MATOLEO YA WANA WAKO - Bernard Mukasa || MARIA MORAA MAKORI (Triple M) & QUADRI V || Official Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Matoleo ya wana wako ni wimbo wa matoleo uliotungwa na Bernard Mukasa mwaka 1997 akiwa likizoni katika parokia ya Ifakara jimbo la Mahenge (sasa jimbo la Ifakara).
    Katika video hii wimbo huu umeimbwa kwa ushirikiano kati ya Maria Moraa Makori (Triple M) wa jimbo la Mombasa Kenya na familia ya Bwana na Bibi Bernard Mukasa (Quadri V). Waimbaji wengi walioshiriki ni Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (hayumo pichani), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, na Bernard Mukasa.
    Kinanda kimepigwa na Vinny Mukasa.
    Sauti na picha zimerekodiwa na nadhifiwa na studio za Holy Trinity za DSM - Tanzania.
    __________________
    This song was composed by Bernard Mukasa in 1997 when he went on leave to Ifakara Parish - Mahenge Diocese (now Ifakara Diocese). In this video the song has been performed by Maria Moraa Makori (Triple M) of Mombasa Diocese - Kenya with the family of Mr & Mrs Bernard Mukasa of DSM - Tanzaia (Quadri V). List of performers include Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (not in the video), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, and Bernard Mukasa.
    The organ was played by Vinny Mukasa.
    Audio & Video production by Holy Trinity studios - DSM.

КОМЕНТАРІ •

  • @RozariTakatifu
    @RozariTakatifu 2 місяці тому +1

    Yesu aliachia vipawa alipopaa, Tunakushukuru Yesu kwa kupaa kwako ahsante kwa vipawa hivi

  • @franciswambuachannel.2508
    @franciswambuachannel.2508 2 роки тому +3

    Nyimbo tamu na yenye kutulia..,.. helo kwenu Wana familia ya Mukasa Bernard.

  • @NoteSacre493
    @NoteSacre493 2 роки тому +2

    Tulikua na wakati wa Fr Kayeta, Stanslaus Mwajwahuki na John Mgandu, Sasa ni wakati wa Bernad Mukasa! Nawakubali sana Quadri V

  • @alfredmuthui
    @alfredmuthui 2 роки тому +1

    touching song hii familia idumu na ing'are daima

  • @danmchelsea658
    @danmchelsea658 2 роки тому +2

    Sauti tamu
    Wimbo mtamu ajabu...
    Aaaaah sina la kuongezea
    Karibuni Kenya 🇰🇪 tena

  • @ShiroRaphael
    @ShiroRaphael 2 роки тому +22

    Am from Ngong Diocese in Kenya, jumuiya ya mtakatifu Cecilia. I wish siku moja nipatane na hii familia ya Bwana Mukasa.😑😑😑I really love them💞💞💞💞💝💝💝💝

  • @aliceatieno-cu3wf
    @aliceatieno-cu3wf Рік тому +1

    Nyimbo zenu kweli ni ujumbe kutoka kwa mola

  • @epiphaniamathayo4905
    @epiphaniamathayo4905 Рік тому +2

    Kwakupanda mbegu ya watoto nijambo jema mungu wetu awazidishie yote mtendayo

  • @davidkobero6977
    @davidkobero6977 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana....
    Katai ya nyimbo niipendayo wkaati wa matokeo
    Mungu aendelee kukubariki BM

  • @maliatabuerenesti6681
    @maliatabuerenesti6681 2 роки тому +2

    Kwakweli Mungu anajua kubariki watu mi niseme kuwa Mungu azidi kuwapa uhai zaidi kwakwel maana nimfano zaidi kwetu wanakwaya kwakweli

  • @MethewMelikiory-ic3kj
    @MethewMelikiory-ic3kj Рік тому +1

    Thank you Benard Mukasa

  • @elizabethjoseph9482
    @elizabethjoseph9482 2 роки тому +2

    Hiki kidogo kikakupendeze ni matoleo ya wana wako, wimbo mzuri sana barikiwa familia ya Mukasa

  • @cathykamura3521
    @cathykamura3521 2 роки тому +2

    Siku moja ntaimba nanyi angalau wimbo mmoja. Hii ni motisha tosha

  • @LeakeyKanyamaha-n8n
    @LeakeyKanyamaha-n8n Рік тому +1

    Mungu akulinde ktk utunzi wa nyimbo nziri

  • @aloysiusrugejuna2804
    @aloysiusrugejuna2804 2 роки тому +1

    Hongera sana brother Mkasa.

  • @constantinewilbroad1654
    @constantinewilbroad1654 2 роки тому +2

    Mungu awabariki Sana na kuwakinga na hila za yule mwovu Katika jina La Yesu Kristo Amina

  • @joycengovi2039
    @joycengovi2039 2 роки тому +4

    nice one moraa,good work daughter to Dr Makori. consolata likoni tumekumis with ur broo

  • @ceciliahwangui1674
    @ceciliahwangui1674 2 роки тому +1

    Hongera mukasa

  • @maxwellmax3939
    @maxwellmax3939 2 роки тому +17

    TYK...Aisee nyinyi ni hazina kubwa Sana katika kanisa letu katoliki...Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu na azidi kuwaepusha na kila baya Hongera Sana Mwl Mukasa na Quadri v nzima..nawapenda mnooooooo 🔥🔥🔥🔥

  • @joddetedominic4530
    @joddetedominic4530 2 роки тому +1

    Hongereni sana, kazi nzuri mnoo

  • @susannthamba3885
    @susannthamba3885 6 місяців тому +1

    This is my favorite song ❤ by Benerd Mukasa's Family

  • @raymondlissu4649
    @raymondlissu4649 2 роки тому +1

    Hongera Sana mkuu hakika kazi zako zmebarikiwa

  • @pricillamkilanya2308
    @pricillamkilanya2308 Рік тому +1

    Huu wimbo huwa unanibariki sana

  • @aloycenshange192
    @aloycenshange192 2 роки тому +2

    Hongera Sana familia Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwakuzia kupaji chenu mzidi kumtangaza kote ulimwenguni. Omukama abongele muno,mukole ebishagileo.

  • @fillemonzakayo8774
    @fillemonzakayo8774 Рік тому +1

    Barikiweni sana na Mungu wa mbinguni

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 2 роки тому +3

    Familia
    MUNGU awabariki kila saa. Mmefantika kuwa Sadaka ya Wakrisro

  • @rosewambo2976
    @rosewambo2976 2 роки тому +1

    Ben napenda sana njimbo zako toka mwazo mungu akubariki

  • @reginamndeme1546
    @reginamndeme1546 2 роки тому +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri kaka

  • @adelinusacleus4237
    @adelinusacleus4237 2 роки тому +2

    Hongereni Kwa kuinjilisha mwenyezi awaimarishe zaidi na zaidi muwe faraja kwetuu Kwa nyimbo nzuri

  • @hossanacatholicsingers6424
    @hossanacatholicsingers6424 2 роки тому +1

    Hongereni sana kwa utume na kazi nzuri

  • @ceciliandungu3861
    @ceciliandungu3861 4 місяці тому +1

    It's the kid that sings at the beginning that made me love this song!

  • @mutheriannah2562
    @mutheriannah2562 9 місяців тому +2

    May dha Almighty always shine on ur family Bernard mukasa❤❤❤mch love,,,,,,,

  • @paschaziakabakama8200
    @paschaziakabakama8200 2 роки тому +1

    HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI ,HUYO DOGO AMETISHA KA SAUTI KAKE.M
    ungu awabariki sana .big up org
    anist

  • @edwardmazuri9498
    @edwardmazuri9498 2 роки тому +2

    Familia takatifu ni ile familia inayodumu katika neno la Mungu, Hongereni kwa utume

  • @franciscambeke-ke9ib
    @franciscambeke-ke9ib Рік тому +1

    Blessed family blessed song

  • @JoyceRichard-b2n
    @JoyceRichard-b2n Місяць тому

    Jamani mungu aendelee kuwa Linda na kuwapa afya njema nimetamani sana

  • @stephankinyalwa5476
    @stephankinyalwa5476 2 роки тому +1

    Good job mkuuuu wangu

  • @julius795841
    @julius795841 4 місяці тому

    Wimbo mzuri sana wa kupeleka sadaka ....

  • @MercyCheruiyot-lf6ds
    @MercyCheruiyot-lf6ds 6 місяців тому +1

    Favourite Thanksgiving song,,may God bless you ❤

  • @avillaiminza121
    @avillaiminza121 Рік тому +1

    Really love the song

  • @despinamdende9810
    @despinamdende9810 2 роки тому +2

    Hongeren sana Baba Mukasa Mama Mukasa Na familia nzima kwakweli Mnafanya kitu kikubwa sana katika familia. Hakika nifamiliya ya Mfano ktk Manisa Mungu awabariki sana.

  • @fabianmwoshi
    @fabianmwoshi 9 місяців тому +1

    A masterpiece for offertory. Kazi njema @Benard Mukasa. God bless your vocation.

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 2 роки тому +1

    Mungu atukuzwe

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Рік тому +1

    Blessed Family Asante sana

  • @annmwende8339
    @annmwende8339 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana ,mnanitia nguvu ya kujivunia kuwa mkatoliki, hongera sana familia ya Mukasa

  • @walterlungu9190
    @walterlungu9190 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana ya kumsifu na kumtukuza Bwana. Melody imepangiliwa vizuri sana, tempo imeongeza ladha

  • @edwardnoel1426
    @edwardnoel1426 2 роки тому +1

    Hongereni sana familia

  • @muenipauline1620
    @muenipauline1620 2 роки тому +1

    Awesome bw. Bernard

  • @sylivianamutosi9264
    @sylivianamutosi9264 9 місяців тому +2

    Be blessed kwa kazi zuri yenye munafanya 🙏🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏 and amen 🇺🇬🇺🇬🇺🇬02|05|2024 time 06:55am mungu sikia maombi yetu

  • @stephanomwile9920
    @stephanomwile9920 2 роки тому +1

    Mungu azidi kuwabari

  • @naombadiaz4467
    @naombadiaz4467 Рік тому +1

    Jamani Jamani hongera sana

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 2 роки тому +4

    Very nice song and very good performance in audio and video format. HONGERENI SANA MWL WANGU MR. MUKASA NA VINNY KWA UPIGAJI KINANDA MZURI SALAMU ZAKE

  • @SautiTamu
    @SautiTamu 2 роки тому +1

    Hongereeni sana.
    Moraa 👏💐👏 wonderful start

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504 2 роки тому +1

    Mungu. Atupe ,ee kima
    Tupatekutowa🤲🔐kweli. Kabisa🙏amina

  • @kiserianmollel7296
    @kiserianmollel7296 2 роки тому +1

    Hongereni Sana

  • @stevenmasanja8827
    @stevenmasanja8827 Рік тому +2

    Kanisa ni moja tu. Takatifu katoliki la mitume

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 2 роки тому +3

    Familia ya mfano such an inspirational

  • @paulinaqelesh3402
    @paulinaqelesh3402 2 роки тому +2

    Mungu aibariki hii familia kazi nzuri sana mbarikiwe sana

  • @edwigaupendo
    @edwigaupendo 2 роки тому +2

    Hongereni sana kaka Mukasa na familia kwa kazi nzuri iliyotukuka. Hakika mnatuinjilisha vyema sana. Mbarikiwe nyote. 👏👏👏

  • @Entertainment-vi4tc
    @Entertainment-vi4tc 2 роки тому +2

    Kazi nzuri sana kaka BM, QD na Moraa

  • @philip1196
    @philip1196 2 роки тому +2

    Hongera sanaaa ndugu yangu Benard Mukasa,,,Kazi safi 👏👏🎹,,God will reward this.

  • @wendynina6110
    @wendynina6110 2 роки тому +1

    Top notch

  • @c.a.sindanotano5107
    @c.a.sindanotano5107 2 роки тому +1

    Big up

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 2 роки тому +1

    Hujawahi feli baba nipo naburudika❣️❣️❣️❣️

  • @AntonyShitente
    @AntonyShitente 2 роки тому +2

    Mungu azidi kuwabariki, nawapenda sanaa🤍🤍🤍

  • @musichealsTz
    @musichealsTz 2 роки тому +1

    hii itakuja kuwa Tenor voice nzuri mnoooooooo

  • @jacklinemueni7201
    @jacklinemueni7201 2 роки тому +1

    Hongera

  • @njerumartin1020
    @njerumartin1020 Рік тому +1

    ❣️♥️

  • @yohanacosmas8540
    @yohanacosmas8540 2 роки тому +2

    Aminaaaaa Namungu wa mbinguni Awabariki sana😍😍😍🙏🙏🙏🙏

  • @loitemuakai8638
    @loitemuakai8638 2 роки тому +3

    The voice of the young ones adds more flavor alafu kuongeza ya waliobobea ,,,ni tamu jamani

  • @frankanthony7926
    @frankanthony7926 11 місяців тому +1

    ❤❤❤

  • @mutuaaugustine510
    @mutuaaugustine510 2 роки тому +2

    Heko kwa kazi nzuri. Pongezi kwa hatua Moraa💯.. Mungu azidi kuwabariki🙏

  • @PatrickGatura
    @PatrickGatura Рік тому +2

    I like the song....
    More so how the little son sings❤

  • @dorcasodire4564
    @dorcasodire4564 2 роки тому +2

    Lovely,Mungu azidi kuwabariki na kuwaongoza katika safari hii ya kueneza injili kupitia nyimbo.🙏

  • @adelinadeogratias1841
    @adelinadeogratias1841 2 роки тому +2

    Woooh!hongereni sana wapendwa,kazi nzuri sana..❤❤❤🔥🔥🔥

  • @sebastianfuluge2888
    @sebastianfuluge2888 2 роки тому +2

    Kazi Iko poa sana, mbarikiwe sana.

  • @sheilabrigidjepkorir1728
    @sheilabrigidjepkorir1728 2 роки тому +2

    Mary Makori Moraa I see you. Good job to all of you.

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 2 роки тому

    Hakika Mukasa na familia yako ni zawadi kutoka kwa Mungu katika uinjilishaji wa neno la Mungu. Mbarikiwe sana, kila wimbo wenu ni mzuri tu. Nawezaje kupata flash ya nyimbo zenu.

  • @albert-kkitwenga4889
    @albert-kkitwenga4889 2 роки тому +5

    Utunzi mzuri. Audio recording yenye viwango. Videography game is good. In a nutshell mmeipa sala hii oxygen ya kutosha. More power to the Mukasa's, Makori's and everyone else who had a share in having this work see the light of day. May the labour of your hearts, minds and souls find favor in the eyes of the God you are so gracefully worshipping.

  • @SophiaMwakalogile
    @SophiaMwakalogile 6 місяців тому

    Ongela sn mkasa kwakweli unaupiga mwingi sn

  • @wiseignassb4607
    @wiseignassb4607 2 роки тому +1

    Mungu awazidishie Kwa kazi nzuri.Amina

  • @annamuhoja9109
    @annamuhoja9109 2 роки тому +1

    Kazi nzuri..hongereni sana..Mungu awatunze.

  • @briankombo5728
    @briankombo5728 2 роки тому +1

    Am very very happy for you Moraa na hongereni kwa hii familia ya Mukasa.

  • @poncegk5263
    @poncegk5263 2 роки тому

    B. Mukasa naomba either your family au Mt.Kizito mtoe video ya Wimbo wako ule unaitwa, "Nimtazame "

  • @erneusmalekela2678
    @erneusmalekela2678 2 роки тому

    Yeye aimbaye vizuri, husali mara mbili (St Augustine of Hippo). Hongera sana BM

  • @marymalikamalkiathepsalmis5321
    @marymalikamalkiathepsalmis5321 2 роки тому +1

    I love it...mbarikiwe sana Mukasa na familia yako

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 Рік тому +1

    THE FAMILY OF MUKASA THANKS FOR AN OVERTORY SONG BEUTIFUL ONE ALWAYS GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. FROM QATAR BUT KENYAN

  • @francisnjeri6997
    @francisnjeri6997 2 роки тому +1

    The Mukasa's in collaboration with Triple M❤❤❤

  • @neemakirway6602
    @neemakirway6602 2 роки тому +2

    Mungu awabariki sana na kuwalinda daima🙏🥂

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 2 роки тому

    Naaam Na Sasa Tumeona, Kumbe Tuseme Nini!!? Zaidi Ya Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wa Familia Hii, Na Atukuzwe Daima Kwaajili Yenu. Wimbo Mtamu Sana Kwa Kweli

  • @mariamwaka
    @mariamwaka 2 роки тому

    Halooo nimeona, nimebarikiwa sana na toleo hili. Familia ya Ben Mukasa. hakika ina fungu lake mbinguni. Mbarikiwe sana.

  • @christinekatunge9782
    @christinekatunge9782 2 роки тому +3

    From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪am really proud of your songs you always strengthen me.. may God bless you alot

  • @purityeboso5275
    @purityeboso5275 2 роки тому

    kazi safi kabisa...nyimbo zenu ni nzuri sana...wakatoliki tunaendelea vyema

  • @collethapilly1256
    @collethapilly1256 2 роки тому

    Ongereno sana kwa kutuinjilisha kupitia sauti zenu tunabarikiwa mno na kutuhamasisha,Mungu awabariki na kuwakirimia kwa kadiri ya mapenzi yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @GodwinMushobozi
    @GodwinMushobozi Рік тому

    Wimbo mzuri wa mapaji

  • @jacintahrita8186
    @jacintahrita8186 2 роки тому +1

    Triple M❤️...kazi nzuri

  • @hellennolo-xr8sq
    @hellennolo-xr8sq Рік тому

    Mungu na abariki kazi yenu

  • @arnoldkagaruki5277
    @arnoldkagaruki5277 2 роки тому

    Inampendeza Mungu na sisi watazamaji kwa utume wenu wa Uimbaji,
    Mbarikiwe sana na hongera kwa ujumbe wa wimbo wenye kuhamasisha

  • @sistyandrea1931
    @sistyandrea1931 2 роки тому +1

    Mungu awabariki sana hii familia na ndg zangu

  • @amoswanjohikaniaru
    @amoswanjohikaniaru Рік тому

    Mungu awabariki sana .nyinyi hazina kubwa kwetu wanakatoriki