Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
Unajuaje Simba at Fanya vizuri
Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅
Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona
Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli
waambie ukweli
Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana
We fala tu
Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu
Jinga hili
ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢
Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌
Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi
Weto masta na wanajuwa mpira
Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.
ays unaongeya ukwr
We ni shabiki yanga😅
mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka
Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂kweli kaka
Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja
Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli
Ambukile ndo ww
Ngao yanga 8 vs simba 0
Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki
Mchambuzi maandazi kwelikweli
Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali
Wachambuzi wa skuiz shida sana
Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana
Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.
Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli
We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora
Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli
Kwl😂😂😂😂
Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako
Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe
Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.
Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel
Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!