MAMA MKWE AONGEA |MWANANGU KAUWAWA KWA RISASI |PANYA ROAD |ZABIBU MSIBA
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Pole sana zabibu hi ni radhi ya mama . Uliamua kuwasikiliza watu baki kulikuni mmko aliekua akikutakia mema walau kuishi kihalali na huyo umtakae. Alikua akiumia Allah amrehimu na Amsamehe mathambi yake🤲
Ameen yaa Rabbi 🤲🏼
Laana ya Mama iyo bado itawatafuna katubu
Kweli mzazi ni mzazi yule ulikuwa unamwona wa muhimu nakumwacha mama yako mahututi ukimwona ndo wa muhimu Sana Naye kaondoka inaumiza ila pia nifundisho kubwa kuwa usicheze na masononeko ya mzazi na laana
mzazi ana nguvu ni wakati wako zabibu kuokoka
pole mama alfani mungu akutie nguvu inauma sana
Kwely atajua hajui laan ya mama ndo imeanza hivyo
Laana ipo
Mzazi akikataza kitu ni muhimu umusikize sana ,,,mama zabibu alisema mwanawe hawezi olewa huko na hivyo ndio ilivyokuwa so heshima kwa mama aliyekubeba miezi tisa idumu
Yaan nakusema akirud sober kamwambia kijana harudi kwako mh mtihani wallah mazabibu hata km maradh pia alikua anasoneneka sana
Zabibu unamskiza na kumpenda mama wa mwenzio na wako ulimtenga ukamuuwa kwa kusononeka roho..kweli kila kifo ni njia ya kila mtu lkn ww umechangia kifu cha mamako..malipo ni hapa duniani..Mungu apigwi kwa fimbo ulipa kwa zake njia..hiyo familia awakumpenda mama Zabibu coz alikua akisema kweli..Zabibu tia akili sasa..Allah awesemehe wote walio tangulia.. Innalillah wainna ileyhi rajiun
siamini kama huyu kijana hayuko tena inauma jamani waah basi tumuombee tu kwa mungu ndiye ajuwae zaidi wanadamu tunaweza tolea mtoto wa watu maneno mabaya kumbe wapi may his soul rest in peace 😭😭😭🙏🙏🙏pole sana mama kwa kumpoteza mwanao tulikuwa tunasema unaongea sana una mapepe kumbe ndio kuongea kwako waah uchungu 🙏🙏🙏
Kweli kabisa😭
Kweli kabisa
Nimeumia sana huyu kijana jamani!! Pole kwa familia
Umesema sahihi
@@narlt229 Achaa tuu 🤔😥
@@ayshamahariq6665 kijana kama huyo anaondoka halafu anaacha mtoto mchanga huyo mama inaonekana kalia sana mpaka kavimba sura. Hilo tukio siyo jepesi
Hongera kazahiri kwa kutaka kujengea makaburi yote mawili, kweli unamoyo wapekee mungu kakupa zawadi ya moyo nzr ambao sis wengine hatuna .
Mzazi kama mzazi silahisi akubali kma mwanae anamatukio ya ajabu mungu atunusuru na vizazi vyetu
Dah inauma sana tena mnooooo 😭😭😭nimelia sana dah mungu awape faraja wote maskini hakuna cha kuhukumu anae hukumu ni mwemyezi mungu peke yake 🙏
Yaan mi Kama Mama imeniuma nimevaa kiatu Cha huyu mama hakinitoshi
aki inaliza wallah nimelia pia mm😭😭😭
Na wanaouliwa na panya road nao wanaumia zaidi ya hapo.
Utamuweza zabibuu???
Kumbe marehemu mama zabibu anaijuwa hii family vizuri
ALLAH atusitiri na vizazi vyetu ,jamani😭😭😭sote tumetokwa kwake na sote tutarudi kwake,Allah awape subra familia yote kwa msiba huu mzito 🤲
Amiin Yarabby
Amiiin.
Ameen
Masikin ala atuongoze hii dunia
Ukitokea kwenye familia ya kimasikini Tanzania usipopata bahati ya kusoma ukiwa kijana wa kiume nchi yetu inakupeleka mojakwamoja kwenye kundi la waharifu 😭😭 yaani kama auna kazi rasmi ni mtihani Kwa vijana wa kitanzania 😭😭 Inauma 😭😭🇹🇿🇹🇿😭
Asante kaka Zahir kwa kutuletea Habari hii. Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na maisha marefu. Amiin❤🙏
Jamn huyu mkaka amefariki eeh Mungu wangu jamn jamn
@@ruthjohn4317 ndiyo.
Mama Sema ukweri kuliko kuficha ili MUNGU amsamehe, napia achana na zabibu kwasababu mamaake ajarizia na uking'a ng'ania unaweza kukutana na mabalaa
Huyu mama alikua hampend mama zabibu anamshikilia zabibu kama mwanae
Maskini mama Alfani. Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kwa wakati huu mgumu.
Wakati mgumu gani wakati wao waliuwa mwanafunzi
Hakuna Cha mungu kumfanyia wepesi wala nn apambane na hali yake achen kutetea ujinga nyie huyo mama ukimsikiliza kwA makini unagundua kabisa huyo mtoto wake alikua na tabia za kishenzi
Duuu masikini kiukweli inahuzunisha Sana Kama kweli alikuwa panya road Askari wamefanya kazi yao kiuhalali maana hawa watu sio wa mchezo wakikuvamia wanakumaliza Kama walivyommaliza yule binti wa chuo.Pole Sana mama kwa kumpoteza mtoto wako Kama sio panya road ameonewa malipo ni hapahapa Mungu atalipa kwa Askari wote walioshiriki kutoa uhai wa kijana wako. Mungu aendelee kukutia nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P
🤣🤣🤣🤣🤣😍😍😍😍😍👋👋👋👋👋
Kabisaaa sahihi
Kweli kabisa aiseee, panya Road ni hatari ,natamani wakamatwe woote na wawauwe, maana kufungwa haisaidii wakitoka wanaendelea tena na kuumiza watu,yaani wanatuchosha mnooo,
@@waukweelinikkon6555 kabisa ni wa kuogopa hawa watu.
SINA USEMI Mwenyezi Mungu atupe mwisho mwema sisi tuliobaki Amen Amen
Amiin
Ameen thumma ameen yarabi 🙏
Wamama kwa kutetea watoto wetu ndicho hapo tunakosea asante Amosi Makala kz iendelee
Amin rabil amin
Ameeen
Wee pole sana mama Alfan it's painful to loose a child haijalishi ni njia gani au kafanya nn mwenyezi Mungu akujalie wepesi moyo utulie 😢
Kabsa hata mimi nasema hivi awe alikuwa au hakuwa hakuna mama ataskia vzr km mwanae kauwawa
Ameen
Mama zabibu alikuwa sahihi kumbe dah subhannallh zabibu muombe mungu sana ndugu yangu
Duh alllah karim
Zabibu mambo yanaanza hayo
Zabibu kamuacha mama kamkimbilia mume, namume mwenyewe kashaondoka , mungu kakupa mtihani mdogo wangu ujifunze mdogo wangu pole kwayalio kukuta
Huyu mama nae anaongea kibabe kibabe San ajui kuongea kama Mwanamke jamani
Zabibu kweli kapatikana jamani, nafikiri anapitia haya ili ajifunze, unatakiwa uwe na hofu ya Mungu,mama ako amekufa akiwa na huzuni juu yako, kwa kweli inahuzunisha mnooo,zabibu ubadilike mdogo wetu.mi nimeshtuka kweli kuona halfan naye ametuacha.
kabisa zabibu ili ni funzo na nisomo hakuna kama mama alidharau mamaake akiw hai leo hii ayuko ulimwenguni ndio atajua umuhim wa mamaake mungu atuongozer vizazi vyetu yarab mana huu nimsiba juu ya msiba
Hakika dada hujakosea malipo nihapahap dunian akhera hesabu
Zabibu Afanye halaka kuomba toba maan mama alikufa na kinyongo na hakuwa kalibu n mama aende tu kumuomba msamaha mama yake kabla hayajatokea makubwa maan mzazi!! Laan ya mama!! Mh
Poleni kwa msiba mungu atusitiri NA vizazi vyetu. Huu si wakati WA kumpa maneno ya kuumiza zabibu bado mdogo Sana NA madawa ni janga baya. Mungu atusamehe wote. Pumzikeni marehemu wetu.
Dah, jamani, msiba unauma mno haijalishi alie kufa alikufaje, poleni sana, tena pole sana Zabibu, mwaka huu umepata pigo kubwa sana, Mwenyezi Mungu akupe uvumilivu.
Mama akikataa jambo jamani tusikieee anaona kila baya lililo mbele ya mtt wake ila zabibu hakusikiaa mama kajaribu kumtenganisha kwa kila njia mpaka SOBA KAMPELEKA MWANAE AWE MBALI HA HIZI FANI! Sasa kamchukuwa kaondoka nae kabisaa
@@ummySheikh72 kweli kabisaa! Hii inamaanisha kweli mama hakumtaka kabisaa mkwe wake huyu aisee! Daah wapumzike kwa amani!
Zabibu mitihani imeanza, innalillahi wainna illah rajiuun
Hapa ndio napata jibu ndio maana juzi zahiri juzi alimpost alfani tukafoka humu kua kwann anawapost akasema tutulie tutaelewa kumbe kafariki😭😭😭😭😭😭
Hata mie sikuelewa mwenyeezi mungu atusamee lwa kweli
Na zahir aliandika tu vizuri headlines but watu hawakuielewa bwanawe watu walifoka adi nilikua nasoma tu comments nashangaa tu hivi hawa watu hawaoni hapo juu🤔🤔🤔
wallah maoni yangu mm ni zabibu aondoke apo achukuliwe akaanze maisha mapya mana hapo mazingira mazur hapana na atakua mzungukaji zaid jamani wamuache mtoto wa mwenzao uenda anako kwenda akabadilika bado mdogo atakaa hapo vipi jamani mungu nissmehe yarab aniongozee kizazi changu yarab
Ni kweli msiba unauma ila hizo ni duwa za
Mama Zabibu na siku za mwezi ni 40 inalilah
Kabisa na kama pia huyu mama alichangia kifo ya mama Zabibu kwa mawazo au chochote lazima utalipa tu na utaonja huu uchungu
Mtihan tu
punguzeni maneno makali jamani roho ya hueuma iwaingie hatujui mwisho wetu
Nana Dady: na mama zabibu kufa ni duwa za nani?🤔🤔
@@svt3 Yaani watu wamekazana laana ya mama laana ya mama acheni kumchosha Zabibu, Laana gani kwani watu huwa hawakosani wasituchoshe my
Asante sana ndugu yangu Zahiri kwa kumpiga maswari ya nguvu mama wa panya road naona mtoto wake alikuwa ni katika mabosi waliokawa wanawatuma panya road maana panya road wenyewe bado ni watoto wadogo
Innallillah wainnaillah rajion! Ila roho ya mama zabibu haikumpenda yule mtt kaondoka nae ili mwanae awe salaama! Aminini Mama zabibu atakuwa na Amani aliko maana hakumtaka kabisaa huyu mtt hakuwa salaama! Kabisaaaaaa kaondoka nae! Huyu mama anakawaida ya kumtetea mwanae kila siku anaweza pia kuwa panya road. Wamemtaja wenzie waliokuwa wote ktk matukio tuache kutetea watt wakiwa wabaya
Kweli
Kweli
🤣🤣🤣🤣
Anamtetea sana mwanawe anaona kaonewa
@@fatmamansour676 uangalie uso wake hauna hata huzuni hata chozi nafsi yake inamsuta maana anajuwa mwanae alichokuwa anafanya. Nafsi yake haiusapoti uso wake na mdomo wake wa uwongo! Yeye kasaidia mwanae kuwa vile na zabibu kuzidi kukosa adabu kwa mama yake! Mama zabibu kashindwa kuwaweka mbali alipokuwa hai ila kaondoka nae hizo FANI! Mama zabibu kafurahi huko aliko kwasasa maana wamechangia kumuwa kwa uchungu yule mama. Malip Duniani Akhera hesabu.
Mama zabibu Amekufa na kinyongo kwa hii familia😢 Allah akupe subra zabibu
Ni ukweli Aki😭
Pia kauli ya mama zabibu nanukuu, mwanangu akitoka soba sahau zabibu kurudi kwako tena ila kwa kuwa watu wanapenda mabavu ndo hayo
@@aminaam281 kwavile aliona akitoka soba itarudi akili yake atakuwa msafi lkn ndio hivyo tena km tulivoona.
Nikweli😭😭😭zabibu pole yake
Kwani alikufa muda sija fuatilia💔💔💔💔💔
Mie sina la kusema Ila poleni Sana na wengine tuna watoto twa waombea dunia kila CK wawe watoto wema yarabi 😭 huyu mama anajikaza Sana ana Hali mbaya daah
Amiin
Kweli kbs yn inauma san😥
Sana Allah ampe subra
Inalillah wainailah rajiun! Zabibu mdogo wangu sikulaumu lkn ulion mama yako hafai marehem anafaaa Subhanallah kiko wap? Mungu akusameh na atusamee na ss tuwasikilize wazaz wetu jmn kwa Hali yeyote Ile
Zabibuu amepigwa na kitu kizito kwa umri mdogo alionao.... Mama na mume wanakufa kufatana.... Mola awarehem inshaallah
Lana ya mama zabibu hiyo. watajuta. Tena bado
hii nilaa kweli jmn dunian unapanda ulicho kivuna
Asiye sikia la mkuu huvunjika mguu , sasa kakosa kote , pigo ndani ya pigo , sasa mama mkwe wake kama anampenda kweli ndo aanze majukumu ya kumlea
Nabado gisi arikuwa hamsikirizi mama yake sijuwi ataishije
@@gracebilahibilahi8069 muombee mema hakuna mkamilifu
Kwa kweli ni mtihani mkubwa Kwa family zote na jamii. Tuwaombee dua wenzetu na jamii nzima. Dunia yote imehariibika. Vijana kuharibika Kwa juhudi na malezi mema huenda wakabadilika Inshallah
Inalillah wainalillai rajiuni mbele yake nyuma yetu 😭😭😭😭😭
Inna lillah Wainna Ilayhi Raajiuun. Mungu amrehemu amlaze mahala pema peponi. Poleni sana wafiwa wote. Jamani ktk kuweka comment tusimseme maiti. Hatujui vp kafa na Mwenyezi Mungu ndo anayehukumu. Shukran
Kweli kabisa
Alfani anasikitisha. Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema na amsamehe makosa yake.
Zabibu should just go home and raise her siblings and change her ways
Duuuh jmn 😭😭😭😭 imeniuma sana kwakweli RIP Fani..pole mama Fani Mungu akutie nguvu
😭😭😭
Inauma sana
😢😢😢😢jamani mungu wangu😭😭😭😭pole Zabibu mdogo wangu, kiatu chako siwez kukivaa😭😭😭 ila jamani mama nimama , wenye mama zenu walio hai jitahidini sana kuwarizisha wazaz🙏🏼🙏🏼
umesema ukweli kabisaa nasi tuzidi kuwaombea mama zetu wapumzike kwa amani
Hiyo ndio picha zabibu alone ndio mwanzo waradhi zamama kumpiga
@@judithmelvinealuchio8968 mbona xielewe jaman🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️😢😢😢😢😢😢😢
@@ayshamahariq6665 yani hata mimi nimeshangazwa na hiki kifo cha Alfan aki hadi basi tu 🙏🙏🙏
@@judithmelvinealuchio8968 Allah atupe mwisho mwema🤗🤗😭😭😭😭
Subhanallah polen ila mlimdhulum mama zabibu akitetea haki ya mwanae kuwa hii familia haifai Sasa duwa zake mungu atazilipia aliumia saan ila zabibu hili nifunzo nabado km walikuw wanachekelea kufa Kwa mama zabibu
Una ushahidi km walichekelea acheni kujipa majukumu ya Allah kutoa hukumu kwani zabibu ndio alimpa ukimwi mama yake alikufa kwa kutokubali matokeo
Kwan ukimw sihoma km homa zingin
Naww ulijiaje km alikuw na ukimwi ?
Msongo ndy umemuondoa nasio kuumwa ww huyo kijan walikuw wanamkingia kifua mara ngapi amewekwa ndan
Amesh kufa tuangalie mengine Kila mtu ajipange ataenda vp bas
@@MohammedAli-rh5si yaani mm huwa nashangaa tunalea watot wenyewe vibaya tunasingizia wengine wameshika mama zabibu mama apple mpk wanakera.
Daaah zabibu ndio atulie Sasa akiangalia mama hayupo bwana hayupo. Huyo ndio alimpotosha zabibu
Mmmh mama yake Aliku akiumia hakumsaidia mama yake ss atayaona
Aiseeee nipigo kubwa sana Kwa zabibu kampoteza mama na Mume aisee so sad😭
Inma lillah waina illah rajuuan Allah amsemehe makosa yake Mpate subra wazee wake . Zabibu bora ahame apo asikae bora zanzibar akabadirishe maisha kidogo hiyo ni mitihan mikubwa mama na mume atarudi Zahir bora washaur
Inna lillahi wa inna ilaihi rajioun. MUNGU akupe subira mama Khalfan. MUNGU atustiri na kuviongoa vizazi vyetu.
Zabibu MUNGU amekuonesha mtihani katika maisha yako.Hivyo , sasa unatakiwa UKUWE uangalie ulipotoka,ulipo na khatima ya maisha yako.
MUNGU anakupenda Zabibu jitahidi ubadilike umrudie MUNGU. In sha Allah kwa uwezo wake.Utashinda na kufanikiwa.
Zabibu mapigo ya mama ayo pole mdogo wangu😭
Kabisa Ali muacha mama ake akahiari aendeleze zinaa yarabi tusamehe wajawako
😭😭😭😭
Kiukweli kunachakujifunza hapa aisee maneno yamzazi yananguvu kubwa sana
Tumuombeeni mungu zabibu awachane na uhuni na bangi, Yarabbi tunusuru na vizazi vyetu vijavyo inshaallah. Amin
Huo zabibu analaana mnoo sijui na hao watoto wake ataishi vip huo si atawatupa huo
Rest in peace Alfani, aijalishi ulikuwa mwizi kweli, au ulijiusisha na panya road!! Au ulikuwa na tabia mby kiasi gn... Itoshe tu kusema imeniuma pumzika Baba!!!!
Hata mimi ndugu yangu 😭😭😭🙏🙏
Sana imeniuma Sana
Kwakweli inauma kifo ni sili mungu pekee ajuaye😭😭😭😭😭
Daaaah hata mie🥲🥲
Kweli kabisa wamemkatili kijana. Mtu anatiwa hatiani mahakamani sio police.
Mama mwenyew anaonyesha kabisa alikua anajua mwanae panya lodi Polis ahsante kwa kazi nzuri maana wengine tulishawaza kuama jiji sababu yao
nimekosa cha kusema waah Zabibu ushaakuwa mjane mapema pole sana mungu aweze kuwafariji na family yote🙏🙏🙏
naomba tu kumuona Zabibu yani shetani mbaya sana
ʜᴀᴊᴀᴍᴜᴏᴀ ʙᴀᴅᴏ ᴋᴡᴀɪʏᴏ ʜᴀᴊᴀᴡᴀ ᴍᴊᴀɴᴇ
Kwani aliolewa ?
@@fatmaalnabhani3609 sasa ukiishi na mtu more than 6 months si ni mkeo au mumeo
@@judithmelvinealuchio8968 nani kasema inaitwa ni zinaa kama wanyama tu
Kama alikuwa ni panya Road kwel au mwizi basi alikuwa anastahili hichi kilichotokea ...wanaumiza sana watu kwakweli hili liwe funzo..waliambiwa wakiwakosa police waende hospital
Mtu huwezi tajwa tu kama huusiki au hujawah fanya ichi kitu..kumbe police walikuwa serious
Kama mama lazima amtetee mwanae kwakuwa ni mzazi lakini vijana au watoto wetu wanafanya mambo ya ajabu sana...anavyosema alikubali kubadilika inamaanisha alishawah kufanya mambo haya ya uhalifu..mtu kama sio muhalifu police mara kwa mara alikuwa anaenda kufanya nini?yaan nimeshawahi kuvamiwa na vibaka njian kiasi tu waniue yaan wezi/vibaka wana roho mbaya sana yaan
Walikuwa wakinyang'anya watu ndo mana mama zabibu hakumkubali mana matukio wakaifanya na zabibu pamoja
Sasa akamatwe mtu alafu auawe bila kushtakiwa?
@@johnkiimbila6799 wakipelekwa kisha Wa natolewa ndo hufanya matukio zaid hii wao walikuwa yule bint ndo mana na wao wanauwawa
Allah atupe mwisho mwema in shallah...tusijaribu kuhukumu sisi hata kama alikua mbaya Allah ndio anaejua yaliyopo katika nyoyo zetu Mwenyezi Mungu awasameh makosa yao waliotangulia mbele ya haki na si atupe mwisho mwema na vizazi vyetu
@@zuweinamohamed2073 Amiini Ishaallah
Pole kwa familia kumbe fani ni panya road dah😭
Tatizo siku hizi police wakikamata panya road ni wanauwa tuu wazazi muwe makini na watoto wenu kama unamuon mwanao anaenda njia sizoo mkanye abadilike sikuhizi wanakufa kama kuku 😳😳
Tatizo wanuwa sana binadamu wenzio bila uluma mwenyezi mungu atustili vizazi vyetu yarabby
Watoto wenyewe awasikii ndugu wewe kuna mtoto mtaani kwetu anasoma kidato2 muhumi huyo bange mtu wazazi wanaongea mpka wanachoka wameamua kumuacha2
Saf sana kuwauwa vzr mana hawa washez panya rod
Inabibidi ufanyike uchunguzi wa kina kabla ya kukamatwa watuhumiwa Mana bila Ivo inawezekana wakapotea ata wasio kuwa na hatia
Mungu atunusuru na familia zetu yaani itachanganywa na watu kunyanganywa mali zao kama yale ya kijana wa Mtwara huko tuendako sipo kabisa.Isije tengenezwa nchi ya kusadikika maana mara kuna watu hupotea hawaonekani mara wengine huokotwa baada ya kutekwa hatari sana
Pole mama khalfani, pia unamoyo wakujali sana
sizungumzi kwa ubaya ila uyu mama kiukwel anajua matukio ya mwanae anaficha....pil kama kwel alikuwa panya rodi ni kwel hiyo ni haki yake maana wanakatisha maisha ya watu kwa tamaa zao za kipumbavu...asiefunzwa na mama hufunzwa na ulimwengu panya rodi kwakwel popote walipo wauwawe haina jinsi mama pole🙌🙌🙌🙌
Yani inawezekana kwa kweli mama Hana ata huzuni
Zabibu pole sana 😢maman hauna na mume hauna???? Acha sasa utaona maana ya maman 😢😢dunia itakufunza adabu
Uyu ni mzaz hawez kukubal kuwa mwanae ni alikuw muovu
Pole sana mama mzaz
Pole Zabibu hii dunia bwan muwe mnasikiliz wat wazma yaan mama Zabibu Angeliona ili tukio cjui angekuwaje mmemsononesh sana mama wa watu japo maradh yalichangia na mung alitak liwe
huyo hakuwa katika tabia nzuri ulimkanya sana na.kumsaidia sana katika maisha yake na mzazi alilijua hilo
pole sana zabibu umepitia wakt mgum Sana mama Haun na bwana Haun ni huzun Sana
Ukomee kiranga kwisha umekosa mwana na maji yamoto
Pole Sana kwa yote Mwenyezi Mungu awape nguvu awapikanie awashindie awaweseshe vyema katika Jina la Yesu Kristo aliye Bwana naMwokozi wetu ameeeen
Amen
Chanzon cha yote haya n bangi na madawa ya kulevya. Ukianglia zabbu utukutu kutosikiliza mzazi n kwa ajili ya bangi.... Panya road wengi wavuta bangi na madawa ndio maana wanauliwa tu. Hvyo sober hpo ihusike sana... Poleni familia ya maximum kwa misiba mizito zabibu pole sana
Poleni sana kwa wakati mgumu Allah awape nguvu inshallah poleni sana
Zabibiu mungu anasababu anataka ugeuke geuka zabibu ulee mwanao ww ni mschana mrebo sana na bado mdogo sana utapata mume utaolewa ila badilika
Kwakweli watoto wezi wanatuumiza sana wazazi🥲🥲🥲
Hahaha ni laana ya yule mama zabibu imemkumba
Jmn sio tunatetea watoto tu niuchungu sio kila anaeuwawa ni panya rodi jmn acheni kuua watu hovyo 😭😭😭
Ghaiii waaaa 😢😢😢tena???ukiona hivi ni Mungu anatenda kulipisha,hawa pia ndio walichangia kifo cha mama Zabibu juu ya mawazo,mtaisha pole pole ni mthubu dhambi zenu sasa but pole sana
Dada muludie mola wake unakoseya sana .Allah njo anajuwa peke yake hukumu ya mwanadamu.kira nafsu itawonja mawuti
Mnakosa lakusema sasa kafa siku imefika mujiulize mama zabibu hakuwa na familia mbona familia yke wakat wa kuumwa hamkuiona mmeshika mama wa watu tu nyinyi mnajua maisha yao walikua vp ondoeni mambo ya kipumbavu kuzania watu.
Huyu mama amekua na tabia sana ya kumtetea kijana wake tangu mwanzo sura yake yenyewe haieleweki ahsante sana polisi kwa kufanya kazi yenu mmefanya kile kinachowastahili panya road na zabibu laana ya mama yake itamtafuna mpaka kieleweke.
Askari kazi nzuri endeleeni hvyo hvyo piga kabisa...mungu atanisamee kwakweli wapigwe tu
Mungu akusameh
Usiseme ivyo maana haijulikani kama kwenye tukio alikuwepo au walimshuku nasie pia wazazi tuwe na hakiba ya kuongea kama nikweli Sawa ila kama sio kweli ina sikitisha
@@eashaeasha9776 kweli tena tusimuukumu sana tuwaombee watoto wetu wasienatabia mbaya
@@tatotato506😭
Kama wewe ni mzazi usiongee hivyo na kama haujakua mzazi siku moja utakuja mzazi. Tuwaombee vijana sana maanake sio wote wanauliwa Wana uhalifu. Wengine ni kuzingiziwa.
Subuhana Allah zabibu kapata pigo hakumjali.mama kamkosa na aliemganda kimapenzi jaman jaman Allah anatisha
Subhanaallah huyu kijana kafa masikin ,Rip alfani jamn 😭😭😭😭
Yani nami naona leo mungu amsamehe alipokosea
Imeniuma kweli
@@jacquilinetenth3447 sana
Huyu mama alikuwa anamtetea sana mwanae badala ya kumuonya aache wizi
Binadamu sio kitu jamani Allah amor kauli thabit Alfani na amfanyie wepesi Zabibu na mama Alfani😭😭
Mbona kama laana ya Mama zabibu alimuumiza sana mama aaake😪😪😪
Subhana allah
Allah awajalie subra juu yenu
Amin...
Zabib ndugu yangu mafunzo hayo umepata umekosa mama na mwamme kwa wakati mmoja ...
Tubia kwa mungu uwalee watt wako na ndugu zako
Alikua sio mume wake kwakua hawajaona
Ilo ni fundisho kwa watoto wasio sikiliza wazazi wao aya zabibu amekosa Mama amekosa Mume..,Mume nae kutomsikiliza mama ake na zahir yamemkuta na muonekano wake ulikua wa kihuni sana so lzm aonekane panya road but Pole Mama..
Tustaghfiru Kakazahir ila huyu mama si mtu mzuri Ila Alla yupo
Achakuhukumu wewe hakuna mkamilifu
Mbwa mtu mzur babaako
Halfani kafishwa 😭😭inalillah wainaillah rajiun poleni sana na msiba imeniumiza
Naombeni zabibu aende znbar asitake kummaliza maana mama zabibu hayuko radhi aende kwa mama khalfan
Pole sana zabibu, ni bora tu uenda ukaishi kwenu.
Inalillahi wainailahi rajuun. Subuhanallah😭😭😭mtihani polesana mama Alfani
Ndio tujuye mungu fundi.Yote ni mifano yetu tukio hai
kichaa anachekesha kama hatoki kwenye familia yako ,poleni wapendwa
sana
Kama alikuwa Panya basi wanasumbua sana. Ila pole mama mtu
SubhanaAllah 😭😭😭😭😭😭😭 🙆♂️🙆♂️🙆♂️yaan xiamin😭😭😭 Allah Amuondolee dhambi zake 🤗 atupe mwisho mwema🤗💔
Amiin
Mama zabibu kaondoka na Mtu wake sababu hakumtaka kwa maelezo kiwa ndie anaemuharibu mwanae jamani msisikie mtoto anatuma.
Kwanini huyu mama anamtaka sana zabibu kwa haraka haraka ukimuangalia hata sura ya uchungu hana au bado yupo na mshtuko haamini
Huyu mama ataka akae na zabibu ili amuuze kwa wanaume kwa manufaa yake binafsi juu ata mama zabibu alikua anajua hilo kua huyu mama anafanya zabibu udanguro ili wapate hela
@@mariammbodze2649 amuuze mkamwanae tena sio vizuri punguzeni zambi
Pole sana ,Alfani ame fariki ? Oh Mungu Tanzania ime kuwa Inchi ya mauwaji kama Congo,poleni Tanzania kwa kupata matatizo hiyo ya mauwaji ya mara kwa mara.
Mmmmh jaman jaman, huyu kaka kaniuma Mimi😭😭😭 mweee kifo n fumbo Kwa kwel tujiandae hatujui siku Wala saa, ee Mungu nijarie mwisho mwema🙏🙏
Nimeumia km ndugu yng
Kwenye kumsaidia mama zabibu sijui mungu ndo anajua tukumbe mdogo ake zabibu ALISEMA hakuna aliyekuwa anakuja kumsaidia
lnalillah wainalillai rajiun mbele yake nyuma yetu kama siamini vile😭
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 🤔 Hapa Kuna hikma Flani Yani hakuna Anae weza kujuwa na kuelewa ispokuwa wenye hikma Mungu analipa jamani 🤔 Astaghfiru Llah Subhanallah 😭😭 Zabibu Mungu anakuonesha kama yeye njo mwenye nguvu ulijuwa uta Enjoy kumbe Unabaki na majuto ee Mungu tujaalie mwisho mwema kwani Dunia si chochote 😐😐😧 Zabibu Rudi Kwa Allah 😭😭😭
Umeona mbali jirani
@@wemakalama6458 Yani Zabibu alivyo mkejeli mama yak nakumuona si Wamaaana Leo sijuwi yupo muhali gani? Tenda wema nenda zako
May Allah grant him a place in jannah
Panya road afee achomwee tu
Ameen
Pole mama msiba wa mwana una uma sana ,mmungu akupe subira.
Innalillah wainnah illah lajoun.. Daaaaa zabibu mdogo wangu aise kiatu chako KINANIBANA MNO mama, mume
Hayo ni malipo maana malipo ni hapahapa duniani mlimtenda Sana mama zabibu
Dooooooo aiseee nimeumia sanaaaaa jaman dunia hiii jaman wazazi ni wakuwasikiliza sanaaa
Zabibu sasa huu ni muda wa kujifunza. Mama una na bwana una
Ama kweli mama ni mama asiyemtunza mama Hana maana
Vijana acheni kutumia madawa yakulevya mnawatesa wazazi jamani 😭😭😭😭ona mama anaongea anaamajonzi
I'm sorry fr your lost but wew mama umemuumiza mama zabibu sanaaaaa amekufa kwa kinyongo chenu mungu sii asumani malipo tunalipa apa apa 😞😞😞😞
Haswaaaaa malipo nihaphap akhera hesabu
Jaman mbona ivi?😭😭😭😭Allah asaidie jaman ss wenye watoto wetu wa kiume😭😭😭
Mungu atuurumie sana na vizazi vyetu mama ni Mama jmn mmeniliza njamani ni huruma sana .R.I.P MAMA ZABIBU NA ALFA
Ya Allah tujaaliye vizaz vyema ewe molawang 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Innalilahi waina illahi rajiuni.Tumuogopeni Allah jamani .Mama Zabibu alienda lakn alikua na kinyongo na Zabibu Kwa sababu ya hii familia.Allah atupe mwisho mwema