"Mawazo" Sehemu Ya 62 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kwa MaonI, Ushauri Wasiliana Nasi Kwa Simu Namba (0747-744744 CHOMOZA MEDIA LIMITED) Au Kwa Barua Pepe Email. chomozamaoni@gmail.com
Pia Unaweza Kutufatilia Facebook @ChomozaTV Na Istagram @chomozanews TikTok ChomozaTV
Mungu Wetu Wa Mbiguni Akubariki......Endelea Kujifunza Na Kushare Mafundisho Haya Kwa Rafiki Na Nduguzo
Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
UA-cam : www.youtube.com...
#ChomozaTv#2024
🔥🔥
Kutenda ni kuona, mwendelezo wa maono ni kuendelea kutenda jambo. Wanadamu tumeumbwa kutenda. Utendaji ni muhimu, hutuwezesha kuona ipasavyo. Matendo yanazalisha maono ya jambo lolote, km. utajiri, kazi mbalimbali, ndoa, uongozi, nk. Kujiajiri ni ridhaa ya mtu kwa maono yake.Anayeajiriwa anatumikia kufuata na kanuni alizowekewa. Nimejifunza, asante Chomoza, pongezi Dr Ellie ❤❤❤❤❤🎉
Tupo pamoja from darajabovu zanzibar by ust.mwamu
🙏
Amina baba yetu uliyebatikiwa, BABA MWENYE MAONO KILA IITWAPO LEO. UNATOA MASOMO YENYE UZITO NA UPEKEE, YASIYONAUJANJA UJANJA, YAMENYOOKA. MIAKA MINGI BABA YANGU.
Tuwe makini na masomo haya ili tujenge afya ya akili ipasavyo
Mawazo sehemu ya 61 Mr Jimmy unaniangusha hujaiweka. Tuwekee nayo tuendelee kuelimika.
Tiyari wameisha post
Tupo pamoja from Zanzibar' darajabovu by ustadh mwamu
Maisha ni kujifunza,kukanusha na kujifunza upya
Dr Elie Waminian upo wapi mbona kimya muendelezo mbona kimya jamani
Tunaomba na sehemu ya 61. Natanguliza shukrani na hongera kwa kazi nzuri
Aliyeajiriwa anatumika kutumiwa
Aliyeajiriwa ni mbeba maono na atapata maono kwa kasi ya utendaji wake,barikiwa doctor 🤝
Tunashukuru sana team CHOMOZA,tunabarikiwa sana na darasa hili.Mwanafunzi Kutoka Rwanda. Tunawapenda daima!
😮 eh ! Swahili ni luga tamu sana ...! Mubarikiwe❤
Asante sana kwa somo dr elie papa
Mbarikiwe mno
Sehemu ya 61 hamjatuwekea tunaomba nayo mtuwekee
🙏