TAZAMA NDEGE ZA "URUSI"/ZINAVYOTISHA KWENYE VITA/NI HATARI..
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- #Russia #Ukraine #War
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Naflahi sana hao wauwaji wa nato siwapendi napenda muokozi wa ulimwengu na, africa urusi pongezi sana mtangazaji hongera sana
Ww Shabiki wa Marekani auko fear
Sio shabiki Bado mmarekani ako Na Ndege za technology ya juu Sana
Nomaa
Je unaijua sukhoi 57 au china j20 embu😂fuatilia😂hizo Ione au checkmate ya mrusi
Amna KTU apo hiyo sukhoi n skrepa
Mrusi noma uliona usipo weka kichwa Cha habari neneo mrusi atuta sikiliza
Unachosema sio kweli, acha ushabiki
Actual combat scenarios atuzioni kihivo Bora ata f-15 ambayo ina rekodi zinazojitosheleza
Kaka hizo ndege zimetumika wapi au kwenye vitabu fuatilia za Mrusi zimetumika Syria 🇸🇾 alafu hakuna😂ndege inaweza kupita bila kuonekana mbele ya mifumo ya ulinzi ya S 400 au S 500 ya mrusi bro
Mbona unaielezea ndege ya kimarekani sio ya kirusi? Na hiyo story ni ya 2021 tupe mambo motomoto ya Ukraine huko
Muongo wew karare
Na zinadunguliwa mbaya Sana
Ww dogo ni kichwa sanaa nakukubali sana
Pamoja sana
Mambo mazito huko
Dogo uwa nakuelewa sana
Kichwa cha habari na kusimulia tafau kabisa duh 😂😂😂
Kamera yenu Bado mbovu upande wa visibility
Wako vzr
Maelezo ni ya F22 wakati kichwa cha habari ndege za Kirusi umetupiga nyundo ya kichwa.
Mwambie.apereke.urus.ikayayushwe
Urus je Awana ndege bola
Zungumzia Urusi na Ukrein ambako saivi Kuna Vita tunataka tujue hizo silaha zinazotumika hukoo ww unatupa Darsa
Unazisifia Ila vyenye zinadunguliwa utaamini
Yani kumaliziana bando tu kichwa cha habari kingne maelezo mengne shenzi
Sema wewe Dupange ni shabiki wa marekani hauko fea Rusia ni no1 kaka nyoosha maneno
Baba F35 ndio bora kulikozote
Wala si bora. Kwa kipindi hiki SU-57 pamoja na ndege jamii ya Sukhoi na Mig ndo balaa. Kwa marekani labda uniambie F 16, F 15, F22. Lakini pamoja na kuwa na udhaifu F 35 bado haifikii hz ndege. Imewazidi kwa teknolojia lakini si uwezo wa kupigana km ndege hz nlozitaja hapa juu.😊
Mbn ujataja za urusi