ALBANI HAWEZI SWAHIHISHA HADITHI ILOSWIHI KWA BUKHARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 122

  • @nzrirs8649
    @nzrirs8649 2 місяці тому

    Imamu shafiih kasema Allah hajakamlisha isipokuwa kitabu chake Quran.bukhari haondokani na makosa.

    • @AllySibila
      @AllySibila Місяць тому

      Lakini daraja la Bukhari na albani ni mashariki mbili na magharibi mbili

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 21 день тому

      @@AllySibila Sahihi kabisa lakini Imaam Bukhary aweza kukosolewa na sheikh Albani maana yeye si mkamilifu hata sheikh Albani pia hukosolewa.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 8 місяців тому +3

    MASUFI NA watu wa BID'A wanachuki kubwa mno na IMAAMU L"muhadith sheikh MUHAMMAD NASURUDIYN AL AL BAAN!

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      Kwa kuwa kwako Ni Bora KULIKO imam Bukhari. Kwasababu Imam Bukhari SIO mtu WA Sunna Kama Sisi ndo maana tumemfanya Bora KULIKO Albani. Sijui Kama utafahamu kilichosemwa Kwa chuki yako dhidi YA sufi

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 2 місяці тому

      UNAWEZA KUTUPA ISNADI YAKE KWENYE ELIMU YA HADITHI ILI UTUAMBIE ANAFIKA KWA BWANA MTUME S.A.W KUPITIA AKINA NANI KATIKA ELIMU YA HADITHI!?

  • @uchihaitach1536
    @uchihaitach1536 8 місяців тому +2

    Jina la huyu sheikh

  • @AllyKiduka
    @AllyKiduka 2 місяці тому +1

    Mawahabibi ni watu wa sunnaa kwelikweli lakini sio sunna ya mtume wanafuata sunna ya shetani ushahidi ni matusi kwa mashekhe mihodari ya matusi eti ndomijitu ya sunna mmmmm mijitu ya ajabu wallah

  • @9119-r4t
    @9119-r4t 8 місяців тому +2

    Wadanganye wazuzu wenzako hao. Manake wewe mwenyewe hujuwi kuswali nimeswali nawewe wazungusha macho yako gengeza mpaka juu. Mwanzo juwa kuswali mwenyechuuu

    • @YaziduIddy
      @YaziduIddy 8 місяців тому +1

      mawahabi mnatahasubi sana kwasababu bohari na albani wapi na wapi

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      ​@@YaziduIddy Yaani hapo angepondwa Mtume Muhammad Saw wangetulia Kimya, lakini Albany umechokoza nyuki. KULIKO Aly Kwa mashia.

    • @مبغضالبدع-ع9ص
      @مبغضالبدع-ع9ص 7 місяців тому

      ​@@HilalAlhabsi786 jaribu kumponda mtume wetu swalla llahu aleihi wasallam utajua hujui mjinga wewe!!! Kumbe makhurafi mnapanga pia kumtukana mtume swalla llahu aleihi wasallam!!! Wajinga wakubwa nyinyi!!! Mnaanza na ulamaa wa sunna mkielekea kwa mtume, mumekosa adabu nyinyi....

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 7 місяців тому

      @@مبغضالبدع-ع9ص ewe muwahabi mwehu wee, kwani mashekh zenu WA kiwahabia washamtusi mara ngapi Mtume saw. Muhammad ibn Abdul wahabi shekhe lenu kuu la madheheb yenu AMESEMA. Abuu JEHEL anaakili Zaidi kuliko Mtume saw kwasababu Mtume saw mpaka aambiwe na Allah sw. JEE HILO SIO TUSI?!!!

  • @AbuusumeiyaYassir
    @AbuusumeiyaYassir 8 місяців тому +1

    Masufi mnashida

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 8 місяців тому +1

      Kwani hapo kaeleza kipi kisichosahihi? acheni porojo za kisiasa katika dini.

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
    @ExcitedCricketHelmet-wr4sq 8 місяців тому +1

    Makhurafi mna weza lingana na Albany nyinyi ebu mnitajie mwanachuoni mmoja wnu anaewashinda elimu wanavyuoni wa kisunnah kwanza mmesoma wpi makhurafi wabudu wa makaburi

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      Imamu shafy Ni Bora KULIKO albani. Wewe unaonaJE?

    • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
      @ExcitedCricketHelmet-wr4sq 8 місяців тому

      @@HilalAlhabsi786 kwa akili zenu ndogo mnataka kusema imam shafee ni khurafi hooo kwa ivo alikua akipiga molidi na kuomba maiti cio mko swa kweli

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      @@ExcitedCricketHelmet-wr4sq kwani Albany Ni dhehebu gani KATIKA Manne ya Ahlusunna?.

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      @@ExcitedCricketHelmet-wr4sq pili tumeongea Albany Na Imam Bukhari, Wewe ukaita maghurafy wanaompinga Albany ila hukusema kuwa anaempinga Imam Bukhari Ni khurafy. Sasa Sisi maghurafy tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko huyu kijana wa juzi Albany. Kwa maana Sisi maghurafy tunaamini swalaf swaleh Imam Bukhari kuliko nyinyi mawahabi ndio maana mnaumia mkisikia tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko Albany. Wewe kwani unafkiri Albany Ni mungu AU?. AU swahaba?. ACHA ushamba sikiliza vizuri

    • @MusaSuleimanNassorAl-Amry
      @MusaSuleimanNassorAl-Amry 8 місяців тому

      Mawahabi akili zao finyo

  • @abuubakarmohd7532
    @abuubakarmohd7532 6 місяців тому

    Andikq

  • @aliali-gw5pq
    @aliali-gw5pq 8 місяців тому +1

    HASAD INAKUTAFUNA EWE SUFI ALLAH HUMNYANYUA AMTAKAE

    • @abdallhabinmkasibayyat6657
      @abdallhabinmkasibayyat6657 7 місяців тому

      Hahahahaha albani kwa bukhar ni sawa na mtoto wa darasa la 1 au 2 kumsahihisha mwalimu wake

    • @HanafiChitindivilo
      @HanafiChitindivilo 2 місяці тому

      Ndo unataka kusema albani zaidi ya bukhar sio?

  • @AhmadRibaat
    @AhmadRibaat 19 днів тому

    Shekh mawahabi ni tawi la makafiri na mayahudi wa marekani mjinga kama albani mwenyw alikuw myahud sasa swali myahud na dini wapi?? Kwa hiyo mawahabi no makfir wakubwa

    • @IphoneIphone-p8b
      @IphoneIphone-p8b 11 днів тому

      Akhy, hii ni takfiri kwa Sheikh Albany, Batilisha kauli yako ama utaulizwa mbele ya Allah uyahidi wake upi. Mche Allah, ikhtilaf zipo ila usimtoe mtu kwenye uislam bila ya sababu za msingi.

  • @Hussein-l6v
    @Hussein-l6v 8 місяців тому +1

    Sawa kabisa usemavyo shekh

  • @Muswlih
    @Muswlih 8 місяців тому +1

    Baba na mama yko wameswahihish Hadith gn ??

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому +1

      Imam Bukhari SIO MTU wa Sunna ndo maana mnamuona hafai. Sasa Sufi tunamfata Imam Bukhari. Mawahabi Albani mkatafute hadithi zenu kwasababu hatuna haja ya kusahihishiwa imamu watu. Nyie katufuteni zenu mlizopokea.

    • @darajanida
      @darajanida 2 місяці тому

      towa hoja wacha matusi

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 8 місяців тому +3

    Kuongea tu hujui utafanya kazi aliyofanya sheikh Albani?

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 7 місяців тому

      Hatuwez kufanya Kazi alioifanya Albani kwasababu Dini ilikuwepo ilikamilika kabla Albani na ilikuwa Bora Zaidi ATA asingezaliwa Albani , Kwa kuwa Albani kaleta Dini Mpya ndio maana mmeona kafanya Kazi kubwa

    • @AlhajiMswaki-de3kb
      @AlhajiMswaki-de3kb 5 місяців тому

      Huyo mwanachuon acha ujinga

    • @AhmadRibaat
      @AhmadRibaat 11 днів тому

      @@HilalAlhabsi786 ndiyo hatuwezi kufanya ushetani alofnya Albani sahihi ulichosema, wewe kichaa fikiria kwamba amekosea katika hadithi mia sita, 600, unadhani amepoteza watu wangapi katika hadithi hizo,???

  • @Yayouselim
    @Yayouselim 6 місяців тому +2

    Huu ni utapeli ambao mawahabi wanaufanya , sheikh yup sahihi

    • @IphoneIphone-p8b
      @IphoneIphone-p8b 11 днів тому

      Hebu leteni japo kitabu chenu walau kinalingana na Talhisw kitabu swalah. Masufi si kwamba hawamjui Albany ni zile tabia za watu wenye usulubu tu

  • @ibrahimabdillah5729
    @ibrahimabdillah5729 8 місяців тому

    Kama ww unaweza....Fanya basi Baba

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 7 місяців тому

      Kujeruhi ulamaa Sio Jambo dogo, wala huna jipya la kuhangaika kumkosia Mtume saw Na maswahaba zake

  • @AhmadAbdallah-fo4yv
    @AhmadAbdallah-fo4yv 8 місяців тому +1

    Sheikh umeshiba nn?? unaonaje badala ya sheikh albaan tukueke ww vp hapo?

  • @SalumSeif-w5y
    @SalumSeif-w5y 7 місяців тому

    maskini naona watu wanachuma dhambi kwa kumtukana shekhe wa watu!hata kama hajakuridhisha lakini huna haki ya kumtukana

  • @ZainamavooMavoo
    @ZainamavooMavoo Місяць тому

    Mwamba

  • @SudaisMohamed-hm8to
    @SudaisMohamed-hm8to 8 місяців тому +1

    اتق الله يا صاحب بدعة وقد أحسن من قال من علامة أهل البدعة الوقيعة في أهل الأثر

    • @UwesuJumanne
      @UwesuJumanne 8 місяців тому

      هكذا قال أبو حاتم الرازي رحمه الله تعالى

  • @omarymusa5247
    @omarymusa5247 8 місяців тому +1

    kasome kwanza ndio utajua Alban ni nani!

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      Albani kuliko swahaba na Karne Bora zote hawajui hawa maghurafy kama Albani hakisei ila Mtume Muhammad Saw anakosea

  • @Abuushawkan
    @Abuushawkan 7 місяців тому

    Eeee kumbe hata huyu ni shekh tena....

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up 7 місяців тому +1

    Huyu limefura kama wale ngombe anao kula maulidini

  • @CubeedCali
    @CubeedCali 7 місяців тому

    Musitukane toni dalili

  • @ramadhanomar8093
    @ramadhanomar8093 4 місяці тому

    Umeshiba mpunga mpaka hata maneno hayatoki vizuri

    • @ahmedbadi5822
      @ahmedbadi5822 2 місяці тому

      Wewe NI mbwa hujielewi

    • @ramadhanomar8093
      @ramadhanomar8093 2 місяці тому

      @ahmedbadi5822 acha matusi

    • @ahmedbadi5822
      @ahmedbadi5822 2 місяці тому

      @ramadhanomar8093 hukuona tusi umeona saa hii?? Tusi hujibiwa kwa tusi

    • @ramadhanomar8093
      @ramadhanomar8093 2 місяці тому

      @ahmedbadi5822 wewe una ujinga mwingi ndo unakusumbua

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 8 місяців тому

    NA hakuna Sheikh yeyote wa SUNNAH anayedai kwamba sheikhana AL BAAN ana elimu ya hadithi kuwashinda shaykhaan BUKHARI NA MUSLIM, hayo unayoyasema ewe sufi umeyatoa wapi?

    • @wangnjamealawy3387
      @wangnjamealawy3387 7 місяців тому +2

      Sasa hadithi ilokwsha sahihishwa na Bukhari ina haja gani kuandikwa kwamba ameisahihisha na Albani????
      Hyo maana yake nn??

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 7 місяців тому

      @@wangnjamealawy3387 maana YAKE hawa mawahabi wehu na wamewehuka Kwa uwahabia mpaka UFAHAMU wao umewatoka hawajui hata kinachoongelewa

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 6 місяців тому

    Naona mwajitekenya wenyewe mkicheka

  • @KaramaKarama-jm7qo
    @KaramaKarama-jm7qo 8 місяців тому

    Chunga Sana,ukijifanya mwerevu juwa umekaa na wajinga lakini ile siku utakaa na werevu wenzako wewe ndiye utakuwa mjinga.Nenda kasome mzushi mjinga wa mwisho

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 8 місяців тому

    Nyinyi mawahabi wazuka

  • @KaramaKarama-jm7qo
    @KaramaKarama-jm7qo 8 місяців тому

    Wewe uko na mchezo sana.Natija Kama ni Kama yako mjinga zuzu kufunza wajinga na mazuzu utakuwa sawa.Lakini wenye akili zao wakikuzilikiza wewe,loh ni mjinga.Kasome bana acha kudanganya ummah

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 8 місяців тому

      Kaangalie minakasha yake alikua anawafunrisha masheikh wa kisalafi
      Na wenyewe wanakubari wamekosea kuongea
      Kama hauna nikutumie WHATSAPP

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 7 місяців тому

      @@IbraFareed kwani hawa mawahabi Kama punda TU hawana wanachojua wala hawaelewi Jambo inaburutwa kama mizombi TU😂

  • @rushu1232
    @rushu1232 8 місяців тому

    Wacheni upuzi toeni hoja Albani hawezi msahihisha Bukhari na Muslim huko nikukosa adabu kisha ana ilmu gani yakuwashinda Bukhari na Muslim hiyo ni fitna ya mayahudi.

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому +1

      Aaaaaaaah, Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia 😂. Kumbe hajui Hilo. Kama Shia Imam Ali basi mawahabi Kwa Muhammad ibn Abdul wahabi Ni Zaidi YA Shia.

    • @RamaNassry
      @RamaNassry 8 місяців тому

      HUU NI UNAAFIQ AKHII

    • @rushu1232
      @rushu1232 8 місяців тому +1

      @@RamaNassry kweli kabisa niunafiq mkubwa sana Albani kusahihisha Bukhari na Muslim.

    • @RamaNassry
      @RamaNassry 8 місяців тому

      UNAAFIQ niliomaanisha ni kwenu nyinyi mliosema" Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia"

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 8 місяців тому

      @@RamaNassry ndio mashekh zenu walivyosema, soma kijana. Nikikuuliza makosa ya Mtume saw utanitajia tele. JE UNAJUA JAPO KOSA MOJA LA ALBANI NA MOJA TU LA IBN TAYMIA?!!!

  • @SudaisMohamed-hm8to
    @SudaisMohamed-hm8to 8 місяців тому

    Kale biriani ulale mzushi wewe

  • @Muislamu
    @Muislamu 8 місяців тому

    Ww fadhili ni jahil njoo kw masuni wakufundishe

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 8 місяців тому

    Chuki tu.

  • @mohammedmohsin3186
    @mohammedmohsin3186 7 місяців тому

    Wewe sufi ni jaahil wa mwisho huna maana wewe umechangia nini katika hii dini ... Wadhani kueneza dini ni kupiga matwari na kula biriyani .... Mutakufa na chuki zenu kwa watu wa sunnah

  • @ismailgavara8223
    @ismailgavara8223 8 місяців тому +1

    Huyu jamaa nimjinga kama kilemba chake chaki shia.hata sunna ya funga kilemba maskini hajui kuufata mkumbotu jahl mkumbwa tena basit.tena muraqab

    • @darajanida
      @darajanida 2 місяці тому

      mawahabi bwana kilemba cha kishia kinakuwaje

    • @abdirahman9423
      @abdirahman9423 2 місяці тому

      KWa io kilemba cha sunna chafungwaje … ama vile wasuudi wafunga ndo sunna kwako?

  • @SudaisMohamed-hm8to
    @SudaisMohamed-hm8to 8 місяців тому

    Kale biriani ulale mzushi wewe

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 7 місяців тому

      Mawahabi mnochoyo mpaka Kwa misosi 😂😂😂

  • @SudaisMohamed-hm8to
    @SudaisMohamed-hm8to 8 місяців тому

    Kale biriani ulale mzushi wewe