Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.
Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao
Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani
Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?
Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe
maumivu ya mawazo kwa mwanadamu ni sehemu ya kujifunza kivyovyote mwalimu gb64 minafikiri nikuongezee uwe gb 68
Sawa kabisa yanga wazee wao wachawi sana ndiyo maana wanamtupia majini mayele.
JAMANI JAMANI VIONGOZI PLZ MUWALINDE WACHEZAJI WETU ,,UTO JAMANI WAZEE WA PINI
Sana baba tunakuelew baba❤❤
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.
Wazee wetu muwasomee duwa wachezaji wetu, muwafanyie dua maalumu wachezaji wetu wabaki salama
SIMBA OYEEEEEE❤❤❤❤❤❤SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hakuna ukweli kwauyujamaa nikamayule mpiga debe wao ngonjela nyingi ukweli mizito.
Kiingereza kila siku hichohicho, commitment, responsibility, ability, space, umekariri?.
Sawa amekalili we kinakuwasha nn sasa
😂😂😂😂
Gb64 tunza maneno,hao vijana hawana chemistry,skills zao hatujui changanya na uswahili wetu.Chasambi tunamjua,Kibu tunamjua,Lameck tunamjua,hao wengine tusubiri mechi walau 6 za ligi home and away.D2 zinatosha kufahamu.
Ww gb 64 si ndy umesema chama ameogez miak 2 simb sasa iv umekua chiz tuh
Ww tuna namb yako ya sim ili nikutumie salio, leo umesema ukweli mtupu, tofauti na hapi nyuma, nimekuwa nikikufuatikia Sana hoja zako umekuwa ukiwasema Sana vibaya viongozi, lkn Hilo halikuwa kosa la viongozi wLa wachezaji tatizo ni marogo, na Hilo watengenezaji sio viongozi watengenezaji ni wanachama na wapenzi viongozi tayari wametimiza wajibu wao
Gb64 uko vzr,maombi ya kuharibu ulimwengu wa giza,ili kupangilia hatma mpya ya simba mighty power
Simba usajili wake ni .mzuri.unanifurahisha
Mwalimu wa wapi huyu?
Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu
Kweli kaka yanga wanatumia sana uchawi hata funga funga yao. Lakini mimi sipendi sana hawa Makocha wa nje hawa. Maana wanakuja tu kuchukua fedha zentu mwisho wa siku hao. Tunaanza kumwita Mgunda. Tunamsubiri Michezo ianze tuwaone wanakidhi utahitaji wetu.Simba nguvu moja❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
We fala c ulisema Chama aksajiliwa Yanga unahamia AZAM! Sasa- ikawaje bado hujahama?😮😮😮
Sheria ziliwekwa ili zivunjwe! Seuze maneno ya GB64.
Leo nimekwelewa sanaa
Uyu gb kweli o nyeusi anaonyesha kweli ni mwl felia
Ktk siku umeongea ukweli Leo umeona mbali ❤❤❤❤
IVI MNALIPWAAA...!AU MNAPIGA MIDOMOTU" YANI ADI MISHIPA YA SHINGO INAKUTOKA ""KHA"
Hifadhi maneno yko mdomo mrefu kama njiwa pori
😂😂😂😂
gb64nakubaliana usemalo ju ya kumuahidi mtumikia timu pesa tofaut na mshahara ni udhaifu mkubwa sana umenena viongozi wajifunze
We mbona una makunyanzi kama Mzee? Shikamoo visungura😂😂😂
Ndio maana Magufuli alikutumbua ufahi kabisa frassh imejaa vilus vya kutosha
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢haibu naona mm.
Mpo karibu na viongozi muwaambie wawalinde wachezaji
Tangaza Matawi yote kwamba wachezaji wetu wanalongwa
Viongozi wetu wawalinde wachezaji yanga wana watia pini
Hapo sio yanga waroga hata wachezaji WENYEWE wanarogana sana wasipo soma harba diri hujuma Zita enderea
❤the best
Safi sana
Lakini mangungu aondoke
Kwa lugha nyepesi ni mbwa wala matapishi utopolo
Fanya. Kazi. Kaka. Usiogope
Wew jamaaa muongo unatupotosha 😅😅
Kama anatupotosha je wakina max zengere wakowapi saiv
Daaa mpira wa tz unaavituko sana.
ngunvu moja kaka tupamba nie mwamba
nakukubali sana kak Niko kenya
Respect familia
Yanga wanatumia xana uchawi mbona liko wazi hili washirikina xana
Wakina Mzee mpili wachawi😂😂😂
Shenzi wabana makalio mechi bado
Pmj baba mzee wa kazi
Kweli lazima tuungane kuwalinda wachezaji wanarogwa kweli
Bwabwaja tu.tunawasubili Ngao
mnakutana na azam sio simba
Simba mnaongoza kwa makombe ya maneno ila mpira ovyo maana ya kolo ni mjinga acha uongo feli mkubwa.
Tulia shindano iingieee
Nipe namba ya gb
Ahadi zako za uwongo bhana ulisema utahamia azam chama akienda yanga,,, wew kajamaaa kaongo sawa😂😂 sijawahi kukuamin,,,, ata hao vijana wako mbona wanavipara 24 gan yenye vipara😂😂😂
Endelea kukaa bush huko. Shabikia Tukuyu Stars. Ya mjini waachie wa mjini vya mjini vina wenyewe.
GB 64 ni muongo haijawahi kutokea 🤣🤣🤣🤣 yani hayuko professional hata kdg ana ushabiki maandazi sio mtu wa mpira ni mpenda timu sio mpenda mpira
Kamawachezaji wanarogwa aoziongozi kuwambalinatim waovipi mpirawetu afrika ushindi njeyauwanja asilimiya kubwa
Huyo sio kocha ni msimamizi tuu wa kambi
Niko Kenya nguvu moja gb64
Ila dua isomweeeeee mashetani wengiiii
Hatumtaki mangungu ni shetani katika timu yetu aondoke
Vingozi jamani mwasajili damu changa vizuri sana.ila mkiwasahau wazee wote magalasa.marana mchawi sana anawatia wachezaji kwenye chupa anatupa baharini jamani jamani wazee muhimu mi nakumbuka clipu ya yule mzee aliongea sana walikuwa wanakwenda na huyo mzee kisarawe wakati yuko marana aliwaua wachezaji wa yanga vipaji jamani wazee muhimu jamani jamani
Yanga wanatabia za ccm
Wanalogwaaaaaaa
Yaan mwamb unajua sana😅😅😅😅😂😂😂 zoazoa
Yani izo maik zitakuwa zimelowa mate mbaba unaongea ww kha kma umekunywa maji ya chooni loh unalipwaaaaaa? Mh😏
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji. 3:21
Anaamini ushirikina anapoteza mvuto sasa!!
Ebuniambie kapombe yeyé anabaki
Naomba watangazie Matawi yote wajue
Ulisema Chama akienda Young Africans utahama sasa nimekubali wewe chawa kweli .
watu wa yanga tukonao uku kenya wanatoka tanzania kuja kuawaroga wachezaj. wa simba
Waaa mbie wote Kuma la mama zao wachawi
Waluguru tunaita kolo wa mwari
Sawasawa gb64 upended wapili wataipata
Mm ni simba lialia lakini naomba wenzangu tuwashauri viongozi kuwa ile kamati muhimu ya wazee mbona haihusishwi na chochote na haina budget na yoyoyte. ?
GB 64 mtu sana
Ukopoa
HUYU KWSS NI BONGE LA BWEGE.. ALIKUWA ANAAPIA MIUNGU ETI CHAMA AWEZI KWENDA YANGA LEO KIKO WAPI ?
Baleke alikuwaa makolo kwa mkopo usindanganye
Usiongee sana kisajili kitu kimoja lakini tukutane kwa mkapa mwanaume atajulikana mpumbavu wewe
Waambie sasa viongozi wasilale
Gb pamoja baba
Huyo mshabiki hewa wa simba .
Kwahyo umekuwa ww ndo msemaji huna kazi ya kutafta kula pga kelele ununuliwe chai mkundu mwekundu
Usinene ukamara 😂
VIONGOZI WA SIMBA WACHEZAJI WOTE MUWAPE TAARIFA ZA USHIRIKINA WA HAPA KWETU WAJE KAMILI
Gb528
Oswade nayooooo
Uyu bwana gb 64 by professional ni nani
Huyu ni mwalimu by professional
👏👏👏👏👏👏🇫🇯🇫🇯
Wamby hawo
Wewe ndiye mchawi wa Simba njaa mbaya unasifu kweli ligi ikianza hutaonekana wanaoipigani timu akina kisugu TU wewe ni embe dodo TU kwenye michongo
Modric,messi,Ronaldo na Ramos si vijana acha ujinga kwanza hama simba kama ulivyo ahidi😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Tawile baba
Kick tupu ili upate uchawa
Yani gb64 leo umeongeleya vitu uhimu sana hao wafua jezi wapishi hote safisha
Ukalili maneno yako ikosiku utakuponza wewe
Ndio maana unaongwa cm Dubai amnaga Mpira labda majengo malefu tu
Huyu mwenzangu ni shabiki na anaongeaga kishabiki bila uhalisia hata wakati wa jobe alishangilia sana Leo jobe ni garasa tupu
Subiri muda ufke Kisha wajinga wezko watashsngaa fukuzafukuza za makocha
Unalolote wwe namacho yako
😂😂😂😂
Unaongea sana kama kungwi wa kitanga lkn mpira uwanjani hifadhi upumbavu huo usemao ngoja muda ufke meno mengi mdomoni sio uwezo wa kutafuna bwrge wewe
Yani kiukweli tumesajir vzur lkn yanga wanawaroga saana wachezaji wasimba,viongozi sajilini na lindeni wachezaji.
Jaman ni kweli cmba inarogwa xana wala co uwongo viongoz mlijue hili wenzenu wanatumia xana ndumba hawana timu wa nn ni uchaw mtupu