Bro umekua ukitoa madini kila cku but sijawahi kuona simba ikiyafanyia kazi na badala yake inaleta akina Sawa dogo na Jobe 😢😢😢 na kuacha wachezaji muhimu ....... Twenzetu kwa mkopo Azam
Mkuu bila matangazo gharama za Uzalishaji tutazitoa wapi? Hizi Video Zinatumia Gharama hadi kuwepo hapa kwahiyo Wadhamini ndio wanatusaidia kulipa gharama hizo... Ni sawa na klabu yako ya simba isiwe na mdhamini hata mmoja, unadhani Klabu itapata wapi hela ya usajili? Relax, tutiane moyo siku ziende
Bro umekua ukitoa madini kila cku but sijawahi kuona simba ikiyafanyia kazi na badala yake inaleta akina Sawa dogo na Jobe 😢😢😢 na kuacha wachezaji muhimu ....... Twenzetu kwa mkopo Azam
Hivi Mo hajakufuatilia akuweke kwenye Moja wapo kitengo! Maana unamchango mkubwa Sana mkuu!
Muda ukifika mkuu, tutafika wote...
Kamati ya ufundi ya nje ya uwanja mumekatwa sana wapo akina manara
Bro njooo na uchambuzi wa clatous chota chama je ataisaidia nn yanga kulingana na mfumo inayocheza saivi?
Nazan hawaon ujumbe wa huyu mwamba Ila mudanutaongea
Nam nashangaa ,wanzo hawakuwa na mambo mengi sahiz du
Htr sanaaaa
Pamoja 💥 kk
Uko sawa
Kwa goalkeeper unatudanganyaa
Njoo uniambie Asante
Big up
Manula out
Mwazo mlikuwa vizuri na matangazo? Mbna kero
Mkuu bila matangazo gharama za Uzalishaji tutazitoa wapi? Hizi Video Zinatumia Gharama hadi kuwepo hapa kwahiyo Wadhamini ndio wanatusaidia kulipa gharama hizo...
Ni sawa na klabu yako ya simba isiwe na mdhamini hata mmoja, unadhani Klabu itapata wapi hela ya usajili? Relax, tutiane moyo siku ziende
Kabisaa.
Hakika umenena mkuu@@SoccerData.
Kweli brother@@SoccerData.