USIYAKUMBUKE MAKOSA: QUADRI - V, Bernard Mukasa (Official video)
Вставка
- Опубліковано 25 лют 2022
- Wimbo:
USIYAKUMBUKE MAKOSA
Mtunzi:
BERNARD MUKASA
Waimbaji:
QUADRI - V
(Familia ya Bw & Bibi Bernard Mukasa)
Kinanda:
VINNY MUKASA
Studio (Audio & Video):
HOLY TRINITY STUDIOS
MANENO/LYRICS
KIITIKIO:
Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu, wala maasi yangu.
Remember not the sins of my youth, nor my transgressions
1. Ee Bwana nakuinulia nafsi yangu
- Unto thee, Ooh Lord, do I lift up my soul
2. Ee Mungu wangu, nimekutumaini wewe, nisiaibike
- Oh my God, I trust in thee: let me not be ashamed.
3. Ee Bwana unijulishe njia zako, unifundishe mapito yako
- Shew me thy ways, Ooh Lord; teach me thy paths.
4. Ee Bwana kwa ajili ya jina lako, unisamehe uovu wangu maana ni mwingi
- For thy name’s sake, Oh Lord, pardon mine iniquity; for it is great.
5. Uniangalie na kunifadhili, maana mimi ni mkiwa na mteswa
- Turn thee into me, and have mercy upon me; I am desolate and afflicted.
6. Katika shida za moyo wangu unifanyie nafasi, na kunitoa katika dhiki zangu
- The troubles of my heart are enlarged: Oh bring thou me out of my distresses.
7. Utazame teso langu na taabu yangu; Unisamehe dhambi zangu zote
- Look upon mine affliction and my pain; and forgive all my sins.
8. Unilinde nafsi yangu na kuniponya, Nisiaibike, maana nakukimbilia wewe
- Ooh keep my soul, and deliver me: let me not be ashamed; for I put my trust in thee.
Mungu Yu mwema daima, always nazitafakar sana nyimbo zenu, akuzidishie moyo wa iman
Nice one and touching
That iz wot we kol worshiping
Tunafarijika sana kuwa na nyinyi ndani ya kanisa,, kiukweli kazi yenu itakatifuzwe milele🙏
Hongereni sana kwa utume huo! Mungu awajalie afya njema ya Roho na mwili! Nawaombea sana.
Hongereni sana kwa kutumia kipaji chenu ipasavyo
From Kenya!Bernard Mukasa you are the best!
What a beautiful way to plead mercy from the father
Mungu azidi kuwatunza mzidi kumtukuza zaidi na zaidi, nawapeeenda sana
Nawapenda Sana walimu wangu good bless
More interesting
Amina🔥🔥🙏🙏🙏
Wimbo umenigusa sana 🥰🥰🥰
Hapo safiiii sana 🔥 🔥 🔥
Remember not my sins nor my transgressions oh God
Wonderful singing munene
nice song mr. mukasa I real appreciate you
Nice one. My daughter is 2 years and she loves your songs so much whenever I play catholic songs and your song comes next she'll automatically start dancing to it.
Nakuelewa sana mkasa kwa kaz nzur
You deserve my brother
Asante kwa wimbo mzuri sana hongera sana na Mungu azidi kuwabariki
Asante kwa uinjilishaji huu mzuri.
Hongera mkuu Kwakumpata vin Amekuwa upandewakowa pili katika mziki Baba mtunzi mama mtunzi,mtoto Organist
Safisana
Honger sana huy mwalim anaweza
Am always blessed
Kila naposikiliza nyimbo zenu huwa nafarijika mno Mungu awainue viwango na viwango🎉🎉❤
Wimbo mzuri sana
🙏🙏🙏🙏 a repentance song a broken heart deserve to our father in heaven.Amen
Mungu azidi kuwajaza neema
Nice one Keep it up
Nyimbo za kwaresma
Good family...nawapenda mno
Good job
Hongereni sana ndg zangu kwa kazi iliyotukuka
thanks for good song as we are nearing lent period
Kazi nzuri sana👏👏 hongera
Mungu.awabaliki.nanyi.mzidi.kutumiwa.kama.chombo.kwa.karama.mlio.pewaa.sifa.na.utukufu.nivyakee🙏🙏🙏
Poweful song, Mungu abariki kazi yenu🙏
A very nice song Mkuu,,, shukrani Kwa wimbo mpya wa Kwaresma
Asante sana mkuu
Ni kwa neema ya mungu tu. Mungu amekwisha yafuta yote ili tuishi naye milele. Asnte mungu. 🙏
Hongera sana mwalimu, Mungu na akutangulie katika mwendelezo wa uinjilishaji
May God bless you
Bwana na awazidishie nehema mzidi kutubariki n nyimbo hizi tamu.so touching songs they are
Tafakari yenye utulivu kabisa. Sauti tulivu , kinanda kulichotulia na melodi nzuri inayochagiza wimbo uwe wa tafakari zaidi. Hongereni sana
Atukuzwe Mungu milele
Hongera-Nyimbo nzuri ya Kwaresma, napenda unavyokuwa mbele kiwakati
Awesome video
Barikiwa Sana nawatakia kwaresima njema
I praise and thank the Almighty for giving you this incredible gift that we all get nourishment and blessings... May God keep you for days that we may all worship,repare and petition through your songs
Mbarikiwe Sana,Kwa Kazi Hizi Zinazotusaidia Kujitafakari, Quadro V.🙏🏻🙏🏻
Tumshukuru Mungu
Ongereni jaman Mungu akubarikini
It's so touching from melody to the message ooh lord just forgive us😱😭😭😭😭
Hongera kwa utume Mungu awaepushe na maradhi ya kiroho na kimwili.
Amina
Kazi nzuri na tafakari nzuri sasa na hasa tunapoelekea kipindi Cha Kwaresima Cha kanisa✨✨🙏
Asante sana
Aaa huu ni wimbo na no sala .Asanteni sana. Mnatusaidia mutant's meditation hAsa sisi wazee.
Nasahihisha mnatusaidia kufanya meditation. Mungu azidi kuwatumia.Amina
Wimbo wangu bora wa kwaresima mwaka huu.
Zaburi yetu site wazee asante sana nyie watu. Mungu awabariki najua hamlali ktk kutayarisha sala hizi kws njia ya nyimbo. Mungu awakumbuke daima
Wimbo mzuri sana hasa katika kipindi hiki tutakachokianza, kwaresma. Mungu awabariki Ben na familia yako
Asante Sana kwa baraka ya wimbo huu
Mung awabarki nyimbo znaujumbe mtumishi nabarkiwa San Amina 🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️
Ongereni sana wimbo mzuri sana umetulia
Hongera sana sana kwa familia hii. Asante pia kwa share na mm.
very good
Tunashukuru maa
na tunapunguza mawazo kupitia nyimbo hizi Mungu abarriki kazi hii
Ahsante ndugu yangu kwa kututolea tenzi hizi ambazo zatusaidia kwa njia ya kipekee kuwasiliana na mungu wetu hasa tukikumbuka kuwa sisi ni wakosaji na mara nyingi hatujui njia na maneno ya kumuambia mungu lakini kupitia nyimbo kama hizi inakua njia kamilifu . Wimbo mtamu na wa hisia kali za kutubu. Ubarikiwe wewe matilda na Vinny na familia ya quadri
Amina
Hongera sana kweli wimbo huu unanigusa sana barikiwa na familia yako
Mungu awajalie
Safii sana, hongereeni
Hongera sana katika kuhubiri kpitia nyimbo mungu aendeleze kipaji hicho
I like to listen songs from this family, you are wonderful and amazing.May God bless you.
Hongereni sana kwa kazi njema ya uimbaji.......God bless you .....awajalie afya ,uzima wa roho na mwili.....na hekima pia.....to continue doing His job
Dah najikuta nalia tu,nawatamani kuliko Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki Tena na tena
Mungu mwenye huruma aturehemu
@@BernardMukasa Amina 🙏
Wimbo mzuri haswa wakati huu wa maajilio.....swadakta .!!...nyimbo zako hunibariki Sana...
Nawapenda sana,...... Mnanipa moto wa kumtumikia Mungu kwa nguvu sana🙏🙏❤️
wimbo mzuri unaotafakarisha sana na toba. Mungu awabariki umenigusa sana.
This song has reflection to our life let's we change our bad way and confence our sin 🙏🙏🙏
Nabarikiwa saaaana na hii familia mungu wa mbinguni awalinde vema aliye wapa karama hiyoo..Natamanii siku Moja niwe na uwezo mkubwa kama mama angu hapooo
Nyimbo Safi Sana, Bwana Na Bi Mukasa Ongera Sana pamoja na Vinny mcheza kinanda.
Tafakari ,nzuri sana kipindi hiki maalum Cha Toba kwangu mm ni baraka sana , ninyi pia mbrikiwe sana na Mungu.
God bless you and your family Kwa wimbaji bora
Bwana yesu awabariki tunawapenda
Inapendeza sana mtu kutumia Karama uliyo pewa na Mungu, awabariki sana awajalie afya njema
Asante sana br.Mukasa
Another hit song🔥🔥🔥🔥thanks much mukasa family pia niwatakie kwaresma njema wakatoliki wote tukae tukitafakari juu ya dhambi zetu na tumuombe Mungu atusamehe dhambi zetu
Asante sana. Na kwako pia
@@BernardMukasa ahsante sana mwalimu wangu🙏🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana unaleta hisia Fulani za mwenyezi mungu
mungu aendelee kuwakirimia mambo mengi na makubwa kuifanya kazi yake.... hakika mnatusaidia kusogelea ufalme wa mungu...🙏
Mungu aibariki jamaa kwa kazi kubwa ya uhubiri munaeneza kwa nyimbo
Kweli Mungu wangu usiyakumbuke makosa yangu, hongera sana B. Mukasa family
Mubarikiwe Wana familia ya mwalimu wetu Bernard Mukasa Kwa kazi njema ya utume
Hakika kazi inabariki sana, Hongereni sana, Mungu azidi kuwainua na kuwabariki
Asanteni Sana kwa wimbo mzuri Mungu azidi kuwabariki kwenye utume huu
My all time song solemnly sang
Excellent ministry the Mukasa family. All your songs minister to me. My husband who’s a music director is full of praise of your wonderful songs. God bless your ministry🙌🏾🙌🏾
Barikiwa
Mbarikiwe Sana
Wimbo mtuliiivu sana. Unatafakarisha sana. Mbarikiwe sana!
Mungu aendeleee kukuongeze mashair mazuri zaid na zaidi
Mungu awabariki na kuwalinda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za Roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
Barikiwa sana familia hiii❤️niwatakien kwaresma njema wakatoliki wote
Very nice song I feel like am already in heaven may God bless you abudantl
This solemn penitential song is a powerfully spiritual heart-to-heart conversation with our merciful Father. It's an automatic anthem for me during the Lenten season. Asanteni sana the Mukasa family 🙏🙏🙏
Ninamshukuru Mungu Sana kwa namna ambayo kweli amewapa nguvu na uwezo mkubwa Sana wa kumtumikia kwa njia hii
My all time connection with Abba Father
Gud music as always, wimbo mzuri sana wa kwaresma. Enjoying from kenya.
Asante sana Mungu awabariki sana kwa tafakari nzuri. Niwatakie kwaresma njema.