MATOLEO YA WANA WAKO - Bernard Mukasa || MARIA MORAA MAKORI (Triple M) & QUADRI V || Official Video
Вставка
- Опубліковано 17 січ 2023
- Matoleo ya wana wako ni wimbo wa matoleo uliotungwa na Bernard Mukasa mwaka 1997 akiwa likizoni katika parokia ya Ifakara jimbo la Mahenge (sasa jimbo la Ifakara).
Katika video hii wimbo huu umeimbwa kwa ushirikiano kati ya Maria Moraa Makori (Triple M) wa jimbo la Mombasa Kenya na familia ya Bwana na Bibi Bernard Mukasa (Quadri V). Waimbaji wengi walioshiriki ni Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (hayumo pichani), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, na Bernard Mukasa.
Kinanda kimepigwa na Vinny Mukasa.
Sauti na picha zimerekodiwa na nadhifiwa na studio za Holy Trinity za DSM - Tanzania.
__________________
This song was composed by Bernard Mukasa in 1997 when he went on leave to Ifakara Parish - Mahenge Diocese (now Ifakara Diocese). In this video the song has been performed by Maria Moraa Makori (Triple M) of Mombasa Diocese - Kenya with the family of Mr & Mrs Bernard Mukasa of DSM - Tanzaia (Quadri V). List of performers include Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (not in the video), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, and Bernard Mukasa.
The organ was played by Vinny Mukasa.
Audio & Video production by Holy Trinity studios - DSM.
Am from Ngong Diocese in Kenya, jumuiya ya mtakatifu Cecilia. I wish siku moja nipatane na hii familia ya Bwana Mukasa.😑😑😑I really love them💞💞💞💞💝💝💝💝
Fact
@@michaelkimario3830 mmhh
i love them too
nice one moraa,good work daughter to Dr Makori. consolata likoni tumekumis with ur broo
Nyimbo tamu na yenye kutulia..,.. helo kwenu Wana familia ya Mukasa Bernard.
Mungu awabariki sana .nyinyi hazina kubwa kwetu wanakatoriki
Huu wimbo huwa unanibariki sana
A masterpiece for offertory. Kazi njema @Benard Mukasa. God bless your vocation.
Tulikua na wakati wa Fr Kayeta, Stanslaus Mwajwahuki na John Mgandu, Sasa ni wakati wa Bernad Mukasa! Nawakubali sana Quadri V
Be blessed kwa kazi zuri yenye munafanya 🙏🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏 and amen 🇺🇬🇺🇬🇺🇬02|05|2024 time 06:55am mungu sikia maombi yetu
Familia takatifu ni ile familia inayodumu katika neno la Mungu, Hongereni kwa utume
Hongereni sana kaka Mukasa na familia kwa kazi nzuri iliyotukuka. Hakika mnatuinjilisha vyema sana. Mbarikiwe nyote. 👏👏👏
Mziki mzuri sana uliotulia.
Familia ya mfano such an inspirational
The voice of the young ones adds more flavor alafu kuongeza ya waliobobea ,,,ni tamu jamani
touching song hii familia idumu na ing'are daima
Familia
MUNGU awabariki kila saa. Mmefantika kuwa Sadaka ya Wakrisro
Kazi nzuri sana ya kumsifu na kumtukuza Bwana. Melody imepangiliwa vizuri sana, tempo imeongeza ladha
Hongera sana brother Mkasa.
Kazi nzuri,, barikiwa Sana
Hongeren sana Baba Mukasa Mama Mukasa Na familia nzima kwakweli Mnafanya kitu kikubwa sana katika familia. Hakika nifamiliya ya Mfano ktk Manisa Mungu awabariki sana.
Very nice song and very good performance in audio and video format. HONGERENI SANA MWL WANGU MR. MUKASA NA VINNY KWA UPIGAJI KINANDA MZURI SALAMU ZAKE
Kazi nzuri sana ,mnanitia nguvu ya kujivunia kuwa mkatoliki, hongera sana familia ya Mukasa
May dha Almighty always shine on ur family Bernard mukasa❤❤❤mch love,,,,,,,
Lovely,Mungu azidi kuwabariki na kuwaongoza katika safari hii ya kueneza injili kupitia nyimbo.🙏
Hongera sanaaa ndugu yangu Benard Mukasa,,,Kazi safi 👏👏🎹,,God will reward this.
Mungu azidi kuwabariki, nawapenda sanaa🤍🤍🤍
Hongereeni sana.
Moraa 👏💐👏 wonderful start
TYK...Aisee nyinyi ni hazina kubwa Sana katika kanisa letu katoliki...Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu na azidi kuwaepusha na kila baya Hongera Sana Mwl Mukasa na Quadri v nzima..nawapenda mnooooooo 🔥🔥🔥🔥
Mungu awatie nguvu wimbo mzuri mnoooooooo
Wimbo huu no mzuri sana
nu
@@nanekapeter8224huoooo
CP9 go chi upo😊
Woooh!hongereni sana wapendwa,kazi nzuri sana..❤❤❤🔥🔥🔥
Sauti tamu
Wimbo mtamu ajabu...
Aaaaah sina la kuongezea
Karibuni Kenya 🇰🇪 tena
Kazi nzuri sana....
Katai ya nyimbo niipendayo wkaati wa matokeo
Mungu aendelee kukubariki BM
Mungu aibariki hii familia kazi nzuri sana mbarikiwe sana
Mungu azidi kuwabari
Hiki kidogo kikakupendeze ni matoleo ya wana wako, wimbo mzuri sana barikiwa familia ya Mukasa
Aminaaaaa Namungu wa mbinguni Awabariki sana😍😍😍🙏🙏🙏🙏
I love it...mbarikiwe sana Mukasa na familia yako
HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI ,HUYO DOGO AMETISHA KA SAUTI KAKE.M
ungu awabariki sana .big up org
anist
Hakika Mukasa na familia yako ni zawadi kutoka kwa Mungu katika uinjilishaji wa neno la Mungu. Mbarikiwe sana, kila wimbo wenu ni mzuri tu. Nawezaje kupata flash ya nyimbo zenu.
Heko kwa kazi nzuri. Pongezi kwa hatua Moraa💯.. Mungu azidi kuwabariki🙏
Am very very happy for you Moraa na hongereni kwa hii familia ya Mukasa.
Mungu awabariki Sana na kuwakinga na hila za yule mwovu Katika jina La Yesu Kristo Amina
Mungu atukuzwe
Kwakweli Mungu anajua kubariki watu mi niseme kuwa Mungu azidi kuwapa uhai zaidi kwakwel maana nimfano zaidi kwetu wanakwaya kwakweli
From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪am really proud of your songs you always strengthen me.. may God bless you alot
Jamani Jamani hongera sana
I like the song....
More so how the little son sings❤
Utunzi mzuri. Audio recording yenye viwango. Videography game is good. In a nutshell mmeipa sala hii oxygen ya kutosha. More power to the Mukasa's, Makori's and everyone else who had a share in having this work see the light of day. May the labour of your hearts, minds and souls find favor in the eyes of the God you are so gracefully worshipping.
Mungu awabariki❤
Hongera Sana familia Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwakuzia kupaji chenu mzidi kumtangaza kote ulimwenguni. Omukama abongele muno,mukole ebishagileo.
Kwakupanda mbegu ya watoto nijambo jema mungu wetu awazidishie yote mtendayo
Kazi Iko poa sana, mbarikiwe sana.
Siku moja ntaimba nanyi angalau wimbo mmoja. Hii ni motisha tosha
Hongereni sana familia
Mungu. Atupe ,ee kima
Tupatekutowa🤲🔐kweli. Kabisa🙏amina
every song u produced lit
Hongereni Kwa kuinjilisha mwenyezi awaimarishe zaidi na zaidi muwe faraja kwetuu Kwa nyimbo nzuri
Kazi nzuri sana kaka BM, QD na Moraa
Mary Makori Moraa I see you. Good job to all of you.
Hongera mukasa
Singing from the heart 🥹.Kazi nzuri sana kwa wahusika wote,Mungu azidi kuwabariki mzapoinjilisha kwa uimbaji na kutubariki pia.
A good step Moraa👏
Hongereni sana ndugu zetu
THE FAMILY OF MUKASA THANKS FOR AN OVERTORY SONG BEUTIFUL ONE ALWAYS GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. FROM QATAR BUT KENYAN
Nyimbo zenu kweli ni ujumbe kutoka kwa mola
Thank you Benard Mukasa
Really love the song
Triple M❤️...kazi nzuri
Awesome bw. Bernard
Ongereno sana kwa kutuinjilisha kupitia sauti zenu tunabarikiwa mno na kutuhamasisha,Mungu awabariki na kuwakirimia kwa kadiri ya mapenzi yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻
kazi safi kabisa...nyimbo zenu ni nzuri sana...wakatoliki tunaendelea vyema
Hongereni Sana
Yeye aimbaye vizuri, husali mara mbili (St Augustine of Hippo). Hongera sana BM
such a powerful song from my cousin MORAA and Quadri V. Mbarikiwe sana sana na Mungu awazidishie neema zake kwa kuitikia huu wito wa kumtukuza. We are so proud of you indeed.
Great voices indeed mbarikiwe sana familia ya benard mukass
Inampendeza Mungu na sisi watazamaji kwa utume wenu wa Uimbaji,
Mbarikiwe sana na hongera kwa ujumbe wa wimbo wenye kuhamasisha
Hujawahi feli baba nipo naburudika❣️❣️❣️❣️
Mungu awabariki sana hii familia na ndg zangu
Halooo nimeona, nimebarikiwa sana na toleo hili. Familia ya Ben Mukasa. hakika ina fungu lake mbinguni. Mbarikiwe sana.
Naaam Na Sasa Tumeona, Kumbe Tuseme Nini!!? Zaidi Ya Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wa Familia Hii, Na Atukuzwe Daima Kwaajili Yenu. Wimbo Mtamu Sana Kwa Kweli
Ni Godwini Mushobozi Bernado from Bk
Ben napenda sana njimbo zako toka mwazo mungu akubariki
Blessed family blessed song
Hongereni Sana familia kwa kuendelea kuinjilisha. Mungu na azibariki kazi za mikono yenu.
Mungu awazidishie Kwa kazi nzuri.Amina
Napenda nyimbo zeyu God bless this family
Many congratulations Bernard Mukasa and family. Wimbo ni mzuri sana mwenyezi mungu azidi kuwaongoza na kuwabariki.
It's good!!
Asante Kwa Uinjilishaji mzuri
Top notch
Mungu na abariki kazi yenu
hii itakuja kuwa Tenor voice nzuri mnoooooooo
Great masterpiece.proud of the step @moraa..keep up
Nimebarikiwa sana... ninawashukuru na Mungu awabariki
This song is one of my favorite ! I thank the family of mukasa for their hard work through music where by many get saved through their good melody en flowing songs❤
Barikiweni sana na Mungu wa mbinguni
Good job Moraa and the Mukasa’s❤️
Blessings 🙏🏾🙏🏾
Hakika mnanifanya nijivunie kuwa Mkatoliki kanisa liloanzishwa na Yesu mwenyewe na kuliimarisha kwa maneno yake kuwa hata mizimu ya kuzimu halitalishinda nguvu.Endeleeni kuitangaza injili ya Yesu.
Kazi nzuri..hongereni sana..Mungu awatunze.
Mungu abariki sauti zinazo mtukuza
Famille Mukasa, une bénédiction pour le monde !
The Mukasa's in collaboration with Triple M❤❤❤
Moraaa❤❤❤❤❤
👏 hongereni sana kwa kazi nzuri
Kazi Safi Bwana Mukasa na familia.
Wimbo mzuri wa mapaji