BEHIND THE SCENE: ALICHOKIFANYA DUBE BAADA YA KUVAA JEZI YA YANGA KWA MARA YA KWANZA.

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 167

  • @ceciliadaudi1632
    @ceciliadaudi1632 7 днів тому +37

    Mungu wa mbinguni amjalie afya njema amuweke mbali na majeraha 🙏Pia akaimarishe kiwango chake na kila atakalo fanya ndani ya pitch kikawe Bora sana YANGA BINGWA 💚💚💚💚💚💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🙏Welcome home of champions Prince dube 📌📌📌

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 7 днів тому +8

    Mungu Amulinde na. AMUJALIE AFYA NJEMA NA FURAHA NDANI YA MOYO WAKE. DUA KILA HATUA. PAMOJA NA VIONGOZI WA YANGA WAWE NA AFYA NJEMA DAIMA INSHAALAH 👏👏👏👏👏👏👏👏💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @user-ut9uo6dc9d
    @user-ut9uo6dc9d 7 днів тому +15

    dube anafulaha kama ameshinda spotpesa. karibu kwa mji wa Raha dube yanga💚💚💚💚💚

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 7 днів тому +12

    Karibu jangwani usiwai nyoa kipara uku jangwani hakina wakina saido mzamiru wenye kipara tofauti ni gamondi baba we piga pank yako msimu ujao ikawe heri kwako piah na kwa timu yetu inshallah 💛💚🏆🤲

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja 7 днів тому +12

    Amefurahi Sanaa dube inaoneka ndoto yake imetimia kuungana na wananchiiiiiii Tim ya makombee

  • @user-br7fz4zd5x
    @user-br7fz4zd5x 7 днів тому +6

    Kafurahi mwenyewe mungu amwepushie na kila mweshari nae inshaallah furaha yake ikatimie uwanjani !!

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman 7 днів тому +6

    Lakn kaz zinafanyikaaa na hawa vijana🎉🎉🎉

  • @josqwerty
    @josqwerty 7 днів тому +28

    Mm wa kwanza naomba like zenu Kama unamkubali dubee

  • @MonaMaiko
    @MonaMaiko 7 днів тому +5

    Mungu akusimamie, akuongoze, akupe nguvu, afya njema, maarifa , dube

  • @FlolaSemen
    @FlolaSemen 7 днів тому +6

    Mungu akulinde price dube

  • @phiddeschacha3143
    @phiddeschacha3143 7 днів тому +4

    Hivi Dube anaongea kiswahili? Ila amependeza sana jamani yaani Yanga hatuna watu wabovu, vijana wetu wote wapo smart 🙏🏾🙏🏾💪🏿

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 6 днів тому

      Yes anaongea kiswahili kizuri kabisa

  • @Adamson-kz2pn
    @Adamson-kz2pn 7 днів тому +9

    Karibu ubingwani prince

  • @alyne7710
    @alyne7710 7 днів тому +5

    Hii Team ya Yanga nikubwa mpaka inaogopesha naina juwa kucheza na alama za nyakati nakama kuna team inaamini kwamba kuna siku yanga itashuka ndio kwanza inazidi kubarikiwa na Mungu mana ina viongozi wachamungu wenye upendo na taifa pia kujali na kutoa misaada mbali mabli nje na ndani ya nchi ivyo team hii sio team ya kawaida ni Team ya Mungu kama izirael ogopa sana sana sana

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 7 днів тому +9

    😂dube anafurahaaaa sanaa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 7 днів тому +5

    Mungu naomba anilinde niione ligi ya mwaka huu,mbona itakuwa tamu sana.

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 7 днів тому +6

    Kutoka ile siku ya wape tabasamu ndio niliaza kumpenda 😍

  • @BenjaminSapa
    @BenjaminSapa 7 днів тому +3

    Ukiangalia vzurii huyu jamaa kavaa nguo ya njano kashangilia style ya baleke 😂😂😂 maana ake ndo anaefata

  • @PiliAbdallah-vc2no
    @PiliAbdallah-vc2no 7 днів тому +19

    Hakika allah ni mkubwa ndoto yangu ilikuwa hii kila siku na imetimia karibu kipenzi changu🎉❤

    • @aboudasilver6541
      @aboudasilver6541 7 днів тому

      Pili wewe ni utopolo😂😂😂😂

    • @KatemiMasalu
      @KatemiMasalu 7 днів тому

      vp❤

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 7 днів тому

      ​@@aboudasilver6541na wewe ni DEBORA FC BIN ZOA ZOA FC😅

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo 4 дні тому +1

    kalivo kazuury sasa waaoooh mpaka raaha aiseee💛💚💛💚💛💚💚💛💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @Cathyson469
    @Cathyson469 7 днів тому +3

    Huo ndio mguu wa mchezaji❤

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 7 днів тому +3

    Karibu sn jangwani mzee baba tumefurahi sn

  • @jumalukinga3746
    @jumalukinga3746 7 днів тому +3

    Wellcome Prince'Killer' Dube

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 7 днів тому +3

    Karibu sana mtoto wa MUFALUME

  • @julianansamuli9910
    @julianansamuli9910 7 днів тому +2

    Ila dube ni mpole jaman❤

  • @lusekelo97
    @lusekelo97 7 днів тому +3

    Wengine hawa wanapost mazombi kututishaaaa😂😂😂😂😂💚💚💛

    • @user-kr2zi7du7y
      @user-kr2zi7du7y 7 днів тому

      😂😂😂jinga sana umenfanya nimecheka

    • @lusekelo97
      @lusekelo97 7 днів тому

      @@user-kr2zi7du7y 😂😂😂😂😂 kwani nimekosea jamani

  • @johnjulliusntwenya4713
    @johnjulliusntwenya4713 6 днів тому

    Yesu akulinde uepukane na majeruhi, najua kuna watu wanakuombea uumie ufeli ila naamini jina lake Yesu krist litakulinda 🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @denicmwemez8888
    @denicmwemez8888 7 днів тому +3

    Daaah akika MUNGU nimkubwa nilitamani sana dube acheze YANGA Daaah asante MUNGU

  • @kamanapeter4751
    @kamanapeter4751 7 днів тому +2

    top scorer

  • @selemaniselemani3398
    @selemaniselemani3398 7 днів тому +3

    Wa kwanza mwenyewe hapa

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 7 днів тому +2

    Hii ndo Yanga tupo mbali mpaka waje kufika hapa sisi tupo mbaaaali

  • @user-mw3yp6kl5c
    @user-mw3yp6kl5c 7 днів тому +1

    Dube dah mbona mwenyewe naiogopa timu yangu😂😂😂😂

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 6 днів тому

    Karibu Sana mwana wa mfarume jangwani mungu akutangulie kwakila jambo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 7 днів тому +1

    Hatar sana kapendeza anafurah san mwamba

  • @5googleuuu727
    @5googleuuu727 7 днів тому +1

    Alihamundulih mashaalah nimefurahi

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 7 днів тому +3

    Katibu saana Mwana wa Mfalme kwenye Timu yenye hadhi ya juu. Jisikie nyumbani tunakuombea. Kwa msaada wa MUNGU utayatenda makuu.

  • @ShaniSadiki
    @ShaniSadiki 7 днів тому +1

    Mungu mkubwa jmn,hii yanga ni ya htr kwakweli,mungu atufanyie wepes Lila mchezaji wa yanga afanye vzr,amin

  • @user-ov6kd3jz6c
    @user-ov6kd3jz6c 7 днів тому +1

    Safi sana wananchi timu yangu

  • @BectMaridadi
    @BectMaridadi 7 днів тому +1

    Karobu sana dube kwenye tim yamabingwa

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 7 днів тому +1

    The Smiling killer sio the killer who smile 😁😁

  • @mosokaisack12
    @mosokaisack12 7 днів тому +1

    All the best prence

  • @ndelishomoshi8489
    @ndelishomoshi8489 7 днів тому +1

    Kapendeza sana ❤❤❤❤

  • @Gusta1399-r9i
    @Gusta1399-r9i 7 днів тому +3

    Kuna jamaa katoa code huko baleke is coming

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 7 днів тому +1

    Dubeeeeeeeeee🔥👍

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 7 днів тому +3

    Chama siku yake mvalisheni jezi imeandikwa magori😅

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 7 днів тому

      Mpe heshima yake Mwite Babu chama wewe mbona huna Nidhamu,

  • @rashidihusseni6775
    @rashidihusseni6775 7 днів тому +3

    Kuna muhuni kule nyuma anaonesha ishara ya baleke😂😂😂😂

    • @emmanueljacob3773
      @emmanueljacob3773 7 днів тому

      Katoa Siri ya Kambi 😂

    • @mtambuleahmad
      @mtambuleahmad 7 днів тому

      huyu mwamba amekuja mahar salama ,makolo watatusamehe kwenye suala la ubingwa wa msimu ijao ,hakika yanga tamu !!!

    • @mtambuleahmad
      @mtambuleahmad 7 днів тому

      asante rais wetu uwe na maisha marefu ,makolo tabu iko palepale

  • @GSengo
    @GSengo 6 днів тому

    Uwaaaaaaa!!

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 5 днів тому

    Karibu nyumbani mwana wa mfalme🥂🤝

  • @LindaTimalas
    @LindaTimalas 7 днів тому

    Mchezaj mkubwa lazma acheze timu kubwaaa kama Yanga. Karibu mwana wa mfalme kwenye timu ya makombe❤

  • @dominamushi7171
    @dominamushi7171 6 днів тому

    Karibu sana dube mungu akulinde.

  • @DosantosMico
    @DosantosMico 7 днів тому +1

    Karibu mwana wa ufarume dube jangwani hakika ww ni mtoto wa ufarume

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 7 днів тому +1

    Nmeona tafusili ya team kubwa

  • @footballmoments-d1c
    @footballmoments-d1c 7 днів тому +3

    Nani kaiona celebration ya Baleke

  • @felixnestoryrwelamira219
    @felixnestoryrwelamira219 7 днів тому +2

    naam yabga bingwa

  • @neemaisrael688
    @neemaisrael688 7 днів тому +1

    Kijana mpole jamani.🎉

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 7 днів тому

    Kalibu dubeeee wetuuuu💚💛🙏🙏🙏🔥🔥🔥😁😁

  • @agnesngalanda113
    @agnesngalanda113 7 днів тому +1

    Yan dube anafurahaaaa

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 7 днів тому +1

    Hiyo immemkaa vizuri mno

  • @AbdulrahimHogola
    @AbdulrahimHogola 7 днів тому +1

    Jamaa katoa code ya baleke hukooo

  • @user-lh9du2nu1g
    @user-lh9du2nu1g 7 днів тому

    Allaaah🎉

  • @ivanpatrick1180
    @ivanpatrick1180 7 днів тому

    Mungu amuepushe na majeraha🙏🏾

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w 6 днів тому

    Waaaah eebwana weeh ! Had raha , kalibu mwamba - daima mbele

  • @annambele789
    @annambele789 6 днів тому

    Tunawaombea wachezaji wote Afya njema ili tupate mataji ya Kitaifa ba Kimataifa. Pongezi kwa Eng. H....

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 6 днів тому

    💛💚💛💚💚🔥🔥🔥

  • @jackobchavala3384
    @jackobchavala3384 6 днів тому

    💚💛✔️

  • @augustinpetro6556
    @augustinpetro6556 7 днів тому +1

    Mitano tena 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 6 днів тому

    Dubeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @annambele789
    @annambele789 6 днів тому

    Hongereni kwa usajili ulio bora.

  • @reonardchatanda6371
    @reonardchatanda6371 7 днів тому

    💚💛🖤💚💛🖤

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 7 днів тому

    Mashaallah

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 7 днів тому

    Waooooo karibuuu

  • @SaleaKissima-vr7zw
    @SaleaKissima-vr7zw 7 днів тому +2

    Yanga ndani njee ya uwanjaaa nirahaa

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yo 7 днів тому

    ❤❤

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 7 днів тому

    Allaah Akbar

  • @Shaniaseleman
    @Shaniaseleman 7 днів тому +1

    tabasam tu hoiii

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 7 днів тому

    Hizo sio Office za kukodi jamani,ni JANGWANI!

  • @MagrethMgesi
    @MagrethMgesi 7 днів тому

    💚💚💚💛💛💛💪💪💪

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 7 днів тому

    💛💚💛💚💛💚🔥🔥

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 7 днів тому

    YANGA is full of proffesionals in all AREAS!

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 7 днів тому

    CPA Imekamilika --- ukijipima ukiona timu yako ni ya unga unga mwana,na especially imejaa wavulana,hapo nadhani maamuzi sahihi na ya busara yatakuwa ni " Kuto kupeleka timu uwajani,basi " Hapo utasalimika na madhara ya CPA ( Chama -- Pacome + Prince and Aziz ) mfano Ogast 08 --- kataeni kupeleka hao wavulana wenu uwanjani " Heri lawama kuliko fedheha "

  • @DelsonGerald-to6yn
    @DelsonGerald-to6yn 7 днів тому

    🔥🔥

  • @user-et8sg4kt2r
    @user-et8sg4kt2r 6 днів тому

    Welcome bro to join our international world record team

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 7 днів тому

    Welcome mwana wa mfalme🎉

  • @ThadeoSamson
    @ThadeoSamson 7 днів тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kalibu sana

  • @shabanimasoud7277
    @shabanimasoud7277 7 днів тому

    Tutashenyeta Sana MWAKA huu

  • @gabrielmchau8764
    @gabrielmchau8764 7 днів тому

    Safi safi

  • @neshamringo6810
    @neshamringo6810 7 днів тому

    💚💚💛💛

  • @user-sz8cl3ke7c
    @user-sz8cl3ke7c 7 днів тому

    💯💯💯🗽🗽

  • @user-nm5ff3ri8k
    @user-nm5ff3ri8k 7 днів тому +1

    Feisali kakimbia ugari sijali.dube kafuata ugari sukali

  • @hassankunjayo626
    @hassankunjayo626 7 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani7107 7 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 7 днів тому

    Huyo jamaa ana vyuma Mwili Mzima

  • @AdolophinaShawa-pd8yo
    @AdolophinaShawa-pd8yo 7 днів тому

    Anavyotabasamu❤❤

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley 7 днів тому

    Mashallah 💚💛🫡

  • @filemonkwaja6181
    @filemonkwaja6181 7 днів тому

    Yanga bingwa

  • @Ally-xp4jy
    @Ally-xp4jy 7 днів тому

    Welcome smile killer

  • @joventjustus7115
    @joventjustus7115 7 днів тому

    💣💣

  • @Gusta1399-r9i
    @Gusta1399-r9i 7 днів тому

    Kuna jamaa katoa code huko baleke is coming 6:45

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 7 днів тому

    Umetimiza haja ya moyo wako sasa dube hongeraaaaa kwa hilooo

  • @snamabdu6916
    @snamabdu6916 7 днів тому

    Kumbe Huwa Mnawaambia Wa Busu 😅😅😅

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew 7 днів тому

    Yaani hapo ndipo unapoanza kuona thamani ya kikosi cha simba na yanga utofauti na thamini yake ila watu wetu wapicha wametuangusha kidogo mchezaji anatakiwa kuvaa full kuanzia jezi mpaka soksi na viatu alafu ndiyo picha zinaendelea naakivua hata akivaa nyingine zinakuwa nizatimu siyo nguo binafsi sasa hapa hela iliyotumika kwa chama na mwana wa mfalme pale simba wale vijeba wao waliowaleta unasajili watano mpaka 6