#MNATUCHANGANYA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Hii ndiyo ilikuwa staili ya uimbaji wetu,siyo kama ninyi mnavyo imba utafikiri umeshikwa na degedege

КОМЕНТАРІ • 387

  • @ifakisetumbaboy3749
    @ifakisetumbaboy3749 Рік тому +18

    Amen
    1 Bwana ni Ngome Yangu Ni Muogope Nani??
    2 Tembea Na Jesus haleluya Amen.
    3 Nimefutiwa Deni Mwenzenu Sidaiwi Tena.
    4 Nimekombolewa Nae Aliyenirehemiya

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 4 роки тому +100

    tuliolielewa church la huyu mchungaji tujuane kwa kutupia like...then twende tukaimbe wote

    • @khalfanifarisy7398
      @khalfanifarisy7398 4 роки тому +2

      Nyie mnaimba kwa ruksa ya nani? Hamuoni mnajifananisha na makahaba? Isaya 23:16) Asema Bwana (Yaweh) Mwenyezi-Mungu. Halafu pia hapa siyo Israel. Soma Zaburi 81:1,4) Hapo ndo kwao ilikuwa ruksa. Na siyo wakati wa kusali, alisifiwa Mungu nje ya Salah. Zaburi 150:6)

    • @mariamjuma2908
      @mariamjuma2908 3 роки тому +1

      Kwa hiyo kuimba ni dhambi au

    • @richardsikazwe9197
      @richardsikazwe9197 3 роки тому +2

      Ubarikiwe baba

    • @danielofcars2920
      @danielofcars2920 2 роки тому

      Tu ungane tu

    • @kennethkasese1933
      @kennethkasese1933 2 роки тому

      @@khalfanifarisy7398 11

  • @modesteessau8032
    @modesteessau8032 4 роки тому +15

    Wazee ni hazina mungu akubaliki sana Askofu magembe

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 6 місяців тому

      Ni kupondana tu hamfundishi kumcha Mungu ni wivu tu unawasumbua

  • @PrivaNamutala
    @PrivaNamutala 11 місяців тому +2

    Barikiwa Saana mungu Akupe Maisha marefu

  • @metridamihama3087
    @metridamihama3087 4 роки тому +11

    Nmecheka San barikiwa San mtumish Mungu aendeelee kukuinua

  • @TamaraJacob-e9m
    @TamaraJacob-e9m 12 днів тому

    Nakukubali Sana mtumishi was Mungu, naomba no yako

  • @saudakabogo
    @saudakabogo 3 роки тому +4

    Baba barikiwa sana kwa mafundisho mazuri ya kipentecostal, mpigaji wa vyombo pia ubarikiwe umeziwezea kabisa nyimbo kwaya ya zaman

  • @nellisongodfrey5847
    @nellisongodfrey5847 4 роки тому +3

    Mungu ndie atapima sikuhio yup aingie ufalme wake na yupi abaki maana wamuabuduo mungu wapaswa kumwabudu mungu kwa roho na kweli

  • @jimmlnsn4123
    @jimmlnsn4123 4 роки тому +13

    Utukufu wa mungu Bado upo hata sasa kwa wing na ofcoz kufanya ulinganifu wa kipind cha nyuma na kipnd hchi kwenye suala zima la wokovu nikukosea hamna tofaut na kujiihesabia haki kujiona you are some how better than others siafiki acha watu wamuimbie mungu mtu anaweza imba amen hallelujah na Bado roho wa mungu akaflow so kuna mentality mbaya sana yakuona wokovu kipind cha sasa hamna kitu siafiki neema ni ile ile nguvu ya wokovu ni ile ile roho wa mungu ni yuleyule

    • @ELIPHAZAMON-ex9zc
      @ELIPHAZAMON-ex9zc Рік тому +1

      Unapotaka kweny maadili ya Mungu lazima wakuonye uache

    • @bestkatunzi2824
      @bestkatunzi2824 5 місяців тому

      ​soma vizuri utamuelewa@@ELIPHAZAMON-ex9zc

    • @NANKULANGEJR
      @NANKULANGEJR Місяць тому

      Upo sahihi sisi tunasikiliza ujumbe na siyo biti ivyo Mchungaji aache kujiisabia Haki🙏

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Місяць тому +2

    Daaa Magembe jamana piga injili upo juu

  • @emmanuelnnko-dv1th
    @emmanuelnnko-dv1th Місяць тому

    Asante baba magembe nakuombea Mungu akukumbuke siku za mwisho love so much dady by Rev E Nnko

  • @josephsibale4283
    @josephsibale4283 4 роки тому +9

    Aaaa mchungaji kumbe unasauti nzuri baba , Nabarikiwa sana kila nikutazamapo .

  • @ombenimathias5275
    @ombenimathias5275 4 роки тому +13

    Kila Jambo na wakati wake,sio Lazima tuwe na style za miaka ya 70 -80......Madam tunamtukuza Mungu katika Roho,hata daudi alimchezea Bna na Style zake amazing ....

    • @rizikimshindo2177
      @rizikimshindo2177 4 роки тому +4

      Kwa namna hiyo kea kwenda na usasa injili ya kweli utapoteza kabisa

    • @dieudonneniyokwizera3124
      @dieudonneniyokwizera3124 4 роки тому +3

      Kanisa la Leo sio kanisa...ni kama guest house...ukubali au usikubali,kanisa ni lazima turudi enzi za kale

    • @stevenomanga4637
      @stevenomanga4637 4 роки тому +2

      Sio lazima tuimbe kama zamani eti ndo mungu anasikia,,

    • @ombenimathias5275
      @ombenimathias5275 4 роки тому +2

      Kanisa ni Kama Guest house ,uliesema hivyo huo ni upumbavu,hauwezi fananisha Kanisa la Mungu na Guest.... Nonsense

    • @twinkleeddy9263
      @twinkleeddy9263 Рік тому +2

      Baba mchungaj nabalikiwa sana na mahubiri yako

  • @EvelynNgombe
    @EvelynNgombe 10 місяців тому

    Mungu akupe maisha marefu baba kanisa len lipo sem gan

  • @CeciliaMkenda
    @CeciliaMkenda Місяць тому

    Very talented pastor🎉🎉🎉🎉

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 9 місяців тому +6

    Kweli sahivi kuna sifa za kawaida sana yan nyimbo za zamani ni motooo

  • @shaddybajila761
    @shaddybajila761 2 місяці тому +2

    Mbinu kali ambayo adui shetani anatumia sai ni kwa katika nyimbo hizi za kumsifu Mungu ameachiliya chembe ama harufu ya dunia watu wakiwa kwenye kusifu wengine wanapata style ya duniani

  • @furahamwemera4570
    @furahamwemera4570 3 роки тому +3

    Amina🙏🏽 Mungu azidi kukutiya nguvu Mutumishi wa Mungu!

  • @traffedrdc3585
    @traffedrdc3585 4 роки тому +1

    Mafundisho haya yananikumbusha hali ya Kanisa la kipentekoste.
    Kweli ni baraka ikiwa tutafuta sote kuongozwa n'a roho mtakatifu katika utungaji wa nyimbo.
    Mungu si wa kisasa ,ni yule yule Jana,Léo hâta mille
    Amina

  • @atukuzwegwayovye8504
    @atukuzwegwayovye8504 2 роки тому

    Baba tunakufurahia sana, tunamshukuru Mungu kwa kuwa na wewe Ili kutujulisha njia itupaswayo kuenenda.

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 4 роки тому +8

    Unaimba vizuri Ila mchungaji.
    Ila acha kuwaponda waimbaji wengine
    Hata amen aleluya. Ina maana kubwaa

    • @lawrencehezronmwakalebela2738
      @lawrencehezronmwakalebela2738 4 роки тому +1

      Hujamuelewa mchungaji

    • @WitnessSamson-qc9ie
      @WitnessSamson-qc9ie 9 місяців тому

      Hujaelewa alichomanisha

    • @Wamisangi
      @Wamisangi 8 місяців тому

      Huyu alikuwa kuruta wa ulozi na uganga wa chienyeji kwa babu yake, bado hajavunja maagano ya kishetani aliyo unganishwa kwayo. Praise and worship akizisikia hirizi za maagano ya kichawi zina muunguza.

    • @henricamikambi6147
      @henricamikambi6147 Місяць тому

      ​@@Wamisangijamani!!

    • @NANKULANGEJR
      @NANKULANGEJR Місяць тому

      Umeongea kweli kabisa labda hasikilizi ujumbe vizuri na ndo anakurupuka kuponda tuuu😢

  • @mrambaalphonce2164
    @mrambaalphonce2164 4 роки тому +1

    Bwana yesu alisema zijueni nyakati na majira

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 4 роки тому +7

    Pastor machachari Sana

  • @lukakyauke3258
    @lukakyauke3258 4 роки тому +3

    Mung u akubariki sana mtumishi Magembe Isaya 46;9

  • @adamukiula7892
    @adamukiula7892 2 роки тому +1

    Amina sn my pastor

  • @LUCYSIGE
    @LUCYSIGE Місяць тому

    hubiri neno la mungu siyo kukashif waimbaj mungu hapendi

  • @ivodecatarinanapula-gx8ky
    @ivodecatarinanapula-gx8ky Місяць тому

    Amina Mchungaji, Mungu akubariki zaidi

  • @sospeternzengo1715
    @sospeternzengo1715 4 роки тому +1

    Mwachie Mungu mwenyewe ndo ahukumu cyo kusema waimbaji hivo kwani neno la bwana halipo na wangapi wanasikiliza nyimbo hizo na wanabarikiwa na kuokolewa kupitia mapambio

    • @mathiasstephano8165
      @mathiasstephano8165 4 роки тому

      Hajamhukumu mtu ila anazungumza ukwel, maana kunabaaz yanyimbo zingine zinaibwa kanisani hadi unahisi nimekosea kuja kanisani
      Mfano
      Nacheza kidole.....
      Huu nawenyewe tusemaje??
      Kelekele hahaaa.. Tambilamoyo cjui mann yaan dah!!! Tumelichafua kanisa (amos 6:5, muhubili 7:5)

    • @mathiasstephano8165
      @mathiasstephano8165 4 роки тому

      Kunanyimbo za sifa zingine zikiimbwa had kweli unahisi kubarikiwa
      Zinabariki
      Zinafariji
      Na kugusa mioyo ya watu

    • @bestkatunzi2824
      @bestkatunzi2824 5 місяців тому

      ​@@mathiasstephano8165hata zamani hizo nyimbo zilikuwepo,.hata sasa nyimbo nzuri zipo sema ndio hazina umaarufu, kuhukumu et sasa hakuna nyimbo nzuri Sio kweli na ni dalili ya kujihesabia haki

  • @mariamchimbombwe2571
    @mariamchimbombwe2571 2 роки тому +2

    What a voice, Nabarikiwa sana hasa baada ya kusikia sauti ya baba mchungaji

  • @atukuzwekibona
    @atukuzwekibona Місяць тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @goodmanseguke6971
    @goodmanseguke6971 2 місяці тому +2

    MAGEMBE MUNGU AKUBARIKI BABA

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 4 роки тому

    Nyakati mchungaji,utandawazi unapokuwa na Mambo yanakuwa,hizo ndizo alama za nyakati zilizotabiliwa na manabiii hatuwezi kubaki palepale miaka nenda Rudi,utandawazi unapelekea mabadiliko yoote hayo.Mungu akubariki sana

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 роки тому

    Eti dege dege ,Muchungaji Mungu akubaliki

  • @celestinoluis1326
    @celestinoluis1326 3 роки тому +2

    Aleluias Gloria's a Deus. Deus vos abençoe

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 роки тому +4

    Yesu nibebe wa Roz ni wimbo mzr saaaana una ujumbe mzr na ubariki wengi

  • @irakozefrancine4611
    @irakozefrancine4611 4 роки тому +8

    He can preach indeed.. God bless him

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa7843 4 роки тому +1

    Baba Mungu hakupe nguvu mpya katika haya unanifanya nitafute jinsi ya kuwafundisha watoto wa Mungu

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti3141 3 роки тому

    Wawooohoo najifunza vingi sana kwako

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 2 роки тому +1

    Alleluia ni kusifu

  • @FainesNditu
    @FainesNditu 9 місяців тому

    Mungu akubariki sana pastor.

  • @mgoledaudi6051
    @mgoledaudi6051 3 роки тому +1

    Nimebarikiwa na ujumbe 👏👏👏

  • @EnockObed
    @EnockObed Рік тому

    Good I like that 🙏🙏

  • @phinawatwego7260
    @phinawatwego7260 3 роки тому

    Amina mchungaji.
    Sasa hivi kuna kazi.

  • @yohanamgomambeyale9499
    @yohanamgomambeyale9499 4 роки тому

    MUNGU AKUBARIKI SANA MCH.MOSSES MAGEMBE KWA KULISEMA NENO LA MUNGU BILA KUPINDISHA UKWELI.MUNGU ANA MPANGO NAWEWE

  • @fredkitigwa436
    @fredkitigwa436 4 роки тому +4

    Nakuelewa sana Mch. Maghembe.

  • @MargaretVihenda-c4h
    @MargaretVihenda-c4h 2 місяці тому +7

    Nakupenda sana Muchangaji naomba number yako

  • @paul.shilagi6537
    @paul.shilagi6537 3 роки тому +1

    Hahahha amen be blessed my Pastor injili yako yaponyaaaa

  • @isokoyubugingoofficial626
    @isokoyubugingoofficial626 4 роки тому +3

    Ubalikiwe sana Muchungaji ongea ukweli na utabalikia

  • @kawayarajabu3446
    @kawayarajabu3446 4 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU

  • @phubusa2022
    @phubusa2022 Рік тому

    Oooooh!! Lord,,,, How will we change from the current; only one option being with the real God!!!!

  • @hannapatrick4817
    @hannapatrick4817 2 роки тому

    Asante baba yangu Magembe

  • @winniewairimu3822
    @winniewairimu3822 3 роки тому

    Baba barikiwa saaaana

  • @davidomari8660
    @davidomari8660 4 роки тому +4

    Ww ni mtumishi Mungu

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 4 роки тому +6

    Mungu akubariki sana. Mmebaki wachache wenye kusema ukweli!

  • @espoirmlondani-ue2fm
    @espoirmlondani-ue2fm Рік тому

    Amin nimebarikwa

  • @AgnesMmila
    @AgnesMmila 7 місяців тому

    Mungu akutunze mtumishi

  • @josiahbota8983
    @josiahbota8983 3 роки тому

    Oooh MUNGU atuzaidie manake huwa nashindwa ata tukisiimba aziendi sawa.

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 4 роки тому +1

    Mchungaji Bwana akubariki sana!!!

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo2543 4 роки тому +1

    Hallelujah Hallelujah mtumishi wa Mungu wamboe mambo yanayo faaa tufanye kwa ukweli mbele za Mungu

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 4 роки тому

    Asante mtumishi wa bwana nimebarikiwa

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 4 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishii...

  • @MarthaIsumo
    @MarthaIsumo Місяць тому +1

    Mchungaji nakupendasana unaubili ukweli
    Y
    E
    S
    U akubaliki naomba namba yako baba naitaji mafundisho yako

  • @YohanaBanaba
    @YohanaBanaba 9 місяців тому

    Ubarikiwe mzee

  • @nesielias317
    @nesielias317 4 роки тому +1

    Ubarikiwe kwa kutukumbusha

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo7447 4 роки тому +7

    Kwa kweli Kanisa linahitaji mabadiliko makubwa mno, kinachofanyika kwa sasa katika ibada yaani shetani anatucheka na Mungu anatushangaa, inaitwa bora liende style. Roho Mtakatifu tumemuweka pending tunachanja mbuga kwa kutumia akili zetu wenyewe.

  • @JaphethMbasaRobert
    @JaphethMbasaRobert 9 місяців тому

    Mtumishi muaminifu mbele za MUNGU. Litukuzwe jina la MUNGU baba na baraka za MUNGU na ziwe juu yako.

  • @isayajuliuskaombwe4675
    @isayajuliuskaombwe4675 8 місяців тому

    Huyu ni moja wa wachungaji naohitaji aniwekee mikono yake kuniombea🙏🏻

  • @emanuelinaman8240
    @emanuelinaman8240 4 місяці тому

    Upeo wa juu sana

  • @FurahaAyubu-w1q
    @FurahaAyubu-w1q 15 днів тому

    Amen aaah haruya ameen

  • @aisonnjabula6662
    @aisonnjabula6662 3 роки тому

    Injili iliyohai safi sana baba

  • @sarahmathias1067
    @sarahmathias1067 4 роки тому +2

    Nimekuelewa sana Paster,,,,, Mungu azidi kukusimamia

  • @franaelisumari5108
    @franaelisumari5108 4 роки тому +1

    Utukufu ni kwa Mungu.Uhamsho,Uhamsho,Uhamsho.

  • @robertw.zyunga9599
    @robertw.zyunga9599 Рік тому

    He is the best pastor

  • @Yusuphrevocatus-g3v
    @Yusuphrevocatus-g3v Місяць тому

    Magembe 2024❤

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki1461 4 місяці тому

    Nasikia kama Nandy ila itakuwa nanii😂 magembe safi sana✓🙏

  • @willisonelija7162
    @willisonelija7162 2 роки тому

    Ameen mchungaji jamani mimi nabarikiwa sana na maneno ya mchungaji huyu japo sijui kanisa lake lilipo

  • @irenesimon9107
    @irenesimon9107 3 роки тому

    Mungu akubaliki

  • @christineabel9638
    @christineabel9638 3 роки тому +1

    Really blessed

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 3 роки тому

    Mhubiri nimekueelewa sana tufunue imani

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 4 роки тому +3

    Ubarikiwe

  • @emmanuelnollo5022
    @emmanuelnollo5022 Рік тому

    Haaahaa be blessed legend

  • @mechackmarwa5789
    @mechackmarwa5789 3 роки тому

    Amina pastor

  • @chariteucoun2607
    @chariteucoun2607 3 роки тому

    Poleni sana jamani !

  • @JoelyMtewele
    @JoelyMtewele 9 місяців тому

    Namwamini Sana huyu mchungaji tungepata watu 5 kama hwa taifa Zima lingekuwa sawa

  • @januaryjanuary2685
    @januaryjanuary2685 2 роки тому

    I'm blessed

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 4 роки тому +9

    🤣🤣 safi pastor, nyimbo za DINI lazima ziwe na ujumbe, hapo kwenye ujumbe wasabato wamefuzu kiasi

    • @johnfaustinechannel746
      @johnfaustinechannel746 4 роки тому

      Ni kweli

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 4 роки тому +1

      Hahaha! Hat mimi huwa siielewi kabisa dhana ya " nyimbo za kusifu " na " nyimbo za kuabudu" maana kuabudu na kusifu viko pamoja wakati wote, wimbo wowote anaoimbiwa Mungu ni ibada na sifa kwake. Mawazo ya wanadamu haya, tunayafuata bila kujali Ushuhuda katika Biblia kwamba ni sahihi au la.Yatatupoteza!!!!!

  • @GemaAgustino
    @GemaAgustino 2 місяці тому

    Tutembee na yesu hakika

  • @sidaryotv8821
    @sidaryotv8821 3 місяці тому

    Amina sana pastor

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 4 роки тому +2

    Uyu mzee alitakiwa awe mchekeshaji!!!

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Рік тому +1

    Haya ndo madhara ya kuishi generation isiyoyako, Kila kiti utaona wanakosea, hata vyakula wakila utawaambia wanaharibu pesa, Wanakula vitu vya anasa sana.
    Lakini Siri ya nyimbo ni kumfanya, muimbaji aburudike au ahudhunike hayo yakikosekana, wimbo hakuna maana

  • @PasteurjulienLbn
    @PasteurjulienLbn 4 місяці тому

    Vizuri sana

  • @sangalothmusicking4292
    @sangalothmusicking4292 4 роки тому

    Mchungaji nimepata kitu cha kunisaidia hapa asante Mtumishi.

  • @charlesjacksontz267
    @charlesjacksontz267 3 роки тому

    Hatali sana moto uliwaka apo

  • @ayubukilinda633
    @ayubukilinda633 Місяць тому +2

    Kanisa lililobaki na uimbaji wa kicho na heshima ni Sabato pekee fatilia nyimbo na staili za uimbaji za sabato.

  • @rehemadaudi550
    @rehemadaudi550 Місяць тому

    Kapumzike nyumbani mzee, umechoka maana ulikuwa unatumia nguvu nyingi sana

  • @faustinhaule7562
    @faustinhaule7562 3 роки тому

    Safi Sana pastor

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 7 місяців тому +2

    Zaman wa watu walimba kwa lengo la kuhudumia jamii zao.sasa wanaimba ili wapate umashuhuli na afanikio yao binafsi.

  • @ewhite2806
    @ewhite2806 4 роки тому +1

    Mchungaji Nakukubali sana Ila nyakati zinabadilika, lazima haya yatokee ili yaliotabiriwa ktk biblia yatimie kikubwa mteule azidi kujitakasa ndivyo neno lisemavyo huwezi kuzuia yasitokee itakuwa Ni kulipinga neno

  • @FlorenceKirigo
    @FlorenceKirigo 9 місяців тому

    Ndio naamini postor sikuhizi hakuna real worship I miss those dayys

  • @alamusictz
    @alamusictz 4 роки тому

    Amina sana barikiwaaaaa