hataa mama zabibu huwa amifichi bali simuongeaji sana nampenda sana mama zabibu nivile tu maisha ilimugeukia special vile alipo uwezi juwa anaumwa nini ana stress mob
Zabibu na mamake wavivuu na jeuri saa hii mm naona Zahir pia awachane nao cz too much now una wasaidia na Bado wako pale pale Kuna watu Wana hitaji sanaaaa kuliko hao
akuna mzazi asieweza kumtetea mwanae awa wote wawili watoto wao wanamakosa kwakweli hapa tupambane na mama happy na bibi mimi niko uko kwa sasa awa wanaleta umama na mwana all the way from sa
Mama Zabibu anajeuri sana kaka Zahir achana na huyo mama Zabibu na Zabibu wake mama Zabibu anafikiri Zabibu akirudi nyumbani kwao ata pata misaada tumewachoka mama mukwe namuelewa vizuri sana
Wengine wamefanya dili nakuona sote tuliomo humu hatuna familia zetu .Wa kusaidiwa ni Wazee yatima na wagonjwa. Hawa wenye kubeba mimba kwa viranga vyao wapike mandazi walee watoto wao kwani wao wana ugonjwa?si ni wazima wasituchoshe Masanja Abasi nakubaliana na wewe
Msameheni tu huyo mama naona nihasira tu hata kama alitamka kweli kwa mtazamo wangu huyo mama anampenda zabibu Sana kama Ni kweli anavyojieleza ila na yeye mama zabibu asimtetee mwanaye kama kweli anatembea ucku usiku kama usiku una mambo mengi Sana sio vizuri
Sio kwa ubaya lakini kuchangia kwa mschana mzembe mimi binafsi naona nikutaniana .Kuchangia kwa mgonjwa Mzee sawa lakini sio kwa vijana wenye nguvu za kufanya kazi wanajibemenda ili watumie watu kuwachangia .Inabidi waachwe wajifunze na makosa wanayoyafanya hakuna dezo kuna wagonjwa wazee na mayatima hao wanastahili msaada sio hawa mwana kulitafuta.
malezi ya mama zabibu mabovu sanaa ndomaana watoto wake wapo mateja anawadekeza ataki wasemwe mama mkwe nimemuelewa sana ana msimamo na maamuzi kama mzazi
Ila huyu mama mkwe anaongea vinzr sana hata kama Mama zabibu aache ujinga na aache kujilegeza afanye biashara anawajukuu saiv na halipi kodi na aache kumtetea mwanae sana la sivyo siku si nying utaskia anamimba tena,,,,,Kaka zahir Mama Zabibu Afanye biashara ili ajifunze la sivyo atatia huruma kila siku,,,Anamshinda hata bibi wa miaka 80.
Kweli kabisa mama zabibu yabidi afungue macho achangamke ajitume abadlishe malezi kwa watoto ama Sivo wajukuu watazidi na maradhi pia while ye hawezi kujituma
Zahiri please usimtete mama zabibu me naona anapenda tu kuendeleza misaada mama mkwe yupo vizuri sema zabibu hajatulia angekua mama mkwe mwingine asingemhudumia kwa hizo tabia
Nashukuru sana nilizaliwa kwenye dini ya kiisilamu huzai mpaka unaolewa sasa maisha gani hayo kuzaa bila kuolewa na binti anachanganya wanaume na shukuru mungu mimi muisilamu
Kaka zaher nmecheka wallh watu wazima wapo kama watoto hvo wanavyobishana wallah sjawah but nampongeza mama fani Kwa kumtunza mkwewe jaman anaenda kumpikia kiugal kitepetepe na kithupu weee had raha
Mama Masha'Allah anakitambua Ana roho nzuri kwa yote anayoeleza ila mama zabibu hapan nahisi kama Ana makosa hata hap anambiwa wawekwee wamalize tofauti hataki
MashaAllah uyu mum inlaw yuko vzr sana...I wsh ningepata mum inlw km we😢😢😢😢me vile nampnda mum inlw wngu ila sina bahti kwa kweli😭😭😭😭😭😭ila naomba Mungu amjlie iman anione km mwanae
Mama zabibu unakosa apo kuwa mpole jamani zabibu akili Hana na mama zabibu kuwa mpole mwanae aelekezwe jamani uyu mama wa mume anaakili jamani anaonekana anahekima na akili jamani ila mama zabibu kaa na mwanao jamani mwambie maisha yalivo jamani
Hidaya Mwinyi. Mm ndio nawashangaa hapa mijitu mizima baada ya kukataza wtto wao ndio wameshikilia mkewe, mkwe wangu, mawifi zake, shemegi. Ujinga mtupu!
kabisa tena watukome wazaliane hukko watushughulishe na sie washatulia tudiscuss mambo ya maana tushamalizana nao. wapigane tu. wagonjwa wengi wanahitaji misaada yetu.
Kaka zahiri wewe ni mtu mzima kama uyo mama alisema iyo mimba mpe chale ni kwasababu ya hasira ata Mimi ningesema bwana iyo familiya ya zabibu ni kichomi jamani kunavitu apo avipo sawa ila hii yote ni ugumu wa maisha wenzetu wa masaki awana migogoro ya stail hii jamani
Ngoja Azae tu hyo zabibu mtamjuwa htawakimbia hyo msichana muongo Sana na mama zabibu muongo Sana anamalezi mazuri kaka Zahir hyo mama zabibu Hana penda msaada sio kijituma.
Mama zabibu anamatatizo zahir huyo mkwe kajieleza vizuri.. Unalea mamtatizo kuwaendekeza mama zabibu lea family yko mkwe Ananmapenzi na zabibu Hakuna michango kila siku . Inaudhi hata kma ni wewe hali ya mama mkwe pia duni zahir muelewe huyo mama
Mama zabibu aache kuwekelea vinyongo kumbuka huyo zabibu alivyo kuwa anamsumbua, ni bora huyo mama mkwe anakusaidia. Huyo zabibu alikuwa hata anakupiga leo unajisahau mmmh
basi wewe mama ndio pekee unaweza mufanya zabibu akabadilika hongera sana mungu aluongezee maisha marefu nimekuelewa nampenda sana mama zabibu ila awache stress na umujuwe mungu 🙏🙏🙏
Nilikuwa naomba nimuona mamake mkwe Duuh mama support huyo binti asije regret for the rest of her life Zabi congratulations 🥳 sana siwezi ku judge ila kukuombea tu hii curse isiendelee
Deborah Rehema there's no curse here. You talk of not judging yet you are mentioning curses. So vizuri kusema familia ya watu iko na lana. Umechunguza ya kwako?
Zahir usimtetee mama zabibu ajielewi ma mkwe ana mpenda zabibu ndo maana ana mkaripia hakuna mtu ana penda mkwewe achukuliwe na mwanaume tofauti na mwanae bwana mama zazibu ajielewi
Tuwe wa haki mama zabibu hasira za zabibu za umalaya , tabia zake mbaya anataka kummalizia mama halfani, tumekua na mama zabibu kwa muda jamani hata kama tunampenda tuwe wakweli wote ni watanzania, mama zabibu ana kinyongo na kiburi kama mwanawe tu
Mama Zabibu! you know clearly your daughter is a trouble maker; insteady of patching up with her mother-in-law to take off your burden, you are bringing a commotion. Mother-in-law is so understanding.
It's a reality. I support zabibu's mother in law. She also very hard working. She even has a daughter in secondary school which zabibu's mom never tried that because she is lazy.
Huyu mama mkwe anaongea sana hapo hajulikani muongo nani mkweli nani mungu tuongolee watt wetu na zabibu ipo siku atakuwa mtt mwema kwa uwezo wa mungu siwezi kuongea sana kuhusu huyu zabibu zaid yakumuombea Dua na kuwaombea wanangu ulezi mgumu hakuna anaeweza kulea tuwaombeeni sana watt Dua na kuwatolea sadaka ipo siku wataacha yote haya kwa uwezo wa mungu
chat.whatsapp.com/FCA6SAgkoMrEGkjCjJupI8
JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP KWAAJILI YA TEAM SAD MOMENTS
Mtoto wa nyoka ni nyoka jamani zabibu wewe badilika
Uyu mama ana mpenda mkwe wake ..uyu zabibu hapendeki
Uyu mama zabibu sio mkweli....na ndo mmana na watoto wake wameharibika
Uyu mama zabibi..akose kubembeleza kapata mtu atamsitiri mwanae
@zahir mama zabibu ni mjeuri, yy mwenyewe kamshindwa mwanawe lkn amlaumu mama wa watu, lazima umrekebishem zabibu awache kiburi
Masha Allah mama mkwe anaongeya vizuri,
Huyu mama ana roho nzuri lakini zabibu atashinda kama hatobadilika,zabibu mchafu wa tabia
Huyu mama nimempenda sana yuko straight fowerd si kama mamake zabibu anaficha ficha vitu...In Sha Allah mola atawafanyia wepesi mmy
hataa mama zabibu huwa amifichi bali simuongeaji sana nampenda sana mama zabibu nivile tu maisha ilimugeukia special vile alipo uwezi juwa anaumwa nini ana stress mob
Mama mkwe yupo muwazi angekua muongo asingeongea na mama zabibu yupo
Mashaa Allah mama mkwe anajitabua nimpenda bure ilove 💖 ❤ 💕 ♥ 💗 💓 💖 ❤ 💕 ♥ 💗 💓 💖 ❤ 💕 ♥
Kabisa yn nimempenda masha allah
Zabibu na mamake wavivuu na jeuri saa hii mm naona Zahir pia awachane nao cz too much now una wasaidia na Bado wako pale pale Kuna watu Wana hitaji sanaaaa kuliko hao
akuna mzazi asieweza kumtetea mwanae awa wote wawili watoto wao wanamakosa kwakweli hapa tupambane na mama happy na bibi mimi niko uko kwa sasa awa wanaleta umama na mwana all the way from sa
Mama Zabibu anajeuri sana kaka Zahir achana na huyo mama Zabibu na Zabibu wake mama Zabibu anafikiri Zabibu akirudi nyumbani kwao ata pata misaada tumewachoka mama mukwe namuelewa vizuri sana
Kabisa
Kabisa aachane nao
Weeeeeee mama zabibu tupumzishane nendeni kijijini mkalime tumewachoka siwenyewe maisha etu rungu zahiri acha kuendekeza awa watu ohoooooooo
Wengine wamefanya dili nakuona sote tuliomo humu hatuna familia zetu .Wa kusaidiwa ni Wazee yatima na wagonjwa. Hawa wenye kubeba mimba kwa viranga vyao wapike mandazi walee watoto wao kwani wao wana ugonjwa?si ni wazima wasituchoshe Masanja Abasi nakubaliana na wewe
@@sukariyao6537 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila huyu mama nimempenda hana hasira Yani mama Alfani mcheshi mwenyewe
Masha Allah mama mkwe wa zabibu mstaarabu itabidi zabibu ajilekebishe tabia yake
Mama mkwe hongera Mungu akubariki
Mama zabibu acha usenge bhana mwanao katoroka mara nyingi usimbambikie kesi mama wawapi
Msameheni tu huyo mama naona nihasira tu hata kama alitamka kweli kwa mtazamo wangu huyo mama anampenda zabibu Sana kama Ni kweli anavyojieleza ila na yeye mama zabibu asimtetee mwanaye kama kweli anatembea ucku usiku kama usiku una mambo mengi Sana sio vizuri
Usimtetee mama zabibu haelewiki kabisa hapo akili yake yote inawaza misaada ndio nilichogundua hapo
Sio kwa ubaya lakini kuchangia kwa mschana mzembe mimi binafsi naona nikutaniana .Kuchangia kwa mgonjwa Mzee sawa lakini sio kwa vijana wenye nguvu za kufanya kazi wanajibemenda ili watumie watu kuwachangia .Inabidi waachwe wajifunze na makosa wanayoyafanya hakuna dezo kuna wagonjwa wazee na mayatima hao wanastahili msaada sio hawa mwana kulitafuta.
@@leokamil6284 Tena mwenye akili timamu na anafanya makusudi hilo mimi pia napinga kama wanaumwa sawa lakini huo sio ugonjwa apambane na mkwe wake.
Kweli kabisa,,mara aseme na hela ingine ya dirishani,,,mvivu na mzembe,,
Kweli kabisa
Umeona eeeh
Nahisi anafanana na mama Tarik yule wa ukorofi😂😂
Ndio Ila nawewe ni ukorofi huo😀😀😀😀
dah umeniwah nkajuw ni yeye
Itakuwa ni ndugu
@@juliemsimbe502 😄😄
😄😄😄🐒
Mama mkwe yuko sawa sana. Si rahisi mama apende mkaza mwana mvuta bangi namna hii. Mama zabibu kua mpole mwanayo hana adabu
Manshallah mamamkwe yuko vizuri 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Yn mama mkweee wang mtarajiwa akiwa km iviii mbn nitakuwa kipipaaaa maan yupoo verynice uyu mama zabibuu afai tena kusaidiwa maan ajielewi
Kwakweli ndugu yangu mama mkwe yuko vizuri
malezi ya mama zabibu mabovu sanaa ndomaana watoto wake wapo mateja anawadekeza ataki wasemwe mama mkwe nimemuelewa sana ana msimamo na maamuzi kama mzazi
Sana mama zabibu anaongea pumba kweli hataki mtoto wake asomewe maovu yake
Mama zabibu yake yeye misaada itabidi apigwe chini aangalie maisha yake tu maana anainekana kilaza
Mama zabibu hana akili uvivu ndio unamsumbua mama mkwe ni mzuri sana Masha Allah
Sana yy ndio analea huo ujinga wa mwanae alafu analeta jeuri
Ushauri wangu mama mkwe achana na zabibu atakuchokesha..muachie halfani mwenyewe balaa lao..na pia wakapime DNA
Mam mkwe anaonge point sana
Big up kw mama mkwe yuko vyema... sema mama dhabibu ana kiburi saana na ana uvivu flan hi khaaa... dhabibu mwenyewe shida tupu Mungu amteteee
Nimempenda huyo mama mkwe. Nimuelewa zabibu kashindikana kwao lakini kwa mama mkwe katulia.
🤣🤣🤣
Kabisa zabibu ajatulia
Mama zabibu ulezi umemshinda. Kaharibu watoto. Na anamtetea mwanae having kama anazidi kukosea
Na kama alitamka hvo huy kutokan na hasira mtoto zabibu ajielewi na atazalishwa sanaaaa maisha yenyew ya shida mtu unashindwa kujielew
Ila huyu mama mkwe anaongea vinzr sana hata kama Mama zabibu aache ujinga na aache kujilegeza afanye biashara anawajukuu saiv na halipi kodi na aache kumtetea mwanae sana la sivyo siku si nying utaskia anamimba tena,,,,,Kaka zahir Mama Zabibu Afanye biashara ili ajifunze la sivyo atatia huruma kila siku,,,Anamshinda hata bibi wa miaka 80.
Sio mimba tuu dear ukimwi nao
Kweli kabisa mama zabibu yabidi afungue macho achangamke ajitume abadlishe malezi kwa watoto ama Sivo wajukuu watazidi na maradhi pia while ye hawezi kujituma
Mama kutetea watoto sio vizuri, mama mkwe eti toka ampate zabibu avuti bangi, sura inaonyesha.
Zabibu msichana mrembo kweli lakini tabia mbaya
Mama Zabibu mkorofi ila mama mkwe yuko vizuri kwa uono wangu
Maashallah huyu mama mkwe abaonekana anaroho nzuri na anampenda kweri zabibu
Zahiri please usimtete mama zabibu me naona anapenda tu kuendeleza misaada mama mkwe yupo vizuri sema zabibu hajatulia angekua mama mkwe mwingine asingemhudumia kwa hizo tabia
Zahr unazingua ujue unambeba mama zabibu sijapenda
Very true
Ni kweli
Maslahi
Zaheer anamuendekeza mama zabib mtu gan hasaidik tumechoka kwa kwel yaan familia hii mtihan
Mama mkwe mzuri tena sana. Mama zabibu yuko very lazy! Hamshughulikiii zabibu. Mama mkwe hongera. Zabibu naye hana adabu
Mama mkwe Allah akulide una.upendo kabisa wape mam mkwe
Nashukuru sana nilizaliwa kwenye dini ya kiisilamu huzai mpaka unaolewa sasa maisha gani hayo kuzaa bila kuolewa na binti anachanganya wanaume na shukuru mungu mimi muisilamu
Mamamukwe uko Sahihi Sana Nimekipenda saana
Uwezi peana mtoto kwa jambazi, Mama
Mkwe mzuri kweli
Sn Tena yupo vizur ila mama zabibu ndo mpuuzi nawanae
mama mkwe ubarikiwe..jamani sipati Mama mkwe kama huyo😍😘😗😙
😃😃😃😃njoo uolewe kwangu
@@aminaamiri7684 😃😂😁😀namtaka yule
Mama Zabibu hana msimamo wa kulea mtoto,amezubaa sana
Kaka zaher nmecheka wallh watu wazima wapo kama watoto hvo wanavyobishana wallah sjawah but nampongeza mama fani Kwa kumtunza mkwewe jaman anaenda kumpikia kiugal kitepetepe na kithupu weee had raha
Kunogaaa ila raha nyieee
Adi natamani awe mkwe wangu🤣🤣🤣
@@princess.s.r7446 😃
Mama mkwe nimempenda sana lkn mama zabibu jilekebishe yajue mapungufu ya mwanao zabibu
Mama Zabibu mpumbavu kama mwanae
Mama zabibu daah umetia aibu tunavyokuchukulia na tabia yako Subhanallah inaonekana... Mpole lkn hufai fanya kazi saiv acha kutia huruma
Mama Masha'Allah anakitambua Ana roho nzuri kwa yote anayoeleza ila mama zabibu hapan nahisi kama Ana makosa hata hap anambiwa wawekwee wamalize tofauti hataki
MashaAllah uyu mum inlaw yuko vzr sana...I wsh ningepata mum inlw km we😢😢😢😢me vile nampnda mum inlw wngu ila sina bahti kwa kweli😭😭😭😭😭😭ila naomba Mungu amjlie iman anione km mwanae
Inshaallah kipenzi usichoke kumuomba Mungu
@@ishaomari2232 Amn thm Amn...swa dadngu kipnz cha mie
Mama zabibu unakosa apo kuwa mpole jamani zabibu akili Hana na mama zabibu kuwa mpole mwanae aelekezwe jamani uyu mama wa mume anaakili jamani anaonekana anahekima na akili jamani ila mama zabibu kaa na mwanao jamani mwambie maisha yalivo jamani
zahir unamtetea sana mama zabibu wakati mama zabibu ajielewiiii alafu naisi msumali mmoja umetoka kichwani kwa mama zabibu
Hahahaha
Eti mwenyewe rasta zake! 😀😃😆😁😅🤣😂😄
Mashallah mama mkwe Allah akulide
Hongera mm mkwee upo vizuri
Naomba namba ya huyu mama nimempenda
Mama Zabibu acha kiburi mama yetu, Umewalea wtt vibaya kwa ufupi wtt wako wamejilea vile wanavyotaka, Zabibu kaharibika na bange na malezi.
Nimemuelewa sn mama mke wallah. Shida iko kwazabibu jmn uyu mtt sijui ananini mbona anasura yaupole mtaratibu ichi kiutundu jmn anatowa wapi yan zabibu jmn🤦♂️🤦♂️😥😥
Mmh eti mzazi huwezi kumkataza mwanao kama anaishi na mwanamke ..wee mama muogope Mungu kemea zinaa na wasiofunga ndoa hawapaswi kuitana mke na meme
Ndoman kasemaa alimwambiaa katoe baruaa kwaooo mama amekemeaa vizur t angeekuwa mtt wakikee kwel angeemkany lkn wakiumee uwezi mchungaa
@@nabu.barbim9219, Sikm haezi kumchunga, wazee waliowengi wanaona fakhari wtto wao wakiume kuwaona na w'ke.
Hidaya Mwinyi. Mm ndio nawashangaa hapa mijitu mizima baada ya kukataza wtto wao ndio wameshikilia mkewe, mkwe wangu, mawifi zake, shemegi. Ujinga mtupu!
Zabibu na family yake sasa hivi wana nyumba mengine wajitegemee Kuna watu wengi huko nnje wataka misaada.
kabisa tena watukome wazaliane hukko watushughulishe na sie washatulia tudiscuss mambo ya maana tushamalizana nao. wapigane tu. wagonjwa wengi wanahitaji misaada yetu.
@@bimkubwaali1605 huyu mama zabibu kifupi hawataki wanajuwa zahiri utawasaidia lakini ipo siku atawakumbukat zabibu ni muhuni sana
Mama zabibu muogope mungu zabibu anautoto gani mpk atoroshwe khaa kaa na mwanao vizuri laasivyo atabeba mimba tena
Kaka zahiri wewe ni mtu mzima kama uyo mama alisema iyo mimba mpe chale ni kwasababu ya hasira ata Mimi ningesema bwana iyo familiya ya zabibu ni kichomi jamani kunavitu apo avipo sawa ila hii yote ni ugumu wa maisha wenzetu wa masaki awana migogoro ya stail hii jamani
Ngoja Azae tu hyo zabibu mtamjuwa htawakimbia hyo msichana muongo Sana na mama zabibu muongo Sana anamalezi mazuri kaka Zahir hyo mama zabibu Hana penda msaada sio kijituma.
Kabisa tena anajua tu atapata msaada ivi ajiuliziatasaidiwa adi lini
Mama Mkwe wetu ni mpole
Haswaaaaaaaa kabisa. 💟💟💟💟
Mama zabibu anamatatizo zahir huyo mkwe kajieleza vizuri.. Unalea mamtatizo kuwaendekeza mama zabibu lea family yko mkwe Ananmapenzi na zabibu
Hakuna michango kila siku . Inaudhi hata kma ni wewe hali ya mama mkwe pia duni zahir muelewe huyo mama
Mtoto asikii huyu zabibu jamani loh kuzaa sio kupata jamani
Mnmhu Astaghfirullah laadhwim Allahu yaalam 👏
Kak dhaili mungu akutangulie akupemaisha malef
Jamani huyo zabibu hajatulia. Jamani mbona sielewi. Mtu akichubwa ndio huwa mke . Siwafunge doa halali . Dhambi tupu
Zabibu mwenye rasta zake 😃😃😃😃😂😂😂😂😂 masha Allah mama kapendwa sna...
Mama zabibu aache kuwekelea vinyongo kumbuka huyo zabibu alivyo kuwa anamsumbua, ni bora huyo mama mkwe anakusaidia. Huyo zabibu alikuwa hata anakupiga leo unajisahau mmmh
Nashangaa 🤣🤣🤣 kwa zabibu gani?😏😏
Nimempenda mama mkwe 😍😍😍😍
Mashallah mashallah mama mzuri😍😍
Umleavyo ndivyo akuavyo uyo mama zabibu anafichaficha ya mwanae haongei ukweli
basi wewe mama ndio pekee unaweza mufanya zabibu akabadilika hongera sana mungu aluongezee maisha marefu nimekuelewa nampenda sana mama zabibu ila awache stress na umujuwe mungu 🙏🙏🙏
Alafu huyu mama mkwe mkimuangalia jamani anafanana na nani,, 🤔na yule mama alotrend na mbona haongei😏, mbona hacheki,,🤣, ukorofiiiiii 😜.....
Nilikuwa naomba nimuona mamake mkwe
Duuh mama support huyo binti asije regret for the rest of her life
Zabi congratulations 🥳 sana siwezi ku judge ila kukuombea tu hii curse isiendelee
Deborah Rehema there's no curse here. You talk of not judging yet you are mentioning curses. So vizuri kusema familia ya watu iko na lana. Umechunguza ya kwako?
Zabibu anamkubali sana Charles na inawezekana hiyo mimba pia ya huyo huyo Charles kazi yake ana wapakazia watu wengine
Kwa sababu mwenyewe pia alichanganyikiwa hajui ujauzito una miezi mingapi huenda ikawa ni Charle ndio mwenye mtt
Imeona eee ? Zabibu huyo jamani
Mwanamke akikupenda anaweza kukupa mtoto hata sio wako na asipokupenda anaweza kukunyima mtoto wako pia
@@irenemwakalinga4350 kukuka mtoto sio wako huo ni upendo ?
Harafu anamfoss mtu kukubali kitu lol! Kaazi kweli kweli lakini ndio waandishi wa habari wa kiafrika
Zabibu anaonekana mama huruma jamani yaani vovote sawa tu yaani awezi kujisimamia kabisa yaani anatakiwa apate mwanaume shehe aliyemzidi umri yaani
Duuh 😲😲nilijua Mama ana miaka 60 kumbe ana miaka 40 maisha magumu Sana kweli
MAMA MKWE YUKO STRAIGHT ILA Zahir unamtetea Ma Zabibu, afu Ma Mkwe Ni Mama Bora jamani
Ma mkwe jembeee
Zahir usimtetee mama zabibu ajielewi ma mkwe ana mpenda zabibu ndo maana ana mkaripia hakuna mtu ana penda mkwewe achukuliwe na mwanaume tofauti na mwanae bwana mama zazibu ajielewi
Leo mkwe wake zababu kanifurahisha pasday tena anaitamka kwa vishindo
Ata bibi anguuu hutamka hvyooo
Huku kuwasaidia kunawatia kiburi mumejenga nyumba wachieni maisha yao
Mama Zabib hajui kulea watoto ndomana wana muherereza shaur yake Zabib atamjazia dunia hapo
Zabibu hana adabu mama ake ndio anamlea vibaya
Kaka zahir,achana na Zabibu huyo alishakubuhu,saidia watu wengine wenye uhitaji,huyo tumemchoka.
Mama mkwe Mungu akutunze maneno yako yana hekima na.busara ndani yake nimekupenda bure.
Mama Zabibu amechoka halafu ana stress sana mchukulieni tu ,zabibu amemchokesha mamaake
Tuwe wa haki mama zabibu hasira za zabibu za umalaya , tabia zake mbaya anataka kummalizia mama halfani, tumekua na mama zabibu kwa muda jamani hata kama tunampenda tuwe wakweli wote ni watanzania, mama zabibu ana kinyongo na kiburi kama mwanawe tu
Hy atojua baba wa mtoto maana anawachanganya wanaume kwa wkt mmoja
We mama zabibu wewe usilete ujuaji. Zabibu alikushinda kitambo hadi ukawa umemuachia zahir aongee naye. Leo hii wamtetea nini.
Ningempata mama mkwe kama uyu nahisi na mlangoni nisengepita🤣🤣maana yuko peace sn mashallah Allah akutuze mama yangu
Mwenyezi Mungu atupe vizazi vyema InshaAllah
Mama Zabibu! you know clearly your daughter is a trouble maker; insteady of patching up with her mother-in-law to take off your burden, you are bringing a commotion. Mother-in-law is so understanding.
It's a reality. I support zabibu's mother in law. She also very hard working. She even has a daughter in secondary school which zabibu's mom never tried that because she is lazy.
Huyu mama zabibu ameoza ibadan haaa mwanao amezaa hujapika hata uji wewe mama ukoje
Wanafanya kusudi wanajua kuna miteremko
Mama mjinga sana huyu
Huy mam mkwe nmemuelew
Mhhhh pole mama wenimuvumilivu
Mama Mkwe tumekuelewa Mama Zabibu jitume Usitegemee misaada tuuu
Zabibu ni tatizo
Maximum achaneni na Zabibu na familia yake.. Tusaidie wenye uhitaji
Hawa wamejengewa nyumba hawajisogezi
Mnawalea waacheni
Wameshindikana
Sokweli uyo mm zabibu nae naipenda kumtetea mwanae
Watu wahache kuchanga hyu mama zabibu ni ovyooo full stop,kashazoea zahiri atamuoji wtu watamuonea huruma,Mama mkwe konki
Huyu mama mkwe anaongea sana hapo hajulikani muongo nani mkweli nani mungu tuongolee watt wetu na zabibu ipo siku atakuwa mtt mwema kwa uwezo wa mungu siwezi kuongea sana kuhusu huyu zabibu zaid yakumuombea Dua na kuwaombea wanangu ulezi mgumu hakuna anaeweza kulea tuwaombeeni sana watt Dua na kuwatolea sadaka ipo siku wataacha yote haya kwa uwezo wa mungu
Uyu mama zabibu uyu angekuwa na hela sijui ingekuaje 🙌
Pasideyi, 😅😅😅😅ila mama nimempenda bure
niache mm😂😂😂😂