Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Ahoua Jean Charles footballeur professionnel intelligent polyvalent
Respect bro uko active sana co8
Yuko vizur ataadapt mazingira ya ligi yetu then atafanya makubwa ukizingatia pia kuwa umri unaruhusu
Karibu unyamani brother 🎉🎉🎉🎉
Asante soccer data🎉
Duh huyu mbona kama zidane
Chambuz una baya🎉🎉
Jam fundi 1:40
Leta uchambuz wake tutafurah zaid✅🙏
❤❤❤❤❤
Yetu macho
Aoua we ni shida mshikaji wang Kwa hik kiwango ulicho nacho,dah chama aende2,aim fabian makemba,Simba nguvu moja
Haina kulemba hiyoooo oyooooo
KAMA YUKO SERIOUS KUMBE BADO HAJAKUTANA NA COPRO BACA
Aligaragazwa na Fred ataweza huyu. Jipe moyo
Daah uyu ni atari kama Ronaldinho gaucho
mpila mguuni tu Yuko powa sana
Kama umekubali mm nani nikatae brother
Hapa tz hakuna ligi ngumu ni mpira wa siasa tu
Ana piga pasi za uhakika asee kwa ujumla mpira anajua
Mashine hiyo
Huju naona kam awesu awesu
Eti ligi yetu ngumu! Kwahy tukasajil ugeruman?!🐸🐸🤣
Hakili huna ligi zaifu
pacome ametoka ligi gani na azizi ki nani hana hakili sasa😂😂
Kwni ki azizi alikuwa anacheza ligi gani pacome yao we mshamba 2
Ni mzuri ila ligi yao ni dhaifu .....tusubiri kuona kama ataweza kuikabili ligi ya bongo
Aziz k, PA come na yao wametoka ligi gan ww utopolo?
Achana nayo ni wivu tu@@januarymalanda9262
ligi ya bongo sio ngumu mbona bingwa hupatikana mechi ,5 kabla kumalizika?
@@kassidpandu866 tatzo bro unabishana bila kua na evidence fatilia team zetu zikikutana na team za nje utasikia washambuliaji wao wanasema mabeki wa wao ni makatili sana...
@@januarymalanda9262 aziz ki ni dalaja jingine kabisa inawezekana saii angekua ulaya akikipiga huko ..... kingine usichokijua mimi ni shabiki wa mpila
una chuki nae tayari
Mbona ni kama Jobe aliyechangamka 😂
Huyu ligi yetu kutoboa ni ngumu sana wacha tuonee
Ngonja tuone tu
Kwamba tunatumia mpira wa pembe tatu au?
@@davismuzahula907ligi yetu ni ngumu saana
Mpira ni uleule atafanya makubwa ukizngatia pia kuwa umri n mdgo
Amesajiliwa na timu gani
Ahoua Jean Charles footballeur professionnel intelligent polyvalent
Respect bro uko active sana co8
Yuko vizur ataadapt mazingira ya ligi yetu then atafanya makubwa ukizingatia pia kuwa umri unaruhusu
Karibu unyamani brother 🎉🎉🎉🎉
Asante soccer data🎉
Duh huyu mbona kama zidane
Chambuz una baya🎉🎉
Jam fundi 1:40
Leta uchambuz wake tutafurah zaid✅🙏
❤❤❤❤❤
Yetu macho
Aoua we ni shida mshikaji wang Kwa hik kiwango ulicho nacho,dah chama aende2,aim fabian makemba,Simba nguvu moja
Haina kulemba hiyoooo oyooooo
KAMA YUKO SERIOUS KUMBE BADO HAJAKUTANA NA COPRO BACA
Aligaragazwa na Fred ataweza huyu. Jipe moyo
Daah uyu ni atari kama Ronaldinho gaucho
mpila mguuni tu Yuko powa sana
Kama umekubali mm nani nikatae brother
Hapa tz hakuna ligi ngumu ni mpira wa siasa tu
Ana piga pasi za uhakika asee kwa ujumla mpira anajua
Mashine hiyo
Huju naona kam awesu awesu
Eti ligi yetu ngumu! Kwahy tukasajil ugeruman?!🐸🐸🤣
Hakili huna ligi zaifu
pacome ametoka ligi gani na azizi ki nani hana hakili sasa😂😂
Kwni ki azizi alikuwa anacheza ligi gani pacome yao we mshamba 2
Ni mzuri ila ligi yao ni dhaifu .....tusubiri kuona kama ataweza kuikabili ligi ya bongo
Aziz k, PA come na yao wametoka ligi gan ww utopolo?
Achana nayo ni wivu tu@@januarymalanda9262
ligi ya bongo sio ngumu mbona bingwa hupatikana mechi ,5 kabla kumalizika?
@@kassidpandu866 tatzo bro unabishana bila kua na evidence fatilia team zetu zikikutana na team za nje utasikia washambuliaji wao wanasema mabeki wa wao ni makatili sana...
@@januarymalanda9262 aziz ki ni dalaja jingine kabisa inawezekana saii angekua ulaya akikipiga huko ..... kingine usichokijua mimi ni shabiki wa mpila
una chuki nae tayari
Mbona ni kama Jobe aliyechangamka 😂
Huyu ligi yetu kutoboa ni ngumu sana wacha tuonee
Ngonja tuone tu
Kwamba tunatumia mpira wa pembe tatu au?
@@davismuzahula907ligi yetu ni ngumu saana
Mpira ni uleule atafanya makubwa ukizngatia pia kuwa umri n mdgo
Amesajiliwa na timu gani