The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake
Вставка
- Опубліковано 24 лют 2024
- #christinashusho #freemason #injili #gospel
Maisha ya christina shusho kutoka mahali alipozaliwa Tanzania mkoani Kigoma,kusoma shule yake ya msingi Mpaka sekondari, ndoa yake, maisha yake binafsi mpaka kuwa mwanamuziki wa injili.
vipande vya video clips nilivyotumia katika video hii vinatoka kwa christina shusho mwenyewe kuwa huru kumsapoti katika channel yake ya youtube, kuna nyimbo nyingi za kuburudisha na kufurahisha Asante. / @cshusho
Napenda sana nyimbo zako dada na zina ni tia nguvu kwa mapito mbali mbali na ubarikiwe na Mungu akutie nguvu ya kuendelea❤
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu,
@@THEKINGBROWN-Top_angrybadmanSasa kama nimkongo kilichomleta Nchini kweri TANZANIA n nn? Kwann asingekaa hkohko cngo kwenye mpaka aibuke. Huku alifata Amani wakongo Nchini yenu imewashinda
Nampenda sana dada yangu shusho pamoja na nyimbo zake mungu akutie nguvu na ujasir
Wangu Dada chouchou kweli nachukuru kuwa wewe ni mu 🇨🇩 Wana wake Wenye nguvu na Karama kubwa ni was Congo Tena tutaenda bingini Dada courage .karibu homme
Pole Christina Shusho, shetani anatumia watu kukupiga vita, usikate tamaa ifanye kazi ya MUNGU,taji yako ipo mbinguni
Ni hatari sana kumaliza Kwa mwili maana unakuwa mhalibufu kuliko ata wapagani Christina Mungu amsaidie sana maana ni siku za mwisho hizi asema bwana watu wataikana imani
Maneno ya YESU ni ya kweli alisema siku za mwisho manabii wengi watakuja na watawadanganya wengi yamkini ata wateule
I love this woman with my heart, may God fight for her devil will never shake this woman because she carries a big God in her
Napenda nyimbo za Christina anasauti ya ajabu mungu hakutiye nguvu na kukuinua zaidi
Mungu Anazo nguvu njia zake hazichunguziki ngoja tuone
Tata wahiseelelwa neno yuko djuu ya watu njooni mpate mibaraka ya mwenyezi mungu
The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake. THE DEVIL IS A BIG LIAR IN HIS NATIVE LANGUAGE.
Neema ya Mungu na izidi kwa christina shusho
Sielewi sana haya. Maana kama amejitenga na ndoa kwa ajili ya kristo ahakikishe anaendelea naye vinginevyo matokeo yatakuwa fundisho.
Aliyesimama aangalie asianguke hizi ni siku za mwisho. Tumwombe Mungu atupe kusimama siku hizi za mwisho
Huyo sasa ni sawa na Yezebeli.
Ni kweli kabisa shushu ni wa kwetu Congo Kalemi njoo kwao na hiyo jina ni za kwetu 🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇧🇻🇧🇻
At this point hata shusho mwenyewe hatambui congo. Wacongo mnashida. Haya Bolingo tumekuskia shida ni hatuezi kuja hatujui kwenyu ni wapi mwaya
Jamnii na mm na mpnd sana
Jmn wat u eating Mung u tusihuku Tusije Tula hukumowa na Mungu mwenyewe🙏🙏🙏🙏🙏
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu
hahaaaaa
Ukisikia siku za mwisho ndo hizi paka watumish nanamsema mtumishi mwenzawo Sasa nani atamuombea huyu dada ? Mungu atusaidie sanaa!
Da! Yote anayajua mungu mimi ninani hata nihukumu
Nishetani kajiunga nawa imbaji waduniyaaa khaaaa 😢😢😢😢
Ubarikiwe
Mungu ndie atoaye hukumu acheni afanye kazi yake
Ulianza kwa roho umemaliza kwa mwili😢😢
Anasura nzuri yuko bombaa
She not he
Mungu tupe jicho la tatu
rip my mbs
Sio mtanzania uyo ni mcongomani, na alikuwa anaishi pale kambini nyarugusu kijiji cha H2
Sisi Ni Nuru Ya Ulimwengu
Nuru Na Giza Havikai Pamoja Tena Nichunvi Ikihalibika Yafaanini?
Na hizo Pete zake hata Huwa siziamini
Mbona sia mini
Myaka 50 mbona kacelewa
Atulite na muze mwenzake
Aace vijana huyo ni mubembe
Mungu ndio hukum, msipende kuhukum wengine acheni Mungu afanye kaz yake....
Mungu hadhihakiwi utavuna ulicho kipanda. nuru na giza haviwez kuwa pamoj. Imani bila matendo imekufa. Haiwezekan mtu anatuhubiri kupitia uimbaji na ni mchungaji aseme Mungu amemuita kumtumikia amesema achana na ndoa kwa hiyo alipokua kweny ndoa alikua anamtumikia nani? Na sasa anamtumikia Mungu? Hapo lazm kweny vichwa vya watu kuwe na( ?) kumbuka NURU NA GIZA HAVIKAI PAMOJA YESU ALISEMA.
Kumbuka, Mungu hufanya kazi yake pia kupitia watoto wake, au wanadamu wake,
@habililailo271 there's alot behind the social media zenye ni sababu ya maisha binafs.....I can't judge her bcoz yy mwenyewe na Mungu ndio wanajua kilichomtoa kwenye hio ndoa ....tusiwe wepes wa kuhukum....
@alicekthoya96 yeye anadai kilichomtoa kweny ndoa yake ni Mungu, sababu amemuita kumtumikia kwaiyo asitufany sisi hatujasoma neno la Mungu aje kweny social media atudanganye.
Yaani umependa wamupakae mafuta? Iyo siyo hukumu. Haujue kwamba Yesu kristo alisema hakuna jambo halitafunuliwa! Elle est fausse servante !
Mwacheeeeni jmn
Nice
Mwenye kumhukumu ahakikishe pia yeye hana dhambi hata kidogo ivi😢
Mamekap2 yanafanya aonekane binti but ni mzee huyo
ubarikiwe neno Mchungaji
Huyo cyo jamali mdogo wake mandonga
SIMULIZI AKO NI UJINGA. MUULIZE MUME WAKE YUKO WAPI YUPO NAE
Dada wanadam awaishiw maneno kaza mwendo
Ndo maana sipendagi kufungua video za UA-cam yaan content ya picha nje na video yenyewe ni vitu viwili tofauti
Acheni uongo
Let God who is true speak. The rest are irrelevant
Hapa mmegonga pahali sipo
Kwa Nini??
Malaya wa Ch. shusho !
Christina muogope Mungu
Christina Shusho akuzalia Tanzania! Ni mu Congo wa DRC kwabo Uvira nimukimbizi wa vita DRC mwaka 1996. Nimu Congo wa baba na mama kwa Uvira jina yake ya kweli ni CHRISTINE NONDO.
Njo habari ya kweli tunayoijuwa
Naona kama sio jamaal hivi sijui vip
Huyu mwanamke christina shusho ni malaya tu aliache jina la shusho
Wasanii wote wa tanzania freemason
Ukweli setani husababisha wanandoa waachane,lakini ki biblia ni kifo tu kinaruhusiwa wanandoa waachane 1corinthians7:39-40.
Setani hupiga vita ndoa sana maanake nini unanjua sikivunjika Kakuba ufalme wa milele
Ft
Uleamechanganyikiwa mungu amukumbuke amekuwa ikabodi
Please pray for me stroke paralysis revred
Que la main puissante de Jesus-Christ notre Seigneur puisse vous toucher dès maintenant et que la guérison entre en vous au nom de Jesus-Christ !!!!
Healing in Jesus name
Ni hatari kuwaona awa wasani wa kikristo kumbe nima shetani
Kumbe mkubwa Sasa mbona ansonekana Binti
Mwaka wa 1974,acheni uwongo ninyi .
Huyu anatangaza vibaya
Wacha mwenyewe aseme kwa kinywa chake
Hawezi kuwa na 50yrs
1974 uongo labda 1984
Kume kucha
1974 kumbe mkubwa aisee
Shenzi saana
Walokole bwana! sio muziki uliompa umaarufu , walokole wanavutwa na sura yake, wanajisikia fahari kuwa na sura ya Delila miongoni mwao.
Storia ya uhongo mmmmm 🤔😳 siji utube tena
Kama hujui historia yake mwache,,,you cannot understand 😂😂
Sipendi iruminat
Haujaeleweka
Sawa ss unatak kusemaje kwamb na yeye n Freemason au ..?!!tafuta content nyngne
Hii ni tabia mbovu sana. The creator of this video must repent :/
Wanawake waokovu nao pia wana balaa zao
Usihukumu
😂😂
Ni Congolaise ule dada
Mambo ya watu hayakuhusu nyau wewe
Naona kama mmetumwa wajinga nyny
Shetani huyo Hatufai Kwenye Familia Yetu Watoto Wa kristo Yesu
Kwani we ni mtakatifu?
Kama neema ya Mungu imekuhifadhi si umuombee neema ya Mungu pia? Si vema kujihesabia Haki kama mkristo. Mwenyewe YESU alikuja kutafuta kilichopotea
Hivi wewe ni jamaal??..nauliza tu
Hapna hii sio wasafi.
LIMALAYAAAAAAAAAA HILOOOOOO JIBWAKOKOOOOOO
Asilimia 70 ya unayosema hapa ni uongo mkubwa kwa sababu chanzo cha habari zako ni aidha toka kwa media kama hizi au za christina shusho mwenyewe ambazo anasema uongo mtupu. Historia yako kumuhusu ni uongo mtupu. Hakuna substance katika mambo mengi mnayojifanya mnaandika, mnatafuta views tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shetani huyo
Nani nishetani wewe au yeye we mwenyewe bin Adam kumuita mwenzio shetani ina maanisha wewe una roho ya sherani pengine
Shushos voice is very poor, she can't even perform live. She serves other gods.
Rubbish
Wangu Dada chouchou kweli nachukuru kuwa wewe ni mu 🇨🇩 Wana wake Wenye nguvu na Karama kubwa ni was Congo Tena tutaenda bingini Dada courage .karibu homme
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu..
Ayakuusu mu Congo mu tzt wote ni Wa africa 😂😂😂
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu&
Kwao Tanzania Kigoma
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nonsense
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu