MATOLEO YA WANA WAKO - Bernard Mukasa || MARIA MORAA MAKORI (Triple M) & QUADRI V || Official Video

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 січ 2023
  • Matoleo ya wana wako ni wimbo wa matoleo uliotungwa na Bernard Mukasa mwaka 1997 akiwa likizoni katika parokia ya Ifakara jimbo la Mahenge (sasa jimbo la Ifakara).
    Katika video hii wimbo huu umeimbwa kwa ushirikiano kati ya Maria Moraa Makori (Triple M) wa jimbo la Mombasa Kenya na familia ya Bwana na Bibi Bernard Mukasa (Quadri V). Waimbaji wengi walioshiriki ni Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (hayumo pichani), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, na Bernard Mukasa.
    Kinanda kimepigwa na Vinny Mukasa.
    Sauti na picha zimerekodiwa na nadhifiwa na studio za Holy Trinity za DSM - Tanzania.
    __________________
    This song was composed by Bernard Mukasa in 1997 when he went on leave to Ifakara Parish - Mahenge Diocese (now Ifakara Diocese). In this video the song has been performed by Maria Moraa Makori (Triple M) of Mombasa Diocese - Kenya with the family of Mr & Mrs Bernard Mukasa of DSM - Tanzaia (Quadri V). List of performers include Maria Makori, Vincent Makori, Rosemary Boniphace, Scholastica Mugabi (not in the video), Vince Mukasa, Vivian Mukasa, Vinny Mukasa, Victoria Mukasa, Matilda Sendwa Mukasa, and Bernard Mukasa.
    The organ was played by Vinny Mukasa.
    Audio & Video production by Holy Trinity studios - DSM.

КОМЕНТАРІ • 191

  • @ShiroRaphael
    @ShiroRaphael Рік тому +16

    Am from Ngong Diocese in Kenya, jumuiya ya mtakatifu Cecilia. I wish siku moja nipatane na hii familia ya Bwana Mukasa.😑😑😑I really love them💞💞💞💞💝💝💝💝

  • @joycengovi2039
    @joycengovi2039 Рік тому +2

    nice one moraa,good work daughter to Dr Makori. consolata likoni tumekumis with ur broo

  • @franciswambuachannel.2508
    @franciswambuachannel.2508 Рік тому +1

    Nyimbo tamu na yenye kutulia..,.. helo kwenu Wana familia ya Mukasa Bernard.

  • @amoswanjohikaniaru
    @amoswanjohikaniaru Рік тому

    Mungu awabariki sana .nyinyi hazina kubwa kwetu wanakatoriki

  • @pricillamkilanya2308
    @pricillamkilanya2308 Рік тому

    Huu wimbo huwa unanibariki sana

  • @fabianmwoshi
    @fabianmwoshi 2 місяці тому

    A masterpiece for offertory. Kazi njema @Benard Mukasa. God bless your vocation.

  • @NoteSacre493
    @NoteSacre493 Рік тому +1

    Tulikua na wakati wa Fr Kayeta, Stanslaus Mwajwahuki na John Mgandu, Sasa ni wakati wa Bernad Mukasa! Nawakubali sana Quadri V

  • @sylivianamutosi9264
    @sylivianamutosi9264 2 місяці тому +1

    Be blessed kwa kazi zuri yenye munafanya 🙏🙏🙏🙏 Amen 🙏🙏 and amen 🇺🇬🇺🇬🇺🇬02|05|2024 time 06:55am mungu sikia maombi yetu

  • @edwardmazuri9498
    @edwardmazuri9498 Рік тому +1

    Familia takatifu ni ile familia inayodumu katika neno la Mungu, Hongereni kwa utume

  • @edwigaupendo
    @edwigaupendo Рік тому +1

    Hongereni sana kaka Mukasa na familia kwa kazi nzuri iliyotukuka. Hakika mnatuinjilisha vyema sana. Mbarikiwe nyote. 👏👏👏

  • @jacksonakwenda7838
    @jacksonakwenda7838 11 місяців тому

    Mziki mzuri sana uliotulia.

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Рік тому +2

    Familia ya mfano such an inspirational

  • @loitemuakai8638
    @loitemuakai8638 Рік тому +2

    The voice of the young ones adds more flavor alafu kuongeza ya waliobobea ,,,ni tamu jamani

  • @alfredmuthui
    @alfredmuthui Рік тому

    touching song hii familia idumu na ing'are daima

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 Рік тому +1

    Familia
    MUNGU awabariki kila saa. Mmefantika kuwa Sadaka ya Wakrisro

  • @walterlungu9190
    @walterlungu9190 Рік тому +1

    Kazi nzuri sana ya kumsifu na kumtukuza Bwana. Melody imepangiliwa vizuri sana, tempo imeongeza ladha

  • @aloysiusrugejuna2804
    @aloysiusrugejuna2804 Рік тому

    Hongera sana brother Mkasa.

  • @benjaminmanyibe
    @benjaminmanyibe Рік тому

    Kazi nzuri,, barikiwa Sana

  • @despinamdende9810
    @despinamdende9810 Рік тому +1

    Hongeren sana Baba Mukasa Mama Mukasa Na familia nzima kwakweli Mnafanya kitu kikubwa sana katika familia. Hakika nifamiliya ya Mfano ktk Manisa Mungu awabariki sana.

  • @bihogorakaroli9691
    @bihogorakaroli9691 Рік тому +2

    Very nice song and very good performance in audio and video format. HONGERENI SANA MWL WANGU MR. MUKASA NA VINNY KWA UPIGAJI KINANDA MZURI SALAMU ZAKE

  • @annmwende8339
    @annmwende8339 Рік тому +1

    Kazi nzuri sana ,mnanitia nguvu ya kujivunia kuwa mkatoliki, hongera sana familia ya Mukasa

  • @mutheriannah2562
    @mutheriannah2562 2 місяці тому +1

    May dha Almighty always shine on ur family Bernard mukasa❤❤❤mch love,,,,,,,

  • @dorcasodire4564
    @dorcasodire4564 Рік тому +1

    Lovely,Mungu azidi kuwabariki na kuwaongoza katika safari hii ya kueneza injili kupitia nyimbo.🙏

  • @philip1196
    @philip1196 Рік тому +1

    Hongera sanaaa ndugu yangu Benard Mukasa,,,Kazi safi 👏👏🎹,,God will reward this.

  • @AntonyShitente
    @AntonyShitente Рік тому +1

    Mungu azidi kuwabariki, nawapenda sanaa🤍🤍🤍

  • @SautiTamu
    @SautiTamu Рік тому +1

    Hongereeni sana.
    Moraa 👏💐👏 wonderful start

  • @maxwellmax3939
    @maxwellmax3939 Рік тому +15

    TYK...Aisee nyinyi ni hazina kubwa Sana katika kanisa letu katoliki...Mungu awatimizie haja zote za nyoyo zenu na azidi kuwaepusha na kila baya Hongera Sana Mwl Mukasa na Quadri v nzima..nawapenda mnooooooo 🔥🔥🔥🔥

  • @adelinadeogratias1841
    @adelinadeogratias1841 Рік тому +1

    Woooh!hongereni sana wapendwa,kazi nzuri sana..❤❤❤🔥🔥🔥

  • @danmchelsea658
    @danmchelsea658 Рік тому

    Sauti tamu
    Wimbo mtamu ajabu...
    Aaaaah sina la kuongezea
    Karibuni Kenya 🇰🇪 tena

  • @davidkobero6977
    @davidkobero6977 Рік тому

    Kazi nzuri sana....
    Katai ya nyimbo niipendayo wkaati wa matokeo
    Mungu aendelee kukubariki BM

  • @paulinaqelesh3402
    @paulinaqelesh3402 Рік тому +1

    Mungu aibariki hii familia kazi nzuri sana mbarikiwe sana

  • @stephanomwile9920
    @stephanomwile9920 Рік тому

    Mungu azidi kuwabari

  • @elizabethjoseph9482
    @elizabethjoseph9482 Рік тому

    Hiki kidogo kikakupendeze ni matoleo ya wana wako, wimbo mzuri sana barikiwa familia ya Mukasa

  • @yohanacosmas8540
    @yohanacosmas8540 Рік тому +1

    Aminaaaaa Namungu wa mbinguni Awabariki sana😍😍😍🙏🙏🙏🙏

  • @marymalikamalkiathepsalmis5321

    I love it...mbarikiwe sana Mukasa na familia yako

  • @paschaziakabakama8200
    @paschaziakabakama8200 Рік тому

    HONGERENI SANA KWA WIMBO MZURI ,HUYO DOGO AMETISHA KA SAUTI KAKE.M
    ungu awabariki sana .big up org
    anist

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Рік тому

    Hakika Mukasa na familia yako ni zawadi kutoka kwa Mungu katika uinjilishaji wa neno la Mungu. Mbarikiwe sana, kila wimbo wenu ni mzuri tu. Nawezaje kupata flash ya nyimbo zenu.

  • @mutuaaugustine510
    @mutuaaugustine510 Рік тому +1

    Heko kwa kazi nzuri. Pongezi kwa hatua Moraa💯.. Mungu azidi kuwabariki🙏

  • @briankombo5728
    @briankombo5728 Рік тому +1

    Am very very happy for you Moraa na hongereni kwa hii familia ya Mukasa.

  • @constantinewilbroad1654
    @constantinewilbroad1654 Рік тому

    Mungu awabariki Sana na kuwakinga na hila za yule mwovu Katika jina La Yesu Kristo Amina

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 Рік тому

    Mungu atukuzwe

  • @maliatabuerenesti6681
    @maliatabuerenesti6681 Рік тому

    Kwakweli Mungu anajua kubariki watu mi niseme kuwa Mungu azidi kuwapa uhai zaidi kwakwel maana nimfano zaidi kwetu wanakwaya kwakweli

  • @christinekatunge9782
    @christinekatunge9782 Рік тому +3

    From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪am really proud of your songs you always strengthen me.. may God bless you alot

  • @naombadiaz4467
    @naombadiaz4467 Рік тому

    Jamani Jamani hongera sana

  • @PatrickGatura
    @PatrickGatura 9 місяців тому +1

    I like the song....
    More so how the little son sings❤

  • @albert-kkitwenga4889
    @albert-kkitwenga4889 Рік тому +4

    Utunzi mzuri. Audio recording yenye viwango. Videography game is good. In a nutshell mmeipa sala hii oxygen ya kutosha. More power to the Mukasa's, Makori's and everyone else who had a share in having this work see the light of day. May the labour of your hearts, minds and souls find favor in the eyes of the God you are so gracefully worshipping.

  • @kekejoe
    @kekejoe Рік тому

    Mungu awabariki❤

  • @aloycenshange192
    @aloycenshange192 Рік тому

    Hongera Sana familia Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwakuzia kupaji chenu mzidi kumtangaza kote ulimwenguni. Omukama abongele muno,mukole ebishagileo.

  • @epiphaniamathayo4905
    @epiphaniamathayo4905 Рік тому

    Kwakupanda mbegu ya watoto nijambo jema mungu wetu awazidishie yote mtendayo

  • @sebastianfuluge2888
    @sebastianfuluge2888 Рік тому +1

    Kazi Iko poa sana, mbarikiwe sana.

  • @cathykamura3521
    @cathykamura3521 Рік тому

    Siku moja ntaimba nanyi angalau wimbo mmoja. Hii ni motisha tosha

  • @edwardnoel1426
    @edwardnoel1426 Рік тому

    Hongereni sana familia

  • @millicentakinyi5504
    @millicentakinyi5504 Рік тому

    Mungu. Atupe ,ee kima
    Tupatekutowa🤲🔐kweli. Kabisa🙏amina

  • @collinswere5344
    @collinswere5344 Рік тому

    every song u produced lit

  • @adelinusacleus4237
    @adelinusacleus4237 Рік тому

    Hongereni Kwa kuinjilisha mwenyezi awaimarishe zaidi na zaidi muwe faraja kwetuu Kwa nyimbo nzuri

  • @Entertainment-vi4tc
    @Entertainment-vi4tc Рік тому +1

    Kazi nzuri sana kaka BM, QD na Moraa

  • @sheilabrigidjepkorir1728
    @sheilabrigidjepkorir1728 Рік тому +1

    Mary Makori Moraa I see you. Good job to all of you.

  • @ceciliahwangui1674
    @ceciliahwangui1674 Рік тому

    Hongera mukasa

  • @indiremoses8979
    @indiremoses8979 Рік тому +4

    Singing from the heart 🥹.Kazi nzuri sana kwa wahusika wote,Mungu azidi kuwabariki mzapoinjilisha kwa uimbaji na kutubariki pia.
    A good step Moraa👏

  • @janemwangi605
    @janemwangi605 Рік тому +1

    THE FAMILY OF MUKASA THANKS FOR AN OVERTORY SONG BEUTIFUL ONE ALWAYS GOD BLESS YOU AND YOUR FAMILY 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏. FROM QATAR BUT KENYAN

  • @aliceatieno-cu3wf
    @aliceatieno-cu3wf Рік тому

    Nyimbo zenu kweli ni ujumbe kutoka kwa mola

  • @MethewMelikiory-ic3kj
    @MethewMelikiory-ic3kj 8 місяців тому

    Thank you Benard Mukasa

  • @avillaiminza121
    @avillaiminza121 Рік тому

    Really love the song

  • @jacintahrita8186
    @jacintahrita8186 Рік тому +1

    Triple M❤️...kazi nzuri

  • @muenipauline1620
    @muenipauline1620 Рік тому

    Awesome bw. Bernard

  • @collethapilly1256
    @collethapilly1256 Рік тому

    Ongereno sana kwa kutuinjilisha kupitia sauti zenu tunabarikiwa mno na kutuhamasisha,Mungu awabariki na kuwakirimia kwa kadiri ya mapenzi yake🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @purityeboso5275
    @purityeboso5275 Рік тому

    kazi safi kabisa...nyimbo zenu ni nzuri sana...wakatoliki tunaendelea vyema

  • @kiserianmollel7296
    @kiserianmollel7296 Рік тому

    Hongereni Sana

  • @erneusmalekela2678
    @erneusmalekela2678 Рік тому

    Yeye aimbaye vizuri, husali mara mbili (St Augustine of Hippo). Hongera sana BM

  • @asterixlusimbo1108
    @asterixlusimbo1108 Рік тому +1

    such a powerful song from my cousin MORAA and Quadri V. Mbarikiwe sana sana na Mungu awazidishie neema zake kwa kuitikia huu wito wa kumtukuza. We are so proud of you indeed.

  • @immaculatenyaboke
    @immaculatenyaboke Рік тому +1

    Great voices indeed mbarikiwe sana familia ya benard mukass

  • @arnoldkagaruki5277
    @arnoldkagaruki5277 Рік тому

    Inampendeza Mungu na sisi watazamaji kwa utume wenu wa Uimbaji,
    Mbarikiwe sana na hongera kwa ujumbe wa wimbo wenye kuhamasisha

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 Рік тому

    Hujawahi feli baba nipo naburudika❣️❣️❣️❣️

  • @sistyandrea1931
    @sistyandrea1931 Рік тому +1

    Mungu awabariki sana hii familia na ndg zangu

  • @mariamwaka
    @mariamwaka Рік тому

    Halooo nimeona, nimebarikiwa sana na toleo hili. Familia ya Ben Mukasa. hakika ina fungu lake mbinguni. Mbarikiwe sana.

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 Рік тому

    Naaam Na Sasa Tumeona, Kumbe Tuseme Nini!!? Zaidi Ya Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wa Familia Hii, Na Atukuzwe Daima Kwaajili Yenu. Wimbo Mtamu Sana Kwa Kweli

  • @user-if9nz5tz4b
    @user-if9nz5tz4b 8 місяців тому

    Ni Godwini Mushobozi Bernado from Bk

  • @rosewambo2976
    @rosewambo2976 Рік тому

    Ben napenda sana njimbo zako toka mwazo mungu akubariki

  • @franciscambeke-ke9ib
    @franciscambeke-ke9ib 8 місяців тому

    Blessed family blessed song

  • @mchumi_thecatalystofeconom7889

    Hongereni Sana familia kwa kuendelea kuinjilisha. Mungu na azibariki kazi za mikono yenu.

  • @wiseignassb4607
    @wiseignassb4607 Рік тому

    Mungu awazidishie Kwa kazi nzuri.Amina

  • @jacintamwikali1744
    @jacintamwikali1744 Рік тому

    Napenda nyimbo zeyu God bless this family

  • @levinamukandara6970
    @levinamukandara6970 Рік тому

    Many congratulations Bernard Mukasa and family. Wimbo ni mzuri sana mwenyezi mungu azidi kuwaongoza na kuwabariki.

  • @gregorymassawe1441
    @gregorymassawe1441 Рік тому

    It's good!!
    Asante Kwa Uinjilishaji mzuri

  • @wendynina6110
    @wendynina6110 Рік тому

    Top notch

  • @hellennolo-xr8sq
    @hellennolo-xr8sq Рік тому

    Mungu na abariki kazi yenu

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 Рік тому

    hii itakuja kuwa Tenor voice nzuri mnoooooooo

  • @machariajohn.w.3752
    @machariajohn.w.3752 Рік тому +1

    Great masterpiece.proud of the step @moraa..keep up

  • @casmirakaro7710
    @casmirakaro7710 Рік тому

    Nimebarikiwa sana... ninawashukuru na Mungu awabariki

  • @salomekamendi2458
    @salomekamendi2458 9 місяців тому

    This song is one of my favorite ! I thank the family of mukasa for their hard work through music where by many get saved through their good melody en flowing songs❤

  • @fillemonzakayo8774
    @fillemonzakayo8774 Рік тому

    Barikiweni sana na Mungu wa mbinguni

  • @luluactress2860
    @luluactress2860 Рік тому +2

    Good job Moraa and the Mukasa’s❤️
    Blessings 🙏🏾🙏🏾

    • @severinekatumo2871
      @severinekatumo2871 Рік тому

      Hakika mnanifanya nijivunie kuwa Mkatoliki kanisa liloanzishwa na Yesu mwenyewe na kuliimarisha kwa maneno yake kuwa hata mizimu ya kuzimu halitalishinda nguvu.Endeleeni kuitangaza injili ya Yesu.

  • @annamuhoja9109
    @annamuhoja9109 Рік тому

    Kazi nzuri..hongereni sana..Mungu awatunze.

  • @florencemwanza2190
    @florencemwanza2190 4 місяці тому

    Mungu abariki sauti zinazo mtukuza

  • @claudemushimanja469
    @claudemushimanja469 Рік тому +1

    Famille Mukasa, une bénédiction pour le monde !

  • @francisnjeri6997
    @francisnjeri6997 Рік тому +1

    The Mukasa's in collaboration with Triple M❤❤❤

  • @ichunimagenacatholicparish2387

    Moraaa❤❤❤❤❤

  • @marychrisant2308
    @marychrisant2308 Рік тому

    👏 hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @Kenyatta-Mpenda-Mziki
    @Kenyatta-Mpenda-Mziki Рік тому

    Kazi Safi Bwana Mukasa na familia.

  • @user-if9nz5tz4b
    @user-if9nz5tz4b 8 місяців тому

    Wimbo mzuri wa mapaji