MAGUFULI - "NILINYWESHWA SUMU, KIKWETE ALINIFUKUZA, SIKUKATA TAMAA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • MAGUFULI - "NILINYWESHWA SUMU, KIKWETE ALINIFUKUZA, SIKUKATA TAMAA"
    Rais Dkt John Magufuli, leo Novemba 12, anazindua kitabu cha maisha binafsi ya Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa..
    Hafla ya uzinduzi huo inafanyika katika ukumbi wa mkutano wa Mwl Julius Nyerere jijini Dar na kuhuduuriwa na marais wastaafu, Dkt Jakaya Kikwete na Al Hassan Mwinyi....
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:www.youtube.co...

КОМЕНТАРІ • 418

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 4 роки тому +107

    Haki siasa mchezo mchafu....ninani angeamini kwa mkutano huu kuna Maalim sefu...zitto.....Cheyo na wapinzani wengine........sisi wananchi tunatukanana uchaguzi wa serikali za mitaa hasira zimepandaaa wenzetu wanakula Bata ikulu........wananchi tushindaneni kwa hoja lakini upendo wa kizalendo uwepo. Oneni mfano wakizalendo leo.

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 роки тому +9

      Nandomana mm sitakagi ubishani wa siasa wala vyama,na hii mitandao ndoinachonganisha sana,mm sitakagi kuamini kwa haraka hivi vitu

    • @lexchumajr6732
      @lexchumajr6732 4 роки тому +2

      Kwani hapo ni ikulu?

    • @kamalofanuel8120
      @kamalofanuel8120 4 роки тому +6

      @@m.mmarckus6298 umesema kweli ndugu wananchi tunapendana sana lakini mitandao hii mmmmmm

    • @kamalofanuel8120
      @kamalofanuel8120 4 роки тому +12

      @@lexchumajr6732 haijalishi iwe ikulu au si ikulu....kimsingi wote wako pamoja ..na wamekula pamoja ninani anaekula huku kakasirikaa???

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 4 роки тому +3

      @@kamalofanuel8120 na wengine ukisema kwenye hii mitando wanabisha,wanaona km viongozi wetu wa vyama tofauti wana utofauti mkubwa lkn sikweli wanatudanganya tu hata wanyoita waandishi wa habari nass tuna sikiliza tunaangalia,tunabaki kutukana na kugombana wao wamestarehe kimyaaaaa

  • @humairamajengo6616
    @humairamajengo6616 3 роки тому +41

    Mungu akupe kauli thabit baba yetu jembe letu kipenz cha watanzania mungu akulipe kwa kila ulichojitolea ktk maisha ya watanzania mungu akupokee 😭😭😭

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 роки тому +14

    Mungu yupo Kama ni njama,Basi Allah atoonyesha ukuu wake,unazani machozi na Dua za watanzania wengi siyo mchezo,Kama ahadi yk Mungu,bc Mungu ampokee baba huyu yaàni sijuwi tu nisemeje???mungu umetuwezaa

  • @jacqulinekasondera5326
    @jacqulinekasondera5326 4 роки тому +24

    Alikotoka ni mbali akitazama nyuma na asingekuwa MUNGU asingefika leo. MUNGU akutunze zaidi na zaidi, Ameeen!!!!!!!!!!

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 роки тому +20

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

    • @yjoo9807
      @yjoo9807 2 роки тому +1

      Brocchini thanks. I am a Tanzanian trying to learn Italian...If u dnt mind I would like to meet u I feel like u positively touched my heart with ur comment....would like to be ur friend

    • @masetomuhafiwa4546
      @masetomuhafiwa4546 Рік тому

      Kenge wewe Italian wapi kila siku post hiyohyo tuu fala wewe .. wewe utakua mbongo tena mnyakyusa.

  • @ashamakwaiya8749
    @ashamakwaiya8749 2 роки тому +7

    Nakukumbuka daima.utaishi ndani yangu .mungu akupokee katika ufalme wake.akuvishe Taji la ushindi.pumzika katika amani

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 роки тому +4

    Walaaniwe wote waliomwaga damu ya Kipenzi chetu Rais John Magufuri.Adhabu ya Mwenyezi Mungu iliyompata Kaini kumuua Abeli nduguye na hasira ya Mwenyezi Mungu iwe juu yao wote Amini.

  • @juliusmlunge6896
    @juliusmlunge6896 4 роки тому +4

    Pole sana Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli Baba ulianzia mbali sana mimi binafsi nimesigitika sana lakini Mungu alikua anakuhitaji uokoe taifa letu la Tanzania Baba MUNGU azidi kukubariki umetufundisha mengi sana.

  • @peterjacob2638
    @peterjacob2638 4 роки тому +17

    Magufuri umeletwa na mungu ili uweze kuokoa watanzania, ila na ww umepitia mateso. lakini yote hayo yalifanyika ili kusudi la Mungu litimie. Hongera sana baba tunakuombea kwa Mungu ili utuvushe na kutupeleka nchi yenye asali na maziwa

  • @Allystor
    @Allystor 3 роки тому +37

    Naumia nalia siwezi. Eeh Mungu tupe nguvu na wape mwisho mbaya wenye kuwatendea mabaya watu wenye utu na huruma kwa taifa lao. Kama ni mkono wa mtu Mungu amlaani afe kwa kudhalilika vibaya na kama ni ahadi yako eeh Mungu basi mapenzi yako yatukuzwe. Amina

    • @bhukebhukeshabani5264
      @bhukebhukeshabani5264 3 роки тому +3

      Eeeee. MUNGU WANGU KAMA RAISI WETU MAGU AMEPITIWA NA MTU. BASI MTU HUYOAFE KWA LAANA ILA KAMA NIMAPENZI YAKO. BASI JINA LAKO LITUKUZWE. MILELE NA MILELE

    • @dativambaga6206
      @dativambaga6206 3 роки тому +1

      Yani kama mkono wa mtu huu mwaka haumalizi, atakufa kifo cha aibu na alaaniwe milele, kama ni mapenzi yake Mungu apumzike kwa Amani🙏

  • @majurajeremia6292
    @majurajeremia6292 4 роки тому +6

    Hongera sana Rais mstaafu kwa Kitabu kinachoonyesha maisha yako tangu awali,jambo moja tu nakuomba kitafsiriwe kwa lugha ya kiswahili pia ili wananchi wengi wakisome halafu pia kuhamasisha lugha yetu kimataifa.MUNGU wetu akupe maisha marefu.

    • @emmaulotu9124
      @emmaulotu9124 4 роки тому

      Mungu aendelee kukubariki Rais wetu

    • @mariammwenda1822
      @mariammwenda1822 4 роки тому

      Tuige mfano katika mshikamano na upendo wa viongozi wetu waliotutangulia

  • @justinemathiasngwandu7715
    @justinemathiasngwandu7715 4 роки тому +40

    Kumbe fikra za nchi hii kuwa na barabara zarami nchi nzima mzee Magu alianza siku nyingi kuiona Tanzania mpya Viva mzee MAGU .

    • @hamidafundi5890
      @hamidafundi5890 4 роки тому +1

      Ulinzi ni wetu wanadamu, usalama ni kwa MWENYEZIMUNGU tu

    • @JustPeter-do9iy
      @JustPeter-do9iy Рік тому

      Mungu anajua yamefka tuleomba skul zote

  • @jamesmasome359
    @jamesmasome359 4 роки тому +30

    Huwa nakuelewa sanaaa Mwenye Enzi MUNGU you pamoja nawe. Amina.

  • @charlesmataba8344
    @charlesmataba8344 4 роки тому +9

    DAAAAH SUITABLE SPEECH..........MUCH CONGRATULATIONS HONERABLE MKAPA!.......THE BEST STUDENT OF MWL JULIUS KAMBARAGE NYERERE'S PHILOSOPHY.

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 3 роки тому +23

    Rabi tufanyie wepesi katika kila mazito yetu na utuondolee dhiki na majonzi ndani ya nyoyo zetu hakika wewe ndiye mwenye kujua yaliyo katika siri

  • @princesslaurian1758
    @princesslaurian1758 3 роки тому +4

    Tutakukumbuka sana Rais wetu mpendwa Magufuli, Kweli tutazidi kumtanguliza Mungu. Tunakushukuru sana kwa ushauri mzuri sana na kazi njema. Kila mara ulitusisitiza "TUMTANGULIZE MUNGU" Vile vile ulitusisitiza tufanye kazi kwa umoja. "HAPA KAZI TU". Mungu akukumbuke kw mema yooooote uliyoyafanya duniani.

  • @ramadhanindaro6866
    @ramadhanindaro6866 4 роки тому +17

    Nimeumizwa kwa hotuba hii mh rahis na nimejikuta nakupenda zaid mh rais wang

    • @dawaseif3699
      @dawaseif3699 3 роки тому

      Yaan wee acha tuu na mm ni mwenzako

  • @jumamustaph6253
    @jumamustaph6253 4 роки тому +13

    hongera sana na pole kwa yaliyo kufika, mungu alihitaji ujetufanyia kazi hii.

  • @mathayochabon8897
    @mathayochabon8897 2 роки тому +1

    Watanzani a mungu ni mungu.atatenda lolote juu ya maguful manabii mtume wachungaj waalim na wainjilist najua mnajua zaid ukuu wa mungu tumben tu.lolote atatenda hats sasa.we nu mathayo ktk yesu aliye hai

  • @chumanondochuma8012
    @chumanondochuma8012 3 роки тому +4

    Umetuacha bila kitabu chako japo kuwa historia uliyoitoa hapa ikatutoshereze kwa jina lake mwenyezi mungu. R I P Jpm

  • @uwishyakanduwe1562
    @uwishyakanduwe1562 3 роки тому +13

    *Isaiah 57:1* The righteous perish, and no one ponders it in his heart; devout men are taken away, and no one understands that the righteous are taken away to be spared from evil.
    *Isaiah 57:2* Those who walk uprightly enter into peace; they find rest as they lie in death.

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 4 роки тому +5

    Mimi huwa nasisimka sana kuwaona viongozi hasa marais wastaafu wakiwa pamoja hivi. Zaidi sana wapinzani wenye ufahamu mzuri ambao mioyoni mwao wanapenda kuona ustawi na maendeleo ya watanzania wote wakishiriki hafla km hizi. Ni kuonyesha kuwa taifa ni moja hata kama mitazamo inatofautiana. Mungu anapendezwa na UMOJA, MSHIKAMANO na amani. Viongozi wote wa sasa na wajao baadae wazingatie sana juu ya kuona hali hii inadumishwa nchini kwetu.

  • @user-ru6gm2cc5n
    @user-ru6gm2cc5n 5 місяців тому +2

    Baba angu kipenzi napitia wakati mgum kukusahaau kwa sababu ulikua ukombozi kwetu hasa kama wa Tanzania wanyonge ambao ulikua unatusikiliza,, mungu akulinde huko uliko na akumpumzishe kwa aman.

  • @peacesamula9497
    @peacesamula9497 3 роки тому +2

    Watanzania tunatakiwa kujitegemea sio kutegemea misaada kutoka nje, ni vizuri tupike wenyewe na tupakue wenyewe na tule na kuwasaidia wengine. Hivyo tulipe Kodi kwa uaminifu na tuwe na viwanda ili tujiajiri wenyewe, tuwe waadilifu, wapenda utu, na kumcha Mungu. Ndipo tutafanikiwa. Amen.

  • @edakalinga1104
    @edakalinga1104 4 роки тому +11

    Mungu wetu wa mbinguni akuepushe na mabaya yote na wale wote wanao kupangia mabaya yawarudie wenyewe

  • @laurentmupira1280
    @laurentmupira1280 Рік тому +6

    Tutamkumbuka daima!!! Hayati Magufuli!!!

  • @dullahshaaban9050
    @dullahshaaban9050 3 роки тому +1

    Vita ya kupambana na mafisadi huwa ni hatari Sana ....maana waharibifu siku zote huwa hawana Imani na mungu huwa ni jeshi la ibilisi pumzika kwa amani raisi wetu amiiiina🙏🙏🙏🙏

  • @khanjanki8207
    @khanjanki8207 4 роки тому +7

    Hii ndio lugha yafaa bunge zakiafrica watumie si kizungu wote wanasikia hebu angalieni hapa ni kiswahili lugha hakuna mtu mweupe kwasababu hawaelewi lugha hii vizuri magufuli

  • @user-wg1hw5kj2o
    @user-wg1hw5kj2o 5 місяців тому +1

    Mungu akijaalia nitakwenda kuzuru kaburi la mzee wangu huyu, aliipenda sana TANZANIA pia alikua na maono makubwa sana kwenye TAIFA LETU TAKATIFU. 🇹🇿

  • @zachariadaniel3252
    @zachariadaniel3252 4 роки тому +7

    Hakika mungu akuzidishie baraka raisi wetu jonh pombe magufuli .tanzania mungu katuona ndo maana katupa raisi imara na shupavu

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi846 5 місяців тому +2

    Umemaliza miaka mitatu tangu ututoke magufuli mtetezi wa wanyonge uliyezuia rushwa nguvu pum zika😢 kwa amani baba poleni wana familia

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 4 роки тому +36

    Kmbe hadi kuonekana barabara za lami kila kona ilokuwa na pendekezo la mh rais Magufuli enzi yupo katika wizara ya ujenzi tena naibu waziri Mungu akubariki sana

    • @justinemathiasngwandu7715
      @justinemathiasngwandu7715 4 роки тому +3

      Aiseeh! Hata Mimi nimeshangaaa.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 4 роки тому +1

      Awami kila zama na kitabu chake, ndio sisi wengine haturidhiswi wakidharauliwa viongozi waliopita na kumsifu tu Rais Magufuli ni lazima tujifunze kudhamini. ( Appreciate equiries)

    • @amouramour3421
      @amouramour3421 4 роки тому +1

      Hh

  • @edinajames8402
    @edinajames8402 3 роки тому +4

    Ee!! Mwenyezi Mungu umulaze mahala pema, Baba etu, Hakika ulikuwa Baba pekee,machonzi yametanda Baba Sauti yako hatuisikii tena, Ee!! Mola wetu

  • @blessingsgeneral93
    @blessingsgeneral93 3 роки тому +8

    Mzee Pumzika salama Sitokusahau na MUNGU Awabariki sana !

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 4 роки тому +9

    Mungu akubariki na akupe maisha marefu rais wetu...pole sana kwa changamoto ulizopitia😭😭

  • @leonardmnyeti3925
    @leonardmnyeti3925 4 роки тому +8

    Am real blessed with the speech , congrats Mr. President Magufuli.

  • @theopistamganwa7752
    @theopistamganwa7752 4 роки тому +6

    MUNGU akutunze zaidi na zaidi, Amina

  • @ivancharles5350
    @ivancharles5350 2 роки тому +2

    Mungu akulinde huko ulipo rais wangu kipenzi

  • @paschazianestorymatunda6490
    @paschazianestorymatunda6490 3 роки тому +18

    Sir Magufuli you humbled yourself before anyone may you rest in peace

  • @priscaafray3785
    @priscaafray3785 3 роки тому +2

    Mungu mpumzishe mpendwa wetu haya machozi yetu yasiwe bure ufanye kitu juu ya Tanzania tukujue wew tuwe nahofu yakutenda uovu kwakuwa umesema waupanga atakufa kwa upanga jitukuze katika kiti chako baba usiache kutujulisha ujio wako

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 4 роки тому +17

    Tanzania nchi nzuri sana,huu mfumo wa marais kupokezana kiti cha Urais unatupa heshma sana duniani

    • @buildtekconsultants9687
      @buildtekconsultants9687 4 роки тому

      Na ndio maana sio afya kwenye mikutano ya hadhara kuwaponda watangulizi kwa kuwaona hawakufanya kitu na walikuwa wezi tu. Mbio hizi ni relay unakimbia mbio zako unampa mwenzako aendeleze mbio

  • @miriammsuya4454
    @miriammsuya4454 3 роки тому +24

    umeondoka na madini yote baba hekima upendo huruma uchapakazi uzalendo yaani Mungu umetuwenza asante kwa muda wako

  • @innocentdeckoks5142
    @innocentdeckoks5142 3 роки тому +3

    Humility-Dr. John Pombe Magufuli, tutakukosa sana, duniani humu, lakini kuna mahali pema sana tutapatana.

  • @nah7530
    @nah7530 3 роки тому +18

    😭😭😭Ulazwe salama rais wawanyonge😭😭

  • @anthonyboniface1066
    @anthonyboniface1066 4 роки тому +11

    Magufuri siwezi kukuelezea wewe ndio masii wetu tulie mtarajia Ahsante mungu mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Afrika

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l 3 роки тому +18

    Umepitia mengi babaaa pumzika Kwa amani Mungu kaona akupumzishe 😭😭

    • @adeliapeter2162
      @adeliapeter2162 3 роки тому

      Hakika daa! Ama kweli aneujua umhimu wa mkia wa ng'ombe ni yeye mwenyewe, tumepigwa na sasa tutaelewa umhimu wako.

  • @hagaramgini3522
    @hagaramgini3522 4 роки тому +8

    We love u baba

  • @eliudymhapu1750
    @eliudymhapu1750 4 роки тому +14

    Safi kabisa mwanafunzi mwadilifu wa mzee MKAPA

  • @mchambawimakilasiku1349
    @mchambawimakilasiku1349 3 роки тому +2

    Mzee Magu alikuwa anabwabwaja sana nafikiri ndiyo kilichomponza, unaweza ukamwonea huruma kwa hayo yaliyomfika lakini wasiwasi wangu ni kwamba baada ya kupata huo urais alijiamini sana na mdomo kuwa mrefu mno, alijisahau kuwa juu ya yeye kuwa rais wa nchi kuna baadhi ya mambo mengine huwaga hayaingiliwi na ukiingia huko utakutana na hell.

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse2299 4 роки тому +4

    Pole sana rais wangu kwa yaliyokukuta.but sifa shukurani zetu ni kwa MUNGU yeye ndie aliyefanya yote hayo .mkapa alitumika kama chombo ili neno la MUNGU litimie kwako.

  • @christinawallasch1252
    @christinawallasch1252 4 роки тому +7

    Very sorry Mr President about all problem you face in you way to Building this country, that's why you have big confidence and very strongly Man, Congratulations Man. God bless you in all you life.

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi846 5 місяців тому +2

    Kimwili siko nawe kiroho niko nawewe raha ya milele umpe ebwana na mwanga wamilele umwangazie apumzike kwa amani jembe🎉 la watanzania

  • @harrisonmulenga4578
    @harrisonmulenga4578 3 роки тому +1

    My President, you were and you are still my best.

  • @andrewwoiso5559
    @andrewwoiso5559 4 роки тому +4

    Magu Mungu akuinue zaidi na akulinde Mr President

  • @juliusmlunge6896
    @juliusmlunge6896 4 роки тому +4

    Mungu ninakuomba uzidi kumbariki Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli.Mungu ninakuomba uzidi kumbariki Raisi wetu Dr John Pombe Magufuli.Mungu ninakuomba uzidi kumkinga Raisi wetu na madui wote katika ulimwengu huuMungu ninakuomba uzidi kubariki afya yake ili azidi kuwatimizia au kutimiza yale malengo makubwa ambayo ni ya kuwaokoa wa Tanzania na umasikini AMEN.

  • @SofiaMvungi-zu5tg
    @SofiaMvungi-zu5tg 5 місяців тому +1

    Ni miaka mitatu ss tangia ututoke lkn naona bado uko hai RIP mpendwa wetu

  • @jescandungurumoses935
    @jescandungurumoses935 3 роки тому +2

    Mungu ni mwema wakati wote na walahakosei lala salama magu tutakukubuka daima🙏😭💔

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Рік тому +1

    Rest in peace dady Magufuli tunakukumbuka sana😭😭😭

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 4 роки тому +8

    tuwekee hicho kitabu mtandaoni ili tukipitie , asante na hongera viongozi wote !

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 4 роки тому +3

    TANZANIA Mshikamano daima. Mfano ulioonyeshwa na viongozi wetu, naomba UIGWE na wananchi wote had chini kabisa ngazi ya mitaa na kaya. Kumbe AMANI ya Tanzania ni kitu kinachowezekana
    . Tukidumu hivyo maadui hawato tuchezea kamwe.

  • @AllyMwemeziAutoSpareParts
    @AllyMwemeziAutoSpareParts 5 місяців тому +1

    Dah pumzika salama mzee wetu pombe magufuli nazidi kukuombeaaaa

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 4 роки тому +12

    Natamani tuendeleze upendo kama huu wa kuona viongozi wakuu mkiwa pamoja, nchi yetu niyenye upendo na amani sana, tuache masiasa ya kujazana hasira kila uchwao

  • @johnkassonta3092
    @johnkassonta3092 4 роки тому +6

    Mzee baba ongoza tu mpaka mungu atakapo kuhitaji na sikustf!!!!!!

  • @kenedynsenga8520
    @kenedynsenga8520 4 роки тому +8

    NAKUELEWA SANA KIONGOZI, HUNA UNAFIKI HATA KIDOGO NA PIA HUWA UNAONGEA UKWELI WENYE HISIA ZA KUFUNDISHA NA KUWAFANYA WATU TUNAOPENDA UONGOZI KUJIFUNZA MAMBO MENGI SANA KWAKO. HONGERA SANA RAIS WETU MPENDWA. MAELEZO YAKO KUHUSU CHANGAMOTO ULIZOPITIA YAMENITOA MACHOZI.

    • @bertomdendemi6587
      @bertomdendemi6587 4 роки тому

      kuna mazuri mengi ya kujifinza kwa viongozi toka kwa Ben

    • @israelivan4299
      @israelivan4299 4 роки тому

      Hata mimi nimekuwa Touched sana na Hotuba ya Mh.Rais Magufuli.
      Kwakweli Mungu alikuwa na Mpango naye! Tunamuombea kwa Mungu!

  • @magrethelisha5460
    @magrethelisha5460 3 роки тому +6

    Daah Mungu kweli kwa hili umetuweza😭😭,,pumzika kwa Amani Baba 🙏🙏

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru9908 4 роки тому +14

    Global TV unavyojichukulia tofauti na tunavyokukulia ,Sis tunajua hapa ni kituo cha habari, jiamin utatupoteza

  • @aminamussahmsumuka6558
    @aminamussahmsumuka6558 3 роки тому +2

    Mungu akuweke mahali pema peponi baba ulinifanya niipende nchi yangu na wewe ndo raisi niliyekupenda hata aje Nani nitaendelea kukukumbuka

    • @bonvivant3704
      @bonvivant3704 3 роки тому

      Raisi bora tuliowahi kupata Tanzania 😩❤️❤️

  • @kambonapaul6293
    @kambonapaul6293 3 роки тому

    Mwisho wa mawindo mbwa Hana thamani lakini tutambue magufuli atakumbukwa vizazi na vizazi kwa mema aliyokuwa akiitendea Tanzania Mungu akutangulie na Mwisho wa kiama upo kwa kila mmoja atahukumiwa sawaswa na matendo yake

  • @rehemamlowe1464
    @rehemamlowe1464 2 роки тому +1

    Mungu yupo hukum ni hapahapa duniani nawo walio husika walio panga wote hukum yao IPO

  • @priskachulla2178
    @priskachulla2178 2 роки тому +1

    Tunakukumbka Sana baba mtetezi wa wanyonge

  • @martineomego225
    @martineomego225 2 роки тому +4

    JPM was the GOAT, I appreciate & I wish to be like him cause he lives among dead

  • @GaoaFelex-mx6vh
    @GaoaFelex-mx6vh Рік тому

    Mungu alaze pema looo yako pema peponi, usia uliotuachia unatufanya kuwa majasili na pia bahaza ya mambo uliyo yasema tunayaona kwa macho, mungu akulaze pema peponi ameeni

  • @lizyjohn328
    @lizyjohn328 3 роки тому +4

    Wewe ndiyo rais wangu utaishi kwenye moyo wangu

  • @emmanuelkalega1037
    @emmanuelkalega1037 4 роки тому +3

    Ubarikiwe Rais walikushindwa wakati ule hawatakuweza milele chapa kazi to.

  • @sifunijulius2624
    @sifunijulius2624 3 роки тому +2

    Ukweli utabakia ukweli kwani Mungu hajifichi chini ya mapango Bali hukaa ndni ya mwandamu hivyo sauti ya wengi niya Mungu na matendo mazuri humfanya mtu atambulike /Amkopeshaye maskini /kuwasaidia unagusa moyo wa Mungu /Makufuli Mungu haangalii mwanzo wa jambo huangalia mwisho kama ulivyomkiri Mungu katka maisha yako Mungu naakukumbuke katka kiti cha Enzi kama alivyomhurumia yule Mwizi pale msalabani Yesu akamwambia kuanzia Leo nipo pamoja nawe peponi

  • @jacklindickson3423
    @jacklindickson3423 3 роки тому +7

    Rais wa wanyonge umeondoka kweli tunaumia sana atuamin bb pumzika kwa aman

  • @josephsilla2271
    @josephsilla2271 4 роки тому +5

    Pole Rafiki, rais wangu Jpm Mungu anakupenda Sana.

  • @yunismahanga2871
    @yunismahanga2871 3 роки тому +2

    Hakika umepitia magumu na kweli ulimtanguliza mungu na ndo maana ulikuwa jasili huogopi chochote ulitumbiwa watu bila uoga nenda Baba vita umevipiga pumzika kwa Amani rais wetu😭😭😭😭amina

  • @janethtimothy6480
    @janethtimothy6480 3 роки тому +2

    Pumzika kwa amani baba yetu....uliyofany n mengi hakuna atakayeziba pengo lko. Nkupenda sana

  • @fidelismushi8662
    @fidelismushi8662 3 роки тому +6

    Mungu alitupa mwanaume,jina la Mungu likazidi kuinuliwa siku zote!!!

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 роки тому +2

    Jembe limetangulia tukiwa bado tunalihitaji...... mungu muingize ktk pepo yako tukufu

  • @shamimukanju8402
    @shamimukanju8402 5 місяців тому

    Ewe Mwenyeezi Mungu mpe kauli thabiti Dr. John Magufuli

  • @yoramdogezah8000
    @yoramdogezah8000 4 роки тому +6

    Hongera kwa kukumbuka kushukuru ikiwa mzee Mkapa bado yupo hai,
    Mungu awatie nguvu Wazee wote, viongozi wastaafu.

    • @melanialeonard8043
      @melanialeonard8043 3 роки тому

      Kama alijua wote hawapo tena

    • @marysangula9974
      @marysangula9974 Рік тому

      Hatutawasahau kabisa Rais Nyerere, Rais Mkapa, na Raisa Makufuli. Hakika Mungu aliwaleta kwa watanzania maskini. Tuwapate wapi watu kama hawa ktk nchi hii? Ni kwa kufunga na kuomba tu Mungu atatukumbuka

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi 3 роки тому +1

    Mungu akupe nafasi yakuongoza uko, huongoze hata Malaika kama vile ulivyosema baba Magufuli.
    Mungu akuinuwe uko ili tukija uwekiongozi wetu tena.

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 4 роки тому +8

    Ukovizuli mweshimiwa rais mungu akupe mwisho mwema

  • @user-cf7cb5re2f
    @user-cf7cb5re2f 5 місяців тому +1

    Tutakukumbuka daima baba

  • @ismailrajabu4127
    @ismailrajabu4127 2 роки тому +1

    Dunia sio mbaya ila binadamu ndy wabaya yani. Apo watu wako walikua wanacheka kinafki sana kumbe walikua wanakutungia sheria tu jinsi ya kukumaliza pumzika kwa amani jemedali wetu kwani akuna atakae baki apa duniani watu usoni wazuli lakini wauaji wakubwa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 роки тому +51

    Hii imewapa watanzania maswali mengi mno lakini Mungu atalipa kama kuna mkono wa mtu

    • @user-ng6yt2od7l
      @user-ng6yt2od7l 3 роки тому +14

      Yaani malipo hapa hapa duniani kama kweli 😭😭Ila kama Ni kazi ya Mungu jina lake Mungu litukuzwe

    • @user-ng6yt2od7l
      @user-ng6yt2od7l 3 роки тому +5

      Kweli

    • @othmarluwawilo8308
      @othmarluwawilo8308 3 роки тому

      Hakuna mkono wa mtu, ukiwafanyia sivyo wengine, naye atakufanyia hata ukiwaagiza wengine wafanye naye atakufanyia.

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 3 роки тому +1

      @@othmarluwawilo8308 Exactly 🔊🔊

    • @undulemwakibabala8119
      @undulemwakibabala8119 3 роки тому +6

      Maswali mengii mnooo Ila tunamshakia Mwenyezi Mungu

  • @ibrahimahmedyunusu189
    @ibrahimahmedyunusu189 2 роки тому +1

    tulipoteza kifaaa cha muhimu hapa nchin tanzania

  • @frankmwandu7296
    @frankmwandu7296 4 роки тому +4

    Safmzee mungu akubarik sana

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 роки тому +1

    Kwa kauli hizi inaoneka hata kifo cha baba yetu hakikua cha kawaida mana akiwa waziri ali nyweshwa sumu

  • @sarahnyambaka5885
    @sarahnyambaka5885 3 роки тому +4

    kumbe magu watu awakukupenda kutoka kitambo. mungu akuweke mahali pema peponi

  • @collincarlos7433
    @collincarlos7433 4 роки тому +8

    Dah inauma

  • @zaidinaramadhani1676
    @zaidinaramadhani1676 2 роки тому +1

    Tumekukumbuka sana babayetu mangu hukukwetu tz skuhizi dh tunakuombeatu mngu aiweke rohoyako mahala pema peponi

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 роки тому +3

    Mungu akulaze mahala pema peponi baba yetu mpendwa😭😭😭🙏

  • @evasadala4409
    @evasadala4409 3 роки тому +13

    Kwel hio hata ss .hiv maswal ya kifo chake.kina maswal mengi moyo mwa watu hasa wenye akili

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 4 роки тому +25

    Hivi kwanini usiwekee kichwa cha habari kizuri kuliko kunuku ambacho hakijengi bali kinapandikiza fikra nyingine??

  • @stokiamkuju4907
    @stokiamkuju4907 2 роки тому +1

    R.i.p my president

  • @felixmnyagolo7819
    @felixmnyagolo7819 4 місяці тому

    The very best speech ever,

  • @maryrweyemamu7825
    @maryrweyemamu7825 4 роки тому +19

    Hapo ndipo unapoamini usemi usemao mbeba maono hafi nilazima yatimie Atukuzwe MUNGU alie kuokoa na kifo