Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho
Hayo ni mawazo mgando Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube... Hilo ni tatizo Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30 Shida iko wapi?
Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.
Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe .. Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars
Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️
@@bina2557 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏ukimtanguliza Mungu atakuinua in the most unexpected way.
Hiyo kazi inafaa sana.
Asante.
Huyu ndo DC Sasa sio yule tunamuona ktk mbio za mwenge tu👏👏🤝
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
Hongereni kina mama na vijana kwa juhudi ya mnao zifanya kwa kutafuta hela kwa uhalali najasho kuliko kufuatilia mashetani ya maframason kwa kutafuta. utajiri washetani bila kutoka jasho
😊😊😊
Nnaeneolangu hekamoja hapa kisarawe pwani mnaweza kunisaidiaje kulima hivyo viazi?
Tunapataje namba za wausika amcosi au madame hapo
❤
kaeni tu mjini na kupiga mizinga ya MB kufuatilia Umbea mitandaoni, fursa ziko nyingi huku shambani
Wanaofeli wanakurupuka bila kutumia watalaam
Hyo ni kwelii jamanii ukikifuatilia vemaa inatoa Sana hyoo
Na hiyo fursa Unaingiaje je lazima uwe ni mkazi wa njombe au?
Amna ni wewe tu kuwekeza
Kumekucha 🎉🎉🎉🎉
Dada Utasaidiaje nyumbani kwenu uliko toka -Rungwe,Wewe ni mkuu wa wilaya wa mfano,Kwanini usipate Uwaziri?
Hhaaaa haya 😂😂😂
Mm hilo nimeliona nikweli
Dada umefanya la maana kufanya hiyo project.
Na mimi nataka naomba namba ya sim
Rorya BBT mumefika wajameni wengine tuko tayari.ugumu ni mkuu wetu wa wilaya usani umezidi mama president mbadilishe hakumfai huku mpereke mjini
Mkuu wenu wa wilaya ni nani
hicho kiazi kinachukua muda gani kuanzia kupandwa hadi kuvuna?
Ingia shambani huitengeneze hiyo mill. 8😅😅
Mbengu inapatikana wapi?
Hapa tumepigwa nakitu kizito kwa eka moja milion 8 😂🙌nabei zenyewe hazielewekagi
Labda Mungu alitaka tu kumuinua kiumbe wake angalau kidogo kwa hiyo akamuonyesha hiyo neema
Jaribu kuwa na mawazo chanya. mwenyew kashakwambia faida yake ndo iyo! ww ulokaa nyumbn kwako unataka ubishane nae. Aya endelea kusema wamekupiga
Hayo ni mawazo mgando
Mtu alie shambani anakwambia uhalisia na unakataa
Unataka tukuamini wewe uliekuwa youtube...
Hilo ni tatizo
Hata ukipata milioni 3 kwa hekari moja kama ukilima hekari 10 tayari una milioni 30
Shida iko wapi?
Sijui.hiyo.ekari. imetoa. Gunia.300 labda
Siyo kweli
Kwa Hela Moja Nina mashaka
Kwanini?
Watu wanafanya wanafanikiwa nyie mmekaa mnapiga porojo hapa
Ndiomaana watanzania na waafrika wengi ni masikini haswaa
Inawezekana sangita inazaa sana
DC kasema heka 1 inatoa gunia 180 adi 200 uyu mama ambae ni mkulima anasema heka 1 inatoa gunia 120 mpaka 130 😂😂
Tatizo ra africa hiri uongo mwingii jpm ndio arikuwa ananyooshaa sasa wewe kopa jichanganye ire kwako waone wenyeji utapata ukweli
Hii kitu imekua na upendeleo Sana wengi tumeachwa.
Viazi vyenyewe ni vitamu, vina unga???
Nipo mkoa wa Njombe mimi ni ngumu saana kuamini
Uwamini nn sasa
Usieamini ni mvivu
Kwa sisi tunaolima ni ngumu kuamini
@@MiriamAbdallahkwaiyo wewe unalima ila hupati faida sio
Hata hivyo kwa mkuu wa wilaya umepata hasara, aliye nacho huongezewa.
Millard nawe umefikia huku???
Wakilima wote ivo gunia itafika 50,000
Tunaomba mtufikie mkoa wa songwe, wilaya ya ileje, umalila
Inawezekana ama isiwezekane kupata faida ya million nane,ikiwa bei ikawa juu elfu hamsni ni kweli ila ikiwa elfu 30.ni faida kidogo.ikiwa elfu 20 kipeto umepigwa.
Niulizeni Mimi
@@veromwanji haya nakuuliza nambie ndugu
@@veromwanji Au nipe namba unielezee vizuri
Hat kama.bei 50 labda angesema matzo jumla.m8.ila sio.faida.
@@MwanjiNzala-mo5nimbona hata huyo mama kasema faida mil 8 hadi9? Kwahyo na yeye anatudanganya?
huyu mama napafahamu kwake nitamuuliza
Tuhungeni na sisi tupo njombe msanyo uku lugalawa
Je nilitaka mbegu nitaipataje
Watu walime
Hii viazi Kenya ndio tunalima na uwa na pesa sana uku huitwa shagi ..but hiyo bei yenu eti sijui millioni ngapi sijui pesa ya Tz iko aje labda niabiwe ..
Kenya hii ngunia moja ni 4000ksh ~35dollars
Huku ni 20 dollars
Sasa nyie huko kwenu bei ndio ipo juu huku gunia moja ni 15 mpaka 20 dollars
Sio porojo au uongoo ni UKWELIII,, nipo niombee hapa
Mungu wangu nipe namba tutafutane huko njombe tulime wallah
@@omanoman2044unadanganywa kwa heka moja yaani mita sabini kwa sabini hapana
Unalima??
Naomba namba yako ya simu
Na Kenya Je
Kipimo vp au
🥴🥴🥴🥴🥴🤐🤐😷😷
Acheni porojo hizo jmn kaah
Kwa heka moja faida milioni 8 hapana tumepigwa na nondo kichwani
@@MiriamAbdallah umeona ee😂😂
😂😂😂😂😂😂 matapeli
@@anoldjose7793 kwa mimi mkulima haingii akilini, kwa heka moja yaani mita sabini Kwa sabini sio kweli
Acha uongo Mheshimiwa tafadhali
Mita sabini kwa sabini jamani au zaidi hii si kweli
Wapeni Vijana mikopo ya kuanzia
Naijua hii😂😂😂
Hivyo viazi ndani ni vya njano au vyeupe???
Vyeupe
@@EddahBure-te7ft Hivyo wala chipsi hawavipendi sana.Wanapenda viazi vya njano ndani.
@@shyfettymtunda4619 eti eeh bas mm bora kiazi nione kikubwa tu ndo napenda sijui kama vina njano au laa ngoja ntaanza kuchunguza
Mm nlichogundua hapa ni kua huyo mkuu hiyo ml 8 hivyo viazi hakuuzia hapa Tz ameenda kuuza nje na ndio mana wakulima wenyeji wanakataa kama sio kweli kwasbb wao wanauzi hapa hapa ✍️
Panya kweli nyie
Huu ni uhuni
Hizo Bei ni nyundoo 🤣🤣🤣🤣 mnajitangazia biashara
😂😂😂😂😂
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
Ilikuaje bro..niandikie mawasiliano yako
Ilikuaje kaka.. niandikie mawasiliano yako
Niandikie mawasiliano yako
Jaman simuwaambie wabunge na mawazir walime jaman..akat mm nmelima Mara tatu Njombe nanimekula hasar
Kupata hasara haimanishi kwamba hautafanikiwa kwa. Mara nyingine
@@bina2557 . Shida iliyopo hapo Ni kwamb huyo aliehojiwa kahojiwa wakat Bei ya kiaz imepanda,naakat mwez uliopita tumeuza viaz 35 had 30 ..unasemaje Kuna faid na kuwashaur klwatu wawekeze kwa wing na wakat unajua chakul kikiwa king lazima kishuke Bei..
8mil. Inapendeza sana.