UWANJA WA KINONDONI WA ZINDULIWA RASMI | KINONDONI VUMBI LA PEPEA KUTOKA KWA WAPENZI WA MPIRA
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Jambo la kwanza lililotufanya tufike hapa ni kwamba zile ndoto zetu zimetimia. Tulianza na dhamira tulikuwa tunataka tuwe na kitu kama hiki (tuwe na uwanja wetu). Dhamira ya kuwa na timu miaka takribani Saba iliyopita. Tukisema sisi kama Kinondoni ni wakusanya ushuru. Tunaendeshwa na wananchi wauza karanga, wauza maji na vidogo vidogo wanavyochangia kwa halmashauri ya Kinondoni- Meya Manispaa ya Kinondoni Meya Mh Songoro Mnyonge
- Спорт
Wanahabari wa mchongo hamjatwonesha uwanja zaidi ya kupiga store
Kabla ya kuanza mahojiano mngetuonyesha uwanja wenyewe, na vyumba vya wachezaji nk
Tunazidiwa na KMC
Huyo meya ako na akili sana ya biashara
Huyu meya ndo anatakiwa kuwa waziri wa michezo.
Acha uwongo mwadishi mwenge sio katikati ya jiji
Katikati kati ya Kijiji sio?
sasa mwenge wapi au unakariri tu
@@NM-yl2uw Mimi naishi maeneo haya haya ya Mwenge. Katikati ya jiji (City Centre) ni Posta sio Mwenge.
Wizi mtupu huo kwakweli mbna hakuna sehemu ya kukaa watizamaji wa mechi uwanja mzima???
Baba shukuru hata kidogo Kuna vyam karine hakuna kitu
Simba tumeshindwa hata kutengeneza uwanja kama huu
Simba inaviwanja zaidi yahivi ttz jogràfia tu
Kmc hawajajenga uwanja sema manispa yakinondoni ndio imejenga uwanja
Kwani kmc c ndio timu ya manispaa 😅
KMC maana yake ni Kinondoni municipal council
Umeandika pumba Sana
Nini maana ya KMC? Na timu hipo chini ya nani? Upumbavu mtupu umeropoka
Hapo ni elimu ya uelewa tu@@damianmcba9525