Kwa kuwa kwako Ni Bora KULIKO imam Bukhari. Kwasababu Imam Bukhari SIO mtu WA Sunna Kama Sisi ndo maana tumemfanya Bora KULIKO Albani. Sijui Kama utafahamu kilichosemwa Kwa chuki yako dhidi YA sufi
Makhurafi mna weza lingana na Albany nyinyi ebu mnitajie mwanachuoni mmoja wnu anaewashinda elimu wanavyuoni wa kisunnah kwanza mmesoma wpi makhurafi wabudu wa makaburi
@@ExcitedCricketHelmet-wr4sq pili tumeongea Albany Na Imam Bukhari, Wewe ukaita maghurafy wanaompinga Albany ila hukusema kuwa anaempinga Imam Bukhari Ni khurafy. Sasa Sisi maghurafy tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko huyu kijana wa juzi Albany. Kwa maana Sisi maghurafy tunaamini swalaf swaleh Imam Bukhari kuliko nyinyi mawahabi ndio maana mnaumia mkisikia tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko Albany. Wewe kwani unafkiri Albany Ni mungu AU?. AU swahaba?. ACHA ushamba sikiliza vizuri
Hatuwez kufanya Kazi alioifanya Albani kwasababu Dini ilikuwepo ilikamilika kabla Albani na ilikuwa Bora Zaidi ATA asingezaliwa Albani , Kwa kuwa Albani kaleta Dini Mpya ndio maana mmeona kafanya Kazi kubwa
Chunga Sana,ukijifanya mwerevu juwa umekaa na wajinga lakini ile siku utakaa na werevu wenzako wewe ndiye utakuwa mjinga.Nenda kasome mzushi mjinga wa mwisho
@@user-bp6fb6wo5u ewe muwahabi mwehu wee, kwani mashekh zenu WA kiwahabia washamtusi mara ngapi Mtume saw. Muhammad ibn Abdul wahabi shekhe lenu kuu la madheheb yenu AMESEMA. Abuu JEHEL anaakili Zaidi kuliko Mtume saw kwasababu Mtume saw mpaka aambiwe na Allah sw. JEE HILO SIO TUSI?!!!
NA hakuna Sheikh yeyote wa SUNNAH anayedai kwamba sheikhana AL BAAN ana elimu ya hadithi kuwashinda shaykhaan BUKHARI NA MUSLIM, hayo unayoyasema ewe sufi umeyatoa wapi?
Wewe uko na mchezo sana.Natija Kama ni Kama yako mjinga zuzu kufunza wajinga na mazuzu utakuwa sawa.Lakini wenye akili zao wakikuzilikiza wewe,loh ni mjinga.Kasome bana acha kudanganya ummah
Wacheni upuzi toeni hoja Albani hawezi msahihisha Bukhari na Muslim huko nikukosa adabu kisha ana ilmu gani yakuwashinda Bukhari na Muslim hiyo ni fitna ya mayahudi.
Aaaaaaaah, Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia 😂. Kumbe hajui Hilo. Kama Shia Imam Ali basi mawahabi Kwa Muhammad ibn Abdul wahabi Ni Zaidi YA Shia.
@@RamaNassry ndio mashekh zenu walivyosema, soma kijana. Nikikuuliza makosa ya Mtume saw utanitajia tele. JE UNAJUA JAPO KOSA MOJA LA ALBANI NA MOJA TU LA IBN TAYMIA?!!!
Wewe sufi ni jaahil wa mwisho huna maana wewe umechangia nini katika hii dini ... Wadhani kueneza dini ni kupiga matwari na kula biriyani .... Mutakufa na chuki zenu kwa watu wa sunnah
Naona mwajitekenya wenyewe mkicheka
Sawa kabisa usemavyo shekh
Huyu limefura kama wale ngombe anao kula maulidini
Andikq
maskini naona watu wanachuma dhambi kwa kumtukana shekhe wa watu!hata kama hajakuridhisha lakini huna haki ya kumtukana
Jina la huyu sheikh
Mwalimu wa dj said
Sheikh fadhil
Eeee kumbe hata huyu ni shekh tena....
Kama ww unaweza....Fanya basi Baba
Kujeruhi ulamaa Sio Jambo dogo, wala huna jipya la kuhangaika kumkosia Mtume saw Na maswahaba zake
Nyinyi mawahabi wazuka
MASUFI NA watu wa BID'A wanachuki kubwa mno na IMAAMU L"muhadith sheikh MUHAMMAD NASURUDIYN AL AL BAAN!
Kwa kuwa kwako Ni Bora KULIKO imam Bukhari. Kwasababu Imam Bukhari SIO mtu WA Sunna Kama Sisi ndo maana tumemfanya Bora KULIKO Albani. Sijui Kama utafahamu kilichosemwa Kwa chuki yako dhidi YA sufi
kasome kwanza ndio utajua Alban ni nani!
Albani kuliko swahaba na Karne Bora zote hawajui hawa maghurafy kama Albani hakisei ila Mtume Muhammad Saw anakosea
Makhurafi mna weza lingana na Albany nyinyi ebu mnitajie mwanachuoni mmoja wnu anaewashinda elimu wanavyuoni wa kisunnah kwanza mmesoma wpi makhurafi wabudu wa makaburi
Imamu shafy Ni Bora KULIKO albani. Wewe unaonaJE?
@@HilalAlhabsi786 kwa akili zenu ndogo mnataka kusema imam shafee ni khurafi hooo kwa ivo alikua akipiga molidi na kuomba maiti cio mko swa kweli
@@ExcitedCricketHelmet-wr4sq kwani Albany Ni dhehebu gani KATIKA Manne ya Ahlusunna?.
@@ExcitedCricketHelmet-wr4sq pili tumeongea Albany Na Imam Bukhari, Wewe ukaita maghurafy wanaompinga Albany ila hukusema kuwa anaempinga Imam Bukhari Ni khurafy. Sasa Sisi maghurafy tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko huyu kijana wa juzi Albany. Kwa maana Sisi maghurafy tunaamini swalaf swaleh Imam Bukhari kuliko nyinyi mawahabi ndio maana mnaumia mkisikia tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko Albany. Wewe kwani unafkiri Albany Ni mungu AU?. AU swahaba?. ACHA ushamba sikiliza vizuri
Mawahabi akili zao finyo
Masufi mnashida
Kwani hapo kaeleza kipi kisichosahihi? acheni porojo za kisiasa katika dini.
Musitukane toni dalili
Kuongea tu hujui utafanya kazi aliyofanya sheikh Albani?
Hatuwez kufanya Kazi alioifanya Albani kwasababu Dini ilikuwepo ilikamilika kabla Albani na ilikuwa Bora Zaidi ATA asingezaliwa Albani , Kwa kuwa Albani kaleta Dini Mpya ndio maana mmeona kafanya Kazi kubwa
Chunga Sana,ukijifanya mwerevu juwa umekaa na wajinga lakini ile siku utakaa na werevu wenzako wewe ndiye utakuwa mjinga.Nenda kasome mzushi mjinga wa mwisho
Baba na mama yko wameswahihish Hadith gn ??
Imam Bukhari SIO MTU wa Sunna ndo maana mnamuona hafai. Sasa Sufi tunamfata Imam Bukhari. Mawahabi Albani mkatafute hadithi zenu kwasababu hatuna haja ya kusahihishiwa imamu watu. Nyie katufuteni zenu mlizopokea.
Sheikh umeshiba nn?? unaonaje badala ya sheikh albaan tukueke ww vp hapo?
Wadanganye wazuzu wenzako hao. Manake wewe mwenyewe hujuwi kuswali nimeswali nawewe wazungusha macho yako gengeza mpaka juu. Mwanzo juwa kuswali mwenyechuuu
mawahabi mnatahasubi sana kwasababu bohari na albani wapi na wapi
@@YaziduIddy Yaani hapo angepondwa Mtume Muhammad Saw wangetulia Kimya, lakini Albany umechokoza nyuki. KULIKO Aly Kwa mashia.
@@HilalAlhabsi786 jaribu kumponda mtume wetu swalla llahu aleihi wasallam utajua hujui mjinga wewe!!! Kumbe makhurafi mnapanga pia kumtukana mtume swalla llahu aleihi wasallam!!! Wajinga wakubwa nyinyi!!! Mnaanza na ulamaa wa sunna mkielekea kwa mtume, mumekosa adabu nyinyi....
@@user-bp6fb6wo5u ewe muwahabi mwehu wee, kwani mashekh zenu WA kiwahabia washamtusi mara ngapi Mtume saw. Muhammad ibn Abdul wahabi shekhe lenu kuu la madheheb yenu AMESEMA. Abuu JEHEL anaakili Zaidi kuliko Mtume saw kwasababu Mtume saw mpaka aambiwe na Allah sw. JEE HILO SIO TUSI?!!!
Ww fadhili ni jahil njoo kw masuni wakufundishe
HASAD INAKUTAFUNA EWE SUFI ALLAH HUMNYANYUA AMTAKAE
Hahahahaha albani kwa bukhar ni sawa na mtoto wa darasa la 1 au 2 kumsahihisha mwalimu wake
NA hakuna Sheikh yeyote wa SUNNAH anayedai kwamba sheikhana AL BAAN ana elimu ya hadithi kuwashinda shaykhaan BUKHARI NA MUSLIM, hayo unayoyasema ewe sufi umeyatoa wapi?
Sasa hadithi ilokwsha sahihishwa na Bukhari ina haja gani kuandikwa kwamba ameisahihisha na Albani????
Hyo maana yake nn??
@@wangnjamealawy3387 maana YAKE hawa mawahabi wehu na wamewehuka Kwa uwahabia mpaka UFAHAMU wao umewatoka hawajui hata kinachoongelewa
اتق الله يا صاحب بدعة وقد أحسن من قال من علامة أهل البدعة الوقيعة في أهل الأثر
هكذا قال أبو حاتم الرازي رحمه الله تعالى
Kale biriani ulale mzushi wewe
Wewe uko na mchezo sana.Natija Kama ni Kama yako mjinga zuzu kufunza wajinga na mazuzu utakuwa sawa.Lakini wenye akili zao wakikuzilikiza wewe,loh ni mjinga.Kasome bana acha kudanganya ummah
Kaangalie minakasha yake alikua anawafunrisha masheikh wa kisalafi
Na wenyewe wanakubari wamekosea kuongea
Kama hauna nikutumie WHATSAPP
@@IbraFareed kwani hawa mawahabi Kama punda TU hawana wanachojua wala hawaelewi Jambo inaburutwa kama mizombi TU😂
Huyu jamaa nimjinga kama kilemba chake chaki shia.hata sunna ya funga kilemba maskini hajui kuufata mkumbotu jahl mkumbwa tena basit.tena muraqab
Wacheni upuzi toeni hoja Albani hawezi msahihisha Bukhari na Muslim huko nikukosa adabu kisha ana ilmu gani yakuwashinda Bukhari na Muslim hiyo ni fitna ya mayahudi.
Aaaaaaaah, Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia 😂. Kumbe hajui Hilo. Kama Shia Imam Ali basi mawahabi Kwa Muhammad ibn Abdul wahabi Ni Zaidi YA Shia.
HUU NI UNAAFIQ AKHII
@@RamaNassry kweli kabisa niunafiq mkubwa sana Albani kusahihisha Bukhari na Muslim.
UNAAFIQ niliomaanisha ni kwenu nyinyi mliosema" Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia"
@@RamaNassry ndio mashekh zenu walivyosema, soma kijana. Nikikuuliza makosa ya Mtume saw utanitajia tele. JE UNAJUA JAPO KOSA MOJA LA ALBANI NA MOJA TU LA IBN TAYMIA?!!!
Wewe sufi ni jaahil wa mwisho huna maana wewe umechangia nini katika hii dini ... Wadhani kueneza dini ni kupiga matwari na kula biriyani .... Mutakufa na chuki zenu kwa watu wa sunnah
Chuki tu.
Kale biriani ulale mzushi wewe
Kale biriani ulale mzushi wewe
Mawahabi mnochoyo mpaka Kwa misosi 😂😂😂