"Nakupandisha Cheo kuanzia leo utakua msaidislzi wangu" MAKONDA amteua mzaidizi wake Mkutanoni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 45

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 4 місяці тому +7

    Malipo hapa hapa duniani mtendaji kadhulumu shamba la watu,hatimaye naye kafukuzwa Kwa vyeti feki.

  • @charlesbernad3722
    @charlesbernad3722 4 місяці тому +4

    Mimi binafsi , namumpongeza Sana makonda kwa uchapakazi huu na kujali watanzania kwakweli mm sio ccm ila namuombea kwa Mungu huyu jamaa aje kuwa rais asaidie watanzania

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 місяці тому +7

    Mtendaji yuko very smart and detailed
    Ilijitajika Makonda aje Arusha huyo jamaa apande cheo

    • @AlbinMsechu
      @AlbinMsechu 4 місяці тому

      Kabisa na inawezekana alikuja kwasababu ya huyo tu ndo kazi ilomleta

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 4 місяці тому +3

    Dah wakat wa mung ukifka umefka jamaa anajua kujiieleza na cheo hapo hapo

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 4 місяці тому +4

    Safi sana nakuona mbali sana makonda yani hata wakufiche wakupe cheo cha kusimamia makahaba yanayojiuza usiku lazima nyota yako itang'ara tu we huna mpinzani ndugu

  • @alvinmbugua9830
    @alvinmbugua9830 3 місяці тому +2

    God bless mhesh makonda

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa 3 місяці тому

    YAANI TANGU mwaka 2004 viongozi HAKUNA hapo

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827 4 місяці тому +3

    Huyu yupo makini hata ongea yake unajua tuu wadilifu wake ukiona hadi mananchi wanashangilia ujue unawasaidia sana

  • @lembricesaravo3543
    @lembricesaravo3543 4 місяці тому +2

    Kisongo hoyeee , hongera sana kwake .Mungu ana njia nyingi za kutuinua , muda ukifika unakuwa umefika tu😅👏👏👏🙏

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 4 місяці тому +1

    Mie binafsi naanza kuamini km mtu akifariki nafsi inahama kwa aliye kua hai, yaani nafsi ya Raisi Magufuli iliahamia kwa Makonda

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 2 місяці тому

    Mtendaji safii kabsaa Yuko safii kanyooka anajib ipasavyo sio hawa wengine anaulizwa swali moja anajib kumi anateterekaa mashaka matupuuu.hongera Sana mkuu Huyu mtendaji anastahiri kwer kupandishwa cheo 👏👏💪🇹🇿

  • @calvinmaimu3787
    @calvinmaimu3787 4 місяці тому +2

    Hakika tumbo la mama yule lililokuza na libarikiwe hao wanaokubagaza na m/mungu awaangamize

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 4 місяці тому +1

    Yaani hapa ukijichanganya ku2si makonda huna bahati

  • @FrankMkome-df9bn
    @FrankMkome-df9bn 4 місяці тому +3

    mungu ambariki huyo mtendaji

  • @omanlove3968
    @omanlove3968 4 місяці тому +1

    Wakati wa Mungu ndo sahihi

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od 4 місяці тому +1

    Wakolaaaaaaa

  • @SeverineThadei
    @SeverineThadei 3 місяці тому

    uko vizuri kweli kka

  • @NoelaJohn-p5d
    @NoelaJohn-p5d 3 місяці тому

    Achen wiv hiy ni bahat yak ulitak nani ampandish sasa mung kamuon ni bahat yak maswal atutak honger kaka pia ukapig kazi kak mung azid kuwalind kikubwa ukazid kuwatetea wanyong

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 4 місяці тому +2

    Safiiiiiii

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 4 місяці тому

    Jamani kwenye ukweli nikweli 🙏🙏🙏🙏💋💋💋💋💋

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 3 місяці тому

    Huyo Mtendaji atafika mbali

  • @EsterPaul-uc7ny
    @EsterPaul-uc7ny 4 місяці тому

    Aiseee baba angu hongeraa kwakazi unanyoipigaaa, hakika mungu akutiee nguvuu sanaaa kwakazi zakooo

  • @thomasmichaellukumai-ny7se
    @thomasmichaellukumai-ny7se 4 місяці тому

    Jamaa ni mtu wa watu mungu Yuko na wewe

  • @EmmyMbore-yv8cb
    @EmmyMbore-yv8cb 4 місяці тому

    Mungu akisema ndio hakuna wakupingaaaaaaaaaa

  • @ramahawai3430
    @ramahawai3430 4 місяці тому +4

    Makonda Mungu akülinde.

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 4 місяці тому

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @MussaKulanga
    @MussaKulanga 4 місяці тому +3

    Makonda kiboko

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 4 місяці тому

    Maa shaa Allah

  • @erickmbija1510
    @erickmbija1510 4 місяці тому

    Mungu

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 4 місяці тому

    Mkuu wa mkoa,ana mamlaka ya kumpandisha mtu cheo, kwani yeye ni mwajiri?

    • @azzaalmalki41
      @azzaalmalki41 4 місяці тому +2

      Yeye ni raisi wa mkoa

    • @petroisamba8226
      @petroisamba8226 4 місяці тому +4

      Wewe kaa kwa kutulia mzee huyo anasimama kama raisi kwa mkoa wake

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 4 місяці тому +3

      Isingekua hivyo wala asingesema hapo mbele ya umma

    • @NepporSabith
      @NepporSabith 4 місяці тому +3

      Kasome utapata kujua zaidi

    • @liliannyigu2603
      @liliannyigu2603 4 місяці тому +7

      Ungepandishwa cheo wewe ungeuliza hilo swali?