MPAKA HOME: FEROOZ AKIRI KUVUTA BANGI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Subscribe / uwazi1
    MBONGO Fleva wa kitambo, Ferooz Mrisho 'Ferooz' amekiri kujihusisha na uvutaji wa madawa ya kulevya aina ya bangi, huku akiipinga vikali umivi wa kujihusisha na ubwiaji wa unga.
    Katika mahojiano maaluj na Kipindi cha Mpaka Home nyumbani kwake Sinza jijini Dar baada bya kuvamiwa usiku mnene, Ferooz alisema: "Nilikonda kwan sababu ya mawazo ya kufulia na kushuka kimuziki, watun wakasema navuta madawa ya kulevya, ukweli ni kwamba....," unajua Ferooz alifunguka yapi mazito? twen'zetu...
    FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

КОМЕНТАРІ • 291

  • @sbizzowakunyumba4532
    @sbizzowakunyumba4532 3 роки тому +14

    Dahhh nimeumia sana kusikia huna mtoto huna mke wala Mpenzi jamani dahhh kama nawe umeumia gonga like

  • @nikitadiamorelivingstone2831
    @nikitadiamorelivingstone2831 6 років тому +4

    nakupenda sana ferooz hasa nyimbo zako za zamani, wewe. ulikuwa ni msanii bora sana na nyimbo zako zilikuwa na maana, sio hawa wauza sura na watafuta kiki wa siku hizi nyimbo siku moja imeisha chuja, huwezi amini nikisikiliza nyimbo yako ya starehe.yaani naiona mpya sichoki kuisikiliza, jipange rudi kwenye game Mungu atakusaidia, maishani kukosea ni jambo la kawaida na hasa ukitambua makosa yako bado muda unao wa kujipanga upya.

  • @sarafinasarafina3144
    @sarafinasarafina3144 4 роки тому +4

    Ferrouz We love you so much come back to the GAME ss umetusahau we love your music tunakukubali

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla2170 2 роки тому +1

    Nakumbuka tokea 2010 nahisi kuzisikia nyimbo zake kama ileee ya ukwimwi
    Yupo ivo ivooo hajabadilikaa
    Mashallah
    Hajazeka bado yuko fresh

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 6 років тому +12

    Madawa atumii anavyoonekana.wanamzushia kumuharibia maisha lakini ujachelewa nikutie moyo songa mbele usiogope mungu atakuinua tena kazana jipe moyo usikate tamaa mungu anaweza

  • @georgedinda7400
    @georgedinda7400 2 роки тому +1

    Huku kenya huyu bwana tunamkubali kwa kweli aisee, kazi yake yaoneka kwa hakika.

  • @roselineojwang6176
    @roselineojwang6176 6 років тому +1

    Farooze ujachelewa, people learn through mistakes, just focus like never before your voice is amazing. You will make it this time . Be blessed

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 6 років тому +15

    Usiogope. Songa mbele maisha yanabadilika kuishi geto nimaisha tu omba mungu pambana bado ujachelewa usiogope kaka kunakupanda na.kushuka jipe moyo wa kusikiliza watu songa mbele

    • @edwardkasubi1495
      @edwardkasubi1495 6 років тому +1

      Atukuzwe mungu daima arise and shine
      Yeap kuna kupanda na kushuka

  • @Amishjuma
    @Amishjuma 6 років тому +7

    Ferooz big up bro you can still make it life is full of ups and down dnt give up chaĺlenges modify life ... ferooz binadamu nilazima mitihani na Mola hawezi kukupa mtihani ambao huwezani kwani yy nimkarimu...

  • @husnakisungu5095
    @husnakisungu5095 4 роки тому +2

    Nakupenda nakumbuka Sana nyimbo yako ya wema wangu umeniponza

  • @hadija846
    @hadija846 6 років тому +3

    Mwimbaji mzuri sana😘🎉🎊💖💝

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga9538 6 років тому +4

    zidisha elimu my bro feronz na mungu yupamoja nawe

  • @nurloy510
    @nurloy510 6 років тому +13

    I love you uuuu ferouz nitafute nita kubusti kipenzi

  • @paschalfrancis7674
    @paschalfrancis7674 6 років тому +6

    penda sana bro angu mungu awe nawe daima

  • @OctavianiRongino
    @OctavianiRongino 2 місяці тому

    Aojamaa dazi nunda tunawapenda sana wakizunguka nchi nzima watajaza kwenye shoo zao ila wafanye mazoezi ya viungo watapendeza afia zao hasa Daz baba ana mwonekano wabangi ila wakizunguka nchi nzima watatajilika watu Wana nia ya kuwaona

  • @mutumbamicheal1451
    @mutumbamicheal1451 2 роки тому +1

    Love u Ferooz, I pray u come back big

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 6 років тому +6

    Ferous songa mbele upo vizuri sana

  • @isaacopolot2027
    @isaacopolot2027 3 роки тому

    Pole sana Ferooz kwa hayo yote ulioyapitia. Lakini ni bora utafute bint moja atakaekusaidia kunyoosha maisha yako. Kinauma sana kutokuwa na watoto wala mke ukiwa na miaka hizo. Namkubali sana Ferooz. Ni msani kubwa sana yeye

  • @WandeMagembe-qs2fc
    @WandeMagembe-qs2fc 2 місяці тому

    Kaka ucjly kaza roho mke mwema utapewa n Mungu kaka nakupenda sana ingia ulingoni nakuaminia tuliza akili ipo cku utapata mke mwema wa kukuthamini jinsi ulivyo pia nakuombea mji ulio mwemaaa kwenye usanii nakuaminia kura zangu ziko kwako achia ngoma weweee

  • @halimaramadhani1135
    @halimaramadhani1135 6 років тому +2

    songa mbe mungu yupo toa nywele izo kaka yangu pia andaa tamasha mpenzi tujilushe

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu2208 6 років тому

    Mungu hufukarisha tenahuenuwa omba mungu mm kutoka Kenya nakupenda frz

  • @hakikaoman5925
    @hakikaoman5925 6 років тому +5

    uskate tamaa mungu yupo muombe mungu atakuitika tena .amiini

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 роки тому

    kaka mungu alikupa kipaji tufanye nini uludi kama zamani tunapenda nyimbozako zazamani mimi siko mu tanzania lakini nakupenda sana natamani usimame de 🇾🇪🇨🇻🇰🇳

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 6 років тому +2

    Pigana my bro utafika kwa nguvu za ALLAH

  • @mariamoman7593
    @mariamoman7593 6 років тому +16

    hata ungea yake iko poa hatumii madawa jaman binadam tunajua kuzush ya MTU bila uhakika

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 6 років тому +1

    Mungu atakusaidia tu mwaya usikate tamaa ni kweli umekonda sana

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 років тому +6

    Inasikitisha sana daaah maana huyu Ferooz aliutoa sana mziki wa bongo na nyimbo zake zilikuwa na mafunzo sana daah

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 років тому +5

    Huyu Ferooz n stress tu znamsumbua ila jamaa anaongea kiutu uzima sana , Kipindi kizuri sana sema Presenter huyu n miyeyusho tu ...

  • @mushqafei6034
    @mushqafei6034 6 років тому +2

    mbna uko juu unaweza baba

  • @lifestarkoech759
    @lifestarkoech759 6 років тому

    Mtafute professor Jay bro akube kazi c lazima uimbe hadi useeni

  • @leonardmtemi9125
    @leonardmtemi9125 4 роки тому +1

    Ulinatujaaaa sanaaa nyandebheeee hahahaaaa

    • @johnmuna7428
      @johnmuna7428 2 роки тому

      Nhana ghete o nyanda oyo we na tujaa

  • @fatumatunu2208
    @fatumatunu2208 6 років тому +2

    Usikate tamaa tumaini lingaliko mungu anajibu lako mm mkenya twakupenda ferooziii

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali95 6 років тому +1

    Mungu akubariki urudi kwa game

  • @MufaridjitchirimwamiAugustin
    @MufaridjitchirimwamiAugustin Місяць тому

    Namupenda sana ferooz sana natamani kumuona

  • @duahamud1377
    @duahamud1377 6 років тому

    wasanii wa bongo hawapendan na tabia yao wengi ukiwaona pamoja ujue wote wako vzr kiuchum na waweza sema ni marafiki.mabest zake wapo wa zaman na wako vzr tu kiuchum lkn wapo kima😏😏.Tabia mbaya hii tuwe wachamungu na tupendane ukweli wakupendana sio kinafiki.ferooz sio mtu wa kuhangaika kulingana na marafik zake wengi wako sawa tu tupendane jamanii❤️

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi6147 6 років тому +1

    safi sana ferooz kibabe ka mm

  • @prayzoodmaraboy796
    @prayzoodmaraboy796 6 років тому +2

    Wewe ndo diamond wazamani

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 6 років тому +5

    Stareh mlizipenda Ila mwishowake mbaya na kweli ferooz wew jaman saivi ungekuta unamke na watoto maskin lkin for now kweli itakuwa ngumu Kwa Hali iyo na usawa wa magu huu sidhan

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 3 місяці тому

    Pamoja sana

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 6 років тому

    Safi sana bro mràdi ujitambue .lakini we omba mungu

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier5444 6 років тому +7

    Kutoka ujerumani mkenya dogo rudia mahewa nakumbuka nilipokua bado naishi kenya ngoma poa

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Рік тому

    Unaakili sana feroz

  • @zuhuraally171
    @zuhuraally171 6 років тому +1

    Mungu atakusaidia

  • @Lahyzeecrucial
    @Lahyzeecrucial 6 років тому +4

    Mtangazaji uko poa sana big up to you bro✌✌✌

  • @prayzoodmaraboy796
    @prayzoodmaraboy796 6 років тому +1

    Nakukubari feruz

  • @dullahmfaume3350
    @dullahmfaume3350 6 років тому +2

    Ongea vzr mtangazaji

  • @ramah16
    @ramah16 6 років тому +1

    Ferooz nakutambua sana sauti yako iko sawa

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 роки тому +1

    Feroooz nyimbo zako nzur zinaelimisha jamii nazpenda sana

  • @bkm1048
    @bkm1048 6 років тому +1

    ferooz songa mbele natarajia kazi kubwa kutoka kwako unaweza nakuamini

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 6 років тому

    Pole kwa kuzushiwa

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman7159 6 років тому +6

    penda sana fferozi

  • @mudrikilitoine9945
    @mudrikilitoine9945 6 років тому +1

    Iko powaaaaaaaaaa sanaaaaaaa

  • @silverrichard2975
    @silverrichard2975 6 років тому +1

    Yeah

  • @habsammussa8176
    @habsammussa8176 Рік тому

    Mtangazaj hana talent kabisaaaa

  • @hamiduissa6599
    @hamiduissa6599 6 років тому +6

    pambana Broo ndo life hakuna kurudi nyumaa you are gentroman

  • @mashadaudi8862
    @mashadaudi8862 5 років тому

    kaka umetuangusha bado tu nakupenda sana buana ludi utupe ladha kaka maneno ya wat yasikuangushe 😢

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 6 років тому

    Pole sana bro usijali utachanganya tu

  • @kennethsamwely1810
    @kennethsamwely1810 6 років тому

    nimefurahi sana kumsikia feroon live

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga6132 5 років тому +2

    Mtangazaji kama vile mlevi sijui nikutathimije yani we sio mtangazaji unaboa bro.

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 років тому +2

    Jamani brighton wacha kumuuliza ya undani.

  • @starvstargsoldear6388
    @starvstargsoldear6388 6 років тому +1

    ila bro mkweli sana katika maisha yako

  • @mawesebaby5560
    @mawesebaby5560 6 років тому

    Tumekumis brooo Rudi kwenye game

  • @Rahmamatengo6114
    @Rahmamatengo6114 6 років тому +1

    Sauti yako inalipa bana tunakupenda bado rudi ufanye kazi na miss nyimbo zako zaukweli

  • @nurumasunga6079
    @nurumasunga6079 5 років тому

    Mtangazaji bado sana

  • @barakasophereth4896
    @barakasophereth4896 6 років тому +6

    Hatumii hiyo siyo sauti YA kutumia Dawa.

    • @mdunungumbaa635
      @mdunungumbaa635 6 років тому

      Nina namba ya ferouz anaetaka anicheki 0762580922 nimpe

    • @mdunungumbaa635
      @mdunungumbaa635 6 років тому +1

      mtangazaji uko poa,achana na maneno ya watu,watu wanao sema haujui kazi wala sio wana habari,cjui mtu unawezaje kujua ubovu wa gari na spea inayotakiwa wakati hata garage haukujui.watanzania tupunguze ujuaji tuwaachie wenye taaluma zao wafanye kazi,mtu ni mpika maandazi ila anakosoa kama amesomea habari

    • @cestlaviecestlavie4073
      @cestlaviecestlavie4073 4 роки тому

      @@mdunungumbaa635 , iandike hapa hiyo namba yake, uku ulaya wana mmisi

  • @mussatendeli6909
    @mussatendeli6909 6 років тому +3

    hata siamin kama huyu ndo yule ferooz Wa starehe

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 6 років тому +13

    Wema wangu umeniponza bonge la nyimbo

  • @fatherjaytz
    @fatherjaytz 5 років тому

    Unahoji vipi wew mbna hujui

  • @user-ik3ey9cs9e
    @user-ik3ey9cs9e 6 років тому

    Pole sanaa.

    • @nightrobert6669
      @nightrobert6669 6 років тому

      Mazwali gani hayo wemtangazani,uliza maswali yenye akili

  • @fatmat6883
    @fatmat6883 6 років тому +4

    Ya usijidharau ulivyo kaa simple tu dunia ni mapito.

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 6 років тому +1

    Naomba Global muwe mnapitia hizi koment tunazoweka,Huyu mtangazaji masalu mwambieni atulizane na Mic,hatulii

  • @levinakiluga3023
    @levinakiluga3023 Рік тому

    😂 nyinyi niwambea sana muwe mnaomba namba za simu ili kuomba appointment khaaaaa! Mtapigwa siku moja

  • @mussayusuphu5436
    @mussayusuphu5436 6 років тому

    Love ferooz

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 роки тому

    Ungekuwa ungefuga vidread

  • @peterngaramila8218
    @peterngaramila8218 5 років тому

    Global TV mtangazaji wenu hajui kuhoji

  • @billgatezebedayo2287
    @billgatezebedayo2287 6 років тому +1

    Du powa sana

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 років тому +6

    Mtangazaji ulisikia shilawadu Nini Kwamba anauza samaki mmeenda kumuona kazi nzuri

    • @fatmakiruwasha1752
      @fatmakiruwasha1752 6 років тому

      Binadamu tumeshindikana Yani hatutakiani mema kabisa

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 6 років тому

    Haya kama upo single nataka namba yako nianze kukutongoza sasa maana skuizi ukingojea kutaftwa na mwanaume utaishia kuzeeka home bora umtafute mwenyewe na usipoteze mda kusubiri kutongoza kama mwanamke unajiamini sana unatakiwa ww ndio uwejasiri kwa kutongoza nikikosa namba naja dar kukutafuta ferooz.😁😀😀😀natokea congo.

    • @bakarimwinyi3301
      @bakarimwinyi3301 6 років тому

      Nafisa Mohamad wale madem viumbaumba wapo?😊😊😊

  • @bonnysure1082
    @bonnysure1082 6 років тому

    wew Jama unazinguwa ujue mbona Maswali ya madem2 pengine hata ww ujaoaacha hizo😂😂😂

  • @ismailisaidi5613
    @ismailisaidi5613 6 років тому

    Hongera brow ila umepoteza pumz fanyanya mazoezi yapumzi

  • @lusekelomwasanga2815
    @lusekelomwasanga2815 6 років тому +5

    mtangazaji mlevi balaaaa aisee maswali hayana ata mukshe mukshe ulevi mbaya chek chekin uyu jamaaa dah hapa global hamna hahaha ebwana eeeh

  • @JosephatSivirike
    @JosephatSivirike 4 роки тому +1

    Huyu bingwa yuko hai ama alitangulia mbele ya haki??? Nauliza kutoka Kenya

  • @newkhamza1339
    @newkhamza1339 6 років тому +2

    tunakupenda ferooz

  • @arafaiddy8962
    @arafaiddy8962 6 років тому +4

    sawa fresh tu

  • @DIMOXCHITAH
    @DIMOXCHITAH 4 роки тому +2

    Kma umeipenda nyimbo hiii bonyeza hapa kusikiliza tena 10:21

    • @sylviemugeni1887
      @sylviemugeni1887 2 роки тому

      tu natamani uludi kaka

    • @sylviemugeni1887
      @sylviemugeni1887 2 роки тому

      tunaomba ata uludi tena kaka utupe namba ya simu yako tusa idiyane 🇨🇻🇨🇼🇾🇪🇺🇲

    • @sylviemugeni1887
      @sylviemugeni1887 2 роки тому

      Wimbo wako mpaka lewo watufunza usi katetama utapita

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 6 років тому +1

    Brighton badilisha style ya kuzungumza unatia mbwembwe hadi unakera jaribu kufanya km Calvin Shayo...
    Ferooz kaza buti life lina mengi ww bado mkali na mashabiki zako still tupo na wewe

  • @mohamedtabir7713
    @mohamedtabir7713 6 років тому +2

    nampenda sana ferooz

  • @basagabernad4253
    @basagabernad4253 6 років тому +17

    Huyu Mtangazaji hafai na hajui kufanya interview...
    Yaani kipindi hakivutii,hajui kuuliza maswali,Anaropoka ropoka tu....
    GLOBAL TAFUTENI MTU MWINGINE

    • @sakinandoile9439
      @sakinandoile9439 6 років тому

      Basaga Bernad wamrudishe Calvin Shayo huyu dogo hawezi

    • @basagabernad4253
      @basagabernad4253 6 років тому

      +Sakina Ndoile
      Na pale Global Nzima Calvin Shayo ndio baba yao.
      Yule anajua anachokifanya ndiyo maana wanamtumia saana ktk matukio ya live 'Kuripoti habari za Live'
      Halafu sijuwi kwanini Global hawasikilizi wala kufanyia kazi maoni ya wafuatiliaji wao...ambao ni sisi...
      Ili kipindi kivutie ni lazima Watangazaji wawe ni wenye kujiongeza na kujua nini kifanyike.

    • @swagazerotv9320
      @swagazerotv9320 6 років тому

      Ddda huyu mtangazaji anaboa

    • @basagabernad4253
      @basagabernad4253 6 років тому

      +swaga Zero tv
      Saaaaaaaana

    • @zondomkali2205
      @zondomkali2205 6 років тому

      Basaga Bernad.mimi ni mtangazaji nadhani ntawasaidia wana globo.wanitafute 0752454400

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud8306 6 років тому +8

    Rudi kwenye ibaada brow achana na muziki.

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 3 роки тому +1

    Mtangazaji amelewa

  • @mustafakijuso2356
    @mustafakijuso2356 6 років тому

    Safi ferooz unaweza

  • @mbarakasaidi8243
    @mbarakasaidi8243 2 роки тому

    mtangazaji miyeyusho

  • @mariamsuleiman7159
    @mariamsuleiman7159 6 років тому +2

    nakaza roho

  • @pastorywilson2622
    @pastorywilson2622 5 років тому

    PGA kaz kaka unaweza

  • @elizabethcharles4902
    @elizabethcharles4902 2 роки тому

    Mi namtaka jaman

  • @zainabumussa2965
    @zainabumussa2965 4 роки тому

    Sijakuona kwenye ngem mda nimekumisi Sana kaka

  • @sylviemugeni1887
    @sylviemugeni1887 2 роки тому

    Uwimbo hauwezi kushindanidhwa ata sisi majilani tunatamani kumu ona Aki imba tena tuna muomba de utupe namba ya simu yako tu sa idiyane 🇨🇷🇨🇷🇨🇻

  • @mishisaidi8696
    @mishisaidi8696 6 років тому +4

    saluti kwako Ferooz inapendeza

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 6 років тому +6

    Usiombe mambo yawe magumu halafu asili yako ni dsm..huna kijiji cha kukimbilia ukalime.mmmmh!

    • @calvinpaul9141
      @calvinpaul9141 6 років тому

      NICHOLAUS MBILINYI
      Atar sana unaeza jnyonga

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 5 років тому

      Kher yangu nimezaliwa kijijn aisee jiji likinishinda tu nafungasha mzigo yangu narudi kijijini

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 3 роки тому

    Feruz njoo unioe Mimi basi tuyajenge