#live

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 38

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 8 днів тому +6

    Unajuaje Simba at Fanya vizuri

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 8 днів тому +4

    Fadlu namjua vizuri ashakaa Sana Pietermaritzburg Kule DURBAN kaifelisha Ile timu,then akaja Orlando km assistant then Kocha mkuu,Hakuna la maana alilofanya,Simba wamefeli Tena,sio Kocha huyo WA kukoch timu km Simba,Yanga atapiga 8,tupo hapa😅😅

  • @adamgwila3395
    @adamgwila3395 8 днів тому +5

    Tuache na Simba yetu wewe we sio mungu tutaona

  • @ebisomola9989
    @ebisomola9989 8 днів тому +5

    Mm pia ni simba sana tena ila mengi umeongea mengi mazuri japo kwa asilimia za ubingwa wa yanga. Ni 60% sio 70 na pia tusikatae ukweli huyo mwamba anaongea ukweli kabisa. Wachezaji wengi tunaokota okota tu. Tunachukua wale wale walio maliza mikataba na hatujui walikuwa wanatakiwa na timu zingine zipi mpaka wakaja simba. Ila tuseme mda utaongea. Kama kweli au si kweli

  • @IsayaJoseph-ty3kq
    @IsayaJoseph-ty3kq 8 днів тому +3

    waambie ukweli

  • @sauka9622
    @sauka9622 8 днів тому +2

    Shida ligi ya bongo inawachambuz wengi adi vimjusi vipo vngi sana

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 8 днів тому +3

    We fala tu

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 8 днів тому +2

    Jamaa ni maandazi kweli huyu hajui kitu

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro5792 8 днів тому +2

    Jinga hili

  • @HamadMkubwa
    @HamadMkubwa 8 днів тому +3

    ww hakuna uchawa wowote huyu jamaa anaongea ukwel na ww kama humuamini subir ligi ianze utaona ukweli 😢

  • @collectionline6055
    @collectionline6055 8 днів тому

    Huo ndo ukweli kaka😊 umechambua vizur 🙌🙌

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 8 днів тому +9

    Mbona Tim ya taifa anachukua wachezaji kutoka timu tofauti na wanafanya vizuri pili KAZI ya kocha Nini mbona chama alikwenda Belkane mbona kaferi

    • @iddrisanyange8175
      @iddrisanyange8175 7 днів тому

      Weto masta na wanajuwa mpira

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 5 днів тому

      Kwahiyo utopolo wa mo dewji nao wamechukua wachezaji kama timu ya taifa? kwasababu timu ya taifa huwa inaita wachezaji wanaong'aa kwenye vilabu vyao. Halafu sijawahi kuona timu ya .taifa inashiriki ligi kuu au kombe la shirikisho🙄😂😂.

  • @shalooboyburundi
    @shalooboyburundi 8 днів тому +2

    ays unaongeya ukwr

  • @kainkamwagila6046
    @kainkamwagila6046 8 днів тому +1

    We ni shabiki yanga😅

  • @Graceyust
    @Graceyust 7 днів тому +1

    mtukaneni tu ila mda ukifika mtamkumbuka

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 8 днів тому +1

    Kauli Yako MAKOLO watatoa sana MAPOVU🤣🤣🤣🤣

  • @AdenSator
    @AdenSator 8 днів тому

    😂😂😂😂kweli kaka

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 7 днів тому

    Ukweli ndio huu Simba Wenzangu.... #Nguvu moja

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 8 днів тому

    Ili uonekane kuwa ni mwanasimba lazima maisha Yako yote uwe muongo Sana ndio mwanasimba wa kweli

  • @user-pl4rm6rk8n
    @user-pl4rm6rk8n 8 днів тому +2

    Ambukile ndo ww

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa 7 днів тому +1

    Ngao yanga 8 vs simba 0

  • @seniormagali5580
    @seniormagali5580 6 днів тому

    Mbn hujaitwa crown media we mchambuzi mzur unaujua mpira swala si ushabiki

  • @sophyodago5062
    @sophyodago5062 7 днів тому

    Mchambuzi maandazi kwelikweli

  • @jumapindi2313
    @jumapindi2313 7 днів тому

    Jamaa anaongea ukweli SEMA atapingwa vikali

  • @tseinlee6727
    @tseinlee6727 8 днів тому

    Wachambuzi wa skuiz shida sana

  • @christopherchisuligwe512
    @christopherchisuligwe512 8 днів тому +2

    Huyu ni utopolo siku zote, mwandishi ambaye elimu yake ya mpira ni ndogo sana

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 6 днів тому

      Huu ubishi wenu ndio unawafikisha huku na mtapotea zaidi ya msimu ujao! Hampendi kuambiwa ukweli.

    • @reinfridlipili5666
      @reinfridlipili5666 6 днів тому

      Anaongea UKWELI na waswahili hampendi ukweli

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 8 днів тому

    We muongo ata Simba wanaboresha kikosi uwezi kujenga kikosi unachukua wachezaji Bora

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g 2 дні тому

    Mchambuzi mahili sana anajua pia ni mkweli

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 8 днів тому

    Kwl😂😂😂😂

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 7 днів тому

    Dube mnamjualakini.na huyu nae ajiongelesha.eti simba anajenga timu.ubinwa yanga.jamani mpira hamuujui ninyi.na hilo kalio gelee kwa mama yako

  • @adamgwila3395
    @adamgwila3395 8 днів тому +2

    Maandazi wewe utakumbuka naneno yako bichwa wewe

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 8 днів тому +1

    Huu ndio uchawa unaoitafuna nchi yetu jinga moja kwasababu ya tumbo lake linajitokeza kuwasemea wengine.

    • @maulidkawala104
      @maulidkawala104 8 днів тому

      Pokea fact iyo acha kiburi uchawa upo wap xx wakat m2 anaongea ukwel

    • @idrisanaumanga6410
      @idrisanaumanga6410 8 днів тому +1

      Makolo tulia boya wewe, jamaa anaongea fact!