Sam Wa Ukweli - Hata Kwetu wapo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 лип 2024
  • Sam Wa Ukweli - Hata Kwetu Wapo

КОМЕНТАРІ • 2,6 тис.

  • @Alexosiako
    @Alexosiako 3 місяці тому +161

    Mwaka wa 2024 kama bado unaskiza hii masterpiece gonga like🎉
    ❤❤❤❤❤

  • @roshanecyrus4964
    @roshanecyrus4964 2 місяці тому +48

    kama tutakuwa hapa 2027 inshallah, piga like!

  • @denniskipngetich1842
    @denniskipngetich1842 2 роки тому +141

    I'll leave this comment here so that when someone likes it I'll come back and watch this song again!

  • @andrewmadaga7913
    @andrewmadaga7913 4 місяці тому +48

    iman inaponza watu wengine si wazur 😢rest in peace bro.🙏 Who still with me 2024 ☺️🙌🏿

  • @wilsonsamora1883
    @wilsonsamora1883 4 роки тому +163

    Wanaomkumbuka bado sama twende pamoja like

  • @mikeblessed4135
    @mikeblessed4135 Місяць тому +6

    Wale waliompenda Sam WA Ukweli nipeni Likes Na rip messages za Huyu legend

  • @mohamedyramadhani7788
    @mohamedyramadhani7788 6 місяців тому +87

    2024 and this song is still ❤❤❤ RIP BRO

  • @erickelia9826
    @erickelia9826 2 роки тому +30

    Kak Sam wa ukweli hii ngoma Ina ujumbe mkubwa sana kama ulikuwa unamkubal brother Sam gong like

  • @vinmkenya3659
    @vinmkenya3659 4 роки тому +336

    Najua miaka za wanao sikia wimbo huu 25 and above gonga like kama unakubaliana nami .rest in peace Sam wa ukweli

  • @samwelthomas6939
    @samwelthomas6939 4 роки тому +663

    2020 kama bado unaikubali hii nyimbo gonga like tujuane R I P wajii

  • @bloomcomp
    @bloomcomp 4 місяці тому +20

    who is here 2024

    • @andrewmadaga7913
      @andrewmadaga7913 4 місяці тому

      Mungu ni mwema still bado tupo tupambana 💪🙏 always ❤️

  • @mbindyeimmanuel7772
    @mbindyeimmanuel7772 Рік тому +146

    2023 and this song is still 🔥. RIP Comrade

  • @cruizk8183
    @cruizk8183 4 роки тому +626

    Rip bro😭😭 let's gather here to remember our legend.Thumbs up for those watching in 2020

  • @sylviachonge4165
    @sylviachonge4165 4 роки тому +330

    Mauti jamani yana ujinga sana...jamani Sam u left a mark for us in our hearts...leteni hizo likes za moral lesson from Sam's songs😘😘😘

    • @hunchotv8434
      @hunchotv8434 2 роки тому +1

      Mauti ni mpango wa Mungu...ukisema mauti ni ujinga jamani unakosea Mola

    • @rukaiyaahmadsuleiman3951
      @rukaiyaahmadsuleiman3951 2 роки тому +1

      @@hunchotv8434 ndio hapo sasa kila nafsi itaonja mauti

    • @a_melly
      @a_melly Рік тому +1

      Aliaga lini huyu bazenga?

  • @pettyjumba7186
    @pettyjumba7186 Рік тому +33

    Gone too soon, hakika hakuna akiba Kama wimbo maana hata sisi ttakufa lakini wimbo utabaki kumbukumbu,naam hivo ndio maisha,tulipenda lakini mungu kakupenda zaidi🙏

  • @ruthruthmugambi410
    @ruthruthmugambi410 Рік тому +97

    2022 na bado ngoma iko juu wapi likes za Sam wa kweli

  • @hanifayunus8502
    @hanifayunus8502 5 років тому +53

    Sio Kenya tuu, hata Bahrain wapo. R. I. P Sam

  • @vanekemunto78
    @vanekemunto78 5 років тому +309

    Listening from Kenya if you love Sam like me nipee like

  • @janicekinya1136
    @janicekinya1136 2 роки тому +135

    Still watching this song in 2021, may his soul rest in eternal peace.

  • @goodluckkhamsoh5056
    @goodluckkhamsoh5056 Рік тому +58

    Anytime I open my barber shop this song comes to my head. Singing along from mwanzo to mwisho. RIP BROTHER.

    • @philo_the_barber
      @philo_the_barber 9 місяців тому +2

      I remember I was skipping after lunch lessons pale class 3 😂😂 just to listen to club1 pale KBC at a certain kinyozi. Now am a barber and this song slaps still❤❤

    • @HappyArcticBirds-iy3dg
      @HappyArcticBirds-iy3dg 6 місяців тому

      😭😭😭 rip brother w miss u a lot

  • @rosenatalia5802
    @rosenatalia5802 4 роки тому +115

    Can't get tired ov listerning to your song ....may continue resting in peace...... team kenya mark register🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @academictutor2891
    @academictutor2891 2 роки тому +53

    Anyone here at 2021? So sad that he left but memories still remain.

  • @mashakamarsel9737
    @mashakamarsel9737 3 місяці тому +3

    Ngoma nzur itasikilizwatu nimelud Tena 2024

  • @KenyeKenyeTV
    @KenyeKenyeTV 3 роки тому +31

    Lala salama superstar. Wimbo huu bado naikubali 2020 December 🔥🔥

  • @shamsaabdalah7038
    @shamsaabdalah7038 6 років тому +347

    Rip samw wa ukweli upumzike mahala pema pepon mashabiki tutakumis umeacha pengo kwa taifa na wadau wako woooote

    • @olivermhanga4962
      @olivermhanga4962 6 років тому +3

      so sad Sam bt y

    • @Joramkatana
      @Joramkatana 6 років тому +4

      R.I P....Sam wa ukweli....kumbe nyimbo yako ilikuwa na maana fiche....Allah ailaze roho yako mahali pema peponi....
      Hata KWETU wapo

    • @ericngowa2799
      @ericngowa2799 5 років тому +3

      Pole sana mungu akurehemu

    • @beuntflyhusnakasy9320
      @beuntflyhusnakasy9320 5 років тому +3

      😢😢

    • @Kaniko_John
      @Kaniko_John 5 років тому +3

      what,,Sam alikufa???? haki sina habari jamani

  • @issahdaless8265
    @issahdaless8265 5 років тому +424

    Who is listening 2019 this song, gonga like,,,,,, issa from Zanzibar hata huku Zanzibar wapo

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 Рік тому +5

    Sam wa ukwel nyimbo zako zita ishi sana,,,,pumuzika kwa amani huko uliko

  • @MCLYNN_LIEN
    @MCLYNN_LIEN Рік тому +68

    No matter how many years have passed, i still feel like listening to these song.

  • @lucymvula9031
    @lucymvula9031 6 років тому +98

    R.I.P naona kama ni ndoto nampenda sana haswa pia song zake ni za matukio ya maisha ya kwli

  • @matunduraray1174
    @matunduraray1174 2 роки тому +31

    Takes me back to the year 2009 while working in Mombasa Kenya used to think the guy is a Kenyan since his songs used to be popular there.

  • @achomann1129
    @achomann1129 2 роки тому +34

    I was shocked by the sudden death of our brother Sam May his soul rest in peace.

  • @mariewangari6627
    @mariewangari6627 2 роки тому +42

    2022 and am still listening to this song continue resting in peace

  • @bonfacebosire1448
    @bonfacebosire1448 4 роки тому +137

    Rip Sam wa Kweli,... listened to this song way back in 2012 while in class six....came back here in 2020 when done with highschool to revive my old memories only to find comments full of rest in peace...May your soul rest in peace Sam💖

  • @alidynyakathomo6330
    @alidynyakathomo6330 11 місяців тому +9

    If there is one artist I sincerely miss in Tz is this man Sam... continue resting in peace.He was just a humble one

  • @mosomidennis3786
    @mosomidennis3786 9 місяців тому +2

    Nakumbuka nikiskiza huu wimbo qa Sam ukweli 2011 I had gone through alot. Nilikua nalia kila siku😢😢😢nikiskiza huu wimbo. Rip Sam.

  • @larrykipkirui8675
    @larrykipkirui8675 Рік тому +8

    vontinue resting in peace Sam Wa Kweli,his songs never fade😭😭😭

  • @sirchris5342
    @sirchris5342 4 роки тому +26

    Doha Qatar 2020 June 6:09 wenye wanatoka shift kutuliza moyo na huu wimbo, piga like

  • @carolynogema1176
    @carolynogema1176 3 роки тому +18

    I feel this song!!!so sad to loose you sam,,,binadam ni wengi na wachache ndo wema😭😭,,, listening from Kenya🇰🇪

    • @pjmediakenya
      @pjmediakenya 10 місяців тому

      Indeed the song is on top🔥, continue to R.I.P Sam🙏. Kenya🇰🇪🇰🇪 misses ur hits.

  • @berdernyakio7165
    @berdernyakio7165 3 роки тому +14

    2021 from Kenya will always miss you, Rest in peace Sam piga like to show love

  • @MwanahamisNsila-sz1kr
    @MwanahamisNsila-sz1kr 3 місяці тому +3

    2024 like hapa rip sam wa ukweli mwenyez Mungu akupunguzie adhabu ya kaburini

  • @apeterpaulo7436
    @apeterpaulo7436 6 років тому +74

    Pumzika kwa amani kiukweli asubuhi ya Leo nilikua naimba mwenyewe wimbo wako bila kupata taarifa kuwa umetutoka duniani

    • @abdulbora5369
      @abdulbora5369 5 років тому

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @jellysmaarifa1172
      @jellysmaarifa1172 3 роки тому +1

      Masikin tutamkubuka daima mim hapa nipo kuangalia

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR 6 років тому +307

    Duniani watu wana pita Kweli ..R.i.p sam

  • @johnginni9926
    @johnginni9926 Рік тому +2

    Huu wimbo unanikumbusha 2011 siku naripoti kidato Cha Tano,wakati nafanyiwa usaili mwalimu wangu alikuwa akiusikiliza Kila mda kwenye simu yake.I really inspired RIP SAM WA UKWELI.

  • @zipporahndhlovu6153
    @zipporahndhlovu6153 5 місяців тому +1

    Continue Resting in Peace Sam. 2024 bado nazisikiliza tuh nyimbo zako.

  • @mutisyakalungu2533
    @mutisyakalungu2533 4 роки тому +25

    If you like guy although he is no more piga like yako kwende

  • @jessiekerry928
    @jessiekerry928 4 роки тому +80

    2020 May?quarantine makes one listen to these golden tbts.

  • @wybzokizzy4416
    @wybzokizzy4416 Рік тому +3

    Mungu akulinde popote ulipo Sam ❤️🔥🇰🇪

  • @bonfacemark9048
    @bonfacemark9048 2 роки тому +9

    He was my favorite musician before I started loving Simba may he rest in peace 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @carolinemwamba8710
    @carolinemwamba8710 4 роки тому +39

    R.I.P still here2019 August kwa ajili yako. Ukichukia si shangai😭😭

  • @mesabendo7581
    @mesabendo7581 4 роки тому +57

    Hata huku qatar wako..R.I.P sam...2019 september watching frm qatar

  • @silver-yv2om
    @silver-yv2om Рік тому +5

    I can't get tired of listening to his songs

  • @riobanobert9358
    @riobanobert9358 2 місяці тому +5

    Nani Yupo hapa 2025?

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 4 роки тому +4

    Sam Alisema Bora Walinyama Kuliko Walimwengu Pumzika Bro Mungu Akupunguzie Adhabu Kali Ya Kaburini 😭😭 2020 Bado Nakuskiza

  • @catineanuali842
    @catineanuali842 5 років тому +69

    R.I.P Sam wa ukweli...wimbo una touch saana...still listening 2018√ like

  • @kowech2626
    @kowech2626 2 роки тому +12

    Brings back so many memories. Used to endlessly jam to this on my flap phone

  • @user-qf4eo5su9m
    @user-qf4eo5su9m 19 днів тому

    Love from Congo DRC.2024❤

  • @johnmainawambugu5428
    @johnmainawambugu5428 4 роки тому +43

    September 2019
    Still listening..
    Pika like wacha ubinafsi

  • @johanesmgeni7685
    @johanesmgeni7685 4 роки тому +3

    Hakika duniani tunapita tu .......inama sana wale wanaokuvutia ndio mungu anawapenda zaidi MPE pumzko LA milele

  • @sentrinemuhindi9096
    @sentrinemuhindi9096 2 роки тому +1

    Kwani alikufa lini😭😭😭mm sina habari, waaaah kweli watu cc sote n wapita njia, you never know about tomorrow rest in peace brother

  • @TBGish
    @TBGish 3 роки тому +25

    TZ will forever be in my heart with these songs ❤️

  • @davidopl4466
    @davidopl4466 5 років тому +94

    Who still watching this 2019 still my FAVORITE R.I.P sam

  • @helenamapili4517
    @helenamapili4517 4 роки тому +15

    Hatakama haupo we still listening ur music we love.......R.I.P bro

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf 11 місяців тому

    This guy must have been a prophet, it's 2023 the message can never be old, uchawi na ngono zimekua vitu za kawaida

  • @jameskabingu3419
    @jameskabingu3419 Рік тому +7

    Rest In Power bro, wimbo huu hunipa matumaini kila siku. Legend 🎧

  • @kathinimilkah8695
    @kathinimilkah8695 5 років тому +8

    Anytime I listen to this song am always on tears can't believe you left this world rest in peace Sam wa ukweli who else 2019 +254

  • @halimashangz4226
    @halimashangz4226 4 роки тому +6

    Dance with angles our lovly brother it's not easy bt it's Allah's will no one to blem😢😢sleep sefly till we meet..love from kenya.

  • @dizzonofficial2600
    @dizzonofficial2600 Місяць тому

    Daaah Hii Ngoma Still 2024 Inanipa Imani ya Kupambana Rest Easy Champion We Miss You 😢

  • @josephchalatv8318
    @josephchalatv8318 2 роки тому +1

    😭😭😭😭HATA KWETU WAPO R.I.P SAM WA UKWELI Brother umeongea maneno mazur sana kwenye huu wimbo saiv nimekuwa mkubwa nimegundua umuhimu wa haya maneno ulio ongea humu daaaah😭😭😭😭😭🔥🔥🔥🔥💯

  • @sijamadudu9960
    @sijamadudu9960 5 років тому +182

    2019 RIP
    Gonga like twende sawa

  • @wambuwajeff1694
    @wambuwajeff1694 6 років тому +61

    Rip Sam its unbelievable😢😟😟😟😢😢can't hold my tears

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah 3 роки тому +3

    Nani yuko hapa baada ya kifo cha msanii wetu r.i.p kaka sam wa ukweli 😥🙏🙏🙏

  • @clivancemokaya2672
    @clivancemokaya2672 2 місяці тому

    Mziki mzuri hausikii miaka...bado tunausikiliza huu wimbo May 2024

  • @josephmunna8577
    @josephmunna8577 8 років тому +29

    Kiuwezo sifanani nao Ingawa wamenizidi Age wanaDici wanadai najifanya niringe na iki KIPAJI " ... " wanasahau aliyejuu Jehovah ndie mpaj Mgawa Riziki
    Limefikaaa

  • @alfredopetu3393
    @alfredopetu3393 6 років тому +11

    RIP kaka. Maeleze ya ukweli kutoka kwa Ukweli

  • @KasisiTZA
    @KasisiTZA 2 роки тому +4

    Endelea Kupumzika Kwa Amani My Brother!! 🙏

  • @lamz2544
    @lamz2544 3 роки тому +19

    This Guy was the, much Love From Kenya
    We really miss you so much bruh
    Till we meet again Legend
    Give me like even it's one like 23/2/2021

  • @kenwakanai
    @kenwakanai 4 роки тому +51

    May the soul of Sam find solace in heaven. He touched our hearts deeply

  • @joelnjuguna3892
    @joelnjuguna3892 Рік тому +1

    Sam Rip you are gift of our time message very true.

  • @gloryfarrah9381
    @gloryfarrah9381 2 місяці тому

    Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu anazozake. Ukisikiliza Sina Raha kisha uje kusikia huu wimbo utautambua utamu wa mziki😍

  • @emmanuelrono8621
    @emmanuelrono8621 5 років тому +36

    2019 Kenya tunakukumbuka...🇰🇪

  • @seanmadollar4202
    @seanmadollar4202 4 роки тому +6

    Wangapi twaona wimbo mtamu huu wakati wa quarantine???gonga like tukisonga

  • @junjunior2543
    @junjunior2543 6 місяців тому +1

    Whenever iam sad or thinking of my friends who left us i came here so today i lost another friend 😔R.I.P LENNY

  • @mariamsamwel2750
    @mariamsamwel2750 Рік тому +1

    Masikin Sam wa ukweli pumzika Kwa amani wanadamu wabaya mno walikumaliza😭😭😭😭😭😭😭

  • @daveochola5317
    @daveochola5317 6 років тому +15

    Rest In Peace Sam.
    Though gone, this song stays with us here forever.
    Forever in our memories Sam

  • @samuelibky8989
    @samuelibky8989 4 роки тому +8

    waliyo kuja hapa kwahajili ya kumkumbuka samw tuko wapi?? r,i,p

  • @robertzavey5739
    @robertzavey5739 Рік тому +1

    Nakubukuka kijana mpigaji uyuu ewe mungu nakubuka balisa

  • @mylesdavyz7890
    @mylesdavyz7890 6 місяців тому +1

    2024 and here we are. May your soul rest in peace, you were an icon.

  • @lucielucie9646
    @lucielucie9646 3 роки тому +3

    Sasa hizi ndo bongo za kikweli.....si hizi kelele mnatupigia siku hizi, na kujaza watu kwa nyimbo ka mchele..... R.I.P hero, forever remembered and missed..... From 254

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 Рік тому +4

    l will sing this song to my wedding R.I.P bro 😢💔🕊🕊🕊🕊🕊

  • @mercynduta4614
    @mercynduta4614 2 роки тому +24

    This reminds me my days at isebania, kehanja, I fell in love with a guy but we had to separate bcz his father didn't approve coz of my tribe, Keep resting in peace Sam wa ukweli, I miss u

  • @masonsempire
    @masonsempire 9 місяців тому +1

    Continue resting champion we still listen to your hit's 2023 here again

  • @kosgeidickson9868
    @kosgeidickson9868 2 роки тому +6

    on point brother I really like this song so much it really teach

  • @sashazuberyzubery7804
    @sashazuberyzubery7804 6 років тому +9

    Daaah yan mpka naliaaa rip Sam Allah akupunguzie adhabu ya kabur njia yetu ni moja ty hakuna wa kukwepa

  • @piusmureri4811
    @piusmureri4811 Рік тому +2

    R.I.P SAM ...watching from kenya 2022

  • @veronicaakothotieno602
    @veronicaakothotieno602 2 роки тому +22

    This song is still a hit...R.I.P sam..11years later i still play it a million times

  • @babajeremie5536
    @babajeremie5536 4 роки тому +10

    From kenya november 2019. Continue Resting in Peace bro. Tutaonana badae

  • @Clintonogwel98
    @Clintonogwel98 2 роки тому +5

    Listened for like twenty times today😭😭old memories rip sam

  • @marthavugutsa7374
    @marthavugutsa7374 3 роки тому +5

    Nani anafunga na mm hapa 2020, tukutane kwa like

  • @andygitau
    @andygitau 9 місяців тому +1

    This song reminds me when i used to live with my Aunt,alot happened she wasnt so nice at times but i appreciate her time because she is no more,i miss her so much,continue rip Aunt.

  • @aishawanjiku9911
    @aishawanjiku9911 7 років тому +64

    hawakukosea wakikuita Sam wa ukweli maana huu ni ukweli