swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 118

  • @user-pb2yu8dk9r
    @user-pb2yu8dk9r 3 місяці тому +2

    Alhamdulila Ustadth Said una utaratibu na utulivu kwa kukuilimisha MASHAA ALLAH

  • @yasinitwaha3192
    @yasinitwaha3192 10 місяців тому +10

    Huy ustadh said ni shida nampeda sana

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu 10 місяців тому +5

    Baarakka allah shekh bachu allah akuhifadhi uzidi kubainisha haki mm nilikua mtu wa maulidi nimetoka kwani nimeona hawezi kutetea maulidi kwa hoja niwazee wa kukwepa2

    • @shilingi-Ahmadi
      @shilingi-Ahmadi 10 місяців тому

      Hahahahahahah 😂😂😂😂mwenye haki ajikojolea

    • @blazeking2331
      @blazeking2331 9 місяців тому +1

      @@shilingi-Ahmadipima ujuwe ukweli hii ni dunia ya utandawazi

    • @user-nh2wt4yd7w
      @user-nh2wt4yd7w 9 місяців тому +2

      ​@@shilingi-AhmadiAlokojowa ni babako

    • @AbdulkariimBeda
      @AbdulkariimBeda 8 місяців тому +3

      Kapige ngoma said acheni ushirikina

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 5 місяців тому

      Inauma lakini ndo dawa poleni miwahabi

  • @user-qb9yc7ek2i
    @user-qb9yc7ek2i 6 місяців тому +2

    I wish bachu 2 kam Tena atoe matapeli wa kuvaa kanzu na kofia pamoja na matwari na pepo wanayo mfukoni

  • @user-dp1dj8ti6h
    @user-dp1dj8ti6h 5 місяців тому +2

    Bacho kanyonye maana bado hujakua

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM День тому

    Mwanazuoni au jitu la bidaa

  • @khamisdoka107
    @khamisdoka107 6 місяців тому +4

    Ustadh Said looked so clueless in the whole debate, acted in a disingenuous manner and engaged in strawman argument. May Allah (SWT) bless Sheikh Bachu.

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 2 місяці тому

      Where are you akhy

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 5 місяців тому +3

    Wapumbavu na wajinga wakubwa, njooni tena mujaribu eti munataka mjadala na wasomi mtajinyea hadharani masufi wa ovyo nyie

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 місяців тому +2

    Nakupend shekh umetutulizia. Mtu

    • @Maher-zp5fi
      @Maher-zp5fi Місяць тому

      Huyu ni shekhe gani wa kupiga mananda na gitaa acheni upuzi banah hawako sawa hata siku moja

  • @jumabinabeid5778
    @jumabinabeid5778 8 місяців тому +4

    Dah! Mashekh sijui wakipata nn katika haya maulid mpak wayalinde hivi ni kwel unafuata ya mashekh zako kuliko muongozo alioletewa mtume muhammad swalallah alayh wasalam hakikutoshi ukiengeza jambo katika dini ya kiislam jua ww unasema mtume muhammad swalallah alayh wasalam hajui ww muongezaji ndio wajua zaid ya yake

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 5 місяців тому

      Na huo Ndio umbumbumbu wako hatukulaumu

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 2 місяці тому

      ​@@MuhidiniNassorAcha mbwembwe wewee. Mche Mola wako

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM День тому

    Jitu la bidaa auna uanachuon wowote

  • @irshadabuhafsi6585
    @irshadabuhafsi6585 Місяць тому

    Ukishindiana na mjinga lazma akushinde ndio hii sasa. Huyu hana elimu na hajijui kama hana elimu Bachu hawezi kushindana na watu wasiokuwa na elimu

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u Місяць тому

    BACHU MAKOJO KAONA MBALI KUKIMBIA MDAHALO MAANA ANGEJINYEA

    • @mohammedmasudi-dz6hb
      @mohammedmasudi-dz6hb Місяць тому

      UNATOA USHAHIDI WA UWONGO UKISIMAMISHWA NA ALLAH UTOE USHAHIDI MBELE YA MOLA WAKO JE UNALO LAKUMJIBU MOLA WAKO?

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd 2 дні тому

    bachu nimbumbumbu

  • @musakibwana4596
    @musakibwana4596 9 місяців тому +1

    Kiboko ya bachu. Mafidhuli, Jeury, Viburi, Kujitukuza na kujitia peponi wenzao motoni. Kimnya leo kikomo!!!!!

  • @asifznz
    @asifznz 10 місяців тому +4

    Hajakimbia bachoo kakimbia huyo mpiga kinanda hoja hatamoja hajajibu masaa 2 ,bachoo kauliza kwenye barzanji kunauongo kibao ,sasa thibitisheni hakuna ,hawamkujibu badala yake huyo said kasema wewe unasema barzanji mwongo bachoo kasema ndani ya kitabu cha BARZANJI KUNA UWONGO KIBAO NA KWELI KUNA UWONGO KIBAOOOOOOOOOII😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @naimasheikh3055
      @naimasheikh3055 10 місяців тому

      Sasa kitabu kitakuwa uongo na aloandika asiwe mrongo. Kasome kijana. Bachu ameshindwa kujibu suali. Angekuwa amejibu tu sijui akaona jawabu kutoka kwa said zitakuwa vp. Lkn ana kibri sana hata bila kujua kuwa kusema sijui simakosa kielimu bali ni kunufaika na kuongeza ilimu kwa kupata maelezo mapya au kuongeza kwa unayo jua. Yeye ndio amekosesha watu fursa ya kupata ilimu. Maana agesema tu sijui. Imma angeweza kumshika said kwa maneno yake au angeshikwa yeye

    • @mkude
      @mkude 10 місяців тому

      ​​@@naimasheikh3055Bachu yupo sahihi amethibitisha uongo ndani ya kitabu Cha barzanji Said anataka ajibuwe ulamaa gani anasema mtu muongo.bachu amesema hakuna ulamaa anaemjadili mtu bali wanajadili kilichoandikwa.hapa ni usanii tu wa kukwepana hakuna lolote.

    • @mrishopoyo26
      @mrishopoyo26 10 місяців тому +1

      Swali gani hilo huo ni upumbavu

    • @mrishopoyo26
      @mrishopoyo26 10 місяців тому +3

      Nimekupenda mtazamo wa bachu kaonyesha usomi wa hali ya juu. Sio huyo Said anajaribu kubana swali pasipo kuwa na mantiki na utaratibu wa mjadala

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 9 місяців тому

      Waislamu tunamacho na tumeona aliokimbia, usishereheshe uwongo, hakuna majaaz Leo ni KIPONDO tuu.

  • @user-ig2td7kk6c
    @user-ig2td7kk6c 7 місяців тому +1

    Uyi sheh mchuz kwel..hamtomueza bachu man yy yup ktk haki nyiny mnaporoja tu

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @willysospeter9270
    @willysospeter9270 Місяць тому

    Mada ni Uongo ktk Barzanji sio Wanazuoni wanasemaje kuhusu maneno ya uongo. Kumbe Makhulafi mko wengi.

  • @mohdkhamis257
    @mohdkhamis257 9 місяців тому +1

    Huyo ustadh said ni msanii tu maana mwenye elimu hapigi twari la mziki

    • @Salimsaid-nk1qv
      @Salimsaid-nk1qv 4 місяці тому

      Sawasawa

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @user-qb9yc7ek2i
    @user-qb9yc7ek2i 6 місяців тому

    Tia akilii usitupake rangi saidi tumejua niwapi wafuatao ile ALLAH KASEMA, MTUMEKASEMA, na jopo lenu la kuna ubaya ganiii, hakina neno fanya tu, my friend tumepata ufahamu mkubwa, tumejua barzanji and story zake

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y 9 місяців тому +2

    Kutumia hadithi munkar katika historia ya mtu mtukufu Kama mtume haifai,,labda kwa masufi Kama nyinyi

    • @musakibwana4596
      @musakibwana4596 9 місяців тому

      mumepea nafasi mutoe hadhiti iunge hojan yenu ZII, hamuna lugha za msubua Bachu katiwa shule leo. Ajifunze hsima, eti kumi bora, hata balagha hana masikini

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      @@musakibwana4596 MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 4 місяці тому +4

    kakimbia kakuona ww huna elimu na huelewi maana unataka ushahidi gani wakati hicho kitabu chake ww ushakisoma na kina maneno ya uongo, barzanji mwenyewe kashathibisha kwenye kitabu,au ulitaka mpaka hadithi ya mtume?hebu tumia akili yako ushahidi kashautoa sheikh barzanji ktk kitabu

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

    • @jamalabdillahi3575
      @jamalabdillahi3575 2 місяці тому

      Huyu jamaa ni mtupuu...Bachuu Yuko juu

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor Місяць тому

      ​@@jamalabdillahi3575juu ya bati

  • @user-jk7sm1dl7p
    @user-jk7sm1dl7p 3 місяці тому +2

    Umefunga na Wewe uko kwenye bidah

  • @user-bu4sj4tv6l
    @user-bu4sj4tv6l 3 місяці тому

    Nyinyi watanzania Dini ya kiislam mumeifanya Simba na yanga Allah awaongoze 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu 10 місяців тому +2

    Bachu anashindwa na wajinga2 kama hawa ambao hawana elimu ndio maana wenye elimu walitoka wakawaacha wajiga na ujinga wao kashidwa kutetea bas hata moja

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @HasnaaAli-rc8nw
    @HasnaaAli-rc8nw 9 місяців тому +1

    Siku moja utakiri unakosea kuzua urongo
    Utakaa hapohapo maana elimu ulo nayo na ya vinanda tu huna jipya
    Wewe mbona hukujibu siku zote debe tupu haliachi kupiga kelele

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @mohamedswalehe4442
    @mohamedswalehe4442 2 місяці тому

    Huyu nimwamba bwana kijana mdogo Ustdh سعيد

  • @kumbukatv6506
    @kumbukatv6506 10 місяців тому

    Wasoma barzanji wote hamuna huja ju ya maneno ya sheykh jafari,

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y 9 місяців тому +2

    Hapo hajakimbia Ila wewe ulikuwa ynapoteza muda kwa kunga,,'ngania swali ambalo sisi wasikilizaji hatukupata faida yoyote kuwa barazanji cio ushirikina Wala uwongo,Ila barazanji ndani yake mna ushirikina na uwongo'kama sivyo wew thibitisha kwamba hakuna ushirikina Wala uwongo,yeye amesha thibitisha kwa hoja na tumemuelewa amesema kweli,wewe Bado hujathibitisha

    • @sadaali3207
      @sadaali3207 9 місяців тому +1

      Kisha wanajiona ni washindi. Imagine mimi nilikuwa ni mtu wa maulidi, but sasa maelezo ya bhachu nimeyaelewa. Nilikuwa na expect ataeleza na sisi tuelewe.

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 5 місяців тому

      ​@@sadaali3207wapo waislamu husema wameuona ukweli upo kwa yesu na huritadi wewe huna maajabu

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u Місяць тому

    SWALI MOJA TU BACHU KAJIKOJOLEA LAPILI SIJUI INGEKUWAJE😂

    • @mohammedmasudi-dz6hb
      @mohammedmasudi-dz6hb Місяць тому

      UNATOA USHAHIDI WA UWONGO UKISIMAMISHWA NA ALLAH UTOE USHAHIDI JE UNALO LAKUMJIBU MOLA WAKO?

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 6 місяців тому +1

    Mpumbavu tu huyu kijana wa bachu

  • @islamswaleh5185
    @islamswaleh5185 2 місяці тому +1

    DJ

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 4 місяці тому +1

    Ww huna akili VP unapewa ushekhe? VP unakataa kama barzanji si muongo wakati mambo aliyoyaandika kwenye kitabu si ya kweli ,mfano barzanji kwenye kitabu chake anasema wakati mimba ya mtume ilivyoingia wanyama waliongea mbona hii mtume mwenyewe hajatuambia ,kama barzanji si muongo hayo maneno kayatoa wapi?,na anasema wakati mtume anazaliwa alihudhuria mariam bint imran na Asya pia

    • @ABUUALLY-tv8rl
      @ABUUALLY-tv8rl 4 місяці тому

      Acha kuandika porojoo Lete andiko linalodhibitisha uwongo wa barzanji ? Alafu kuongeaa Kwa wanyama la ajabu ni lipii kwahiyoo wewe unakataa kwamba wanyama hawaongei ? Na wakati qur Ani inasema kwamba wanyama wnaongea! Tatizo lenu nyinyi mawahabii kusoma hamutakii mumejaa ujingaa tuuu😂😂

    • @Salimsaid-nk1qv
      @Salimsaid-nk1qv 4 місяці тому

      @@ABUUALLY-tv8rl Tatizo yy barzanji katoa wapi kama wanyama waliongea ?wakati mtume mwenyewe wala mamake hawakusema,pia anasema wakati anazaliwa mtume mariam na asya mke wa firauni walihudhuria,je hapo VP au munakaririshwa,tuambie mtume alizaliwa mwaka gani?

    • @abouswaleh7375
      @abouswaleh7375 2 місяці тому

      ​@@ABUUALLY-tv8rlHUJIELEWI WEWE MPAKA WAJINGA WANAELEWA WAKIAMBIWA WALETE MANENO YA MTUME WETU JUU YA YEYE KUJITHIBITISHIA KUWA MIMBA YAKE WANYAMA WALIONGEA....NAAAM MSILETE PROPAGANDA LETENI HADITHI

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir3926 10 місяців тому +1

    Elimu gani umewaangusha watu wa mtwari waambie wanafunzi ukwely juu ya maneno ya barzanji

  • @user-hf4pb7wi1j
    @user-hf4pb7wi1j 3 місяці тому

    Wewe huna elimu umeshindwa kutetea maulid

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv 4 місяці тому +1

    Mbona maswahaba hawakufanya hicho unachokitetea ?

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      Wanazuoni wamesema mtu asiekuwa na elimu husema maneno haya

  • @habibmohd8008
    @habibmohd8008 8 місяців тому +1

    Hapana swali apo

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @mohdkhamis257
    @mohdkhamis257 9 місяців тому

    Mimi naona wote wanaofanya mjadala hawana elimu huyo bachu hajui jambo na huyo ustadh said na yeye bado maana mtu mwenye elimu hapigi twari la mziki wote majaahil

    • @ShurayfuHamis
      @ShurayfuHamis 7 місяців тому

      Pole sana kwakutukana taka msamaha kwa Allah

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
    @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 8 днів тому

    Acha upuuz wako Kila kukicha huna jipya mtandaoni Kila siku waja na mambo Yale Yale ya zamani tu Kila Leo ni mijadala ya kupambana na bachu inamaana huko kusoma kwako umemsoma bachu? Ifikie wakati ujifunz kufikisha ujumbe wa elimu sahih kwa jamii, watu wapate elimu na inafahamika kabisa waislam ni Wachache wenye kuijua dini Yao alaf unakuta waislam Wachache waliokula ugali na kushiba wapo kweny mabishano na kukosoana kwanin msianzishe hata madarassa online kama kwer mmesoma dini? Mpo na magroup mangapi ya Whatsapp ya kufundisha dini juu ya kile mlichokisoma? Kwann mnashindwa na Malaya wa mitandaoni Wana hadi magroup Yao yanazagaa tu mitandaoni wanatangaza uchafu wao nyiny mpo kweny malumbano tu ya kile msichikijua Hali ya kuwa mnajifanya mnajua kumbe hamna kitu

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 7 місяців тому +1

    Wewe twarika swali kwako mtume kaandika kitabu gani?

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @masudbasra566
    @masudbasra566 3 місяці тому

    Huna chochote unachokijua zuga tuu elimu nikutowa ufafanuzi sio ubishani

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      MUNAQASHA ulikua LIVE kalibia wote tumeuona, NATUSIWE WAZITO kwenye kuelewa,
      SWALI ulouliza kabla hatujakujibu cha kwanza tunakuuliza JE MUNAQASHA UMEUONA WOTE au umeangalia baadhi ya maeneo
      Maana kama ungeona munaqasha wote USINGEULIZA HILI SWALI ?
      Nakupa Highlight:
      Ustadhi bachu alikua wakwanza kuuliza swali lake lilosema kitabu cha barazanji kimeonyesha WANYAMA WALIONGEA JUU YA KUTUNGWA KWA MIMBA YA MTUME SAW, Je Kuna dalili Gani ya hadithi au Aya kuwa wanyama walizungumza? hapo hapo akaongezea kuwa najua hadith unayoitegemea ni MUNKAR
      Ustadh said akafanya تخريج kweli hiyo hadith ni munkar ninayoitegemea
      AKAAMBIWA ATOE HIYO HADITH WAKATI KASHAIFANYIA تخريج hapa kama una elimu ya hadith angalau kidogo utajua nani akaingia kwenye MAMBO ASIOKUA NA ELIMU NAYO na ndo tunaona ﻣُﺸﻜِﻠَﺔ.
      Sheikh kashafanya تخريج tena unamwambia atoe hiyo hadith, Brother lau ungejua تخريج ni nini usingesema atoe tena hadith HII IMEONYESHA UCHACHE WA ELIMU KWA UPANDE MWINGINE AU HAWAKUELEWA MAANA YA تخريج
      Ndo mana Ustadhi Saidi alikua anamfundisha maana ya تخريج ni nini na Tija ya تخريج ni ipi?
      Akamwambia ushatoa Tija ya تخريج ungekua sheikh Bachu hujui تخريج ya hii hadith ungenyamaza
      Kilma ashakitaja sheikh bachu tena akamuuliza
      BAADA YA MALUMBANO Ustadh said akaamua atoe hadithi inayothibitisha kuongea kwa wanyama, Ustadhi Bachu alijibu kuwa hio hadithi ni munkar
      Ustadh said akamuuliza je Hadith hii ni UONGO KUTOKANA IPO KWENYE KIGAWANYO CHA MUNKAR… na akasema kama ni UONGO
      JE itifaqi Gani ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث waliosema mtu akitumia hadithi munkar huitwa muongo au KILE KITABU HUITWA UONGO AU YALE MANENO HUITWA NI UONGO ?
      swali lake lili gusa MTU, MUANDISHI, KITABU AU YALE MANENO YALOTOKA KWENYE HADITH DHAIF HUITWA NI UONGO maana NDUGU YETU VIDEO CLIP ZAKE ZOTE HUSEMA HAYA MANENO NI YA UONGO)
      SWAlI HALIJAJIBIKA MPAKA LEO HII, na sheikh akaamua KUNYANYUKA NA KUONDOKA
      Kilichotakiwa hapo Ustadhi Saidi atoe hadith na katoa hadith na ameonyesha anajua isnad na matin mpaka kakubali ni MUNKAR.
      Sheikh bachu ALITAKIWA APINGE ILE HADITH ILOTOLEWA NI UONGO Kama anavosemaga KUWA HAYA MANENO NI UONGO
      SASA UKITUAMBIA TUKUPE HADITH
      ISHATOLEWA LABDA HUKUANGALIA MUNAQASHA KILICHOBAKI SISI UTUAMBIE WANAZUONI WA ELIMU YA HADITH WAMEIONGELEAJE HIYO HADITH??
      Sio maoni yako ila tunaangalia maoni ya wanazuoni wa
      ‎مصطلح الحديث

  • @OsmanAli-zb3tu
    @OsmanAli-zb3tu 7 місяців тому

    ua-cam.com/video/3_PKJNEPDHM/v-deo.htmlsi=wB2UoRBlBIhRGuv9
    Uovu wa mawahabi wathibitishwa

  • @hassanmussa2859
    @hassanmussa2859 6 місяців тому +2

    Ita mjadala mwengine bachu ugaragizwe tena

  • @kumbukatv6506
    @kumbukatv6506 10 місяців тому +2

    Pia tizameni gisi munatupitisheya mda sheykh wenu Saidi... Oh mm nabaki tu pale pale tu na swali langu, elimu ya bacho ame wazidi 😂

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 10 місяців тому +2

    Saidi alikimbia hoja za sheikh Muhammad bachu kiujanja

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 9 місяців тому

      6aliokimbia kaonekana, usitufanye vipofu kwa uwahabia wako na hali tunayo macho

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 місяців тому +2

    Unakimbiaje. Kwenye mujadala. Aibu hii bachu

    • @blazeking2331
      @blazeking2331 9 місяців тому +2

      Sasa ulikiwa wataka aendelee kukuaa na wajinga nae awe mjinga kukaa hapo ni kama kushindana na ng’ombe

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 9 місяців тому

      @@blazeking2331 hawezi kukaa mazali suali linamshinda arudi tu kwao akamuulize walii 🐆.

  • @sadambakari2579
    @sadambakari2579 10 місяців тому +1

    Kwa wenye ilimu bachu kajibiwa hoja zote kwaswali lake moja tu maanake barazanj ni sira zamtume pamoja na hadith, sasa kama keshajua hizi nihadith munkar ndio kaulizwa wanawachuoni waliotumia katka vitabu vyao hadith munkar niwaongo au vitabu vyao niurongo? Simple question hapo akatafuta mlango wakutoka mombasa

  • @mohdkhamis257
    @mohdkhamis257 9 місяців тому +1

    Kisha anafanya mjadala aende akapige ngoma ndio mambo yake hayo

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 місяців тому +1

    Yeye angejibu tu sijui

  • @Shafiy-gb9wr
    @Shafiy-gb9wr 4 місяці тому +1

    Bachu kasome tena njoo nikusomeshe

  • @RayRey-ji1em
    @RayRey-ji1em 10 місяців тому +1

    BACHO UMETUANGUSHA SANA KUMBE UMEBANWA HADI UMEKOJOA KWA KTI😢😢😢😢😢

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 10 місяців тому +2

      maneno yako yamehifaziwa utakuja kuyakuta utakapo kutana na mola wako

    • @AhmadMassoud-pp8qz
      @AhmadMassoud-pp8qz 10 місяців тому

      And you too

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 5 місяців тому

      ​@@jumamahmoud9271wewe yako unahifadhi mwenyewe

    • @ABUUALLY-tv8rl
      @ABUUALLY-tv8rl 4 місяці тому

      ​@@jumamahmoud9271😂😂😂😂 mawahabii wanavituko nyinyi munotukana masheikh wa waislamu wenzenu mupoo sawa Wala hamutoulizwaa ? Akiambiwa bachu kakojoa mumekaairika 😂😂😂

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 7 місяців тому +1

    Mpumbavu mnatetea batili bachu sio kashindwa kaona upumbavu wenu umefika mahala hata haupimiki

    • @MuhidiniNassor
      @MuhidiniNassor 5 місяців тому

      Mpumbavu ni yule lilomshinda suala Moja tu na kusema hajui hawezi

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw 10 місяців тому +1

    Aibu hii bachu

  • @user-vd6bc2qn9h
    @user-vd6bc2qn9h 10 місяців тому +2

    Mjinga sana bachu Kai PATA pata

    • @user-ig2td7kk6c
      @user-ig2td7kk6c 7 місяців тому +1

      Mjinga ww na ao wenzio munacheza cheza et mwamsif mtume

  • @hassanmussa2859
    @hassanmussa2859 6 місяців тому +3

    Bachu wazuzue mazuzu wenzako tuuh sio

  • @user-ks4hh8jb6k
    @user-ks4hh8jb6k 3 місяці тому +3

    Pointi ni moja tu kama uislamu umekuja kwa mtume na maswahaba zake na hawakuwahi kufanya hayo ya maulidi hizi bla blaa zingine zinatoka wapi kwa hiyo unataka kusema wewe una elimu kuliko wema waliokutangulia ?Muislamu yeyote anayejielewa jibu analo

    • @omaryfiqh2906
      @omaryfiqh2906 3 місяці тому

      Pole

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 Місяць тому

      UMEKARIRISHWA TU
      KWANI AINA ZA MAPOKEZI KUTOKA KWA MTUME S.A.W ZIMEKUJA KWA NJIA NGAPI?,

    • @user-ks4hh8jb6k
      @user-ks4hh8jb6k Місяць тому

      @@mussaissa6796 lete hadithi moja tu kuwa mtume aliyafanya hayo kama unasema kweli