Mungu funguwa kamba zote za kicawi zinazo funga maisha yangu. Funguwa milango ya kazi baba. Mungu wa ngomeni nipe kazi na kuomba ee Mungu wa kuhani Musa.
Wapendwa watumishi wa MUNGU Naombeni mumuombee mtoto gadieli baltazari mlai alielazwa hospitali ya muhimbili anasumbuliwa na marazi ya kansa na degedege amelawa gorofa ya tatu wodi ya watoto wenye kansa.
Wachawi wafe kwa jina la Yesu Amen🙏🙏🙏
amina babaa mungu akubariki sana baba
Mungu funguwa kamba zote za kicawi zinazo funga maisha yangu. Funguwa milango ya kazi baba. Mungu wa ngomeni nipe kazi na kuomba ee Mungu wa kuhani Musa.
Amina.ubalikiwe.kwahuduma.mana.unasaidia.san
Wachawi wote wafe kwa damu ya yesu kristo wa Nazareth
Wachawi wafe kwa jina la Yesu.
🙏🙏🙏🙏🙏
Heemungu nashulu kwa kuletaa kuhani mussa mungu azidikukubariki
Baba uwa wachawi wanatutesa sana
Wachawi wafee..wamenitesa sana kenya
😢😢😢😢 maskini mama wa Watu....Yesu wa Ngomeni nisaidie na mimi mwanangu apoe KIFAFA NA KUANGUKA NA KUFAFATIKA.
Amiiiiiina. Baba
Musa
Lichard
Mwacha.
Mungu panguwa yesu naguchukuru.
Wachawi wafe wote kwa jina la Yesu
Nakukubali baba yangu wa kiroho
Yesu wakuhani musa saidia kizazichetu mungu akuzidishie nguvu wanaseee aswaaaa
ila mungu siku za mwishoo ndio hizi.jaman kama ange ruhusu kuhukum bass wachawi wafe wote
Nami awanipata kwa hii maombi napokea
Mungu fungua maisha yangu na familia yangu mchawi anaechezea familia yetu afeee kwa jinn la yesu
Amina.kwaneno🙏🙏🙏
Amina.baba
Napokea uponyaji kwajina la yesu amen 🙏🏼🙏🏼
Wachawi so wa kuhurumia kabisaaa, waumbuliwe na waadhibiwe kwa jina la Yesu
Amen
Amiiiiina
Baba
Musa
Mwacha lichard
HAKIKA YESU ANATENDA NGOMENI
Shetani ashindwe kwa jinn la yesuu
Mungu wa kuhn musa anisaidie nipet kaz nzur na familia yang ifungliw kiuchm
Wachawi mchomwe moto kwa jinsi la yesu
Amina kubwa baba
Tena wachawi wakate moto maana Ni vikwazo
Mungu nisaidie
Ukweli wachawi urudisha maisha yetu nyuma ni heri wakate moto
Tena wateketee kwa jina la yesu
Wachawi wote popote Walipo wafe kifo kibaya sana kwa jina laYESU
Hawafai kuishi
Natamani kuja ngomeni jamani
Maombi ya baba nimoto mtesi wangu alikata moto nanimesikiliza radio uhiru tu
Wachawi wote waabishe
Wachawi wote wafe kwa kina la yesu
Kuha Musa ,marikia aliyezaa na nyoka ibaada iyofanyika siku ya jmnne
Wapendwa watumishi wa MUNGU
Naombeni mumuombee mtoto gadieli baltazari mlai alielazwa hospitali ya muhimbili anasumbuliwa na marazi ya kansa na degedege amelawa gorofa ya tatu wodi ya watoto wenye kansa.
kweli kuhani mtoto wakike elimu ndio mkombozi wake
Mwenye namba za cm huyu kuhani jmn
Daah namjua sana huyu dada
wachawi wote wapigwee
Napanguwa kila mipango yakichawi