The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 лют 2024
  • #christinashusho #freemason #injili #gospel
    Maisha ya christina shusho kutoka mahali alipozaliwa Tanzania mkoani Kigoma,kusoma shule yake ya msingi Mpaka sekondari, ndoa yake, maisha yake binafsi mpaka kuwa mwanamuziki wa injili.
    vipande vya video clips nilivyotumia katika video hii vinatoka kwa christina shusho mwenyewe kuwa huru kumsapoti katika channel yake ya youtube, kuna nyimbo nyingi za kuburudisha na kufurahisha Asante. / @cshusho

КОМЕНТАРІ • 120

  • @user-ck7ip4qr1o
    @user-ck7ip4qr1o 3 місяці тому +20

    Napenda sana nyimbo zako dada na zina ni tia nguvu kwa mapito mbali mbali na ubarikiwe na Mungu akutie nguvu ya kuendelea❤

    • @THEKINGBROWN-Top_angrybadman
      @THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 місяці тому +1

      Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu,

    • @reubenjoram9675
      @reubenjoram9675 3 місяці тому +2

      ​@@THEKINGBROWN-Top_angrybadmanSasa kama nimkongo kilichomleta Nchini kweri TANZANIA n nn? Kwann asingekaa hkohko cngo kwenye mpaka aibuke. Huku alifata Amani wakongo Nchini yenu imewashinda

  • @fabianmkemesa9606
    @fabianmkemesa9606 Місяць тому +2

    Nampenda sana dada yangu shusho pamoja na nyimbo zake mungu akutie nguvu na ujasir

  • @Rebecca-d7l
    @Rebecca-d7l Місяць тому +1

    Wangu Dada chouchou kweli nachukuru kuwa wewe ni mu 🇨🇩 Wana wake Wenye nguvu na Karama kubwa ni was Congo Tena tutaenda bingini Dada courage .karibu homme

  • @nicenard5749
    @nicenard5749 3 місяці тому +2

    Pole Christina Shusho, shetani anatumia watu kukupiga vita, usikate tamaa ifanye kazi ya MUNGU,taji yako ipo mbinguni

  • @user-dr7si9qw6e
    @user-dr7si9qw6e 3 місяці тому +12

    Ni hatari sana kumaliza Kwa mwili maana unakuwa mhalibufu kuliko ata wapagani Christina Mungu amsaidie sana maana ni siku za mwisho hizi asema bwana watu wataikana imani

  • @SamsoniMaloda
    @SamsoniMaloda 3 дні тому +1

    Maneno ya YESU ni ya kweli alisema siku za mwisho manabii wengi watakuja na watawadanganya wengi yamkini ata wateule

  • @carolinenyemba2412
    @carolinenyemba2412 2 місяці тому +3

    I love this woman with my heart, may God fight for her devil will never shake this woman because she carries a big God in her

  • @MarthaNyanmech
    @MarthaNyanmech 2 місяці тому +1

    Napenda nyimbo za Christina anasauti ya ajabu mungu hakutiye nguvu na kukuinua zaidi

  • @user-kb8wv6kg8g
    @user-kb8wv6kg8g 3 місяці тому +8

    Mungu Anazo nguvu njia zake hazichunguziki ngoja tuone

  • @user-ic6cv5vx2sWahise
    @user-ic6cv5vx2sWahise Місяць тому +2

    Tata wahiseelelwa neno yuko djuu ya watu njooni mpate mibaraka ya mwenyezi mungu

  • @lydiamburia4113
    @lydiamburia4113 3 місяці тому +6

    The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake. THE DEVIL IS A BIG LIAR IN HIS NATIVE LANGUAGE.

  • @esterkabigili
    @esterkabigili 3 місяці тому +4

    Neema ya Mungu na izidi kwa christina shusho

  • @woissopaschal6391
    @woissopaschal6391 3 місяці тому +1

    Sielewi sana haya. Maana kama amejitenga na ndoa kwa ajili ya kristo ahakikishe anaendelea naye vinginevyo matokeo yatakuwa fundisho.

  • @jacsax3436
    @jacsax3436 3 місяці тому +2

    Aliyesimama aangalie asianguke hizi ni siku za mwisho. Tumwombe Mungu atupe kusimama siku hizi za mwisho

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 3 місяці тому +5

    Huyo sasa ni sawa na Yezebeli.

  • @stephaniakanka8178
    @stephaniakanka8178 3 місяці тому +1

    Ni kweli kabisa shushu ni wa kwetu Congo Kalemi njoo kwao na hiyo jina ni za kwetu 🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇧🇻🇧🇻

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 3 місяці тому

      At this point hata shusho mwenyewe hatambui congo. Wacongo mnashida. Haya Bolingo tumekuskia shida ni hatuezi kuja hatujui kwenyu ni wapi mwaya

  • @EliaLazaro
    @EliaLazaro 2 місяці тому +2

    Jamnii na mm na mpnd sana

  • @user-hv1rg1be4w
    @user-hv1rg1be4w 2 місяці тому +1

    Jmn wat u eating Mung u tusihuku Tusije Tula hukumowa na Mungu mwenyewe🙏🙏🙏🙏🙏

  • @THEKINGBROWN-Top_angrybadman
    @THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 місяці тому +2

    Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu

  • @everfredrick4979
    @everfredrick4979 3 місяці тому +2

    Ukisikia siku za mwisho ndo hizi paka watumish nanamsema mtumishi mwenzawo Sasa nani atamuombea huyu dada ? Mungu atusaidie sanaa!

  • @FredyMsigwa-ul5kr
    @FredyMsigwa-ul5kr 2 місяці тому +1

    Da! Yote anayajua mungu mimi ninani hata nihukumu

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 3 місяці тому +2

    Nishetani kajiunga nawa imbaji waduniyaaa khaaaa 😢😢😢😢

  • @FrolidaLuvanda
    @FrolidaLuvanda Місяць тому +1

    Ubarikiwe

  • @EzekMhale
    @EzekMhale 2 місяці тому +1

    Mungu ndie atoaye hukumu acheni afanye kazi yake

  • @MiruhoFaida
    @MiruhoFaida 3 місяці тому +9

    Ulianza kwa roho umemaliza kwa mwili😢😢

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 3 місяці тому +6

    Anasura nzuri yuko bombaa

  • @NassariWalulya
    @NassariWalulya Місяць тому +1

    Mungu tupe jicho la tatu

  • @herimornchriston6083
    @herimornchriston6083 3 місяці тому +6

    rip my mbs

  • @jamescarloss9671
    @jamescarloss9671 2 місяці тому +2

    Sio mtanzania uyo ni mcongomani, na alikuwa anaishi pale kambini nyarugusu kijiji cha H2

  • @uzimakwayesutv
    @uzimakwayesutv 3 місяці тому +3

    Sisi Ni Nuru Ya Ulimwengu
    Nuru Na Giza Havikai Pamoja Tena Nichunvi Ikihalibika Yafaanini?

  • @AnethSwila-tw9mv
    @AnethSwila-tw9mv 3 місяці тому +6

    Na hizo Pete zake hata Huwa siziamini

  • @user-ml4of7yu5g
    @user-ml4of7yu5g 2 місяці тому +1

    Mbona sia mini

  • @NiyizigamaClaudine
    @NiyizigamaClaudine 3 місяці тому +3

    Myaka 50 mbona kacelewa
    Atulite na muze mwenzake
    Aace vijana huyo ni mubembe

  • @alicekthoya96
    @alicekthoya96 3 місяці тому +12

    Mungu ndio hukum, msipende kuhukum wengine acheni Mungu afanye kaz yake....

    • @habililailo271
      @habililailo271 3 місяці тому +3

      Mungu hadhihakiwi utavuna ulicho kipanda. nuru na giza haviwez kuwa pamoj. Imani bila matendo imekufa. Haiwezekan mtu anatuhubiri kupitia uimbaji na ni mchungaji aseme Mungu amemuita kumtumikia amesema achana na ndoa kwa hiyo alipokua kweny ndoa alikua anamtumikia nani? Na sasa anamtumikia Mungu? Hapo lazm kweny vichwa vya watu kuwe na( ?) kumbuka NURU NA GIZA HAVIKAI PAMOJA YESU ALISEMA.

    • @yosurekirahuka
      @yosurekirahuka 3 місяці тому +1

      Kumbuka, Mungu hufanya kazi yake pia kupitia watoto wake, au wanadamu wake,

    • @alicekthoya96
      @alicekthoya96 3 місяці тому +2

      @habililailo271 there's alot behind the social media zenye ni sababu ya maisha binafs.....I can't judge her bcoz yy mwenyewe na Mungu ndio wanajua kilichomtoa kwenye hio ndoa ....tusiwe wepes wa kuhukum....

    • @habililailo271
      @habililailo271 3 місяці тому +2

      @alicekthoya96 yeye anadai kilichomtoa kweny ndoa yake ni Mungu, sababu amemuita kumtumikia kwaiyo asitufany sisi hatujasoma neno la Mungu aje kweny social media atudanganye.

    • @DomeMasti-jeuneAkilimali
      @DomeMasti-jeuneAkilimali 3 місяці тому +1

      Yaani umependa wamupakae mafuta? Iyo siyo hukumu. Haujue kwamba Yesu kristo alisema hakuna jambo halitafunuliwa! Elle est fausse servante !

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 місяці тому +1

    Mwacheeeeni jmn

  • @nininahazweEritier-tr6fh
    @nininahazweEritier-tr6fh Місяць тому +1

    Nice

  • @johngeorge4834
    @johngeorge4834 3 місяці тому +1

    Mwenye kumhukumu ahakikishe pia yeye hana dhambi hata kidogo ivi😢

  • @AlbertYangson
    @AlbertYangson 3 місяці тому +4

    Mamekap2 yanafanya aonekane binti but ni mzee huyo

  • @PeterKyamba
    @PeterKyamba 3 місяці тому +1

    ubarikiwe neno Mchungaji

  • @JoshuaCharles-jr6ro
    @JoshuaCharles-jr6ro 3 місяці тому +4

    Huyo cyo jamali mdogo wake mandonga

  • @JILBERTDaniford
    @JILBERTDaniford 27 днів тому +1

    SIMULIZI AKO NI UJINGA. MUULIZE MUME WAKE YUKO WAPI YUPO NAE

  • @StephenKagonji
    @StephenKagonji Місяць тому +1

    Dada wanadam awaishiw maneno kaza mwendo

  • @zainababdul2704
    @zainababdul2704 3 місяці тому +1

    Ndo maana sipendagi kufungua video za UA-cam yaan content ya picha nje na video yenyewe ni vitu viwili tofauti

  • @user-lo9kv9vv3n
    @user-lo9kv9vv3n 3 місяці тому +5

    Acheni uongo

  • @janewasilwa8813
    @janewasilwa8813 3 місяці тому +1

    Let God who is true speak. The rest are irrelevant

  • @gibranmwasi-kw8px
    @gibranmwasi-kw8px 4 місяці тому +7

    Hapa mmegonga pahali sipo

  • @davejeams
    @davejeams 3 місяці тому +3

    Malaya wa Ch. shusho !

  • @ElizabethFaimu
    @ElizabethFaimu 2 місяці тому +1

    Christina muogope Mungu

  • @joannesmalipo3008
    @joannesmalipo3008 3 місяці тому +4

    Christina Shusho akuzalia Tanzania! Ni mu Congo wa DRC kwabo Uvira nimukimbizi wa vita DRC mwaka 1996. Nimu Congo wa baba na mama kwa Uvira jina yake ya kweli ni CHRISTINE NONDO.

  • @user-ew4qf9ud4v
    @user-ew4qf9ud4v 3 місяці тому +3

    Naona kama sio jamaal hivi sijui vip

  • @user-si3ts1px8z
    @user-si3ts1px8z 3 місяці тому +1

    Huyu mwanamke christina shusho ni malaya tu aliache jina la shusho

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 3 місяці тому +6

    Wasanii wote wa tanzania freemason

  • @johnngugi9552
    @johnngugi9552 3 місяці тому +6

    Ukweli setani husababisha wanandoa waachane,lakini ki biblia ni kifo tu kinaruhusiwa wanandoa waachane 1corinthians7:39-40.

    • @johnngugi9552
      @johnngugi9552 3 місяці тому +1

      Setani hupiga vita ndoa sana maanake nini unanjua sikivunjika Kakuba ufalme wa milele

  • @onesphorebizimana9808
    @onesphorebizimana9808 Місяць тому +1

    Ft

  • @user-hr7ep8zt2r
    @user-hr7ep8zt2r 3 місяці тому +3

    Uleamechanganyikiwa mungu amukumbuke amekuwa ikabodi

  • @janewangui7074
    @janewangui7074 3 місяці тому +4

    Please pray for me stroke paralysis revred

    • @emoalembe4790
      @emoalembe4790 3 місяці тому +1

      Que la main puissante de Jesus-Christ notre Seigneur puisse vous toucher dès maintenant et que la guérison entre en vous au nom de Jesus-Christ !!!!

    • @amoskariuki2881
      @amoskariuki2881 3 місяці тому +1

      Healing in Jesus name

  • @NondelaCastro
    @NondelaCastro 2 місяці тому

    Ni hatari kuwaona awa wasani wa kikristo kumbe nima shetani

  • @user-mf8su7us1j
    @user-mf8su7us1j 3 місяці тому +3

    Kumbe mkubwa Sasa mbona ansonekana Binti

  • @imanimulumbilwa6056
    @imanimulumbilwa6056 3 місяці тому +1

    Mwaka wa 1974,acheni uwongo ninyi .

  • @zamdanamwenje9415
    @zamdanamwenje9415 3 місяці тому +3

    Huyu anatangaza vibaya

  • @jemsjingo483
    @jemsjingo483 3 місяці тому +1

    Wacha mwenyewe aseme kwa kinywa chake

  • @user-kg7xb4hm5m
    @user-kg7xb4hm5m 3 місяці тому +1

    Hawezi kuwa na 50yrs

  • @yusuphyusuph1641
    @yusuphyusuph1641 3 місяці тому +2

    1974 uongo labda 1984

  • @hildamsumal8628
    @hildamsumal8628 3 місяці тому +2

    Kume kucha

  • @theogeorge3773
    @theogeorge3773 3 місяці тому +1

    1974 kumbe mkubwa aisee

  • @isaacnjoni8021
    @isaacnjoni8021 3 місяці тому +1

    Shenzi saana

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 3 місяці тому +3

    Walokole bwana! sio muziki uliompa umaarufu , walokole wanavutwa na sura yake, wanajisikia fahari kuwa na sura ya Delila miongoni mwao.

  • @user-go5hd4wl5r
    @user-go5hd4wl5r 3 місяці тому +1

    Storia ya uhongo mmmmm 🤔😳 siji utube tena

  • @VeronicaKamau-np2si
    @VeronicaKamau-np2si 3 місяці тому +2

    Kama hujui historia yake mwache,,,you cannot understand 😂😂

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 3 місяці тому +2

    Sipendi iruminat

  • @AdolfKitawa
    @AdolfKitawa 2 місяці тому +1

    Haujaeleweka

  • @stanslaustwanje7543
    @stanslaustwanje7543 3 місяці тому +1

    Sawa ss unatak kusemaje kwamb na yeye n Freemason au ..?!!tafuta content nyngne

  • @beverlykabz5429
    @beverlykabz5429 3 місяці тому +1

    Hii ni tabia mbovu sana. The creator of this video must repent :/

  • @swalehsalim5576
    @swalehsalim5576 2 місяці тому +1

    Wanawake waokovu nao pia wana balaa zao

  • @godlovemalekela17
    @godlovemalekela17 3 місяці тому +1

    Usihukumu

  • @shabani_Osee_Ngena
    @shabani_Osee_Ngena 5 місяців тому +6

    😂😂

  • @EspoirJosueBahizire
    @EspoirJosueBahizire 3 місяці тому +1

    Ni Congolaise ule dada

  • @momylaviel
    @momylaviel 3 місяці тому +3

    Mambo ya watu hayakuhusu nyau wewe

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 3 місяці тому +2

    Naona kama mmetumwa wajinga nyny

  • @uzimakwayesutv
    @uzimakwayesutv 3 місяці тому +3

    Shetani huyo Hatufai Kwenye Familia Yetu Watoto Wa kristo Yesu

    • @esterkabigili
      @esterkabigili 3 місяці тому +1

      Kwani we ni mtakatifu?

    • @esterkabigili
      @esterkabigili 3 місяці тому +1

      Kama neema ya Mungu imekuhifadhi si umuombee neema ya Mungu pia? Si vema kujihesabia Haki kama mkristo. Mwenyewe YESU alikuja kutafuta kilichopotea

  • @user-ew4qf9ud4v
    @user-ew4qf9ud4v 3 місяці тому +3

    Hivi wewe ni jamaal??..nauliza tu

    • @Epicbongo
      @Epicbongo  3 місяці тому +1

      Hapna hii sio wasafi.

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 3 місяці тому +1

    LIMALAYAAAAAAAAAA HILOOOOOO JIBWAKOKOOOOOO

  • @MolinaSammy-gi1lb
    @MolinaSammy-gi1lb 2 місяці тому +1

    Asilimia 70 ya unayosema hapa ni uongo mkubwa kwa sababu chanzo cha habari zako ni aidha toka kwa media kama hizi au za christina shusho mwenyewe ambazo anasema uongo mtupu. Historia yako kumuhusu ni uongo mtupu. Hakuna substance katika mambo mengi mnayojifanya mnaandika, mnatafuta views tu.

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 3 місяці тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 3 місяці тому +2

    Shetani huyo

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema 3 місяці тому +1

      Nani nishetani wewe au yeye we mwenyewe bin Adam kumuita mwenzio shetani ina maanisha wewe una roho ya sherani pengine

  • @phanicelidjo8011
    @phanicelidjo8011 3 місяці тому +3

    Shushos voice is very poor, she can't even perform live. She serves other gods.

  • @lucytonkei2391
    @lucytonkei2391 3 місяці тому +1

    Rubbish

  • @Rebecca-d7l
    @Rebecca-d7l Місяць тому +1

    Wangu Dada chouchou kweli nachukuru kuwa wewe ni mu 🇨🇩 Wana wake Wenye nguvu na Karama kubwa ni was Congo Tena tutaenda bingini Dada courage .karibu homme

  • @THEKINGBROWN-Top_angrybadman
    @THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 місяці тому +3

    Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu..

    • @AnithaMuvurwaneza
      @AnithaMuvurwaneza 2 місяці тому

      Ayakuusu mu Congo mu tzt wote ni Wa africa 😂😂😂

  • @THEKINGBROWN-Top_angrybadman
    @THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 місяці тому +3

    Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu&

  • @mercynina6288
    @mercynina6288 3 місяці тому +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @THEKINGBROWN-Top_angrybadman
    @THEKINGBROWN-Top_angrybadman 3 місяці тому +1

    Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu