Muacheni, Kama mwanaume kamtia mimba mwanamke af akamkana kisa alikuwa na yule muhindi koko, mwanamke analea mwenyewe mtoto wake, mtoto hapati mapenzi ya baba coz baba anaogopa kumuudhi mwanamke mwingine aliye naye. Kuna ulazima gani wa kusema baba yake ni fulani wakati baba mwenyewe kivuli tu. Hata kama ni mimi nampotezea mbali.
Lkn ata Kama umkane si Una uhakika kuwa alikutoooomba na kukutia mimba au vip
tatizo lenu nyie wadada mnapenda kutembea na masupa staa matokeo yenu mnalia na mapenzi kinakacho endelea mtadanga sana tu maisha ya mtu wa kawaida yanaraha sana/
Uzuri wa Sura wa baadhi ya wanawake wa Kitanzania, ungekuwa Hadi ubongoni. Nchi hii ingepaa kuikaribia marekani.
Duuuuu
Mwanaume ambaye hajakutambua kweny shida iweje achukue mtoto mtoto niwa mama cku zote.wanaume wajifunze kutunza mimba maan uzazi ni nusu kifo
Hili li demu kumbe ni jipu eeh.. Baraka songa mbele achana na kiazi hicho
Ww mwanamke chizi sana
Nyie Hamja elewa baraka Ali mkana kuwa so mwanae sasa caren uwezi jua kuwa kapitia mangap wanawake wana pitia mengi ndo mana ina fikia time ana sema so baba yake coz Ali mkana
Uzuri wa sura sisi wanaume hatuangaliagi sasa jikaze
Kibongo bongo sishangai mtoto akawa na baba sita
hii ni bongo tu! mwanamke mwenye makalio makubwa. kichwani bongo empty. huwa wanajikuta kama wanadiploma
Huyu Dada akili hana
Diva uache kuforce kupat habar tyu bila kuangalia hali ya mhusika some things are taken as privacy respect confidentiality acha ushamba inaonekan unamuonea wivu mdada wa watu
Diva unaongea point sana nakpenda sana afunguke mtoto ni wa balaka
Namuonea huruma ila mtoto ni wa da prince kabixa
Sasa kama haudumii mnataka aseme ni baba jina au
Mwenyewe km baba mtoto asipomuhudumia mwanae asahau tu kuwa atamjua Huyo mtoto ajipange tu
Hapo inawezekana mtoto ana baba Zaid ya wawili...lakini unamuweka hatarini mtoto,, wedada,muogope mungu
Hii nchi inatakiwa kuwekwa sheria Kali Sana kwa mwanamke anae badilisha ubini wa baba kwa namna moja ama nyingine
Vile vile iwekewe sheria kali kwa wanaume wanaokimbia watoto kukataa kuwatelekeza na kuwakana. Angalia kitu unachokiongea
Hata mm sishangai nimenadili jina lababa wamwanangu yy kanikomoa kakimbia namm nimemkomoa kumnyia nisawa huyu dada yuko sawa km baba hatoi hudumu kwamwanae
Tatizo wanawake wa kibongo wanawahi kubeba mimba bila kumjua jamaa hawaogopi ukimwi matokeo yake wanazaa kila mtoto na baba yake, kama Baraka alikubali kuzaa nae asingemkana mtoto, demu kakimbilia kubeba mimba ili azae na star apate maokoto akaambulia patupu
Baba wamtoto ajawai badirika wanawake ni vichaa Sana
Wan awake wakitanzania n wa wajinkiwajika sana utaongea hv ukiwa kijawa kijna sasa jidai utakoma hata hata kma asipokuwa mtoto wake jinga sana ww
Diva amekamata mwizi 😅😅 imeniuma sana wanaume kuwa makini usiangalie sura au usitaa angalia akili ya mwanamke hapo mumejifunza 😅😅
Wanawake ni mapepo kabisa ukiangalia huyu mwanamke anasema mtoto wa kwake kama yeye aliijitomba mwenyewe
Nyie ndio Mnapigwaga Bastola wee Ongea Kama mtt wake au sio wake
Inawezekan kuna kitu kwa nini anapata wakati mgumu kujibu anyway tuache umbea
Huyu dada hajui kujibu maswali
Ukweli utabaki pale palee
Tafuteni ela wazee
Mmmh mtt sio wake kasema
Nadhani mtoto ni wake lakini alipozingua akaamua kutompa huyo bwana. Kama haya hayajakukuta huwezi elewa mmmh maisha haya
@@salimsaid7200 hongera kwa matusi na ndiyo hiyo hiyo iliyojutoa duniani
Huna hata aibu unazani kutukana humu ni sifa au jifunze ustaarabu matusi ni ushambab
Kafanya maamudhi ya hasira
Huo weusi wa baráka haukwepeki 😅😅😅
Hawa ndo wanawake tunaoambiwa eti wanaume tu akwepa majikumu,,hivi hivi hivi
Caren kumbe ni jinga tu.
Uyu manzi kilaza kwel
yaani hata me nisingetaka kumwita mwanangu jila mpuuzi baraka huyu anajikuta mnoo
🤔
Hongera sana dada kwa kumbadilisha mtoto jina mimi mwenyewe nimembadilisha mwanangu jina na niko njiani kumbadillisha na jina nala baba yaani mpaka naona Chungu has unanichunguliya
mtoto ni wa mama,,,ametoka kwenye kitovu cha mama
KWELI LAKINI SIO KITOVU MAMA KATOKA KWENYE KUMA YA MAMA BAADA YA KUTIWA UBOO NA BABA BILA UBOO ASINGEZAA.
Huyo demu ni ana akili zisizo na akili
Bure kabisaa 🤔
wanawake walio wengi ni wapuuzi tu ikitokea wametofautiana wazazi wanawake wanakua wepesi sana kuwalisha sumu watoto sasa sio mtoto wake kwa sababu mna ugomvi mpuuzi sana wewe dada
Baba hua baba sababu ya huduma anayo toa Kwa mwanae .mama ni mama sababu ya kuzaa huo mtoto Na connection yake Na mtoto huazia akiwa Kwa tumbo . wanaume mujue kuhudumia watoto wenu nikitu mhimu sana
Bakubal wcb kinoma
Huna hakil ww mudada
Huyu mdada fala kweli yani
Hujui uchungu anaousikia. uchungu huo wanaujua wanawake waliozalishwa na kuachwa tu.
Leo kingelleza kapata mswahili ptueeee huyu dada kwakweli anajuwa kucheza akili za watu
Wanawake wanaojiona niwazuri hawana akili kabisa that's why kuoa mwanamke mzuri hatushauriwi sana hivi viumbe there so stupid much
Malaya huyo
Diva unaForce Sana personal issue ya watu....
@@judiehance1736 na sio Mara moja....huwa anatishia watu eti hii ndio kazi yake....I think anafanya hvyo ju anafanya kwa radio station kubwa....
@@zezenature yeah kila mtu ana privacy zake , huenda akiziongelea ataharibu uhusiano wake na wanafamilia ,sasa huyu mama haelewi 🤔🤔ndo maana aligombana na lulu diva maana ana force uongelee usiyotaka
mtangazaji na haki yake kuuliza na si kujudge out..na mara nyingi huwa inasaidia wao kuuliza wasanii kujibu..cuz hata baadae mtt anapokuwa anakuwa na profile ya kutosha yenye ushahid stahiki
Wanawake bwana takataka kama hiz hazifai hatakuzaanae walakuoa pumbakabisa
@@salimsaid7200 hatakaswende zinapatikanahumohumo .pia taka taka mdamwingine hutumika kamambolea . Kwaio kuana mti haimaanishi utayalamatunda matamu mengine sumu. Lakini yoote ni miti. Kama ulivyotamka hicho ulichakisema anacho lakini haimaanishi anafaa kuitwamama bora kwahuo ujinga anaotakujifanya mjuzi kuliko Mungu kwaio mtoto hana Baba. Takataka hatayesu aliwai kuona mtimzuri wenye matawi mazuri akavutiwanao alipo ukaribia akagundua hauna Matunda akajisemea mtimzuri kamahuu yawezekanavipi kukosamatunda basi yesu akaulaani mti ule. Nadhani umrnielewa. Ule nimti kama mitimingine lakini ulikuanakasoro yesu akaulaani . Taka taka tuu.
MALAYA HANA MKOLE
Pumbv 😂
Bongo land😁
Huyu Dada akili hana
Na hii ndiyo sumu ya mijanamke mikahaba ya kibingo yan hapa tayar lishauza mtoto kwa boy mwingine
hahahahhaha hii ndo raha ya kuzaa nje ya ndoa...mtoto anakosa raha tangia utotoni....ndo maana halisi ya kuzaa mtoto wa haramu...cha haramu kimegeuzwa kua halali
@@mbonimarog5903 wapi nilisema kinazaa haramu....soma uelewe sio unjb tu
@@fareesfarees7634 na wewe rudia hiyo coment yako vizuri utaona kama hujasema mtoto haramu
Hongera wewe usiyezaa haramu lakini sema pole pole kwani kuna wengi wamesubiri kuolewa sasa wako fifty hawajaolewa na hawajazaa sijui utawaitaje na kama wewe mzazi huwezi jua uzao wako utakuwaje kwani hata hao wanaozaa haramu wazazi wao waliomba yasiwakute lakini ndo hivyo either way iwe kwa kuhangaika kwao au kwa kubakwa au kwa kupenda wasiojua kupendwa.
sura nzuri kichwani empty
Bana...Hahahaha
Nmecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂