Ushuhuda mkubwa sana,Asante BWANA YESU wa kuhani Musa R Mwacha kwa kusikia na kuona ushuhuda huu mzito,YESU ULIYEYETENDA HAYA TENDA NA KWANGU NA FAMILIA YANGU NIKUONE KWA MACHO YANGU NA NIKUSHUHUDIE KWA MIDOMO YANGU PALE NGOMENI,KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI,AMEN
BWANA YESU KRISTO MUNGU MKUU TENDA NA KWANGU MAMBO MAKUBWA YESU KRISTO MUNGU WA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NAOMBA TENDA NA KWANGU KUPITA USHUDA HUU NAPOKEA BARAKA NA. NEMA ZA NGOMENI BWANA YESU KRISTO MUNGU MKUU NISAIDE🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿
Wangapi wamegundua kuwa ni aliekuwa mume wake ndie anaemchezea. Maana ukisikiliza vizuri huyo kijana aliropoka kuwa aliekuwa mume wake, mama akamnong'oneza nabii akasema nimtesi wake
Huu ni ushuhuda unatisha na Unajidhihirisha kabisaaaa YESU WA NGOMENI SIWA KUMCHEZEA . jamani jamani tumshike huyu YESU anatenda kwa maarifa yasiyopimika. AKISEMA NDIO HAKUNA WAKUMSHINDA AKIKUBARIKI HAKUNA WA KUNYANGANYA
Hakika wewe ni sniper mungu akubarik na akujalie maisha malefu tunakutegemea baba
Ushuhuda mkubwa sana,Asante BWANA YESU wa kuhani Musa R Mwacha kwa kusikia na kuona ushuhuda huu mzito,YESU ULIYEYETENDA HAYA TENDA NA KWANGU NA FAMILIA YANGU NIKUONE KWA MACHO YANGU NA NIKUSHUHUDIE KWA MIDOMO YANGU PALE NGOMENI,KATIKA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIYE HAI,AMEN
Mungu ni mwema sana yesu atusaidie
Mungu wa ngomeni naomba unisaidie pamoja na familia yangu nawatesi wetu wakate moto
Yesu ni Mshindi🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Amém
Amen ⚡💥🔥💚🙏
Amen hallelujah watching from Kenya
Watesi wangu washikwe kwa damu ya yesu toka 🇬🇧
Aminaaa,🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema sana zidi kutukumbuka
AMEN AMEN AMEN
Yesu anisaidie🙏🏽
Amen ,Mungu apewe sifa kubwa Hallelujah Amen ushuuda umenibariki sana naomba Yesu aniludishie byenye shetani ameninyanganya kwa jina la Yesu
mungu ni mwaminifu sana
🙏🙏🙏🙏
Kweli mungu mkali
Niko tayari Yesu nisaidiye nifunguwe mimi na wanangu
Mungu anitetee na mm
Hongera dada yangu umevuka. Umewapiga Hongera sana.
kweli mungu ni wa ajambu sana
Yesu was kuhan mussa ndy mwanzo na mwisho❤❤❤❤
Amina 🙏
Mungu akuongoze milele kuhani aminaaaa,🙏🙏🙏🙏
BWANA YESU KRISTO MUNGU MKUU TENDA NA KWANGU MAMBO MAKUBWA YESU KRISTO MUNGU WA KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NAOMBA TENDA NA KWANGU KUPITA USHUDA HUU NAPOKEA BARAKA NA. NEMA ZA NGOMENI BWANA YESU KRISTO MUNGU MKUU NISAIDE🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿🇹🇿
Amen 🙏🙏, Yote yanawezekana kupitia kwake Yesu kristo.
Jamaani kwasitairi hii tutaisha mungu tuokowe
Amina sana baba
Mungu anisaidie nipate kazi na awabariki familia yangu
Mubarikiwe sana munisaidiye kwamaombi
Yesu ni mwema
Napokea na Mimi Kwa jina la yesu🙏🙏🙏🙏
0:10
Amen👏👏👏👏👏
Amiiiiina
Mungu ni mwema Kila wakati, Anaetafsiri Kwa lugha ya kiingereza anatumia neno Cobra, Huyo nyoka ni Python siyo Cobra.
Amina
Yesu ni muhindi, naomba afichue kilicho jificha nyumbani kwetu kwa jina la Yesu.
Manyoka yote inayozuilia baraka zangu mnakamatwa kWa damu ya yesu kristo
Jambo naomba msaada Niko DRC goma
Glory to God
Nabii Musa mimi nipo Oman ila mume wangu yupo dar tunaomba utusaidie
Watesi wangu wooote washikwe kwa damu ya Yesu christo
Kuna jambo la kiwango cha juu sana nimejifunza kupitia huyu YESU AMBAE SI HADITHI NI HAKIKA ALIVYOTENDA KWA HUYU MAMA.
Niko tajari yesu nirudisie
MUNGU wa Kuhani Musa ni mwaminifu,n'a mimi anifunguwe kweli,nimepingwa kwa hali ya ndoa,
mungu na Mimi nionyeshe watesi wangu
Yesu nisaidie.
shetani ameshindwa
Kubukeni munakataa ushuda nawakati nimabo abayo yapo duniani tumuachie rafaeri majani katika jiji ra dodoma durojiji rasodoma nangomora
Power
Amen Amen🙏🙏
Mungu akurehem na kukukngeza me
Akulngeze siku zote naiwe hivyo
YESU wa NGOMENI anatisha kweli
Mungu wa ngomeni niondolee watesi
Naomba namba ao adresse yenu nataka kuya kule
Wangapi wamegundua kuwa ni aliekuwa mume wake ndie anaemchezea. Maana ukisikiliza vizuri huyo kijana aliropoka kuwa aliekuwa mume wake, mama akamnong'oneza nabii akasema nimtesi wake
Amina , na nko tayari Yesu atanirudishia mambo yangu
Hahahahahaah
Niko tayari 🙏🙏
Yesu muezah wa yote
Huu ni ushuhuda unatisha na Unajidhihirisha kabisaaaa YESU WA NGOMENI SIWA KUMCHEZEA . jamani jamani tumshike huyu YESU anatenda kwa maarifa yasiyopimika. AKISEMA NDIO HAKUNA WAKUMSHINDA AKIKUBARIKI HAKUNA WA KUNYANGANYA
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
MUNGU ni mshindi
Jesus Christ
Nasisi walioko mbali mna tusaidiyaje tu inchi za mbali
Amena Amena 🙈 mungu asifiwesana pasta 😋 😍
Jameni mungu nimuenza yote, naweza Pata hio anointing water 💦 na anointing oil wapi niko kenya 🇰🇪 Nairobi
njoo Dar Kimara Temboni
Sikuizi uganga ni mwingi makanisani
Sio kanisa la ngomeni
Boratu kama huna imani unyamazetu ndugu yangu
Kwahiyo tukusaidie nini
Mungu akuongoze milele kuhani aminaaaa,🙏🙏🙏🙏