Kiufupi nakupenda sna Muhammad bachu kwa ajili ya Allah,Allah akuzidishie elmu uzidi kuutoa Ummat muhammad kwnye Giza hata km watu wanakuchukia ila chuki zao zisikufanye ukarud nyuma katka kuuelimsha umma wa Kiislamu,Allah ndie anaejua yaliomo Moyoni mwako.
Mimi namuunga mkono baba aliye mzaa yeye Allah amrehemu shekhe Nassoro Abdallah Bachu alikuwa mwenye msimamo sana pia hakuwa na ugomvi na watu ila mwanae huyu Allah amuongoze anafanya vizuri ila ugomvi sio mzuri baba yake hakuwa ivyo nimemsikiliza sana shekhe Nassoro bachu lakini sijaona mambo ya hivi sasa
@@aswabikimaro3033suluhu la yote hayo ni kujisalimisha kwa Yesu Kristo pekee. Kwa jina lake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni BWANA (Mungu). ..wanaopinga hili ipo siku wataungama
@@celestinshayo7295 Uislam una sheria zake muhimu kusoma Quran na kuifuata,na nyie huko kanisani kumejaa mapepo kila siku yanatolewa mbona hayeshi? Majini pia kanisani yamejaa na nguvu za kiza zimejaa muhimu ni kuslimu na kusoma Quran tu na kufata sheria zote.
Muhammad Bachu ALLAH azidi kukuongoza katika uadilifu na akujaalie kheri Duniani na Akhera. Nimejifunza mengi sana kupitia darasa zako tofauti tofauti.
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mema kwa kutuelimisha katika jambo hili. Naomba nitoe ushauri. Kama itawezekana, angalia uwezekano wa kuandika kitabu kitakacho husu suala hili. Kitabu hicho kitumie lugha nyepesi pamoja na mifano iliyo hai ili Muislamu wa kawaida aweze kunufaika. Kwa uwezo wa Allah, huenda jambo hilo likatoa manufaa makubwa zaidi kwa vizazi vijavyo. Nasema hivyo kwa sababu, ikiwa hata Baba Kiruwasha anahalalisha kutumia Majinn, ujuwe kuwa hali si nzuri kwa Waislamu wengi ambao hawana ufahamu na elimu kama alivyo jaaliwa Baba Kiruwasha.
Hata kwa mtu hajasoma experience tu ya maisha ......ukisha likubali jini litakupa shartiiiii itabidii utiiiiii .....wakati wakkumtiii ni Mola wetu pekeee yaa Rab tuepushe na shirk ndogo ndogo na kubwa kubwa
Wallah sheikh huko mwisho nimekuelewa vzr sana tena mno ila je kw mtu wa kisalafii ambae anafata sunna je huyo anaweza kupata jini mwema akamsaidia bila ya mafungamano yyte kw hofu ya kumuogopa mungu?
Isitoshe tu kukwambia,,,#Tunakupenda kwa ajil ya #Allah bal ww ni kioo cha jamii unayefaa kuigwa na Masheikh wengin. Allah #akuhifadh na akupe umri mrefu wenye manufaa.
Ni meamini kweli Mohammed sws alisema kweli,aliomba Dua Kwa Allah Dua tatu mbili zikakubaliwa Ila hii Allah alikata kuwa vita baina ya waslam Kwa waslam,Dio hii Ndung'u zangu tuombeni tomba Kwa Allah Ni al Rahman rahmu
Mbaya zaidi midahalo ya Dr sule nawa. Christo .......halafu hilo ndo tusi lawa christo kwa sisi wa islam ........mumpige vita kabisa Sule onesheni ukweliii
Tumenufaika wengi kama ni wabishi tutawageuza ubao wa kusomea wao wabaki na misimamo yao kama wataamua kufuata matamanio ya nafsi zao. haki imekuja batil imejitenga.
Mm nna jiuliza hv maana halisi ya uhsirikiana ni nn swali la kwanza swali la pili ikiwa sisi binadam tuna ajiri na kuajiriwa ktk makazi ya watu na kupata pesa yani mishahara ss je uharamu wa mtu kumtumia au kumtuma jini ktk kazi zake huo uharam ni upi??
Hili fala hata alieleweki et shekh nae,,,thibitisha hayo madhara tuyaone kenge wee unazunguks jibu huna njoo usomeshwe huna elimu ya mungu wala humjui mungu
حفظك الله يا ابن باشوا وأطال عمرك في خير ورزقك الإخلاص في القول والعمل وأسأل الله برحمته الواسعة أن يجمعنا في فردوس الأعلى مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
Allah anasema " jisaidieni katika mambo yenu kwa kusubiri na kuswali hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri. Sio kutaka msaada kwa majini . Swala na subira
Nimekuelewa mia fil mia shehe. Nafurahia kuongozwa na Allah nikaingia kwenye dini ya haki. Kwenye ukristo hakuna mijadala,huko ni imani potofu. Allah atuzidishie ufahamu na Insha Allah umauti utupate tukiwa waislamu.
Nimekupenda sana kama enzi za utoto wangu nilivyokuwa nampenda Marehem Baba yako Allah s.w amuhifadhi. Ahsante sana kwa kutumia hivyo vitabu kuvunja hoja yao, lakini mimi Binafsi nilishalikataa hilo na kuwa kinyume na Witch Dr. Sule mapemaaaaaaa kwa aya tu za Quran na ufahamu wa jumla lakini pia hii inaonesha wengi katika wale wanaoitwa mashekh hawaijui Dini na ni hatari sana hawa kwa Mustakbali wa Uislam na Waislam na jamii kwa ujumla maana sio tu ushirikina wao lakini pia wanasambaza mafunzo yasiyo sawasawa katika dini yetu
Sasa kama kumuabudu Allah na majini wako wanao muabudu Allah ambao ni waisilamu kama ww na wale wanao mshirikisha Allah niwale majini wabaya na hata binadamu kunao wema na wabaya utapata binadamu anamroga mwenzake atamtua huyo huyo jini na utapa binadamu mwengine anamtibu huyo aliyerogwa kupitia quran na pia aweza mtuma jini yule mwema kuchukua madawa msituni ambapo ww binadamu ukitumwa huwezi zipata dawa zengine
Ukiskiya back to back sasa ndohii yaani raha juu ya raha mashekh acheni kujifungiya navitabu tu vyumbani mwenu amkeni muje kuelimisha jamii,jamii inateketeya mashekh zangu .pwent yao kubwa utaskiya Nabii suleiman alitumiya majini nisawa ilakumbuka suleiman tumeambiwa tumuamini hatujaambiwa tumfuate. jaman hili ni balaaa shekh bachu Allah akubarik
Ndio zake huyo bachu Hana cha maana. Ukimswalia mtume kwake bidaa. Ukimpiga maulidi kwake bidaa kusoma wasilatu shafii kakwe NI bidaa sasa anataka tumfuate yeye
@@AbdulAbeldi-km4po wapi alisema kumswaliya mtume ni bidaaa sasa ww wapi kuna dalili maulidi ni ibada, hapa tuko kwenye darsa za majini ww unakuja na maulid mbona kimekuumeni sana bachu kuisema maulidi basi ww kaa hadharani funguwa vitabu uwaambiye watu maulidi ni ibada kwadalili hii nahii nahii kama yeye bachu anavyo kuonesha kitabu andiko hadi andiko usilalamike upenuni njoo hadharani. halafu muache kurukiya mada hapa tuko na darsa za majini maulidi sisehem yake mjomba
@@AbdulAbeldi-km4po Hata mfalme namrudha alibisha na nabii Ibrahim nahaki ikapatikana sasa ww ikiwa hautaki kubishana basi umtupu ktk dini jee utaweza kubishana na mkiristo kimaandiko ww ikiwa ww mwenyew unajiogopa
Hii wiki na enjoy sana alhamdullilah 😂😂...jamani tuanzisheni kampeni ya kumchangia sheikh mnaonaje wadau.. toeni mawazo yenu wenye comment section hapa...ili waje na ubunifu mpya wakuboresha da'wa isongembele
Ni kweli kabisa...Sheikh anafanya kazi ya ziada...maana ivo vitabu anavovisoma utafkiria kazaliwa navyo😂😂 Kama tupo tayari kuchanga pesa kwa ajili yake tujuulishane... au kila mtu amtumie kwenye namba zake?
Mashallah leo nimependa hii Raddi ya kielimu na umeeleza kwa heshima sana...this is how it should always be...hataa kama ni kwa wale ambao hamuwafikiani nao.
ALLAAH AKUHIFADHI NDUGU NA KAKA YETU .... NIMESTAFIDI KUTOKANA NA WEWE NIKIWA SAFARINI HAPA NA NIMEKUSIKILIZA KWA MAKINI .. Maana Mzee na baba yetu Kiruwasha alitaka kuingia kwenye Hilo wimbi. ALLAAH AKUHIFADHI NA AKUZIDISHIE ELIMU NA WATU WAENDELEE KUFAIDIKA NA WEWE
Wallah,nataman siku1 Sheikh Muhaammad na Sheikh Qassim Mafuta wakae wawili waondoe tofauti zao kwa hoja za kielimu kisha wakaungana katika kusema hakki huwa nikiwasikiliza nafaidika sana na elimu wanayotoa na Allah amewajaalia ufasaha.
Elimu hii ni pana sana shukrani sheikh kwa ufahamu huu, ninachokiona kuna mstari mwembamba sana kati ya imani na ushirikina ALLAH atuepushe na ushirikina.
Kiufupi nakupenda sna Muhammad bachu kwa ajili ya Allah,Allah akuzidishie elmu uzidi kuutoa Ummat muhammad kwnye Giza hata km watu wanakuchukia ila chuki zao zisikufanye ukarud nyuma katka kuuelimsha umma wa Kiislamu,Allah ndie anaejua yaliomo Moyoni mwako.
Aise yafaa masheikh wamuunge mkono Zaid huyu bachu maan anafany kazi kubwa saaan
Mm namba moja nitamuuunga mkono
Mimi namuunga mkono baba aliye mzaa yeye Allah amrehemu shekhe Nassoro Abdallah Bachu alikuwa mwenye msimamo sana pia hakuwa na ugomvi na watu ila mwanae huyu Allah amuongoze anafanya vizuri ila ugomvi sio mzuri baba yake hakuwa ivyo nimemsikiliza sana shekhe Nassoro bachu lakini sijaona mambo ya hivi sasa
Shukran sana sheikh wetu Muhammad bacho
Kwa kumrekebisha uyo aliye taka kuhalalisha ushirikina na
Uchawi baba kirwasha
Baba kirwasha ndiyo nani
@@Catherine-mh8swyule shekhe kwny kpnd cha wanandoa tv imani....
@@aswabikimaro3033 asante
@@aswabikimaro3033suluhu la yote hayo ni kujisalimisha kwa Yesu Kristo pekee. Kwa jina lake kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa Yesu ni BWANA (Mungu). ..wanaopinga hili ipo siku wataungama
@@celestinshayo7295
Uislam una sheria zake muhimu kusoma Quran na kuifuata,na nyie huko kanisani kumejaa mapepo kila siku yanatolewa mbona hayeshi? Majini pia kanisani yamejaa na nguvu za kiza zimejaa muhimu ni kuslimu na kusoma Quran tu na kufata sheria zote.
Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu Allah akuhifadhi saaan
amiin thumma amiin
Aamin
Ndugu yangu Abdul Abeid unafikiri kuna dhambi kubwa kuliko shirki usimlaumu bachu msikilize hata kama humkubali utapata faida hata ndogo
MAA SHAA ALLAAH..Atakaekusikiliza hadi mwisho lazima akuelewe kwa idhni ya ALLAAH.. **ALLAAH Akujaalie mwisho mwema**
Amiin
Ameen..
Nimesikiliza nusu tu nshamuelewa vziuri kabisa
Allah akulipe kila la kheri sheikh wangu kwa kunitoa kwenye ujinga...uku kwetu drc watu hao ni wengi sana piya dini imedhalilishwa sana na watu hao...
Muhammad Bachu ALLAH azidi kukuongoza katika uadilifu na akujaalie kheri Duniani na Akhera.
Nimejifunza mengi sana kupitia darasa zako tofauti tofauti.
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mema kwa kutuelimisha katika jambo hili. Naomba nitoe ushauri. Kama itawezekana, angalia uwezekano wa kuandika kitabu kitakacho husu suala hili. Kitabu hicho kitumie lugha nyepesi pamoja na mifano iliyo hai ili Muislamu wa kawaida aweze kunufaika. Kwa uwezo wa Allah, huenda jambo hilo likatoa manufaa makubwa zaidi kwa vizazi vijavyo. Nasema hivyo kwa sababu, ikiwa hata Baba Kiruwasha anahalalisha kutumia Majinn, ujuwe kuwa hali si nzuri kwa Waislamu wengi ambao hawana ufahamu na elimu kama alivyo jaaliwa Baba Kiruwasha.
Baba kirwasha ndiyo nani
@@Catherine-mh8swww umeangalia hiyo video kuanzia mwnzo?
@@Catherine-mh8swrejea mwanzo utamuona
@@abuuharuni anha sawa ahsante. Ila nisha mgoogle nimemuona.
Allah atupe mwisho mwema
Allah amuifadhi shekh nassoro bachu kwakutuachia mwalimu
Jazakallah khaira Sheikh Bachu, Kila jambo lina kheri Dr, sule asingesema elimu hii tusingeipata.
Mashallah Allah akujaalie her kwa kuelimisha umma
Allah akuhifadhi shk wetu uzidi kutuelimisha katika misingi ya dini yetu Allah akujaalie wewe na familia yako khery hapa duniani na kesho akhera
MAASHAA ALLAH shukran sheik wetu kwakutuelimisha ALLAH akuhifadhi
MashaAllah shekh umefafanua vizuri na itakuwa bora zaidi ikimfikia Dr Sule
Maashaallah shekh wetu
Sh Muhammad Bachu Allah akulinde naakuondolee kibr Mashallah
Mwalimu kabisa huyu Ana ufasaha wa kuelekeza anaongea moja kwa moja .Allah amuhifadhi aaamiin
Ameen yaRabbi 🤲
Allah akupe umri mrefu wenye faida
Allah akuzidishie kutoa Elimu kwa jamiii
MashaAllah Allah akuhifadhi sheikh Mohammad Bachu simba wa Tanzania na Kenya
Mashallah ALLAH akuhihifadhi shekh wetu tunakupenda sana uyo sule ni freemason sio shekh uyo mbwa ni shekhehena mpumbavu mkubwa uyo
Mimi jamani huwa sitegemei nipate shida aina yoyote niende kwa mtu anisaidie tumtegemee allah kwa kila kitu
Allah amuifadhi Yuko imara Kama Baba yake
Mleberali Mashaallah Wachape Masufii
Antes de começar deixa ti dar oseu gosto irmao Allah ti abençoe ❤❤❤
Hata kwa mtu hajasoma experience tu ya maisha ......ukisha likubali jini litakupa shartiiiii itabidii utiiiiii .....wakati wakkumtiii ni Mola wetu pekeee yaa Rab tuepushe na shirk ndogo ndogo na kubwa kubwa
زادك الله علما وفهما يا شيخنا متعك الله بالصحة والعافية
Wallah sheikh huko mwisho nimekuelewa vzr sana tena mno ila je kw mtu wa kisalafii ambae anafata sunna je huyo anaweza kupata jini mwema akamsaidia bila ya mafungamano yyte kw hofu ya kumuogopa mungu?
Tabaraka Allah ya sheikh Mohammed bachu.big up sana
Asalam alekum bin Bachu... Allah akulipe kheri akuhifadhi akulipe mema duniani na kesho akhera ..Allah atukubali/aturidhirie sote atupe mwisho mema
atleast leo umekua na busara za hali ya juu sna,alkua nakuchukia sna ila kwa hii,mashaAllah Wallah Allah akulipe inshaAllah
Ndugu yngu bachu haraka rud Zanzibar kama bado uko kenya tunahtaj darsa zako ..... Njoo tuone uyo mtu akusumbue
kafungiwa znz asifanye mihadhara ya aina yyte
Mashaallah Allah akubarik
Unatupa vitu na box
Mashallah nimepata faida kuubwa
Isitoshe tu kukwambia,,,#Tunakupenda kwa ajil ya #Allah bal ww ni kioo cha jamii unayefaa kuigwa na Masheikh wengin.
Allah #akuhifadh na akupe umri mrefu wenye manufaa.
Alhamdulillah,,jazaakallahu khayra
Allah akubariki ewebachu
Bachu you are on fire 🔥 big brain 🧠
Shekhe mimi nakudhania khayri
Ni meamini kweli Mohammed sws alisema kweli,aliomba Dua Kwa Allah Dua tatu mbili zikakubaliwa Ila hii Allah alikata kuwa vita baina ya waslam Kwa waslam,Dio hii Ndung'u zangu tuombeni tomba Kwa Allah Ni al Rahman rahmu
Jazzak Allah
Mbaya zaidi midahalo ya Dr sule nawa. Christo .......halafu hilo ndo tusi lawa christo kwa sisi wa islam ........mumpige vita kabisa Sule onesheni ukweliii
Bachu anajua mashallah
Ustadh bachu xa mbona umekusanya vitabu vingi mno hapo😂😂
Aloooo...Atari sana mungu akubariki..Mim nimekuelewa mufti....Sheikh Massawe alitanguliza Jazba mbele sikumuelewa😅😅
bachu anawabomoa tu😊,,,,ila jamani ngumu sana kumuaminisha mtu kitu ambacho hajakiamini.....we shika uliposhikilia ukiwafatisha ao unaeza kuwa mwehu
Tumenufaika wengi kama ni wabishi tutawageuza ubao wa kusomea wao wabaki na misimamo yao kama wataamua kufuata matamanio ya nafsi zao. haki imekuja batil imejitenga.
Mimi biafsi nimetokea sana kumkubali bachu kwa sababu ya kuwa muwazi ktka dini hamumunyi maneno huwa ananyooka tu.
Sheikh sifa nyingi
Mashaallah
Kwanza mi naona ajabu mtu anajinadi ana majjini lakini bado yupo na mabodigadi je hayo majjini hayatoshi kumlinda ???
Alhamdulillah exactly irmao até ai já percebi tudo 😂😂😂😂😂
Huyu mwamba anajuwa sana ila tunyoooshe kwa kutufundisha shekh. Ila usitoe aneno makal kama yule mty
Dk sule wacha kuwadanganya waislam kutumia majini sisi tunaogompa mola wetu.
HIVI HAPO KALE HAKUKUWA NA HOSPITALI ZA MUHIMBILI/ MLOGANZIRA/ MNAZI MMOJA NK. WALE MANABII NA UMMA ZAO WALIITIBIANA VIPI KWA MARADHI
Mm nna jiuliza hv maana halisi ya uhsirikiana ni nn swali la kwanza swali la pili ikiwa sisi binadam tuna ajiri na kuajiriwa ktk makazi ya watu na kupata pesa yani mishahara ss je uharamu wa mtu kumtumia au kumtuma jini ktk kazi zake huo uharam ni upi??
Wanasababisha uislam unaonekana ni dini ya majini.
ata mimi sijuwi kusoma lakini ninajua jini awezi kumpa ntu utajiri mpaji wa utajiri ni mumungu tu
Sasa hivo vitabu hapo vyote mezani vinafanya nini maaana au kuna munakasha au mana tablet haitoshi
Aamiin
yes❤
😂😂😂Unaweka vitabu Kisha hufungui wew vip Sasa mbona una riyaa
We mbumbu Nini usichokijua hapo,we unafikiri anasoma vitabu Gani kama siyo Hilo rundo la vitabu?
Vitabu anavyosoma nd hivy hivy isipokuwa vipo soft copy tu katika laptop lengo aonesh wa2 waone
Haya bishaneni tu mi kazi yangu kuskiliza maadam mnabishana wenyewe sio mbaya
Hiyi nihatari kweri tena wanasema waislam wote waenda peponi 😂😂😂😂
Saf saaana piga vita ayo masheteni wafanya biashara
😅😅😅😅😅😅😅vipanki na majini yake vipanki vilevile
Hili fala hata alieleweki et shekh nae,,,thibitisha hayo madhara tuyaone kenge wee unazunguks jibu huna njoo usomeshwe huna elimu ya mungu wala humjui mungu
M'mungu atajua cha kukulipa Insha'Allah
Sasa unatumia lugha kali ya nini kiongozi
Simba mkali sheikh Muhammad bachu Allah akuhifadhi sheikh wetu sheikh msomi
Mwanzo nilikuwa simuelew ila kwa sasa naaaanza kumuelewa. Allah amhifadhi
Shekhe nasoro bachu hapa katuachia mtu
حفظك الله يا ابن باشوا وأطال عمرك في خير ورزقك الإخلاص في القول والعمل وأسأل الله برحمته الواسعة أن يجمعنا في فردوس الأعلى مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
آمين
Wallahi yametoka machozi May Allah reward you...awaongoze na Mashekhe wetu wote.
Nani amegundua kua ukimsiliza muhammad bachu akiwa anaachambua kitu unataman asimaliize kuonge yani saa limojaa unaona kama katumia dakak 15 tu...
Kweli broo, ila kuna sheikh anaitwa Golo haeleweki dakika 5 zake utazani ni masaa mawili 2
@@KhalfanMassoud pale hamna sheikh ni mshenzi2
@@Hamis-ks1sy mmmmh. Mm mwenyewe huaga nasema yule kasoma kweli au pangu pakavu. Naona haeleweki, anachosha. Golooooooo njooo uku usome comments.
Wa kwnz mm natamani asimalize yaani kw jinsi anavowez kuchambua mambo
Allah amzidishie elim❤
Allah anasema " jisaidieni katika mambo yenu kwa kusubiri na kuswali hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri. Sio kutaka msaada kwa majini . Swala na subira
Sasa mie sie kuraishi... Bachu namuona WA kawaida Tu.. haswa kwenye elimu ya dini
@@AbdulAbeldi-km4poww umefanya nn kwenye iyo elimu yko ya dini
@@AbdulAbeldi-km4poinawezekana Akhiy Bachu kwako hana elimu ww upo Juu Ila Jee hili analosema nikweli au sio kweli
SINA elim ya kumfikia bachu na wewe pia siiufikii sijasoma Mimi hata kidogo wabillah tawfiq
Wewe ni nani na jitihadi gan umefanya?@@AbdulAbeldi-km4po
Nimeelewa na nimefahamu vzr unavyoomaanisha, Allah akulinde akuhifadh na azid kutuongoza ktk wema InshaAllah...
Nimekuelewa mia fil mia shehe. Nafurahia kuongozwa na Allah nikaingia kwenye dini ya haki. Kwenye ukristo hakuna mijadala,huko ni imani potofu. Allah atuzidishie ufahamu na Insha Allah umauti utupate tukiwa waislamu.
haki iko wapi
@@kennodhiambo £££333"""*****
Shekh bachu anafanya kazi kubwa ya kuelimisha
Hapana ya kupotosha
Hii shida yoooooote imeletwa na Dr. Sule. Anafaa amrudie Allah ili kumuomba msamaha....Allah atuongoze🤲
Nlikuwa namkubal sana sule ila alnitoka moyon baaada ya kusema kuwa huwez kwenda pepon kwa kuswal swali tu
Haya nami nlimkubali sanatu yaani...nlidhani utamu was ulimi waki inaambatana na moyo wake kumbe wapi!!!!!
Naam swadakta, Dr. Sulke amreje Mola wake kwa toba vinginevyo ATASUJUDU MOTONI. hivyo hasara ni kubwa kwake kuliko faida.
Swadakta, na tatzo sio kukosea tatizo n kukosea alafu Kwa ule ukubwa/umaarufu unaozan unao unalazimisha lile ulilokosea liwe sahihi, inabid akubal makosa arud nyuma.
Hata mm. #ukimuomba Allah muombe mwanzo mwema na mwisho mwema@@UlamaaWaUlamaa
Nakuelewa sheikh Muhammad Shukran
Nimekupenda sana kama enzi za utoto wangu nilivyokuwa nampenda Marehem Baba yako Allah s.w amuhifadhi. Ahsante sana kwa kutumia hivyo vitabu kuvunja hoja yao, lakini mimi Binafsi nilishalikataa hilo na kuwa kinyume na Witch Dr. Sule mapemaaaaaaa kwa aya tu za Quran na ufahamu wa jumla lakini pia hii inaonesha wengi katika wale wanaoitwa mashekh hawaijui Dini na ni hatari sana hawa kwa Mustakbali wa Uislam na Waislam na jamii kwa ujumla maana sio tu ushirikina wao lakini pia wanasambaza mafunzo yasiyo sawasawa katika dini yetu
Allah atakufufua pamoja na uwapendao❤
@@saadasaleh3177 Aamin ajalie sote tufufuliwe na wema wote tuwapendao
Bachu anakimbiza washirikina kimya kimya Docter sule na wenzake wameyakanyaga mbona moto utawaka wikihii
Huyu ndio Simba Mashallah hayumbishwi. Allah amlinde, Amzidishie elimu ma ampe umri mrefu!
Allahuma Amiin
Allah awahifadhi masheikh wetu
MAJINI HAYANA MAHUSIANO YENYE FAIDA KIVYOVYOTE KWA MUISLAM-JAZAKHALLAHU KHAIRAN
Ki vp ww na majini mumeumbwa kuja duniani kufanya nn
@@saba-gv3mjkumuabudu Allah
Kumuabudu Allah tu na Sio kushirikiana kumkufuru Allah
Sasa kama kumuabudu Allah na majini wako wanao muabudu Allah ambao ni waisilamu kama ww na wale wanao mshirikisha Allah niwale majini wabaya na hata binadamu kunao wema na wabaya utapata binadamu anamroga mwenzake atamtua huyo huyo jini na utapa binadamu mwengine anamtibu huyo aliyerogwa kupitia quran na pia aweza mtuma jini yule mwema kuchukua madawa msituni ambapo ww binadamu ukitumwa huwezi zipata dawa zengine
@@saba-gv3mj UNAJIKIA UNAVYOSEMa
Ukiskiya back to back sasa ndohii yaani raha juu ya raha mashekh acheni kujifungiya navitabu tu vyumbani mwenu amkeni muje kuelimisha jamii,jamii inateketeya mashekh zangu .pwent yao kubwa utaskiya Nabii suleiman alitumiya majini nisawa ilakumbuka suleiman tumeambiwa tumuamini hatujaambiwa tumfuate. jaman hili ni balaaa shekh bachu Allah akubarik
Ndio zake huyo bachu Hana cha maana. Ukimswalia mtume kwake bidaa. Ukimpiga maulidi kwake bidaa kusoma wasilatu shafii kakwe NI bidaa sasa anataka tumfuate yeye
@@AbdulAbeldi-km4po wapi alisema kumswaliya mtume ni bidaaa sasa ww wapi kuna dalili maulidi ni ibada, hapa tuko kwenye darsa za majini ww unakuja na maulid mbona kimekuumeni sana bachu kuisema maulidi basi ww kaa hadharani funguwa vitabu uwaambiye watu maulidi ni ibada kwadalili hii nahii nahii kama yeye bachu anavyo kuonesha kitabu andiko hadi andiko usilalamike upenuni njoo hadharani. halafu muache kurukiya mada hapa tuko na darsa za majini maulidi sisehem yake mjomba
Kasome huko
Nikasome Kwa bachu ili niwe m bishi na mimi
@@AbdulAbeldi-km4po Hata mfalme namrudha alibisha na nabii Ibrahim nahaki ikapatikana sasa ww ikiwa hautaki kubishana basi umtupu ktk dini jee utaweza kubishana na mkiristo kimaandiko ww ikiwa ww mwenyew unajiogopa
Hii wiki na enjoy sana alhamdullilah 😂😂...jamani tuanzisheni kampeni ya kumchangia sheikh mnaonaje wadau.. toeni mawazo yenu wenye comment section hapa...ili waje na ubunifu mpya wakuboresha da'wa isongembele
Ni kweli kabisa...Sheikh anafanya kazi ya ziada...maana ivo vitabu anavovisoma utafkiria kazaliwa navyo😂😂
Kama tupo tayari kuchanga pesa kwa ajili yake tujuulishane... au kila mtu amtumie kwenye namba zake?
Naam ni jambo zuri. Liwe na utaratibu mzuri tuu.
Mi niko tayali kuchangia kwa kweli najifunza mambo mengi sana kwa shekh
Wazo Zuri, ebu lianzishwe haraka iwezekanavyo
Litakuwa jambo zuri anatuelimisha kuhusu dini yetu allah ambaliki muhammad bachu
Allah atusamehe kwakweli
Mashallah leo nimependa hii Raddi ya kielimu na umeeleza kwa heshima sana...this is how it should always be...hataa kama ni kwa wale ambao hamuwafikiani nao.
Masha Allah! Bachu Allah amekupa ufasaha wa kuongea. Hapo nakuunga mkono
Jazakhallah khaira sheikhe Muhammad, elimu tumepata na faida kubwa tumepata, Allah akuhifadhi
MaashaaAllah jazaakumullahu khaira nimekuelewa sheikh wangu maana ya kukuelewa
MashaAllah. Allah akupe umri mrefu. Uzidi kuelimisha wa limwengu.
Shukran kwa mda na maelezo bora,jazakaAllahu kher.
Mashaallah yaa Muhammad
ALLAAH AKUHIFADHI NDUGU NA KAKA YETU .... NIMESTAFIDI KUTOKANA NA WEWE NIKIWA SAFARINI HAPA NA NIMEKUSIKILIZA KWA MAKINI ..
Maana Mzee na baba yetu Kiruwasha alitaka kuingia kwenye Hilo wimbi.
ALLAAH AKUHIFADHI NA AKUZIDISHIE ELIMU NA WATU WAENDELEE KUFAIDIKA NA WEWE
W.salaam shaikh Muhammad Bachu ni mwepesi sana wa kufafanua mambo
Huyu mwamba namkubali katumia mda mdogo refrensi za kutosha na ufasaha wa kutosha. Shukranii sana
Mm nakuombea tu ujitaahidi kufikisha kwa njia nzuri na maneno mazuri kama hivi au zadi shukran akhy
Simba wa Allah pekeee anaeweza kuwek haki na kuondowa batil kwa uwezo wa Allah
Hapana wa kupotosha
Wallah,nataman siku1 Sheikh Muhaammad na Sheikh Qassim Mafuta wakae wawili waondoe tofauti zao kwa hoja za kielimu kisha wakaungana katika kusema hakki huwa nikiwasikiliza nafaidika sana na elimu wanayotoa na Allah amewajaalia ufasaha.
Amiin
آمين
Amin
Wanatofautiana kijuujuu tu ktk baadhi ya vijijambo havina nafasi ktk Dini wala Da'wah, lkn kiundani na ukweli uko hivi wako pamoja na kazi yao nimoja
@@OmarAlly-iz8ot Allah afanye wepes
Elimu hii ni pana sana shukrani sheikh kwa ufahamu huu, ninachokiona kuna mstari mwembamba sana kati ya imani na ushirikina ALLAH atuepushe na ushirikina.