Mungu wa mbinguni amjalie afya njema amuweke mbali na majeraha 🙏Pia akaimarishe kiwango chake na kila atakalo fanya ndani ya pitch kikawe Bora sana YANGA BINGWA 💚💚💚💚💚💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🙏Welcome home of champions Prince dube 📌📌📌
Mungu Amulinde na. AMUJALIE AFYA NJEMA NA FURAHA NDANI YA MOYO WAKE. DUA KILA HATUA. PAMOJA NA VIONGOZI WA YANGA WAWE NA AFYA NJEMA DAIMA INSHAALAH 👏👏👏👏👏👏👏👏💚💛💚💛💚💛💚💛
Karibu jangwani usiwai nyoa kipara uku jangwani hakina wakina saido mzamiru wenye kipara tofauti ni gamondi baba we piga pank yako msimu ujao ikawe heri kwako piah na kwa timu yetu inshallah 💛💚🏆🤲
Hii Team ya Yanga nikubwa mpaka inaogopesha naina juwa kucheza na alama za nyakati nakama kuna team inaamini kwamba kuna siku yanga itashuka ndio kwanza inazidi kubarikiwa na Mungu mana ina viongozi wachamungu wenye upendo na taifa pia kujali na kutoa misaada mbali mabli nje na ndani ya nchi ivyo team hii sio team ya kawaida ni Team ya Mungu kama izirael ogopa sana sana sana
CPA Imekamilika --- ukijipima ukiona timu yako ni ya unga unga mwana,na especially imejaa wavulana,hapo nadhani maamuzi sahihi na ya busara yatakuwa ni " Kuto kupeleka timu uwajani,basi " Hapo utasalimika na madhara ya CPA ( Chama -- Pacome + Prince and Aziz ) mfano Ogast 08 --- kataeni kupeleka hao wavulana wenu uwanjani " Heri lawama kuliko fedheha "
Yaani hapo ndipo unapoanza kuona thamani ya kikosi cha simba na yanga utofauti na thamini yake ila watu wetu wapicha wametuangusha kidogo mchezaji anatakiwa kuvaa full kuanzia jezi mpaka soksi na viatu alafu ndiyo picha zinaendelea naakivua hata akivaa nyingine zinakuwa nizatimu siyo nguo binafsi sasa hapa hela iliyotumika kwa chama na mwana wa mfalme pale simba wale vijeba wao waliowaleta unasajili watano mpaka 6
Mungu wa mbinguni amjalie afya njema amuweke mbali na majeraha 🙏Pia akaimarishe kiwango chake na kila atakalo fanya ndani ya pitch kikawe Bora sana YANGA BINGWA 💚💚💚💚💚💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🙏Welcome home of champions Prince dube 📌📌📌
Ameeny
Ameen
Ameen thuma Ameen Ya Rabbi
Amin
Aminaa
Mungu Amulinde na. AMUJALIE AFYA NJEMA NA FURAHA NDANI YA MOYO WAKE. DUA KILA HATUA. PAMOJA NA VIONGOZI WA YANGA WAWE NA AFYA NJEMA DAIMA INSHAALAH 👏👏👏👏👏👏👏👏💚💛💚💛💚💛💚💛
dube anafulaha kama ameshinda spotpesa. karibu kwa mji wa Raha dube yanga💚💚💚💚💚
Karibu jangwani usiwai nyoa kipara uku jangwani hakina wakina saido mzamiru wenye kipara tofauti ni gamondi baba we piga pank yako msimu ujao ikawe heri kwako piah na kwa timu yetu inshallah 💛💚🏆🤲
Amefurahi Sanaa dube inaoneka ndoto yake imetimia kuungana na wananchiiiiiii Tim ya makombee
Kafurahi mwenyewe mungu amwepushie na kila mweshari nae inshaallah furaha yake ikatimie uwanjani !!
Lakn kaz zinafanyikaaa na hawa vijana🎉🎉🎉
Mm wa kwanza naomba like zenu Kama unamkubali dubee
❤❤❤❤❤
Mungu akusimamie, akuongoze, akupe nguvu, afya njema, maarifa , dube
Mungu akulinde price dube
Hivi Dube anaongea kiswahili? Ila amependeza sana jamani yaani Yanga hatuna watu wabovu, vijana wetu wote wapo smart 🙏🏾🙏🏾💪🏿
Yes anaongea kiswahili kizuri kabisa
Karibu ubingwani prince
Hii Team ya Yanga nikubwa mpaka inaogopesha naina juwa kucheza na alama za nyakati nakama kuna team inaamini kwamba kuna siku yanga itashuka ndio kwanza inazidi kubarikiwa na Mungu mana ina viongozi wachamungu wenye upendo na taifa pia kujali na kutoa misaada mbali mabli nje na ndani ya nchi ivyo team hii sio team ya kawaida ni Team ya Mungu kama izirael ogopa sana sana sana
😂dube anafurahaaaa sanaa
Mungu naomba anilinde niione ligi ya mwaka huu,mbona itakuwa tamu sana.
Kutoka ile siku ya wape tabasamu ndio niliaza kumpenda 😍
Wewe ndo mie kabisa 😂😂
Ukiangalia vzurii huyu jamaa kavaa nguo ya njano kashangilia style ya baleke 😂😂😂 maana ake ndo anaefata
Hakika allah ni mkubwa ndoto yangu ilikuwa hii kila siku na imetimia karibu kipenzi changu🎉❤
Pili wewe ni utopolo😂😂😂😂
vp❤
@@aboudasilver6541na wewe ni DEBORA FC BIN ZOA ZOA FC😅
kalivo kazuury sasa waaoooh mpaka raaha aiseee💛💚💛💚💛💚💚💛💛💚💛💚💛💚💛💚
Huo ndio mguu wa mchezaji❤
Karibu sn jangwani mzee baba tumefurahi sn
Wellcome Prince'Killer' Dube
Karibu sana mtoto wa MUFALUME
Ila dube ni mpole jaman❤
Wengine hawa wanapost mazombi kututishaaaa😂😂😂😂😂💚💚💛
😂😂😂jinga sana umenfanya nimecheka
@@user-kr2zi7du7y 😂😂😂😂😂 kwani nimekosea jamani
Yesu akulinde uepukane na majeruhi, najua kuna watu wanakuombea uumie ufeli ila naamini jina lake Yesu krist litakulinda 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Daaah akika MUNGU nimkubwa nilitamani sana dube acheze YANGA Daaah asante MUNGU
top scorer
Wa kwanza mwenyewe hapa
Hii ndo Yanga tupo mbali mpaka waje kufika hapa sisi tupo mbaaaali
Dube dah mbona mwenyewe naiogopa timu yangu😂😂😂😂
Karibu Sana mwana wa mfarume jangwani mungu akutangulie kwakila jambo🎉🎉🎉🎉🎉
Hatar sana kapendeza anafurah san mwamba
Alihamundulih mashaalah nimefurahi
Katibu saana Mwana wa Mfalme kwenye Timu yenye hadhi ya juu. Jisikie nyumbani tunakuombea. Kwa msaada wa MUNGU utayatenda makuu.
Mungu mkubwa jmn,hii yanga ni ya htr kwakweli,mungu atufanyie wepes Lila mchezaji wa yanga afanye vzr,amin
Safi sana wananchi timu yangu
Karobu sana dube kwenye tim yamabingwa
The Smiling killer sio the killer who smile 😁😁
All the best prence
Kapendeza sana ❤❤❤❤
Kuna jamaa katoa code huko baleke is coming
Dubeeeeeeeeee🔥👍
Chama siku yake mvalisheni jezi imeandikwa magori😅
Mpe heshima yake Mwite Babu chama wewe mbona huna Nidhamu,
Kuna muhuni kule nyuma anaonesha ishara ya baleke😂😂😂😂
Katoa Siri ya Kambi 😂
huyu mwamba amekuja mahar salama ,makolo watatusamehe kwenye suala la ubingwa wa msimu ijao ,hakika yanga tamu !!!
asante rais wetu uwe na maisha marefu ,makolo tabu iko palepale
Uwaaaaaaa!!
Karibu nyumbani mwana wa mfalme🥂🤝
Mchezaj mkubwa lazma acheze timu kubwaaa kama Yanga. Karibu mwana wa mfalme kwenye timu ya makombe❤
Karibu sana dube mungu akulinde.
Karibu mwana wa ufarume dube jangwani hakika ww ni mtoto wa ufarume
Nmeona tafusili ya team kubwa
Nani kaiona celebration ya Baleke
Nimeiona hiyooo😅😅😅
naam yabga bingwa
Kijana mpole jamani.🎉
Kalibu dubeeee wetuuuu💚💛🙏🙏🙏🔥🔥🔥😁😁
Yan dube anafurahaaaa
Hiyo immemkaa vizuri mno
Jamaa katoa code ya baleke hukooo
Allaaah🎉
Mungu amuepushe na majeraha🙏🏾
Waaaah eebwana weeh ! Had raha , kalibu mwamba - daima mbele
Tunawaombea wachezaji wote Afya njema ili tupate mataji ya Kitaifa ba Kimataifa. Pongezi kwa Eng. H....
💛💚💛💚💚🔥🔥🔥
💚💛✔️
Mitano tena 🤣🤣🤣🤣🤣
Dubeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni kwa usajili ulio bora.
💚💛🖤💚💛🖤
Mashaallah
Waooooo karibuuu
Yanga ndani njee ya uwanjaaa nirahaa
Na ndanii ya uwanjaa ni balaaaa kabisa
❤❤
Allaah Akbar
tabasam tu hoiii
Hizo sio Office za kukodi jamani,ni JANGWANI!
💚💚💚💛💛💛💪💪💪
💛💚💛💚💛💚🔥🔥
YANGA is full of proffesionals in all AREAS!
CPA Imekamilika --- ukijipima ukiona timu yako ni ya unga unga mwana,na especially imejaa wavulana,hapo nadhani maamuzi sahihi na ya busara yatakuwa ni " Kuto kupeleka timu uwajani,basi " Hapo utasalimika na madhara ya CPA ( Chama -- Pacome + Prince and Aziz ) mfano Ogast 08 --- kataeni kupeleka hao wavulana wenu uwanjani " Heri lawama kuliko fedheha "
🔥🔥
Welcome bro to join our international world record team
Welcome mwana wa mfalme🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kalibu sana
Tutashenyeta Sana MWAKA huu
Safi safi
💚💚💛💛
💯💯💯🗽🗽
Feisali kakimbia ugari sijali.dube kafuata ugari sukali
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Huyo jamaa ana vyuma Mwili Mzima
Anavyotabasamu❤❤
Mashallah 💚💛🫡
Yanga bingwa
Welcome smile killer
💣💣
Kuna jamaa katoa code huko baleke is coming 6:45
Umetimiza haja ya moyo wako sasa dube hongeraaaaa kwa hilooo
Kumbe Huwa Mnawaambia Wa Busu 😅😅😅
Yaani hapo ndipo unapoanza kuona thamani ya kikosi cha simba na yanga utofauti na thamini yake ila watu wetu wapicha wametuangusha kidogo mchezaji anatakiwa kuvaa full kuanzia jezi mpaka soksi na viatu alafu ndiyo picha zinaendelea naakivua hata akivaa nyingine zinakuwa nizatimu siyo nguo binafsi sasa hapa hela iliyotumika kwa chama na mwana wa mfalme pale simba wale vijeba wao waliowaleta unasajili watano mpaka 6