Sifa za Wabembe toka Congo, anasimulia mrembo aliyezaliwa kambi ya Wakimbizi Tanzania na kuhamia US

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • Junior Talent anazungumza na msichana mwenye asili ya DRC lakini aliyezaliwa kwenye kambi ya wakimbizi Nyarugusu nchini Tanzania na kisha kuhamia Marekani

КОМЕНТАРІ • 124

  • @jeanneluhabanya1252
    @jeanneluhabanya1252 2 роки тому +29

    That’s my Congolese girl wabembe tupo humu kweli?? jamani #nyarugusu girls likes zenu

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Рік тому +2

    Asante sana ubarikiwe saaaaana dadaangu mimi ni m'bembe mbondo kwetu fizi 🇨🇩 ila nimezaliwa Tanzania Kigoma

  • @Zuri_j2
    @Zuri_j2 2 роки тому +7

    Proud to be mbembe❤️🇨🇩

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 2 роки тому +4

    I have love that ending of that girl very intelenget . All the best young girl.

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 2 роки тому +1

    Safi sana, from Cedar Rapids IOWA STATE USA 🇺🇸

  • @yessegiven1567
    @yessegiven1567 2 роки тому +15

    Dada yupo vzr kwa maelezo Ila mtangazaji Kama mgeni kwenye hii game coz unauliza local saana

  • @rabinngarura3355
    @rabinngarura3355 2 роки тому +2

    Salamu zangu kwa huyo dada anajibu vizuri
    Mimi ni Mnyamulenge, Wabembe ni jirani zetu kwetu Kivu

  • @vnkjproduction7898
    @vnkjproduction7898 2 роки тому +3

    Wabembe tuko juu saana

  • @thepalaofficial6120
    @thepalaofficial6120 2 роки тому +11

    Mtangazqji mwenyewe mbembe na alikua kambini vilevile

    • @sumisumi8181
      @sumisumi8181 2 роки тому

      😁😁😁😁

    • @mangetz2835
      @mangetz2835 2 роки тому

      Ahahah umeonaa ?
      Mshamba mshamba

    • @angelageofrey9756
      @angelageofrey9756 2 роки тому

      Sio mzoefu wa kipindi msikie maswali yake?

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799 2 роки тому

      Dah😀😀Sawa mnichukue

    • @mangetz2835
      @mangetz2835 2 роки тому

      @@vipajitv1799 sio, ila maswahili yako sio kabisa.. kama vipi umwe unaaandika kwenye karatasi ili ujue swali hipi inafaa..

  • @afrofizi
    @afrofizi 2 роки тому +5

    Tuko hapa wabembe wa fizi/itombwe 🔥🔥🔥

    • @mangetz2835
      @mangetz2835 2 роки тому +2

      Ole m’too ?

    • @afrofizi
      @afrofizi 2 роки тому +1

      @@mangetz2835 nile mtù shiolo 🔥🔥

    • @afrofizi
      @afrofizi 2 роки тому +1

      @@mangetz2835 nile mtù shiolo 🔥🔥

    • @mrpath.6992
      @mrpath.6992 2 роки тому

      🇨🇩 ✊🏿✊🏿 túlé âmo

  • @mrdocta3106
    @mrdocta3106 2 роки тому +7

    I agree wabebe wako more expensive bro. Niliishi nao Kakuma Kenya. Dollar $4000 awachukuwi

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 роки тому

      Unatia mimba tu watapunguza wenyewe

  • @bardoniewilass9210
    @bardoniewilass9210 2 роки тому +4

    Bro ukitaka kujuwa Mila za ki congo vizuri nenda Kansas City Missouri kuna mzee mmoja pale anaye juwa mila zetu kuanzia mwanzo hadi mwisho

    • @vipajitv1799
      @vipajitv1799 2 роки тому

      Anaitwa nan? Mawasiliano yake

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      Wote tutatoka tuliko twende kule Kansas City ?,hata uwe nebraska tu Bellevue bado Mbali

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 2 роки тому

      @@vipajitv1799 tujue historia zetu sisi wafrica tuli danganywa ni wakati wakila mtu aulize kwanini ukifika mpakani wa kila inchi unakuta lugha unaongelewa pande zote ni moja ishara inakwambia niwa moja lakini walitawanishwa kilazima sio kwa mapendekezo yao, zamani pale mungu aliumba dunia hakusema naumba inchi Tanzania ao naumba inchi ya Congo ao la burundi hakuna sisi wote tulikuwa wamoja wakatizile na mabeberu hawaja African

  • @julitabonganda1549
    @julitabonganda1549 2 роки тому +1

    Wanapewa mkopo wa tickets za ndege wakifika wanarudisha sio kwamba wanalipa OIM

  • @mytelecom2019
    @mytelecom2019 2 роки тому

    @Ramsey Bayoma Chaoono oulole wetoo mwanaa,

  • @barakafizitv2632
    @barakafizitv2632 2 роки тому +2

    tunajuwana

  • @etonabintu
    @etonabintu 2 роки тому +1

    Kama mumezaa mtoto/watoto mahari airudishwi kama amukuzaa familia ya mwanamke lazima irudishe pesa za watu, ingine njia ya kurudisha ni yule mwanamke akipata mume wa kumuoa zile mahari atakazo toa mume wake wa sasa zinarudishwa kwa mume wake wa zamani

  • @aoman5214
    @aoman5214 2 роки тому +5

    Hata usiogop hata Mimi ni mbembe mwenzio nimezaliwa kigoma ujiji eneo la buzebazeba hivyo wabembe wapo kila nchi

    • @nyembomajidi3027
      @nyembomajidi3027 2 роки тому

      kweli wafrica ni wadugu ila wazungu ni wabaya sana

  • @sakinamaovu1613
    @sakinamaovu1613 2 роки тому +1

    UNHCR

  • @CalmWhiteNoise5
    @CalmWhiteNoise5 2 роки тому +4

    Wakimbizi husaidiwa na taasisi ya umoja wa mataifa inayohudumia wakimbizi yaani UNHCR na sio serikali.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Рік тому

    Vita Congo sio mipango ya mungu, bali ni mipango ya haohao ambao wa nawapa makazi nyie wachache, kwa kuwapumbaza, mdhani ni watu wazuri, ila wazungu ndio chanzo cha vita na mizozo afrika,

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 2 роки тому +1

    Dah! Kuna maswali mengi mno ya maana ameyaacha kuuliza dah.

  • @cristinasofla5090
    @cristinasofla5090 2 роки тому +1

    Kuvaa na makaratasi juu😀😀😀

  • @MS.herithie
    @MS.herithie Рік тому

    Ipo siku inchi yetu itakuwa fresh

  • @BinKingTz
    @BinKingTz 2 роки тому +3

    Jmn ila huyu mtangazaji naye ni km mkongoman hivi tena Mmbembe wa Nyrgs hivi.
    Sema ni wale walio potealeaga Tnzn Dar es salaam Au sio Jmn.😂😂😂

    • @amurikakombe7213
      @amurikakombe7213 2 роки тому +1

      kweli kbs, huyu jamaa anajifanya mtanzania lakin siyo mtanzania huyu. mtanzania gani anaongeya Kiswahili cha hivo. mkongo huyu 🤣🤣🤣🤣

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      @@amurikakombe7213 tumekaa na Wakongo saana na Lafudhi imekuwa ya Kikongo

    • @devganchusac5153
      @devganchusac5153 2 роки тому

      Ni mtanzania Ila rafiki zake wengi uku ni wacongo na ana ukaribu nao sana, kwaiyo ata Kiswahili cha Kwao kinaweza potea mda wote😂

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Рік тому

    Sasa, kifaransa ni lugha yenu? Dah ngozi nyeusi ina shida sana,

  • @yumagabriel9384
    @yumagabriel9384 Рік тому

    kiswahili ambacho kuzungumziwa na watu kawahida si kile klnachofundishwa shuleni nchini kongo.shuleni wa kono hufundishwa kisarufi na hata redi na televisheni waasema swahili sanufi.

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Рік тому

    Hata tz kunawabembe acha hizo fatilia histori ujio wawabembe

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Рік тому

    Wabembe walikupo Tz kabla ya ya uhuru Karne ya 13

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @kendrickmorgan6749
    @kendrickmorgan6749 2 роки тому +3

    Hahaha 🤣 wabembe wakorofi sana kama una izo pesa kwendaaaaaaa lol 😂

  • @johnsonderuloking7987
    @johnsonderuloking7987 Рік тому

    I think I know her 😊

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Рік тому

    Mtangazaji anauliza maswali ya kipuuzi sana

  • @mangetz2835
    @mangetz2835 2 роки тому +1

    Mtangazaji wa mavi mavi..

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 2 роки тому +1

    Huyu kijana nae nimkoko nae anajidanya

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Рік тому

    Nipe namba zahuyo dadayangu mbembe

  • @MS.herithie
    @MS.herithie Рік тому

    Mungu ajapanga ichi yetu kuwa vile

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 Рік тому

    Nipe namba za huyo dada

  • @fatumaregina26
    @fatumaregina26 2 роки тому +5

    🤣🤣🤣🤣🤣nime penda sana hiyi maojiano 🤣🤣🤣🤣jamani

  • @MS.herithie
    @MS.herithie Рік тому

    Mila zilikua au azisemi ivyo

  • @barakafizitv2632
    @barakafizitv2632 2 роки тому +5

    Ata wewe ni mkongomani aja kujifija 🇨🇩

  • @estherselemani8797
    @estherselemani8797 6 місяців тому

    kaka wewe uchawi ni sehemu yote

  • @assaningyoku5948
    @assaningyoku5948 Рік тому

    Hayo maswali ya kuowa unayo muuliza huyo kadogo hawezi we weza kuzijibu kwakuwa Kwanza alizaliwa kambini

  • @byamnorayckalenga7163
    @byamnorayckalenga7163 2 роки тому +7

    Mbona ndungu yetu mtangazaji ana sound like ni Congolese 🤣🤣🤣😂

  • @lizaeli6732
    @lizaeli6732 2 роки тому +6

    Iowa ya wapi hiyo?

  • @yahirgenaro744
    @yahirgenaro744 2 роки тому +14

    Most people think... Investing in crypto is all about buying coin and leaving it to rise, common it takes much analysis to be a successful crypto trader, Josephine can tell you more because that's her field of expertise..

    • @alandidio7939
      @alandidio7939 2 роки тому

      Trading crypto has been a lucrative way of earning passive income.
      Earning x3 of monthly salary in just two weeks is really astonishing thanks to expert Miss Josephine who made this possible, can't thank her less

    • @mikejuwan7120
      @mikejuwan7120 2 роки тому

      Trading with an expert is the best strategy for newbies and busy investors who have little or no time to monitor trade.
      I lost $4000 carelessly trading on a platform then I was referred to Miss Josephine, she recovered the loss and made an extra profit of $16000

    • @felicity9261
      @felicity9261 2 роки тому

      Wow I'm shock and surprised you just mentioned and recommended expert Miss Josephine, I thought I was the only one trading with her.
      I'm so happy for taking the bold step in working and investing $500 with Miss Josephine after a whole week I received $5000

    • @juanitachavez6424
      @juanitachavez6424 2 роки тому

      @@felicity9261 you don't need to be shocked because I am also a huge beneficiary of expert Miss Josephine

    • @juanitachavez6424
      @juanitachavez6424 2 роки тому

      I just withdrew my profit of $21000 after investing $2000.
      Indeed she is an expert

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 роки тому +1

    Congo hawana lugha moja ya taifa??

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      Hapana ni mbili nafikiri au 3

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 роки тому

      @Vipack Mwanamboka ndiyo usicheke,Kuna Kifaransa,Kiswahili na Lingala kama sijakosea zoote ni Lugha za Taifa

    • @etonabintu
      @etonabintu 2 роки тому

      Ni lugha 4 Lingala, Kiswahili, Kiluba na Kicongo

  • @saidibaraka931
    @saidibaraka931 Рік тому

    ila samahani kuhusu swala laku holewa uwaga tuna howana sisi wabembe kuwa wabembe ila kusema mtoto wa m'bembe mbondo aholewe na kabila lingine apana inabidi aholewe na m'bembe mbondo

  • @assaningyoku5948
    @assaningyoku5948 Рік тому

    Katika swala la kuowa au kuolewa wabembe wahawakukuwa wanaolewa au kuowa mtu asiye kuwa wa kabila yake. Na kwasababu kizazi cha Sasa kinaanza poteza mila na desturi ndio maana tunaanza kwenda owa olela na kuolewa olela hadi kufikia kuolewa na makafiri.

  • @j...876
    @j...876 Рік тому

    Úngwa sifa za wabembe zina Juliakana vizuri, jifunzeni asili ya nyumbani!!
    wewe ni wa east of DRCONGO

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 2 роки тому +1

    Wabembe wakiwa wanaonge wanaongea kwafujo kama wenye wako sokoni na wanapenda shombo wakila samaki ama nyama ama daga mkikutana barabarani utajua kala nini. Na wanapenda ugali mtepeto

  • @Alihamdulil
    @Alihamdulil 2 роки тому

    Uko stupied jounalist