Jamani kazi yenu ni kubwa mno Mungu awalipe zaidi Ila.nina shida, Mdogo wangu yeye hataki kabisa mtoto wake kisa amepata mtu mwingine na hataki mahusiano yake yavunjike hivyobasi hataki mtoto wake Hii sijui tunasaidikaje jamani @cloudsmedia
Mwenyeez Mungu awasimamie Clouds hii sadaka inayotolewa kwa kukutanisha familia ni hazina kubwa kwa Allah ila wafanyakazi wa clouds mpewe hongera mimi ningelia kila wakati maana kila familia ikilia na mimi ningelia
Kiukweli niwapongeze crous pia ht watangazai wake wastaarabu waziri Wana adabu wanahoj kiungwana sio maimatha kajaa kejeri tupu nadharau. Crous mpo juu nawapenda sana
Kiukweli nilikuwa nikisikiliza ledio mpaka mwili unasisi mka kiukweli Mungu awape maisha malefu pia ongeran kwa wale mulio pata mama au mtoto pia claudhi mwezi 1 hautoshi
Hongereni sana mungu awabariki nyie mnaounganisha waliopotezana
Clous mnafanya kazi kubwa sana na hii ndio tofauti yenu na stesheni zingine mtabaki juu mawinguni ,nimejikuta nalia
Stella anaonekana mnyenyekevu sana. Mungu akutunze❤
Ana hofu ya Mungu na imeandikwa amtegemeaye Mungu haachwi ona kapata mume ambaye anamsaidia kulea wadogo zake, Mungu ni mwema
Mungu ni mwema!ila kuna wanaume wana Roho nzuri hyo ni zaidi ya mwanaume wa kawaida...kulea watoto wote hao aisee ni bonge la bwana
Hongera Stella kuwaleawadogo zako🎉🎉🎉
Jamani kazi yenu ni kubwa mno
Mungu awalipe zaidi
Ila.nina shida,
Mdogo wangu yeye hataki kabisa mtoto wake kisa amepata mtu mwingine na hataki mahusiano yake yavunjike hivyobasi hataki mtoto wake
Hii sijui tunasaidikaje jamani @cloudsmedia
Mwenyeez Mungu awasimamie Clouds hii sadaka inayotolewa kwa kukutanisha familia ni hazina kubwa kwa Allah ila wafanyakazi wa clouds mpewe hongera mimi ningelia kila wakati maana kila familia ikilia na mimi ningelia
Kiukweli niwapongeze crous pia ht watangazai wake wastaarabu waziri Wana adabu wanahoj kiungwana sio maimatha kajaa kejeri tupu nadharau. Crous mpo juu nawapenda sana
Tuiombee clouds isife mnatusaidia watz ktk mambo magum km aya ❤
Kazi nzuri sana na ongereni mungu atawalipeni sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Stella mzuri atarii❤
Kiukweli nilikuwa nikisikiliza ledio mpaka mwili unasisi mka kiukweli Mungu awape maisha malefu pia ongeran kwa wale mulio pata mama au mtoto pia claudhi mwezi 1 hautoshi
Mpo vizuri sana kuwakutanisha wazazi na wtt waoo
Hakika Clouds mnapata thwawabu nyingi sana ❤ mchozi unanitoka tuu jamani
Nipeni Mie Prisca, jicho langu limeona kitu kwa Prisca
Mungu awalipe team clouds
Clouds nawakubali san
Sijui nalia nini jamani😢😢😢
Dah mungu awabariki clouds 😢😢😢😢😢
Clouds mbarikiwe Sana, awafanye kuwa wakubwa zaidi na zaidi
Uwiii nmeliaaaa
Mungu azid kuwabariki cloud's
Mume hongera
The people station ndiyo hii
The people station aisee hii redio wekeni mbali na kila kitu
😢😢😢😢 ici kipindi ni tunalia nawao kwa kweli wanafanya kazi kubwa clouds
😂😂😂yan najikuta nalia kila ninayoangalia
Yeah hii kitu ni nzur na mnafanya kaz kubwa clouds
Hii redio ni zaidi ya redio
Daa inauma sana❤❤
Hivi vipindi na jitihada kubwa za clouds media huwa nalia sana
Mungu awatunze ni kher waliopotesana tu wanaweza kuwa natumaini la kuonana siku moja wataonana ss wengine walienda mazima😢😢😢😢😢
Mbaya zaidi tulishuhudia wakizikwa 😢😢😢
So painful
Maisha daaaa??????
dunia ina mambo
Inasikitisha😭😭😭
Hiki kipindi ni kizuri ila kinavyonitoa machozi na vyenyewe sina mama wala baba ,kifo ni kibaya sana ,nami pia ningewatafuta jamani.
Mungu akutie ngumu, tuko wengi tuliondokewa. Ndo maisha .........
Jamani inauma
Hata kuwalea tu na baraka tosha
dah maisha haya
Atariii sana
Walipotezana vipi na wtt wake wote?
Wamama huwa wanakimbia familia alafu wanazuga sema wakifunguliwa ukweli wao watapata aibu
😢😢😢
😪😪🙏🙏🙏🙏🙏
Naliaga mnoooo
Hakika Clouds mnapata thwawabu nyingi sana ❤ mchozi unanitoka tuu jamani
😢