LIVE |HATIMAE TUMEANZA UJENZI NYUMBA YA BINTI WA DARASA LA 6 ALIYEZALISHWA NA KIBAKA MKABAJI
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Mashallah , Zahir Allah akupe nguvu zaiidi ya kusimamia wanyonge. Nivizuri sana pesa use unazipokea ww umeona unajua nn kinachoemdelea, na ungemuambia Mama Hugo MTT wake wa kiume ajipe nafasi yakusimamia mafundi akisaidia kazi iyende haraka badala ya kulipa vibarua yy ajitolee awaombe hats rafiki sake kumsaidia hapo kazi itakwenda haraka hapatakua na ujanja wa fundi kama kwa bibi na babu
Waaleikum msalam asante kwa mawazo yako nayaunga mkono M/Mungu akubariki
MashaAllah zabibu tunakupenda mdogo wetu badilika Sana mtoto nzur wewe Allah awalinde Timu maxmamu
Maa shaa Allah uyu kaka ana wakipekee kabisa sijawai kuona Allah akulinde nakila shari kaka yangu akugungulie kila lenye kher Amiin
Mashaallah kaka zahir mungu akusimamie uzidi kusaidia watu wasio jiweza na wagonjwa pia from 🇴🇲🇴🇲
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Allah Atawajalia Kila La Kher Timu Maximum Tv👏
Nampend uyu mtt zabibu mashaallah kabint kazur kwel 👏👏👏mung atawasaidia iyo hali yakimaisha itaisha tu inn shaallah kwauwezo wa Allah 👏
Mashallah
Mungu akuhifadhi kaka Zahir 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
MashaaAllah Zahir Allah akulinde kila shariii akulipee fiduniya wafil Akhera
Jamani huyo mtu aliyetoa hiyo pesa Mungu amjalia mabaraka tele mbaka ashangae ee Mungu mpe huyo aliyetoa hizo pesa Baraka zote Mungu amsaidie tuu
Amin 3
Maashallah mungu azidishie kila lakheli yaarabi wapate chumba NA sebule NA wazidishe bidii ya biashara yaarabi 🙏🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu awezeshe hii familia istirike.
Inshaa allah.
Amin,Amin mungu awajalie team maximum tv
Ma sha Allah kaka mungu akujalie umri mrefu🤲🤲
Mashallah Allah akuzidishie kwa kila ulicho toa
Hyu mtoto mwnye vdonda mdomon basi atumie vidonge vya vitamin B complex au ale mboga za majani kwa wingi basi itamsaidia inshallah..
Kweli bora vidonge bei rahisi tu
onger sana kaka zahir kwa msimamo wako
VitamB ndo mpango mimi naviani sana
May God bless you bro Zahir and maximum team
Barikiwa sana Kaka zahiri na team yako yote mungu awajalijalie afya ya roho na mwili ili muendelee kuwasaidia watu wenye matatizo maana bila nyinyi sisi hatuwezi kuwajua
Alietoa kwa niaba ya familia hii mungu amjaalie kila la kheri 🌹
Mashallah mungu azidi kuwaweka wote
Kaka zahir unaupendo sana mungu akujaalie yaani hadi wao wenyewe wanajihisi furaha
Mashaallah mungu awajalie kila atuwa kaka zahir kwa kazi yako mzuli
Good work napendasana zahir unavyo chapa kazi mwenyezi Mungu akulinde Sana Kaka🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akupe nguvu kaka zahor yakusaidia wanyonge
Khadija
Mashaallah kaka zahir Allah akupe nguvu
Mungu awabariki wote mliomchangia, Mungu akuweke Zahir
Masha Allah.ilaa tyusimlaum sna zainab juu bdo yko na kili z kitt hvyo hvyo mama komaa nae
Mashala zaka lahu kher mungu akujaze meme shala
ndugu muna fanya jambo zuri sana huu ndiyo umoja wetu mungu awabariki kwa hayo munayo jitolea amina
MASHAALLAH MASHAALLAH 💓💓💓💓 MUNGU AWAONGOZE KKANGU INSHAALLAH
Masha Allah My bother Zahiri mungu akulinde
MashaAllah mungu awajalie afya team maximum na wote wanao toa chao kidogo amin
Mashallah zahir mungu akuweke mdogo wangu jpo bdo tuko na huzuni😢
Ungekwenda nae kununua hayo matofali wasije wakampora hizo pesa
Mungu akupe nguvu zahir na baraka tele pamoja na hao wanaojitolea si jambo dogo ni upendo mkubwa mno mungu awaogezee upendo🙏
In sha Allah Allah akusimamie my brother Zahir
Kaka zahiri الله atakulipeni, ww ni mtetezi wa wanyonge, na ikimpendeza mungu mbeleni uwe kiongozi serekalini. Inshaa الله.
Hongera sana,,,,Mungu akabariki kazi ya mikono yenu
MashaAllah tabarakallah Allah awalipe kwakila atuwa
Allah awalindena kilabaya juu yenu ila awajalie afyanjema NA umri mrefu inshaallah
mashalaa kaka zahir mungu akusimaie uwasaidie wenye famila kamaizi
Mashaallah allah akuzidishie moyo uwo uwo kkngu
Magufuli mdogo ndani ya ubora wake
Hapa kazi tu kazahir
Mashaallah kaka mungu akupe maisha malefu akuondoshee na usda na mabaya ya ulimwengu
Mashaallah Allah akuzidishie lnshaallah
Masha'Allah Mungu awabariki sana
Mashallah hongra kaka
Mashaallah kila hatua dua 🤲
Najua una kazi nyingi Zahir vitu vilivyobaki uende nae ulipe wewe usimwachie pesa wasije wakamzulumu
Mashaaallah Allah Awajaalie kila la kheri
Mungu akulinde my Zahir 💗💗💗💗
Jamani Zahir is a God sent son . Habari ya Hawa mlifika sawa ? Mungu ataendelea kuwabiriki nyote watatu .
Kaka zahir Allah atakulipia kwa mema unao wafanyia watu
Mashallah mungu awabaliki awasimamie katikakila jambo
Manshallah hakika mungu nimwema
Masha Allah mwenyezi mungu awajalie maisha marefu Maximum tv wote kwa pamoja
Allah awabariki sana jmn kila kwenye zito awafanyie wepesi
Mashaa Allah kila aliye toa mola atamlipa in shaa Allah
Mashallah my brother allah awalipe inshallah
mashaallaah Mungu awaongoze insha Allah
Mungu azidi kukupa nguvu Zahir uzidi kutenda mema na kuhamasisha watz
Asalam mwalekum warahma tulhahi wabarakatu haliyako kwakweli sijawahi ona mtu mwenye huruma kama wewe allha ndiye atakaye kulipa mimi nafatiliya sna vipindi vyako san ni raiya sa Burundi mungu akupe umri mrefu uzidi kutenda mema🇧🇮
Allah asimamie hii familia hongera kaka zahir
Mashaallah kaka Zahir Mungu Akupe nguvu kwa hili na Yajayo Amiin
Mashallah Hongera kaka najiandaa kuja Tz
Masha Allah
Jamoon huyu zabibu mzuri maa sha Allah
Zahir naomba uwe kaka yangu wa hiyari' Nakupenda sana Zahir ALLAH Akujaalie umri mrefu
Karibu mdogoangu..
Allah akubark kaka katika kaz zako pamoja na kundi lako lote
Na mnaojitolea Allah azid kuwafungulia na ss ambao hatukubahatika katika hili insha allah Allah atuezeshe na ss tujumuike papmojpa
Umechoja jamani kaka zahir pole allha akupe nguvu na uendelee kua na moyo huohuo.
Alhamdulilah 👏👏
Mashaallah kk zahir nass wengine tunajifunza kupitia kwenu maswala ya ujenz asanten sn mungu awabarki na awasimamie🙏🙏
Mm nimekaa nasikiliza kwa umakini we acha tu
Tuko pamoja kaka zahir 🤝🤝🤝🤝kwauwezo wa Allah tutamaliza nahii family itakuwa pow kbs kwauwezo wa Allah inn shaallah
Mungu wazidishie waliotoa mjengee kaka simpo mamaetu ili huko mbele michango ikisumbua wawewapetata Pa kujistir
Good 😍
Kak zahir ww na team yako nawaombea uzima Siku zote nawapenda san🥰🥰🥰🥰mung awabarik san
Dah
Bro zahir mm sina chakuongea ila nakupa hongera tuseme ishaallah
Inshaallah
Hongera sana kaka zahri
Kwani izo tofali zilizo apo azifai kutumika mana tofali nyingi zengetumika wakapata ikangawa rumu mbili
Mashallah hongera sana kwa kazi nzuri
Mashallh Mungu akuzidishie Kaka Zahir 😊
Nimechelewa jamani Kwa siku nzima Mungu ambariki aliyetoka .....mama kuwa unajitanda unavyo fanya interview kifua chote kiko nje
MashaAllah unanifurahisha mungu awe nawe zahiri
Mungu akubariki kwa yote 🙏🙏tenda wema uende zako malipo utapata kwa mungu🙏🙏🙏🙏
MaashaaAllah
Maximum team Allah awaongoze zaid
Mungu mbele kwa kila hatua,nawaombeni Wana Maximum tuchange kwa dhati ili hii familia iweze kujengewa nakuishi kama sisi kwenye nyumba yao zuri.Biblia inasema "kwa yeyote anaye msaidia anakopesha MUNGU naye atakulipa mbele ya ahera/mbinguni💕❤️💪🌞🙏🇰🇪.
Amen..
Mashallah atahajuwi kama baba yake nitapeli
Alaf mrejesho wa babu piaa.tunamiss kuona wanaedeleaje.
Uyo mtoto kana furaha 😍
Masha Allah brother zahir nami nilikua naomba wafanyiwe hivyo
MashaAllah
jamani zahir plz napenda kuja kuishi tz lkn kwa ajili ya kilimo yani ndo ndoto yngu
Karibu sana una ndoto kama mm mi naish tz ila napenda sana kilimo na ufugaji your welcome,mbarakafaki@gmail.com
Ahsante ..nitafika kwa uwezo wa Allah
@@0712939973 karbun. sana tz ufugaj kwa mjesan karbun tunawakaribisha na kilimo pia
@@mwajiranimesalimu5509 ishaallah karibu sana tz
Brother Zahir, siku zote nakuombea mungu siku zote akurahisishie maisha na akupe uhai
Amen..Asante sana Regina
Mashaalwah zahir na kundilake Allwah atakulipeni kheri
Mashaa Allah tabaraka Allah kaka -Zahir
Wekakamungu atakuli ishallh nakupenda bule sokwakujitolea ivo kakangu mungu atakulipa ishallh
Polen kwa mitihan mnayopitia MUNGU ataweka njia pasipo na njia🙏
Zahir waambie wawe makin ktk kutizama ujenzi mafundi wanapenda sana kupiga cement wawe makini
Hongera sana Mungu awasimamie
Mungu awahifadhi wasiibiwe.tu.mungu awabariki wahisani
Mashaa Allah nimefurahijeee👏👏🤲
Kaka zahir allah akujalie afya njema subrah na moyo wenye furaha kila siku