GB64 APAGAWA NA KOCHA MPYA HAPA TUMEPATA KOCHA ILA TUNAROGEWA WACHEZAJI WETU VIONGOZI WAWALINDE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

КОМЕНТАРІ • 119

  • @MohamediMtuya
    @MohamediMtuya 3 місяці тому +8

    maumivu ya mawazo kwa mwanadamu ni sehemu ya kujifunza kivyovyote mwalimu gb64 minafikiri nikuongezee uwe gb 68

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 місяці тому +4

    Sawa kabisa yanga wazee wao wachawi sana ndiyo maana wanamtupia majini mayele.

  • @MwajumaNgaruma
    @MwajumaNgaruma 3 місяці тому +2

    JAMANI JAMANI VIONGOZI PLZ MUWALINDE WACHEZAJI WETU ,,UTO JAMANI WAZEE WA PINI

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 3 місяці тому +3

    Sana baba tunakuelew baba❤❤

  • @NassoroMbaullah
    @NassoroMbaullah 3 місяці тому +1

    Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.

  • @frankurio469
    @frankurio469 3 місяці тому

    Wazee wetu muwasomee duwa wachezaji wetu, muwafanyie dua maalumu wachezaji wetu wabaki salama

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 місяці тому +2

    SIMBA OYEEEEEE❤❤❤❤❤❤SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt 3 місяці тому +2

    Hakuna ukweli kwauyujamaa nikamayule mpiga debe wao ngonjela nyingi ukweli mizito.

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 місяці тому +2

    Kiingereza kila siku hichohicho, commitment, responsibility, ability, space, umekariri?.

    • @HamadiMgeja
      @HamadiMgeja 3 місяці тому

      Sawa amekalili we kinakuwasha nn sasa

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 місяці тому

      😂😂😂😂

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 3 місяці тому

    Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.

  • @HamisiUliza
    @HamisiUliza 3 місяці тому +1

    Ww gb 64 si ndy umesema chama ameogez miak 2 simb sasa iv umekua chiz tuh

  • @khamisshehe9187
    @khamisshehe9187 2 місяці тому

    Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael 3 місяці тому +1

    Gb64 uko vzr,maombi ya kuharibu ulimwengu wa giza,ili kupangilia hatma mpya ya simba mighty power

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 3 місяці тому

    Simba usajili wake ni .mzuri.unanifurahisha

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 3 місяці тому +1

    Mwalimu wa wapi huyu?

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 місяці тому

    Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 місяці тому

    Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 3 місяці тому +1

    We fala c ulisema Chama aksajiliwa Yanga unahamia AZAM! Sasa- ikawaje bado hujahama?😮😮😮

    • @HildaRugee
      @HildaRugee 3 місяці тому

      Sheria ziliwekwa ili zivunjwe! Seuze maneno ya GB64.

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 2 місяці тому

    Leo nimekwelewa sanaa

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому +2

    Uyu gb kweli o nyeusi anaonyesha kweli ni mwl felia

  • @muhidiniharuna3735
    @muhidiniharuna3735 3 місяці тому

    Ktk siku umeongea ukweli Leo umeona mbali ❤❤❤❤

  • @Masinga-l1n
    @Masinga-l1n 3 місяці тому

    IVI MNALIPWAAA...!AU MNAPIGA MIDOMOTU" YANI ADI MISHIPA YA SHINGO INAKUTOKA ""KHA"

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 місяці тому +1

    Hifadhi maneno yko mdomo mrefu kama njiwa pori

  • @MohamediMtuya
    @MohamediMtuya 3 місяці тому +1

    gb64nakubaliana usemalo ju ya kumuahidi mtumikia timu pesa tofaut na mshahara ni udhaifu mkubwa sana umenena viongozi wajifunze

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 3 місяці тому

    We mbona una makunyanzi kama Mzee? Shikamoo visungura😂😂😂

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому +2

    Ndio maana Magufuli alikutumbua ufahi kabisa frassh imejaa vilus vya kutosha

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr 3 місяці тому +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢haibu naona mm.

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 3 місяці тому +1

    Mpo karibu na viongozi muwaambie wawalinde wachezaji

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 3 місяці тому +1

    Tangaza Matawi yote kwamba wachezaji wetu wanalongwa

  • @BekaRDaffa
    @BekaRDaffa 3 місяці тому +1

    Viongozi wetu wawalinde wachezaji yanga wana watia pini

  • @HassaniRamadhani-g6o
    @HassaniRamadhani-g6o 3 місяці тому

    Hapo sio yanga waroga hata wachezaji WENYEWE wanarogana sana wasipo soma harba diri hujuma Zita enderea

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius5036 3 місяці тому

    ❤the best

  • @saidsalum2546
    @saidsalum2546 3 місяці тому +1

    Safi sana

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 3 місяці тому +1

    Lakini mangungu aondoke

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 3 місяці тому

    Kwa lugha nyepesi ni mbwa wala matapishi utopolo

  • @AdijaSurutan
    @AdijaSurutan 3 місяці тому

    Fanya. Kazi. Kaka. Usiogope

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 3 місяці тому +1

    Wew jamaaa muongo unatupotosha 😅😅

    • @MariamNzowa-k2x
      @MariamNzowa-k2x 3 місяці тому

      Kama anatupotosha je wakina max zengere wakowapi saiv

  • @OBSGroup-ps9es
    @OBSGroup-ps9es 3 місяці тому

    Daaa mpira wa tz unaavituko sana.

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 3 місяці тому +2

    ngunvu moja kaka tupamba nie mwamba

  • @Mansurhamis
    @Mansurhamis 3 місяці тому

    nakukubali sana kak Niko kenya

  • @SamwelSwai-u6u
    @SamwelSwai-u6u 3 місяці тому

    Respect familia

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 місяці тому

    Yanga wanatumia xana uchawi mbona liko wazi hili washirikina xana

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 3 місяці тому

    Wakina Mzee mpili wachawi😂😂😂

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 місяці тому +1

    Shenzi wabana makalio mechi bado

  • @SalimRamsei-ok9el
    @SalimRamsei-ok9el 3 місяці тому

    Pmj baba mzee wa kazi

  • @SaidyHajji
    @SaidyHajji 3 місяці тому

    Kweli lazima tuungane kuwalinda wachezaji wanarogwa kweli

  • @WilliamCharles-iq8ym
    @WilliamCharles-iq8ym 3 місяці тому +1

    Bwabwaja tu.tunawasubili Ngao

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому +2

    Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.

  • @SaimonEmmanuel-h9t
    @SaimonEmmanuel-h9t 3 місяці тому

    Nipe namba ya gb

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 3 місяці тому +1

    Ahadi zako za uwongo bhana ulisema utahamia azam chama akienda yanga,,, wew kajamaaa kaongo sawa😂😂 sijawahi kukuamin,,,, ata hao vijana wako mbona wanavipara 24 gan yenye vipara😂😂😂

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz 3 місяці тому

      Endelea kukaa bush huko. Shabikia Tukuyu Stars. Ya mjini waachie wa mjini vya mjini vina wenyewe.

  • @creeper6057
    @creeper6057 3 місяці тому

    GB 64 ni muongo haijawahi kutokea 🤣🤣🤣🤣 yani hayuko professional hata kdg ana ushabiki maandazi sio mtu wa mpira ni mpenda timu sio mpenda mpira

  • @suleimansuwed1846
    @suleimansuwed1846 3 місяці тому

    Kamawachezaji wanarogwa aoziongozi kuwambalinatim waovipi mpirawetu afrika ushindi njeyauwanja asilimiya kubwa

  • @ThomasAssey-uq2ur
    @ThomasAssey-uq2ur 3 місяці тому

    Huyo sio kocha ni msimamizi tuu wa kambi

  • @hassanomarhassan7774
    @hassanomarhassan7774 3 місяці тому

    Niko Kenya nguvu moja gb64

  • @TumainiSawee
    @TumainiSawee 3 місяці тому

    Ila dua isomweeeeee mashetani wengiiii

  • @JosephCharles-b8b
    @JosephCharles-b8b 2 місяці тому

    Hatumtaki mangungu ni shetani katika timu yetu aondoke

  • @NasriNassor-c2z
    @NasriNassor-c2z 3 місяці тому

    Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 3 місяці тому

    Yanga wanatabia za ccm

  • @TumainiSawee
    @TumainiSawee 3 місяці тому

    Wanalogwaaaaaaa

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 3 місяці тому

    Yaan mwamb unajua sana😅😅😅😅😂😂😂 zoazoa

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 3 місяці тому

    Yani izo maik zitakuwa zimelowa mate mbaba unaongea ww kha kma umekunywa maji ya chooni loh unalipwaaaaaa? Mh😏

  • @NassoroMbaullah
    @NassoroMbaullah 3 місяці тому

    Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji. 3:21

  • @elirahammwiri6519
    @elirahammwiri6519 3 місяці тому +1

    Anaamini ushirikina anapoteza mvuto sasa!!

  • @EdwinAmbakisye-li4zq
    @EdwinAmbakisye-li4zq 3 місяці тому

    Ebuniambie kapombe yeyé anabaki

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 3 місяці тому

    Naomba watangazie Matawi yote wajue

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому +1

    Ulisema Chama akienda Young Africans utahama sasa nimekubali wewe chawa kweli .

  • @Mansurhamis
    @Mansurhamis 3 місяці тому +1

    watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 3 місяці тому

    Waluguru tunaita kolo wa mwari

  • @bashirjama8225
    @bashirjama8225 3 місяці тому

    Sawasawa gb64 upended wapili wataipata

  • @EliasSimkonda
    @EliasSimkonda 3 місяці тому

    Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?

  • @binqalid9801
    @binqalid9801 3 місяці тому

    GB 64 mtu sana

  • @DeogratusiMlaly
    @DeogratusiMlaly 3 місяці тому

    Ukopoa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 3 місяці тому

    HUYU KWSS NI BONGE LA BWEGE.. ALIKUWA ANAAPIA MIUNGU ETI CHAMA AWEZI KWENDA YANGA LEO KIKO WAPI ?

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому

    Baleke alikuwaa makolo kwa mkopo usindanganye

  • @WaziriSimwe-zn8lb
    @WaziriSimwe-zn8lb 3 місяці тому

    Usiongee sana kisajili kitu kimoja lakini tukutane kwa mkapa mwanaume atajulikana mpumbavu wewe

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 3 місяці тому

    Waambie sasa viongozi wasilale

  • @eliasnyondo-z5u
    @eliasnyondo-z5u 3 місяці тому

    Gb pamoja baba

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 місяці тому +1

    Huyo mshabiki hewa wa simba .

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 місяці тому

    Kwahyo umekuwa ww ndo msemaji huna kazi ya kutafta kula pga kelele ununuliwe chai mkundu mwekundu

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 3 місяці тому

    Usinene ukamara 😂

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 3 місяці тому

    VIONGOZI WA SIMBA WACHEZAJI WOTE MUWAPE TAARIFA ZA USHIRIKINA WA HAPA KWETU WAJE KAMILI

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 3 місяці тому

    Gb528

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому

    Oswade nayooooo

  • @yustodonald9772
    @yustodonald9772 3 місяці тому

    Uyu bwana gb 64 by professional ni nani

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 3 місяці тому

    👏👏👏👏👏👏🇫🇯🇫🇯

  • @KenesiKomba
    @KenesiKomba 3 місяці тому

    Wamby hawo

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks 3 місяці тому

    Wewe ndiye mchawi wa Simba njaa mbaya unasifu kweli ligi ikianza hutaonekana wanaoipigani timu akina kisugu TU wewe ni embe dodo TU kwenye michongo

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio 3 місяці тому

    Modric,messi,Ronaldo na Ramos si vijana acha ujinga kwanza hama simba kama ulivyo ahidi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @nzegulagkofficialaccount3496
    @nzegulagkofficialaccount3496 3 місяці тому

    Tawile baba

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 місяці тому

    Kick tupu ili upate uchawa

  • @JojoLaq
    @JojoLaq 3 місяці тому

    Yani gb64 leo umeongeleya vitu uhimu sana hao wafua jezi wapishi hote safisha

  • @ArseneMohamed
    @ArseneMohamed 3 місяці тому

    Ukalili maneno yako ikosiku utakuponza wewe

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 3 місяці тому

    Ndio maana unaongwa cm Dubai amnaga Mpira labda majengo malefu tu

  • @ThomasAssey-uq2ur
    @ThomasAssey-uq2ur 3 місяці тому

    Huyu mwenzangu ni shabiki na anaongeaga kishabiki bila uhalisia hata wakati wa jobe alishangilia sana Leo jobe ni garasa tupu

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 місяці тому +1

    Subiri muda ufke Kisha wajinga wezko watashsngaa fukuzafukuza za makocha

  • @KasukuluMwenbungu
    @KasukuluMwenbungu 3 місяці тому

    Unalolote wwe namacho yako

  • @majimototv5670
    @majimototv5670 3 місяці тому

    😂😂😂😂

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 3 місяці тому +1

    Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe

  • @NassoroMbaullah
    @NassoroMbaullah 3 місяці тому +1

    Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 3 місяці тому

    Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu