USIYAKUMBUKE MAKOSA: QUADRI - V, Bernard Mukasa (Official video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 лют 2022
  • Wimbo:
    USIYAKUMBUKE MAKOSA
    Mtunzi:
    BERNARD MUKASA
    Waimbaji:
    QUADRI - V
    (Familia ya Bw & Bibi Bernard Mukasa)
    Kinanda:
    VINNY MUKASA
    Studio (Audio & Video):
    HOLY TRINITY STUDIOS
    MANENO/LYRICS
    KIITIKIO:
    Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu, wala maasi yangu.
    Remember not the sins of my youth, nor my transgressions
    1. Ee Bwana nakuinulia nafsi yangu
    - Unto thee, Ooh Lord, do I lift up my soul
    2. Ee Mungu wangu, nimekutumaini wewe, nisiaibike
    - Oh my God, I trust in thee: let me not be ashamed.
    3. Ee Bwana unijulishe njia zako, unifundishe mapito yako
    - Shew me thy ways, Ooh Lord; teach me thy paths.
    4. Ee Bwana kwa ajili ya jina lako, unisamehe uovu wangu maana ni mwingi
    - For thy name’s sake, Oh Lord, pardon mine iniquity; for it is great.
    5. Uniangalie na kunifadhili, maana mimi ni mkiwa na mteswa
    - Turn thee into me, and have mercy upon me; I am desolate and afflicted.
    6. Katika shida za moyo wangu unifanyie nafasi, na kunitoa katika dhiki zangu
    - The troubles of my heart are enlarged: Oh bring thou me out of my distresses.
    7. Utazame teso langu na taabu yangu; Unisamehe dhambi zangu zote
    - Look upon mine affliction and my pain; and forgive all my sins.
    8. Unilinde nafsi yangu na kuniponya, Nisiaibike, maana nakukimbilia wewe
    - Ooh keep my soul, and deliver me: let me not be ashamed; for I put my trust in thee.

КОМЕНТАРІ • 200

  • @maggiehope-1884
    @maggiehope-1884 Рік тому +3

    Mungu Yu mwema daima, always nazitafakar sana nyimbo zenu, akuzidishie moyo wa iman

  • @gladysmutiso9855
    @gladysmutiso9855 2 роки тому +1

    Nice one and touching

  • @user-yl5er9ii8u
    @user-yl5er9ii8u 10 місяців тому

    That iz wot we kol worshiping

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Рік тому

    Tunafarijika sana kuwa na nyinyi ndani ya kanisa,, kiukweli kazi yenu itakatifuzwe milele🙏

  • @paLi7242
    @paLi7242 2 роки тому +7

    Hongereni sana kwa utume huo! Mungu awajalie afya njema ya Roho na mwili! Nawaombea sana.

  • @graceanachristopher8180
    @graceanachristopher8180 2 роки тому

    Hongereni sana kwa kutumia kipaji chenu ipasavyo

  • @valentinechepkorir1920
    @valentinechepkorir1920 2 роки тому +3

    From Kenya!Bernard Mukasa you are the best!

  • @briantitiai3145
    @briantitiai3145 9 місяців тому

    What a beautiful way to plead mercy from the father

  • @annamosha968
    @annamosha968 Рік тому +1

    Mungu azidi kuwatunza mzidi kumtukuza zaidi na zaidi, nawapeeenda sana

  • @user-xe8jh2sp2r
    @user-xe8jh2sp2r 7 місяців тому

    Nawapenda Sana walimu wangu good bless

  • @innocentsylvestre3927
    @innocentsylvestre3927 2 роки тому +2

    More interesting

  • @elizamsonge5506
    @elizamsonge5506 Рік тому +1

    Amina🔥🔥🙏🙏🙏

  • @user-cg8hs4nr5w
    @user-cg8hs4nr5w 4 місяці тому

    Wimbo umenigusa sana 🥰🥰🥰

  • @andrewmushi281
    @andrewmushi281 2 роки тому +1

    Hapo safiiii sana 🔥 🔥 🔥

  • @petermulwa7121
    @petermulwa7121 2 роки тому

    Remember not my sins nor my transgressions oh God

  • @user-yl5er9ii8u
    @user-yl5er9ii8u 10 місяців тому

    Wonderful singing munene

  • @deovictormedia7928
    @deovictormedia7928 2 роки тому +2

    nice song mr. mukasa I real appreciate you

  • @celestinenanjala2972
    @celestinenanjala2972 2 роки тому +6

    Nice one. My daughter is 2 years and she loves your songs so much whenever I play catholic songs and your song comes next she'll automatically start dancing to it.

  • @user-xg6jl7rg3t
    @user-xg6jl7rg3t Рік тому

    Nakuelewa sana mkasa kwa kaz nzur

  • @josephlugome3838
    @josephlugome3838 2 роки тому +1

    You deserve my brother

  • @mariawandiba6736
    @mariawandiba6736 2 роки тому +1

    Asante kwa wimbo mzuri sana hongera sana na Mungu azidi kuwabariki

  • @sebastiansumawe9253
    @sebastiansumawe9253 Рік тому

    Asante kwa uinjilishaji huu mzuri.

  • @norbertnturama4726
    @norbertnturama4726 2 роки тому +1

    Hongera mkuu Kwakumpata vin Amekuwa upandewakowa pili katika mziki Baba mtunzi mama mtunzi,mtoto Organist
    Safisana

  • @petrompesa
    @petrompesa Рік тому

    Honger sana huy mwalim anaweza

  • @fredrickgumba4988
    @fredrickgumba4988 Рік тому

    Am always blessed

  • @roseurio503
    @roseurio503 5 місяців тому

    Kila naposikiliza nyimbo zenu huwa nafarijika mno Mungu awainue viwango na viwango🎉🎉❤

  • @rahmapanga8845
    @rahmapanga8845 2 роки тому

    Wimbo mzuri sana

  • @bettychempraiseofficialvid3156
    @bettychempraiseofficialvid3156 2 роки тому +1

    🙏🙏🙏🙏 a repentance song a broken heart deserve to our father in heaven.Amen

  • @samuelchema1526
    @samuelchema1526 2 роки тому +1

    Mungu azidi kuwajaza neema

  • @franciskagunda3461
    @franciskagunda3461 2 роки тому +1

    Nice one Keep it up

  • @abelkijuu6511
    @abelkijuu6511 2 роки тому

    Nyimbo za kwaresma

  • @theashirima1894
    @theashirima1894 2 роки тому

    Good family...nawapenda mno

  • @gidionmsumba8910
    @gidionmsumba8910 2 роки тому

    Good job

  • @sistyandrea1931
    @sistyandrea1931 2 роки тому +1

    Hongereni sana ndg zangu kwa kazi iliyotukuka

  • @natashatunje8906
    @natashatunje8906 2 роки тому +1

    thanks for good song as we are nearing lent period

  • @masenouniversitystannescha3730
    @masenouniversitystannescha3730 2 роки тому

    Kazi nzuri sana👏👏 hongera

  • @estherwilson5126
    @estherwilson5126 Рік тому

    Mungu.awabaliki.nanyi.mzidi.kutumiwa.kama.chombo.kwa.karama.mlio.pewaa.sifa.na.utukufu.nivyakee🙏🙏🙏

  • @divinemedia4296
    @divinemedia4296 2 роки тому +1

    Poweful song, Mungu abariki kazi yenu🙏

  • @petermaangi3471
    @petermaangi3471 2 роки тому +1

    A very nice song Mkuu,,, shukrani Kwa wimbo mpya wa Kwaresma

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 роки тому

    Ni kwa neema ya mungu tu. Mungu amekwisha yafuta yote ili tuishi naye milele. Asnte mungu. 🙏

  • @marcohape9741
    @marcohape9741 2 роки тому +2

    Hongera sana mwalimu, Mungu na akutangulie katika mwendelezo wa uinjilishaji

  • @marierobert42
    @marierobert42 Рік тому

    May God bless you

  • @nicholasreubenli5074
    @nicholasreubenli5074 2 роки тому

    Bwana na awazidishie nehema mzidi kutubariki n nyimbo hizi tamu.so touching songs they are

  • @sostenesabel3227
    @sostenesabel3227 2 роки тому +1

    Tafakari yenye utulivu kabisa. Sauti tulivu , kinanda kulichotulia na melodi nzuri inayochagiza wimbo uwe wa tafakari zaidi. Hongereni sana

  • @emmanuelkiio592
    @emmanuelkiio592 2 роки тому +1

    Hongera-Nyimbo nzuri ya Kwaresma, napenda unavyokuwa mbele kiwakati

  • @kenyacatholicyouthmedia
    @kenyacatholicyouthmedia 2 роки тому +3

    Awesome video

  • @tumainmkonda1211
    @tumainmkonda1211 2 роки тому +1

    Barikiwa Sana nawatakia kwaresima njema

  • @patrickwambua362
    @patrickwambua362 Рік тому +4

    I praise and thank the Almighty for giving you this incredible gift that we all get nourishment and blessings... May God keep you for days that we may all worship,repare and petition through your songs

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 2 роки тому +2

    Mbarikiwe Sana,Kwa Kazi Hizi Zinazotusaidia Kujitafakari, Quadro V.🙏🏻🙏🏻

  • @iqrampoul1787
    @iqrampoul1787 2 роки тому +1

    Ongereni jaman Mungu akubarikini

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 2 роки тому +2

    It's so touching from melody to the message ooh lord just forgive us😱😭😭😭😭

  • @paschalmiligo3896
    @paschalmiligo3896 2 роки тому +1

    Hongera kwa utume Mungu awaepushe na maradhi ya kiroho na kimwili.

  • @roinusamungu792
    @roinusamungu792 2 роки тому +1

    Kazi nzuri na tafakari nzuri sasa na hasa tunapoelekea kipindi Cha Kwaresima Cha kanisa✨✨🙏

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 2 роки тому

    Aaa huu ni wimbo na no sala .Asanteni sana. Mnatusaidia mutant's meditation hAsa sisi wazee.

    • @reginamukama7333
      @reginamukama7333 2 роки тому

      Nasahihisha mnatusaidia kufanya meditation. Mungu azidi kuwatumia.Amina

  • @angelakashangaki5692
    @angelakashangaki5692 2 роки тому +1

    Wimbo wangu bora wa kwaresima mwaka huu.

  • @reginamukama7333
    @reginamukama7333 2 роки тому

    Zaburi yetu site wazee asante sana nyie watu. Mungu awabariki najua hamlali ktk kutayarisha sala hizi kws njia ya nyimbo. Mungu awakumbuke daima

  • @piusgisemba4353
    @piusgisemba4353 2 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana hasa katika kipindi hiki tutakachokianza, kwaresma. Mungu awabariki Ben na familia yako

  • @richardwabomba
    @richardwabomba 2 роки тому +1

    Asante Sana kwa baraka ya wimbo huu

  • @mackrinaerenesto8237
    @mackrinaerenesto8237 2 роки тому

    Mung awabarki nyimbo znaujumbe mtumishi nabarkiwa San Amina 🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️

  • @pendosteven2109
    @pendosteven2109 2 роки тому +1

    Ongereni sana wimbo mzuri sana umetulia

  • @isabelajoseph6299
    @isabelajoseph6299 2 роки тому +1

    Hongera sana sana kwa familia hii. Asante pia kwa share na mm.

  • @josphatokemwa1539
    @josphatokemwa1539 2 роки тому

    very good

  • @innocentianicas5853
    @innocentianicas5853 2 роки тому

    Tunashukuru maa
    na tunapunguza mawazo kupitia nyimbo hizi Mungu abarriki kazi hii

  • @georgemakori248
    @georgemakori248 2 роки тому +2

    Ahsante ndugu yangu kwa kututolea tenzi hizi ambazo zatusaidia kwa njia ya kipekee kuwasiliana na mungu wetu hasa tukikumbuka kuwa sisi ni wakosaji na mara nyingi hatujui njia na maneno ya kumuambia mungu lakini kupitia nyimbo kama hizi inakua njia kamilifu . Wimbo mtamu na wa hisia kali za kutubu. Ubarikiwe wewe matilda na Vinny na familia ya quadri

  • @yasintakyauke6272
    @yasintakyauke6272 2 роки тому

    Mungu awajalie

  • @martinmunywoki
    @martinmunywoki 2 роки тому +1

    Safii sana, hongereeni

  • @crispusmghadi3472
    @crispusmghadi3472 2 роки тому

    Hongera sana katika kuhubiri kpitia nyimbo mungu aendeleze kipaji hicho

  • @bensonmasingu8210
    @bensonmasingu8210 2 роки тому +3

    I like to listen songs from this family, you are wonderful and amazing.May God bless you.

  • @georgesmasawe7399
    @georgesmasawe7399 Рік тому

    Hongereni sana kwa kazi njema ya uimbaji.......God bless you .....awajalie afya ,uzima wa roho na mwili.....na hekima pia.....to continue doing His job

  • @gamgangweesechota3589
    @gamgangweesechota3589 2 роки тому +1

    Dah najikuta nalia tu,nawatamani kuliko Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Tena na tena

  • @gladysmwenda8996
    @gladysmwenda8996 2 роки тому

    Wimbo mzuri haswa wakati huu wa maajilio.....swadakta .!!...nyimbo zako hunibariki Sana...

  • @odethachambi1187
    @odethachambi1187 2 роки тому +1

    Nawapenda sana,...... Mnanipa moto wa kumtumikia Mungu kwa nguvu sana🙏🙏❤️

  • @honorinaverani1057
    @honorinaverani1057 Рік тому

    wimbo mzuri unaotafakarisha sana na toba. Mungu awabariki umenigusa sana.

  • @geraldcasmiry4237
    @geraldcasmiry4237 2 роки тому +2

    This song has reflection to our life let's we change our bad way and confence our sin 🙏🙏🙏

  • @festombugi7615
    @festombugi7615 2 роки тому

    Nabarikiwa saaaana na hii familia mungu wa mbinguni awalinde vema aliye wapa karama hiyoo..Natamanii siku Moja niwe na uwezo mkubwa kama mama angu hapooo

  • @patricknguli4322
    @patricknguli4322 2 роки тому

    Nyimbo Safi Sana, Bwana Na Bi Mukasa Ongera Sana pamoja na Vinny mcheza kinanda.

  • @silvanuskatowo3814
    @silvanuskatowo3814 2 роки тому

    Tafakari ,nzuri sana kipindi hiki maalum Cha Toba kwangu mm ni baraka sana , ninyi pia mbrikiwe sana na Mungu.

  • @agnesokonda6573
    @agnesokonda6573 2 роки тому +1

    God bless you and your family Kwa wimbaji bora

  • @leahshimwela6531
    @leahshimwela6531 2 роки тому +1

    Bwana yesu awabariki tunawapenda

  • @marymbilinyi1498
    @marymbilinyi1498 Рік тому

    Inapendeza sana mtu kutumia Karama uliyo pewa na Mungu, awabariki sana awajalie afya njema

  • @ponsianonyangachi6805
    @ponsianonyangachi6805 2 роки тому

    Asante sana br.Mukasa

  • @AmosiDeogratius
    @AmosiDeogratius 2 роки тому +2

    Another hit song🔥🔥🔥🔥thanks much mukasa family pia niwatakie kwaresma njema wakatoliki wote tukae tukitafakari juu ya dhambi zetu na tumuombe Mungu atusamehe dhambi zetu

    • @BernardMukasa
      @BernardMukasa  2 роки тому +1

      Asante sana. Na kwako pia

    • @AmosiDeogratius
      @AmosiDeogratius 2 роки тому

      @@BernardMukasa ahsante sana mwalimu wangu🙏🙏🙏🙏

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 2 роки тому

    Wimbo mzuri sana unaleta hisia Fulani za mwenyezi mungu

  • @janethmasaka9505
    @janethmasaka9505 2 роки тому

    mungu aendelee kuwakirimia mambo mengi na makubwa kuifanya kazi yake.... hakika mnatusaidia kusogelea ufalme wa mungu...🙏

  • @frankmugisha7036
    @frankmugisha7036 2 роки тому

    Mungu aibariki jamaa kwa kazi kubwa ya uhubiri munaeneza kwa nyimbo

  • @constantinennonjela3922
    @constantinennonjela3922 2 роки тому

    Kweli Mungu wangu usiyakumbuke makosa yangu, hongera sana B. Mukasa family

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 2 роки тому

    Mubarikiwe Wana familia ya mwalimu wetu Bernard Mukasa Kwa kazi njema ya utume

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 2 роки тому +1

    Hakika kazi inabariki sana, Hongereni sana, Mungu azidi kuwainua na kuwabariki

  • @evamasoko1068
    @evamasoko1068 2 роки тому

    Asanteni Sana kwa wimbo mzuri Mungu azidi kuwabariki kwenye utume huu

  • @cmg8683
    @cmg8683 2 роки тому +1

    My all time song solemnly sang
    Excellent ministry the Mukasa family. All your songs minister to me. My husband who’s a music director is full of praise of your wonderful songs. God bless your ministry🙌🏾🙌🏾

  • @gaspermshomba3827
    @gaspermshomba3827 2 роки тому

    Barikiwa

  • @catholic_vibes
    @catholic_vibes 2 роки тому

    Mbarikiwe Sana

  • @valeriasimon3724
    @valeriasimon3724 2 роки тому +1

    Wimbo mtuliiivu sana. Unatafakarisha sana. Mbarikiwe sana!

  • @anzirunsway3320
    @anzirunsway3320 2 роки тому

    Mungu aendeleee kukuongeze mashair mazuri zaid na zaidi

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 2 роки тому

    Mungu awabariki na kuwalinda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za Roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina

  • @estridakilumile6992
    @estridakilumile6992 2 роки тому +1

    Barikiwa sana familia hiii❤️niwatakien kwaresma njema wakatoliki wote

  • @kirighawilberd6351
    @kirighawilberd6351 2 роки тому

    Very nice song I feel like am already in heaven may God bless you abudantl

  • @mjkinuthia386
    @mjkinuthia386 2 роки тому +9

    This solemn penitential song is a powerfully spiritual heart-to-heart conversation with our merciful Father. It's an automatic anthem for me during the Lenten season. Asanteni sana the Mukasa family 🙏🙏🙏

    • @magrethcolestine2880
      @magrethcolestine2880 2 роки тому

      Ninamshukuru Mungu Sana kwa namna ambayo kweli amewapa nguvu na uwezo mkubwa Sana wa kumtumikia kwa njia hii

    • @njaunjeri1712
      @njaunjeri1712 2 роки тому

      My all time connection with Abba Father

  • @francismuoki3897
    @francismuoki3897 2 роки тому +1

    Gud music as always, wimbo mzuri sana wa kwaresma. Enjoying from kenya.

  • @priscaemmanuel3367
    @priscaemmanuel3367 2 роки тому

    Asante sana Mungu awabariki sana kwa tafakari nzuri. Niwatakie kwaresma njema.