DIAMOND - "ALIKIBA NAMPA HESHIMA YAKE, UGOMVI WETU CHANZO NI HIKI"
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- DIAMOND - "ALIKIBA NAMPA HESHIMA YAKE, UGOMVI WETU CHANZO NI HIKI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #Diamondplatnumz #FOA
Nice interview with the Truth thinkings mr SIMBA . 🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
Jaman weweeeeeee diamond......love u haki
..💞💕💞💕
Sawa SIMBA 🦁
King kiba noma🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King kiba
Hungemtaja Kiba katika ep yako sijue sura yako ungeiweka wapi kwa sababu kiba njo kiki yenyewe
Bwege anajikosha
Basi mfanye Ngoma
Ndio maana nakubali sana mond
Kumbe bado hajakua huyu
Umenipendeza kwa kumpa heshma the king of bongo flavour #Alkiba since 2003 likes for kiba zije
KINGKIBA THE CROWN IS YOURS 👑😂😂😂
Ali kiba is a generational singer....since he came out 2007 he has still maintained....much respect from Kenya 🇰🇪 2022
Mnafk mkubwa wew asiyekujua nan wew kwenye Media mtu mzur lkn nyuma yakamera nyoko
Punguza makasiriko ndugu
Diamond bila kumtaja Kiba Ep yake haina mfuto wowote
EP ilishavunja records kabla hata ya hii interview, tena ina-trend mpaka kwenye nchi ambazo Kiba hawajawahi hata kumsikia.
Fq
Kojoa ulale unaongea ka taira
Saanaaaa
Bila Kiba wewe ni Bure tafuta kiki kama zoezi lako Bali Kiba yupotu na atabaki kua mfalme Wa bongo fleva
Wacha majivuno kaka....the songs in Ali's album are all heat songs...ww sai Hadi utumie wasani wenye nyota Yao inangaa kama Zuchu na Mbosso....
Anakuumiza sana nini?
"siku nikifaa bado mtabaki na umoja?" strongest line ever,kama mna boss anawawazia wafanyakazi wake mambo haya basi is da best place to be.
Simba kwenye Ep.yako umejitaidi sana ila kuhusu album ya king ni fire ilekinoma. ..mule nyimbo zote zimenyooka yote kwa yote mnastaili sifa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwambie ukweli asiseme ka single kamoja
Asante sana umenena vizur.
Tatizo ht
ama kweli sisi ngozi nyeusi akili hatua diamond kamuongelea alikiba kuwa ni kaa ake pia kaanza mziki kabla yake kwahio anampa heshima ila sasa kwa mashabiki maandazi wanaongea vitu vya kipuuzi kweli kweli yaan hadi mnaboa 😀😀😀
Cc nyani mwanangu hatunaga jema hasa bongo kuna majitu masenge hatar
Pamoja dangote
ndo maana sisi watu weusi kila kitu cha hovyo tunaletewa sisi kwa sababu ya akili zetu haziko sawa sis tunachojua ni comment za mitandaoni tu
.
King kiba moto yao mkubali uyo nihatari
Album ya Kiba ni kali kwa kweli nyimbo nyingi zitadumu kwa muda mrefu, japo zuri kwa Ali hajisifu kokote kuhusu mauzo kuhusu pesa, na huo ndo utu wenyewe
Umeongea vizuri sana
Mauzo hayaihaji kujisifu bali ukiingia kwenye digital platforms streamings kila kitu kinaonekana, hiyo ujisifu au usijisifu hakuna siri linapokuja suala la mauzo.
Hata asipojisifu watu watamsifu kama angeuza sana coz namba zinaonekana tu huwez ongopa
Your 💪
Siku zote pesa hazihitaji kelele. The king must be respected.
Alikiba ni Alikiba tu huwezi kumpata popote,anaweza kukaa kimya hata miaka mitano na akirudi bado atahit tu.
akae saiv tuone
kiba nimtu sana wewe mtu mmoja mkimya sana
@@zawadkimaka22 uhakika
Ingawa ww ni mnafki mkubwa, na unapenda kujifanya usionekane mbaya, kama unaujua ukubwa wa king kiba nisaw kbxxx
Punguza makasiriko
Makasiriko hayo
🤐🤐
Tena nyoka mkali sn uyo harmonize awezi kumuongopewa yale maneno yte arf smuezi yle kaaga kwao arf kutoka wsb alikuwa amejipanga
ila uyu jamaa mbele ya camera unaweza sema mtakatif kumbe hit zoteee za dogo ujasikia kwel unaonekana una chuk kweny moyo wako
Ametumia kipimo cha mauzo kwenye digital platforms na haangalii kelele za mashabiki mandazi, hit songs hazihitaji kelele bali streams za kwenye digital platforms ndiyo zinakupa majibu.
Sasa wewe ingia huko ndipo ubaini kama amesema ukweli au amedanganya.
@@unclepwechnov1381 inahusu akwende
Juma natural nae?
Hivi unaweza kufananisha albam ya kiba na huo uchafu wako ulioufanyia kiki mwezi mzima kama ww ni bora usifanye kiki uone kama utatoboa unazungumzia wasanii wenzako vibaya mwanaume hutakiwi kuwa.mswahili sifa zimekutawala
Et uchafu we usafi wako uko wapi Kuma wew
I always respect this guy by the name diamond if you also love him just like my comment.
nimekuj kuwasababu ya mfalme Albamu yake ni hater nasio hii yako ya kiki kuimba wenzio
Ili hit kwenda wapi?
@@009biafra8 acha bangi
@@mariamseleman4631 Ndo unambie kuma lako wee kwamba il hit wap m siongei kama Mpumbavu mwenzako.. we have to talk statistically
@@009biafra8 Kuma la mamaako mara10000000000 acha bangi msenge baridi ww
Linataka kusema foa pamoja na a boy from tandale kuna nyimbo zilzozd albam ya king kiba mmmmh aaah wapi na cku zote ukiona mtu anajisfia mwenyew hivo anza kujua kaogopa hahahaa gemu inabdlika kunayo sasa hivi harmo ali kiba kunayo marioo wanataka kiti sadal wapishee maana foa nyimbo kumi ni moja ya kutaja majina ndio inackikaa
Mm sina ushabiki wa timu yyte lkn kwa hili mond tuache maaan unajiproud sana na hakuna cha maana unchofanya mm ninachoamn kiba na harmo wanaimba mziki mzur tena wenye mafunzo ila wew uNatoa nyimb sizizo eleweka all in all kinachokusaidia wew au tofaut yenu nyny ni kwamba wew unajua kupromot kitu japo kwa fos ilimrad kiende wao wakitoa wanaacha fans zao ndio waendeshe acha mambo ayo fanya mziki km ulokua unafanaya zman si sasa bro
😂😂 mondi bna bil kumuongelea kiba mamboyko hayaend
🤣🤣🤣mabonde mengi lazma apige Kona kona
Jiulizeni mbona kachukiwa na professor jay kwanini tofauti na wasanii wengine🤔🤔🤔
Xx professor j ndo mungu mtu au😂😂😂
Ali kibaa ni legend kwnye mziki Tanzaniaaa...si kumzidii diamond Tu Bali wengi Kati ya wasaniii alipoanza mziki alikiba walikuwa hawatambuliki wala hawakuwa wanatarajiwa
Yupo kwa kiki ya Diamond ila huwezi linganisha Diamond na takataka hizo
Anamzidi mond na nn nambie plz nijue
HAKUNA ANAYEKTAA....KUWA RECENTLY PLTINUMZ IS ABOVE DA REST.....LKN WHAT Am saying yaan kiukomavu kimziki anafaa kumpa respect
Pia kiba asingonekana kama siyo kina dully so tamaa ni taji la ufalme wapewe kina dully k8n mr blue hukoo
Kwa hyo tunakubaliana kuwa alikiba kashindikana😆😁😁
Tumeisha kuzoea Bwana kikitu huna lolote ulimkuta Kiba na utamuacha kama ulivyo mkuta na bado utapotea kabisa
SASA DOMO ANATAKA KUSEMA KWENYE ALBUM YA KIBA NI UTU TUU NDO ILIYO HIT SI UKOROFI UYOO ALBUM YA KING KIBA NI HIT 🔥
Kwel ilo
Kytet Mackam: Diamond ndio msanii pekee mwenye maendeleo ya kuonekana Tz msanii mwenye media yake sio wakuomba airtime Clouds na EFM heshima saana kwa Simba
Hajataja Ni Album Ya Msanii Gani.. Huo ni uchonganishi mzee
Mbona in lia Sasa😂😂😂😂
@@slimmuhabesh2400 we hujamsikiza kaa usikilize alafu ndio ufungue kinywa
Nyimbo zote kwenye album ya alikibaaa kali sio utu pekeeeee niteke
Kuna kitu kinaitwa hit song..
Utu ndio hit peke yake ata kwenye hii FOA mtasuburi inasonga zaidi ya zote
Utu Moja > FOA yote
King is to be respected by everyone 👑 Kiba
Alafu wat did he meant kwamba kwa ali nyimbo iliyohit ni mojA ktk album yake??
@@mankarichard5851
Ndiyo wimbo ulio-hit kwenye album, nyingine zilipotea lakini huo bado una-trend.
@@unclepwechnov1381 wewe unajua maana ya nyimbo
@@unclepwechnov1381 mhhh sio huo tu albamu ya kiba ina hit nyingi aseh sio utu tu
Tukiachana na ushabiki albamu ya alikiba yani nyimbo zake zote n mziki mzur mziki utakaoishi.sio utu peke ake aseh zipo nying
Toka wewe huna lolote mshamba wewe hata useme nini nipe mkono tushindane kwanza
King of bongo flava alikiba ni Kama Maji.
KingKiba is Utu na utulivu that's say👑👑🙌🙌
Husemi ukweli tatizo ndo kinachomuuzi muuni hata hapo umedanganya
Alikiba atabk 👑 king t na n mwanamuziki sio msanii wa muziki km diamond ngoma moko inakonga myoyo kila kukicha utadhani verse mpya respect for king kiba
King Kiba Noma....🇰🇪 🇰🇪
Acha unafiki mwambino pritending aikusaidiii😝😝😝😝😝😝😝😝😝
Huyo ndo Kiiini.Atupishe.Tangu aoneshe kuchukia Harmonize, ndo tukarudi kumpenda kaka yetu Tembo.He Was my WORLD Favorite.But now personally I hate how he tries so hard to bring Harmonize down which infact shows how bad he is.When he came out,we held his hand as funs so why go mad on onother's growth.East Africans musicians so talented but they have LOCAL MENTALITY WHICH WON'T WORK/RHIME WITHTHE WORLD speed/hour
Album ya King Kiba ni classic nyimbo zote Aache ujinga huyo boya
Upo sahihi unachoongea lkn je unajua maana ya hit song? Hit song ni nyimbo pendwa zaid au inayozungumziwa zaid ktk album, kwa mfano wizkid alivyotoa ile album yake hit song ilikuwa ni essence,, ndo ilikuwa gumzo kwahyo hta album ya king kiba gumzo ilikuwa ni utu 🙌🙌🙌
Na huyo boya album yake ana nyimbo gani ambayo ni hit
Hujamuelewa mond vzur ajasema mbovu amesema tu kwamba ametoa album na amepata hit song mfno utu ssa ajasema kwamba et ndio utu moja 😂😂
@@rogathjmrema2221 mm hta jina la ep yake sijui
Boya mama ako
Kiba NI musician
Diamond NI msaniii !! Nawapenda wote, ila umemongelea kiba kinafiki Sanaa,
Asa kuna unafki gani shabiki ww.. mbn unakaza kichwa
@@eltndice7381
Komaza ubongo !! Usikurupuke Siyo kila comments NI za kishabiki
Asa ushabiki umetokea wapi nawe... kwan ww ndo unajua siri zao nn
Ila yaishe bhn dada tuwaache maana sisi tubabishana wao wanapata na hela kabisa ... so beat it lady😂😂😂😂😂
Wivu itawaua
Huyu jamaa ni matako eti utu ndoo hit pekee
Yaan diamond wallah we haumuwez kiba kwa kila k2
Hela na akili anamzidi
Tunajua kwamba unaipapromo album yako.
Ila king simuongeaj sana. Nasisi ndotunaokijua kipikizur ambachokinaish mudamrefu.
So kiba yupo vizur sana.
Ila diamond maneno unarejea sana kaka
sio album ni EP
Uyo nyimbo zake za kitambo ndo nzur sio sasaiv sk 2 tu azinautam
Unafiki mtupu.....
Alikiba kumzidi pesa sema ni mtu asiye ropoka
We fará Kweli ananini alikiba
Pesa haijifichi ..ukipata hela utajua
Piga kazi kwenye watu hawakosi nyani mungu humuweka juu alie sahihi
Mungu/MUNGU sio mungu
Wasafi bila Kutaja King Kiba hainogi😂😂🚮
Hauna akili
Kbs
@@edinaedward8985 wewe uko nayo na haikusaidii🚮
King Kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mozambique 🇲🇿
".....na nyengine za kizungu" Our African artists 😂😂😂whats the problem with western languages😆😆is kizungu so hard our broder
ETI UTU NDO IMEHIT PEKEEEE AISEEEE WE JAMAAAA UNAONGEA VITU GANI NOW DAYS ...
Album ya King unasema utu imehit only? Album nzima ngoma zote fire umepaniki! Crown ni ya King Kiba
Mimi sijamsikia Ali kiba kuzungumza diamond na hata ikifikia kwenye interviews anaulizwa swali kuhusu diamond pia hua anasita maswali yanayo mhusu diamond lkn kila diamond anapo kua kwenye interviews lazima atajitetea kua yeye mtu mzuri kwa kila mtu wskati watu wanalia kuhusu.
Binadamu buana😂😂😂
Watu wabaya ndivyo walivyo😅
Kaangalie interview yake kwenye Sporah show, tena alimsema vibaya sana. Huo nimekupa mfano mmoja tu wa fasta ili ujibaini usivyomjua Kiba.
Ziko interview nyingi sana amemzungumzia.
@@unclepwechnov1381 Niliangalia na hajajibu vibaya. Aliulizwa kwanini hawaelewani Ndiyo Ali akaeleze nini kilifanyika mpaka wakakosana...Ndiyo hii swali Diamondi anajaribu kujibu saa hii lakini Mondi alivyo mjanja amejibu kiujanja...Ukweli ni kwamba Mondi anajua alikosea ila hawezi kukumbali.......
@@betrue33
Hii wao kuwa against each other ilikuwa engineered na Clouds media(late Ruge to be precise).
Kiba wakati wa comeback yake ndiyo Ruge na Diamond walikuwa wamezinguana, Ruge ni business genius hivyo akaona kumpaisha Kiba fasta na kutengeneza rivalry between the two and for sure it worked.
Ruge alihakikisha hakuna mainstream TV au radio stations zinazopiga nyimbo za Diamond and remember it was before this social media era lakini tatizo la Kiba hayuko aggressive katika biashara ya muziki. Biashara ya muziki si rhymes na sauti nzuri peke yake.
Kipindi hiki cha laiti kama late Ruge angekuwa hai Harmonize jinsi alivyo mgalalizi angepata mtu mwenye akili ya strategies kama late Ruge ujue Diamond angepata challenges haswa.
Kwanini unamuongelea sana mtu kakausha
Nashangaa
Kwahiyo agome kujibu maswali? Kuna wanaopenda kusikia hizo issues na kwa asiyependa channels za kuangalia zipo nyingi.
Huwez kuwa kama Ali.kiba miaka buku
Kuma wew
Alikiba is a world class artist,,,and ever shall be,,Much respect
Mnafki mkubwa uyu mmemfanyia allykiba mabaya mengi sana
Hiyo ni tabia ya harmonize anatoa album haina hit hata mmoja and then anatoa ingine bado ni bure tu
Mmh!! Teacher Konde. 🔥🔥🔥
Waaaah ngoma gani ya harmonize haikuhit mbona watu mna wivu na harmonize
@@whitetigerprincy5882 tunazungumzia album ya high school niambie ngoma hapo ina views 1M audio si videos
@@officialkassimu7791 kaangalie Tena ww kilandege
😂😂😂
King ni king tu kibaaaaa♥️♥️
KINGKIBA ♥️
Hapo sawa kwakuona kwamba Alikiba ndo mtu mukubwa kimziki, tena, ndio anaheshima yake, but I like all you guys. Hongereni sana nawapongeza kwenye kazi zenu nzuli, Alikiba ni mtu mkuu katika mziki! 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
diamond platnumz is phenomenal at what he does, but all he said in this interview ia hypocracy at its best.
Ongeza sauti hatuoni
Harmonize anakutesa sana sadala ukweli kinachokubeba sasa ni jina tu huna jipya umekimbia kujificha ku copy wanigeria
Mwambie makonde ache kiki apambane na muziek ,anatumia nguvu lakini wapi 😁😁
Unalijua nazani unaumia
Badala ya kuwaza ukifa amali gani nzuri itakusaidia kaburini unawaza shetani wa mziki. Innalilah
Ss ww kwnn ukaangalia
Na wewe huku kwenye hii channel umefuata nini, kwanini usitumie muda unaopoteza huku kwa 'mashaitwan' ukawa una-recite Quran.
Unafiki si jambo jema.
Mnafik wa taifa choko wewe
usikute umewahi kuwaza kumtoa kafara mama yako uwe tajiri
Hauna akili mbwa wew
One love kïng. Kiba ni mkubwa kuliko wewe
I learn that...to be a star it doesn't mean you need to always work with stars... it needs motivation and the push inside you, always be humble and learn..
Hii interview ina unafiki kibao. Ivi huyu dogo anamaana kwamba kwenye Album ya King ni nyimbo moja tu Hit. Aache ushamba. Alafu, mbona mmakonde anasaka tonge bila kunyali mtu. Alafu King amekita hii miaka yote 20 sababu ya kutoa hit ilo nalo ajue.
Kwa alikiba umeongeya ukwl kwmba album haina hit moja ina hit nyngi kwl...lakn kiukwl kwa mmakonde hapo kk haupo sahii yen konde ndo anatafuta tonge bila kunyali watu??...sio kwl
@@sullehtz9327 ishu ni ivi kaka, Konde wanamtafutaga hawa jamaa ndio maana akimind sana anawajibu. Ila we chunguza utaona nani anaanzaga ugomvi. Wamuache dogo apae kivake, kwani ilikuwa ni lazima abaki WcB? Mbona ni kama wanaogopa sana mafanikio yake.?
Anajipya uyoo
Haka kajamaa nikahongo sana
Kwenye album ya Alikiba make yote ni HIT iyo album yako kaka sjaona hit😂😂😂
🤔 really aujaona hit ?
@@DetectiveMinion hajaona🤣🤣🤣
Diamond lini katoa album au mauzo yamewafanya mchanganyikwe kwamba n Album
Namshangaa asee kaimba utopolo anajisifia
Walai
Icho kipande alichosem kuna wasanii walitoa album haikuhit nyimbo hata moja wakaaanza kuhahaa na kutoa nyimbo nyingine🤣🤣🤣🤣
🐘🐘 huyo dogo anahaha sana daaaah,yani work done is equal to 0...😂
Hhhhh
Lkn hajataja msanii
@@slimmuhabesh2400 😂😂😂😂
😂😂😂
Kama Hana cuki kwanini hataki wangine wapite anakaa anakataza watu wasifanye kazi nawengine ..mnafki
Umeona
Hio ndio strategy ya kazi huwezi kukubali kushindwa kinyonge kazi ni kazi Ni sawa na Mungu amuache Shetani ashinde kisa tu Mungu ni upendo 🤣🤣
Hasa anawazuiaje!?....
@@BigZhumbe Dai mnafki sana
..na ndo mana nasema ivi beef la Dai na harmonize nilakimatabaka eti uyu katokoea Milimani sisi wa mjini ...,mimi nasubiri nione ..hakuna mwanzo usokuw na mwisho ...
@@karimfazil388 hivi kwann usimshindanishe msanii wako na msanii wa nje kama burna au wizkid
DIAMOND YUPO KWA ALLY KIBA,HARMONIZE YUPO KWA ALLY KIBA,ALLY ANABAKIA NI MTU AMBAE YUPO NEUTRAL
Alaf hana mafanikio
Ali kiba Hana mafanikio hata ww unamshinda
@@009biafra8 mafanikio gani ambayo kiba kakosa kweny mziki? Kwani nn maana ya mafanikio?
@@Machafukoyajiji Ndo unambie marehemu kibamia ana kitu gani? Mafanikio ya kazi za mziki wake umefika wapi internationally? Financially etc. Maana Diamond haina haja ya kukueleza
@@009biafra8 Ndomna nimekuuliza nn maana ya mafanikio katk Muzak. Maana ana international collaboration, Album yake ni miongoni albamu zina stream nyingine, Na tuzo za kimataifa mfno km Mtvema ambayo mondi nayo, show nje nchi hayo c mafanikio?au Unatak akauonyesh kiasi chake cha fedha benki acha kukaza fuvu
Umetumia kejeli nyingi kumzarau kiba ila huna cha kutumia kuuzika mziki wake
Acha ushamba kiba Yuko vizuri Wala ana tambo
King 👑 Must be Respected!!!! If you can't Beat him Join Him
Kujua mengi kwenye maeneo ya Muziki, Chakula, Filamu na Matembezi.
Pitia UA-cam yangu!
Ali kiba albam yake nyimbo zote nzuri ,🤐🤐 Ila ww mwenyewe albam ya boy from Tandale mbavu tuu.
Mshamba tu album nzima ya King ni mawe hatariii tupu. Labda yeye hio EP yake ni vichekesho kwakwel kuna nini humo 😂😂😂😂
WOOOOW I love Simba's maturity 💓💓
Hujakua ukimwelewa huyu mimi huwa sifungui hata chochote mpaka nilipofikia hapa
Mziki wa bongo ni majungu over talent
Kwaiyo Ngoma za ticha zimebuma😁😁😁😁😁album ya High school
Wivu tu
No strategy ndo shida
Kwa mtazamo wake ila kwangu bado ipo juu na inasikilizwa kama kawaida
After Alikiba anafwata Jeshiiiii 😂😂😂😂🇰🇪
King kiba atabaki kuwa king yebaba
kila siku omy una muliza kusu Ally kwani hauna maswali yengine alafu Ally kiba amshukuru wema sepetu mana baada ya kuachwa na mondi ndio akawa ana tapa tapa aka kugombanisha na ommy na uyu Ally
King kiba100 mungu akulinde napenda song zako zote
Only one king imehit na sio utu tuu!!
Huyu baba anapenda kiki;bila kiba we ovyooooo;mwenzio ata akuongelei
King amekuxidi kila kitu mbwaaa weee
Album yako yakisenge sana haijahit hata moja yaan we jina tu ndio inakubeba saa hizi lakini huna jipya...unayemsema album yake haijahit ndo kwanza yupo on fire hadi unamtolea maneno ya mafumbo kumbe anakuumiza kichwa.
Jina ndiyo linambeba? Hao wengine wanafeli wapi mpaka washindwe kubebwa na majina yao au wao ni underground?
Bila kuwa mkubwa kimuziki hauwezi kuwa na jina kubwa lakini jina peke yake kama nyimbo zime-flop haliwezi kumsaidia.
Katoe yako nzuri
Album gn tenaa sio ep jmn
Nawewe yafuta jina pia nakushauri punguza makasiriko dear
😅😅😅kwani jina ni la nani?Hadi limbebe? comment nyingine bhana
Diamond Platnumz 🔥🔥🔥 ua-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/v-deo.html
ua-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/v-deo.html
ua-cam.com/video/XTyrqyX30Vg/v-deo.html
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
King kiba ❤️
Album yko umewaza waza tu 😂lakini Kuna utu na utulivu kma utaendelea kuwaza waza kaskilize utu na utulivu upate🥰
Simba nimekulewa sana umeongea ukweli NAWAZA Imetisha 🇹🇿🇹🇿