Kizungu ilikuja na meli 🤣🤣 Tz "",
    We do co-parenting...

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +3

      He is still learning, practicing is the only way.
      Waliojifunza ukubwani wanapambana na challenges nyingi lakini mdogomdogo tu aendelee kukaza.

    • @liviaG87
      @liviaG87 2 роки тому +1

      What is wrong with that statement?? Acha ushamba. Hata waitaliano, wajerumani, wafaransa wana kiingereza kibovu vilevile

  • @chuchudorice8531
    @chuchudorice8531 2 роки тому +3

    Wabongo hamjui kizungu si mkubali tu 🤔🤔🤔🤔🤔

    • @magzakky2781
      @magzakky2781 2 роки тому

      😂😂😂😂ma ribs tuwaombee watajua with tym

    • @fridasky1019
      @fridasky1019 2 роки тому

      Kwani kuna alité zaliwa Nacho?

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 роки тому +3

    Ni Jambo zuli kuacha nyumba na kuondoka

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 2 роки тому +5

    Harmonize Jana alijaza??????

  • @AminaIhera-cg2xr
    @AminaIhera-cg2xr 9 місяців тому

    yani huyu nibaba hongera

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 2 роки тому +3

    Ndoa za bongo kuachana sana juu ya kupenda ngono wanaume wengi tunapenda kucheat na kuvuruga ndoa ,ni bora kukaa mbila ndoa kuliko kupoteza mdaa kwa ndoa

    • @nurdinchilambo1486
      @nurdinchilambo1486 2 роки тому +4

      sio bongo tu ila fatilia vzur had ulaya hao wazungu unao ona labda wana maana hua wanaachana sana

    • @simonmwandu2214
      @simonmwandu2214 2 роки тому

      @@nurdinchilambo1486 wanachana san lakini siyo kwa kusalitiana eti akatiwe au akatie nje ya ndo wanachan kwa mfumo jike kwa sabb Europe mwanamke ndiyo mwenye sauti ndan ya nyumba

  • @sleimbh
    @sleimbh 2 роки тому +4

    Kiswahili kinatosha bwana shetta!

  • @godsson5954
    @godsson5954 2 роки тому +4

    Shetta ajarib kutafuta hela yeye kama yeye kiume tuone na sio kupewa pewa kwa bahati hyku anajitamba kuwa maisha mazur ni yake hahahhha ww know this dude anawwza hata sema sns ni ya kwake😀

  • @estellemwai5402
    @estellemwai5402 2 роки тому +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 Рік тому

    Inspection Haroon yupo kwenye ndoa miaka 23 hivyo sio msanii wa kwanza kukaa muda mrefu

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 2 роки тому

    Swadakta

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 2 роки тому

    Miaka 21-30 umeoa na kuacha?

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 2 роки тому +3

    Da! Aisee ni ngumu kumeza.. kuachana kwa amani sawa ila mawasiliano close kama hayo cwez aisee..

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 2 роки тому +2

      Ni rahisi sana ukikubali matokeo kiroho safi, ila wanawake ndiyo huwa inakuwa ngumu kwao mpaka labda akipata baharia mwingine.

    • @stn4873
      @stn4873 2 роки тому

      @@unclepwechnov1381 sure

  • @saidimkome3818
    @saidimkome3818 2 роки тому +2

    Sasa shetta na mr bluu asemaje Kama wewe umekaa kwenye ndoa miaka Tisa😁😁😁

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 2 роки тому +3

    Bora hata wewe kuliko wale watoa povu na lawama kibao

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @rithanaftal8616
    @rithanaftal8616 6 місяців тому

    Yan ndo najua leo kama waliachana

  • @jumamohamed7720
    @jumamohamed7720 2 роки тому

    Pete lake ilo 😳😳

  • @veronicasteven1731
    @veronicasteven1731 2 роки тому

    Ukioa lazima abadilike tu

  • @user-jw9dq3qt3d
    @user-jw9dq3qt3d 6 місяців тому

    Akili nying uyu jamaa

  • @obrigadoofficial1506
    @obrigadoofficial1506 2 роки тому +3

    👏👏 Hekima ya bongo flavor Kutoka kwa Shetta kuachana sio vita.ua-cam.com/video/m3AN6xvTgEA/v-deo.html

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Рік тому

    Yeye ndo alimchoka ndo mana

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 2 роки тому

    Mmh watarudiana tu hawa

  • @ivodaman6236
    @ivodaman6236 6 місяців тому

    km tunaoana ili tuje kuachana ni bora kuzaa nao tu na kulea watt

  • @daughters1226
    @daughters1226 2 роки тому +3

    Siwez kuacha kuwahudumia wanangu eti kisa nimeachana na mama yao ila siwez kumuhudumia mama yao bora nichinjwe f**c nilipe Kodi yake ,,nilipe Fees za wanangu,,kula yake na tuligawana sawa kila tulicho chuma pamoja kama yeye n homeless aniachie wanangu

    • @Fx_expertmoneymaker001
      @Fx_expertmoneymaker001 2 роки тому +1

      Anamtunza kwasabab bado hajaolewa, pia kulinda saikolojia ya watoto. Akiolewa bas atachukua watot wake na kumuachia maisha yake mazima. Maneno ni sumu, hzo chuki ndizo hupandikiza ubaya kwenye akil za watoto mpaka wanakuwa wakubwa wanakua wanaishi kimatabaka na wazaz. Unashangaa mzaz flan anapendelewa na mtoto kumbe mtt alikuwa na mentality mbov kuhusu mzaz mwngne tangu utoto

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Рік тому +2

      Hiyo roho ya kimaskini! Hiyo nyumba anaishi x wake au na watoto? Chakula anakula kiasi gani hadi umapowalisha watoto ushindwe kumlisha na mama Yao? Futa hayo mawazo kichwani mwako sio afya.

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 6 місяців тому

      Umaskini ndo tatizo

  • @sarahtaste2876
    @sarahtaste2876 Рік тому

    Tuacheni bhna hawa wanapasha viporo 😂😂😂hivi mnajua kuachana nyie au Mnasema tu

  • @safariadrien5348
    @safariadrien5348 2 роки тому +4

    Kizungu cha nini baba 😅😅

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 роки тому +1

      Sijui anajikuta naniii mdomo koma mimi naona aongee tu kiswahiliii🤣🤣🤣🤣

  • @japhettobisha5481
    @japhettobisha5481 2 роки тому

    wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona

    • @registrationphone3593
      @registrationphone3593 2 роки тому +1

      Ndo hapo n km km bado washkaji nn imeshindikana kuendelea kua pamoja...maana ndoa yenye urafik ndo nzr na hudumu zaid

  • @JacksonThobias-wc6ml
    @JacksonThobias-wc6ml 6 місяців тому

    Kitu kizito umepigwa

  • @solvia4306
    @solvia4306 2 роки тому +1

    Kwani watu kama sheta wako wapi na mimi nikaokote😄

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      nipo hapa

    • @solvia4306
      @solvia4306 2 роки тому

      @@ahz6907 😄😄😄

    • @solvia4306
      @solvia4306 2 роки тому

      Wapi huko sasa nije kuokota

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 роки тому

      Dar

    • @solvia4306
      @solvia4306 2 роки тому

      @@ahz6907 wee na mm niko dar afu sijui wanakopatikana,ebu toa location

  • @rashidahmed8071
    @rashidahmed8071 2 роки тому +2

    Mademu wanatamaa

  • @sashahauke2032
    @sashahauke2032 2 роки тому

    Hivi jamani naomba niulize huyu ndo yule anaejiita shetani?

    • @aminakipande5645
      @aminakipande5645 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣ndiooo siku hiz mpk kinge anaongeaaaa🙄😂😂😂😂

    • @sashahauke2032
      @sashahauke2032 2 роки тому

      @@aminakipande5645 😭😭😭haya bwana

  • @levinamaico7064
    @levinamaico7064 2 роки тому +3

    Kwakwel kama wanaume wote wangekuwa kama sheta 900 ingependeza sana😂😂😂

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 2 роки тому +1

    Mama Kaila Malaya Dereva wa Kaila Alikuwa anakula mzigo

  • @jescajohn6619
    @jescajohn6619 2 роки тому

    Zero

  • @jchriss4269
    @jchriss4269 2 роки тому

    Bunduki ya hewa inayotengenezwa mbeya Tz na kijana mdogo tazama hii
    ua-cam.com/video/Lg84vXtWlWI/v-deo.html

  • @japhettobisha5481
    @japhettobisha5481 2 роки тому

    wewe jishaue tu lkn ukweli ni kuwa bado unampenda,sasa jifanye mzungu lkn cku ukisikia anafunga ndoa ndio hakuna rangi utaacha kuona

  • @hakimalia2275
    @hakimalia2275 2 роки тому +5

    Kwaiyo sheta una miaka30😂

    • @paulokasera3470
      @paulokasera3470 2 роки тому +2

      Possibly...Sheta kamaliza Shule ya Msingi Boman pale ilala 2004...Kamaliza Form IV benjamin Mkapa 2008....Kama alimaliza Mdogo sana form IV anaweza akawa alikuwa na miaka 16 na Kama alimaliza Mkubwa sana alikuwa na Miaka 18....Pigia Mahesabu kuanzia hapo na kuendelea.....So it is possible akawa ana hiyo Miaka