JEAN CHARLES AHOUA: TAZAMA UWEZO WAKE HALISI | USAJILI MPYA SIMBA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 47

  • @MaximeKe-w2z
    @MaximeKe-w2z 2 місяці тому

    Ahoua Jean Charles footballeur professionnel intelligent polyvalent

  • @JelvinasLevocatus
    @JelvinasLevocatus 3 місяці тому +4

    Respect bro uko active sana co8

  • @EzekielKwili
    @EzekielKwili 3 місяці тому +4

    Yuko vizur ataadapt mazingira ya ligi yetu then atafanya makubwa ukizingatia pia kuwa umri unaruhusu

  • @hamzaibrahimu
    @hamzaibrahimu 3 місяці тому

    Karibu unyamani brother 🎉🎉🎉🎉

  • @BUTILANJIA
    @BUTILANJIA 3 місяці тому

    Asante soccer data🎉

  • @abdulkarimissa1293
    @abdulkarimissa1293 3 місяці тому +3

    Duh huyu mbona kama zidane

  • @shanmlawa
    @shanmlawa 3 місяці тому

    Chambuz una baya🎉🎉

  • @AdamJembe
    @AdamJembe 3 місяці тому

    Jam fundi 1:40

  • @Dls24-l6v
    @Dls24-l6v 3 місяці тому +1

    Leta uchambuz wake tutafurah zaid✅🙏

  • @RamanhoDossantos
    @RamanhoDossantos 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @tumwitikemanda7601
    @tumwitikemanda7601 3 місяці тому

    Yetu macho

  • @BenardNgwibombi
    @BenardNgwibombi 3 місяці тому

    Aoua we ni shida mshikaji wang Kwa hik kiwango ulicho nacho,dah chama aende2,aim fabian makemba,Simba nguvu moja

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 3 місяці тому

    Haina kulemba hiyoooo oyooooo

  • @dallovision
    @dallovision 3 місяці тому

    KAMA YUKO SERIOUS KUMBE BADO HAJAKUTANA NA COPRO BACA

    • @lydiathomas2905
      @lydiathomas2905 2 місяці тому

      Aligaragazwa na Fred ataweza huyu. Jipe moyo

  • @Maggab-cl5od
    @Maggab-cl5od 3 місяці тому

    Daah uyu ni atari kama Ronaldinho gaucho

  • @jemsjems9278
    @jemsjems9278 3 місяці тому

    mpila mguuni tu Yuko powa sana

  • @hamisimtente2126
    @hamisimtente2126 3 місяці тому

    Kama umekubali mm nani nikatae brother

  • @saidikhalidi159
    @saidikhalidi159 3 місяці тому

    Hapa tz hakuna ligi ngumu ni mpira wa siasa tu

  • @jumannemohamedy1456
    @jumannemohamedy1456 3 місяці тому

    Ana piga pasi za uhakika asee kwa ujumla mpira anajua

  • @mohammedjuma6736
    @mohammedjuma6736 3 місяці тому +1

    Mashine hiyo

  • @MuhammedHajiSalum
    @MuhammedHajiSalum 3 місяці тому

    Huju naona kam awesu awesu

  • @AletasMbawala-si5kj
    @AletasMbawala-si5kj 3 місяці тому

    Eti ligi yetu ngumu! Kwahy tukasajil ugeruman?!🐸🐸🤣

  • @AbbasMahamed-vx8oq
    @AbbasMahamed-vx8oq 3 місяці тому +1

    Hakili huna ligi zaifu

    • @rajabukidendasaid7159
      @rajabukidendasaid7159 3 місяці тому

      pacome ametoka ligi gani na azizi ki nani hana hakili sasa😂😂

  • @FahmiHamiss
    @FahmiHamiss 3 місяці тому

    Kwni ki azizi alikuwa anacheza ligi gani pacome yao we mshamba 2

  • @RaphaelKaswahili
    @RaphaelKaswahili 3 місяці тому

    Ni mzuri ila ligi yao ni dhaifu .....tusubiri kuona kama ataweza kuikabili ligi ya bongo

    • @januarymalanda9262
      @januarymalanda9262 3 місяці тому +3

      Aziz k, PA come na yao wametoka ligi gan ww utopolo?

    • @danielngotto5652
      @danielngotto5652 3 місяці тому

      Achana nayo ni wivu tu​@@januarymalanda9262

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 3 місяці тому

      ligi ya bongo sio ngumu mbona bingwa hupatikana mechi ,5 kabla kumalizika?

    • @RaphaelKaswahili
      @RaphaelKaswahili 3 місяці тому

      @@kassidpandu866 tatzo bro unabishana bila kua na evidence fatilia team zetu zikikutana na team za nje utasikia washambuliaji wao wanasema mabeki wa wao ni makatili sana...

    • @RaphaelKaswahili
      @RaphaelKaswahili 3 місяці тому

      @@januarymalanda9262 aziz ki ni dalaja jingine kabisa inawezekana saii angekua ulaya akikipiga huko ..... kingine usichokijua mimi ni shabiki wa mpila

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 3 місяці тому

    una chuki nae tayari

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 3 місяці тому

    Mbona ni kama Jobe aliyechangamka 😂

  • @alitante4279
    @alitante4279 3 місяці тому +2

    Huyu ligi yetu kutoboa ni ngumu sana wacha tuonee

    • @EmizPaul
      @EmizPaul 3 місяці тому

      Ngonja tuone tu

    • @davismuzahula907
      @davismuzahula907 3 місяці тому +1

      Kwamba tunatumia mpira wa pembe tatu au?

    • @RaphaelKaswahili
      @RaphaelKaswahili 3 місяці тому

      ​@@davismuzahula907ligi yetu ni ngumu saana

    • @EzekielKwili
      @EzekielKwili 3 місяці тому

      Mpira ni uleule atafanya makubwa ukizngatia pia kuwa umri n mdgo

    • @davidsimbeye1548
      @davidsimbeye1548 3 місяці тому

      Amesajiliwa na timu gani