NYAKATI ZA MWISHO NA HUMPHREY POLEPOLE - WASAFI TV
Вставка
- Опубліковано 28 гру 2020
- Haya ni Mahojiano niliyofanya na Wasafi TV katika kipindi cha Wasafi Sunday Worship kuhusu Nyakati za Mwisho na kurudi kwa Bwana wetu Yesu Kristo ili atuchukue ili alipo na mimi na wewe na yule tunaomwamini tuwepo. Karibu kusikiliza na Mungu akakupe kibali cha kuelewa. Amina.
Zingatio: Maudhui haya ni yangu binafsi kama Muumin wa Dini, Mkristo, Niliyeokoka, Ninampenda Yesu na Ninakwenda Mbinguni. - Розваги
Utukufu kwa Bwana Mwema Hongeleni kugundua Polepole ana kitu mbarikiwe Sana Abarikiwe kujua Neema Hii ya Yesu Kristo Aliyehai Imependeza Sana Glory to God In Jesus Name.
ni kweli nimeamini MUNGU anavyovifaa amejisazia. usilete kiburi kwa YESU ana watu wengi kwa ajili ya kazi yake.
Yan KIPINDI hiki nimekipenda Sana ila nyie watangazaji msimtangulie my polepole anapokuwa anaelezea, muwe wapole kumsikiliza misidakie maswali just KWA juu mnamfanya mtu hata asahau alichotaka kumalizia
It's true
H. Polepole asante kwa ufafanuzi, ubarikiwe.
Amakweli duniani tunapita kila mtu kaka tunapaswa kufanya mema2 maana hapa dunia twapita tuheshimiane na kutendeana mema2 usifanyie mtu unaya ukaona utafaidika mungu akusimamie kaka upo sawa sema ukweli hata kwenye siasa simama hivyo
Hizi dakk 42 nimeziona kama dakk 5 zimeisha ghafla. Hili ni muhimu sana kuliko jambo lolote lile.
HUMPHREY UNA JICHO LA KUONA KWENYE NENO LA MUNGU, UNA NURU YA MAANDIKO! I appreciate you brother.
Gotchaaaaa😂😂😂😂....kumbe huku pia upooo
@@stratega03 Nipo sana....mti uliopandwa kando ya maji lazima uwe Kijani hahahaha
Weeeeeee huyu kuna mwalimu kahusika mambo haya yapo vyuoni msitudanganye kwamba ni Roho
@@pst.mathewnestory4201 kama ni hivyo pia anastahili kupongezwa kwasababu tuna watu wengi makanisani na madhabahuni ambao wameikataa knowledge na hata mwalimu hawako tayari kumsikiliza.....so kama mtu amejifunza to this level then he's teachable
Kweli kabisa unachokisema,wengi wao hawawezi hata kuelezea pamoja na kwamba wamejifunza
Sikujua kuwa mh.wewe ni mtumishi mzuri WA BWANA kiasi hiki,,hakika umefundisha vyema Somo ambalo ata watumishi waliosomea huwa hawalifundishi vzr kama ulivyofundisha,,taji yako utaikuta Kwa BABA..Barikiwa Sana...
Somo kuhusu unyakuo ni kweli, lakini kurudi kwa Bwana Yesu kati ya 2035 au 2042 haitakuwa exactly. Kwa sababu hata muda wa waisraeli kukaa Misri ktk utabiri ni miaka 400,lakini wakakaa huko miaka 430. Mwanzo 15:13. Lakini ikaongezeka na kufika miaka 430. Kutoka 12:40. Kwa hiyo hatakuwa ktk hesabu hizo, lakini ktk kipindi hiki cha kutoka mwaka 2000- na kuendelea unyakuo utatokea. Ndugu Polepole amejitahidi ktk kuwaandaa watu kwa ajili ya unyakuo, ila asiwaaminishe watu kuwa ni kati ya 2035 au 2042, Bwana Yesu anaweza kurudi hata sasa. Thanks Wasafi.
Nauliza swali kwanini kati ya wanafunzi wa yesu 12 wote walikuwa wanaume
@@melikkatwiga1081 wanafunzi walikuwa wanaume ila pia wanawake manabii walikuwepo na walimfuata kama Maria magdalena, Martha.
Aligawa kazi kulingana na ilivyompendeza.
Comment yako nmeona we ndo umejarbu kua against nmekuelewa lakn pia neno linasema hakna aijuae SKU wala SAA kwaio hyo ya 2042 mm skubalian nayo
Sawa umetoa hoja ya kupinga, ingekuwa vema utoe na somo la wapi imani yako imesimamia katika maandiko.
@@zephaniazacharia519 hamtajua siku wala saa lakini unaweza kujua season au mwaka....kutokana na Yesu aliyosema yatatokea kabla ya siku ya mwisho.
mbaka sasa 99% yametokea ina maana rapture/ unyakuo ni anytime from now. Ukisoma bible with the help of holy spirit utafunuliwa calculations zilivyokaa.
Nimekuelew mh pole pole asante kwa neno la mungu miaka 120 ukifanya mema hapa funiani kwahiyo maneno ya hayati jpm na matendo yake yote yapo kwenye bibilia asante jpm mi pia nampenda mungu wangu
Sasa nimeelewa hekima YAKO inakotoka!!
Hongera Sana.
Ni Kweli Kabisa!! Ndugu!! 🙏🙏🙏 Nimeelewa Piah
O
Sasa nime tambua kwanini ulikua pamoja na hayati Magufuli, hakika taifa tunayo hadhina ya kutosha.
Mungu tupe njia ilio bora pekeetu hatuwezi 🙏
Namshukuru mungu taifa letu limepata viongozi werevu ,wanaojua nyakati vizuri
Kaka
Mungu atusaidie kuimarisha Imani zetu na mafunuo ya neno lake.
Asnte kwa Neno mtumishi.
Pole pole ndo anaongea wokovu halisi ambao haujachakachuliwa wokovu wa ukweli ukifuata haya ukaacha dhambi zote na ubaya wa kila namna hakiyanani mbinguni lazima uende.amina
Nimejikuta2 nalia baada yakuskiliza kipindi hiki kuanzia mwanzo had I mwisho hongera sana mh polepole kuna kitu nimejifunza kutoka kwako MUNGU akubaliki pamoja na wote mliopo kwenye hii injili
Kaka Humphrey polepole, Nimeamini Mungu yupo kazini. Tunashukuru kutukumbusha kuhusu kujiweka tayari. Hakika Mungu anatupenda, mweye sikio na asikie.
Ni kujiandaa yuko Karibu Yehova Ema neno halibadiliki usiongeze usipunguze ufunuo
Ndo maana Prez Dar wetu yuko vizuri anazungukwa na wacha Mungu kama hawa. Good sana.
Usilewe sio kila atajae jina lake yu kamili
Humfrey Mungu akubariki sana umenifundisha sana ila unakarama ya utumishi
Kaka polepole, wewe ni mtumishi wa Mungu. Tumika tumika. Ni nyakati za Mwisho
Kaka barikiwa Sana Mungu akubariki sana
Mungu uliye juu Nakupenda sana mungu barikiwa mtumishi wa mungu
Haya mahubiri ni ya kweli?
Hubiri sana baba mungu atakubariki sana
Mungu akubariki mh nilimuomba Roho mtakatifu anifundishe nisiyoyajua nashangaa huku nako nimeongeza maarifa
Safi sana, kweny siasa upo na kwa Yesu upo!!!. Mwingne akishaingia kweny mambo ya kidunia Mungu anamweka pembeni!!. Utawala huu wa Mh. J.P.Magufuri ni utawala ambao Mungu anatukuzwa sana kuliko tawala zingine zilizopita!!. Hongera mtumishi kwa ujumbe mzuri
Polepole hongera Sana wewe kumbe ni mtumish wa mungu
Yesu atusaidie sana hakikaaa, ubarikiwe kutukumbusha
Kwanza kabisa nina kila sababu ya kusema, MUNGU asante kwa sababu unatupenda watoto wako ndio mana unaleta hawa watu waseme,pili nawashukuru kwa dhati wasafi waliomwita mtumishi huyu,na mwisho kabisa Shukrani za kipekee kwa polepole, ninakusihi ulio tufundisha amina naomba uyaishi hayo mpaka YESU atakapokuja kutunyakua tulio watakatifu,amen.
Yesu anarudi ndugu zangu nikujiweka tayari ndokilichobaki hali inatishasana sana wapendwa asaukiangalia waubiri waleo wanaojiita manabii badala wawaambie watu ujiowa Yesu kurudi wao wanapambana kusema pokeaaa uyoanaeambiwa pokea ndokwaza unaishi na mume wa mtu au anadaiwa na damu zisizo kuwa na hatia kwa kutoa mimba hakika Mungu atusaidie lkn hali ya sasa inatisha mwenye masikio na asikie
Binafsi nampenda Sana Yesu ,,ni kweli hakutaja siku maalumu ya kurudi maana alisema hatujui siku wala SAA ,,lakini dalili zote za kurudi kwake aliziainisha ,,asomaye na atambue ,,Mambo haya wamrgichwa watu wenye akili na hekima wakafunuliwa watoto wachanga, ila si wachanga wale unaowajua wewe,,Groly to God
Mbona nabii Daniel alioneshwa siku za mwisho ni lini?
@@dannychagana3019 okay alisema ni lini?
@@eddyjuniortz2234 soma Daniel 12:1 - 13 utaona aliambiwa ni lini mwisho wa mambo haya. Ila kumbuka siku moja kwa Mungu ni sawa na miaka 1,000 kwa mwanadamu
Pia ni kweli kabisa kusema; hakuna ajuaye siku wala saa ya siku ya mwisho. Ila kwa mujibu wa Daniel mwaka unajulikana. Tuendelee kutafakali kwa amani mambo haya bila kuogopesana
Hahahaaa msipofaham ni kwamba siku ya mwisho ishafika na kazi zilishapimwa kwa moto
@@chrismassawe326 mmmmh chriss kweli?
Hubirini watu waokoke, wamjue Kristo,kina masanja na wahubiri wengine
Tuache mahubiri yasiyowaandaa watu!
Ushajiuliza kwann miaka hii kuanzia 2019 mpk sasa Mungu anachukua watumishi wake waliomtumikia kwa uaminifu,hataki watu wake wauone huu uharibifu
Na kwel
Kaka Hamfey kiukweli. Umenifanya nimgeukie Mungu tangu sasa maana kila ulichokisema ni kweli tupu. Binafsi umenifanya kua na wivu sana na wewe kwa namna unavvo mjua Mungu ungali bado u kijana. Nakuombea kwa Mungu tamanio lako la kuingia Mbinguni litimie kwa Jina la yesu kristo. Amen
Wewe taira kweli kweli
Pole pole ni kweli mengi yametokea me naamini kweli siku zimeisha
Barikiwa sana mheshimiwa kwa ufafanuzi mzuri na kwa unyenyekevu mkubwa kama kawaida yako,
I have lent a lot, Mungu wetu wa mbinguni aendelee kukulinda.
Amen Amen Amen ukiachilia mbali na siasa ana karama ya utukufu wa MUNGU hakika kiongozi wa kuigwa na MUNGU akuinue kwa huduma yako Amen
Amina,Hakika Tusilete kiburi kwa Mungu anawatu wengi
Mungu wa mbinguni akubariki Kaka Polepole kwa Kazi njema uliyoifanya
Kaka hamphrey mafunzo yako yamenifundisha roho wa mungu awe pamoja nawe
Bwana Yesu nitenge na dunia nikauone uzima wa milele. barikiwa mtu wa Mungu Polepole.
Tumrudie mwenyezi mungu kwa mema ili muda ukifika tunyakuliwe wote kwenda binguni
Kaka polepole una maarifa mazuri sana ya Biblia. Hongera hiyo ni hazina na ni neema ya MUNGU kwako. Umenibariki mno mno 👏👏👏
Huo msanii, kusoma hio bb kawaida
Neno la MUNGU ni kweli kabisa. Na litahubiriwa popote mahali popote na yeyote atakaetakiwa kufanya hivyo. AMEN
Amini mtumishi wa Mungu ni wakati wa maandalizi.
Asante sana kwa kujenga kiroho ni mekusikiliza vizuri sana katika mafundisho haya naubarikiwe sana
Polepole, nimemkubali!hakika ni mtumishi wa Mungu.
AMINAAA KUBWAAA'SAANA SAAAANA AISEEE NIMEPOKEA HUU UJUMBE MAHUSUSI KWAAJILI YA KANISA LA KRISTO NA WANADAMU WAKAAO JUU YA USO WA NCHI. TUCHANGAMKE TUKAINUE VICHWA VYETU KWASABABU UKOMBOZI WETU UMEKARIBIA
Aisee Yesu Kristo ni mwema sana.Ndio maana watu wanaonyeshwa sana unanyakuo sasa hivi Nyie chanjeni tu
Mungu ni mwema sana. Humphrey Polepole uendelee kufundisha. 🙏
Mungu ndo mwema atuongoze katika mema yote asant yesu kwa kunifia msalabani nifutie jina langu kwenye kitabu cha huku ameni
Kweli kabisa nimejifunza kitu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kusimama katika haki ya Mungu, wewe nikiongezi imara usieteteleka umeonyesha ushupavu kama Gwajima, nyinyi mnafaa mmebeba watanzania wengi sana natutaendelea kuwafuata mawazo yenu tumewaona nyinyi ni viongozi wazuri mnafaa na tutawapa kura za ndio tena zakutosha, sisi tunawafuatilia sana kwenye mitandao mko makini mno mnamapenzi mema na watanzania wengi Ahsante 🙏🙏🙏
Mtumishi uko sahihi siku zimeisha tujiweke tayari tumtafute zaidi Mungu na kutengeneza mahusiano yetu Yesu Kristo yuko mlangoni sana
Nimegundua kuwa watu wengi walioitwa kutumika wame diverge na kuingia kwenye masuala mengine kabisa!
Shetani mjanja sana,lkn Yesu ni Bwana itafahamika tu
Ndugu Mh. Polepole kumbe umekuja Hadi humuu safi sana mkuuu 🇹🇿❤️🙏🏽
Nimebarikiwa sana mtumishi polepole🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mh Polepole Asante kwa kutufunulia hayo maneno yenye hekima kwa wale wamwaminie Mungu alietuumba.
Tunaomba uwe na kipindi cha kuwaelimisha wana wa Mungu ili hata wale wasiomwamini wajue ipo siku na saa ambayo kila wanadamu awe tayari kuyapokea hayo mapito.
Wonderful Safi Sana Atukuzwe Kristo
Napenda sanaaa kusikiliza maneno ya Mungu
Ivi Yesu akija sasa kuna mtu atajitetea kuwa hakusika neno maana Mungu anajaribu kutumia kila aina watu maadamu akufahamishe kuwa wakati umekaribia ni wakati wang na wako wa kujutakasa na kujianda kwaajir ya unyakuo Mungu akubariki sana mheshimiwa pole pole hakika umetumika vyema sana na Mungu pia azidi kukutumia zaidi katika kutimiza kusudi alilo kuitia hatimae heanda tukapata neema ya Yesu kristo katika unyakuo wake tukawa miongon mwao watakao nyakuliwa Amen......🙏
Haaa!!kumbe Mh.Polepole ni mhubiri mzuri namna hii!!!!!!Barikiwa sana baba.
BWANA akubariki Humphrey. Umeonyesha msimamo wako kimaandiko, nimekuheshimu kwa hilo.
Namshukulu Mungu kwaajili ya neno la lakuniandaa
Atukuzwe mungu aliye. Umba mbingu na nche tazama alivyo wainua watumishi wake wanatangaza habari njema. Kuhusu kurudi kwa kwa yesu wateule tuwe macho
Nampongeza ndugu Humphrey Pole pole Yuko vizuri Sana kimaandiko na haya ndio yanayopaswa kuelekezana kila siku.
Umenishangaza sana Mkuu polepole, sikujua kama na huku uko tena zaidi ya kule!
Ubalikiwe sana na MUNGU aendelee kuku pigania na kukulinda zidi ya hila na vita dhidi ya muovu ibilisi shetani . U so inspired me 🙏👏
Daaah balikiwe Sana mtumishi wa MUNGU kumbe na kwenye uchungaji ipo Safi Sana mungu akupe neema ya kuuona ufarume wa MUNGU
Kweli Mungu ana watumishi wengi ,naomba Mungu akutie nguvu pamoja NA watumishi wengine wamhubiri Yesu kuwa ni Bwana NA Mwokozi wetu , nasiku tusiyoijua atakuja kulichukua kanisa lake
Amina kamanda kazi yako no njema ubarikiwe sana mtumishi wa Kristo Muokozi wetu! Hakika Mungu ana vifaa!!!!
Mmependeza kwa Bwana barikiwa.
Hawa ndio viongozi tunao waitaji katika maisha yetu Barikiwa Baba Polepoe 👏🙌🙏💚
Neno la Uzima MUNGU BABA WA Mbinguni Atubarikie sote
Nimefurahi sana kusikia kaka yangu polepole unakijua vzur kile nilichokuwa nakifahamu,kiukweli nimebarikiwa na umenitia nguvu upya... Mungu ni mwema sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 🙏
wewe dada mtangazaji Mungu akujalie kumjua yeye zaidi
Sina lakusema mungu awabariki nyote jamani tuombeane uzima
Hongera Mtumishi wa Mungu Polepole kwa ujumbe wa siku za mwisho! Wee,umenibariki Sana! Mimi Ni Mchungaji na Mwalimu wa vyuo vya Biblia,nimefurahia, wewe Ni mtafiti Kama Waberoya
Ubarikiwe sanaa polepole wewe ni mtumishi hasaa Mungu akutunze
Sasa kama miaka saba ya dhiki ya yako inaanza wakati watakatifu wameshanyakuliwa, hiyo hakuna kuuza wala kununua mpaka uwe na chapa ya mnyama yani 666, hawa wote waliobaki ni waasi hiyo chaps ni ya nini sasa?
Aise Mungu atusaidie
Uko vizuri sana polepole ila umekosea kidogo sana unabi unasema hivi baada ya Yesu kuja Dunian kwa mara ya pili watakatifu watamlaki Yesu hewani kwa waovu wote ule utukufu wa yesu kwa kuwaangazia watakufa ila watakatifu wataenda zao mbinguni hakuna unyakuo Yesu atapokuja kila jicho litamwona hata wale waliomtesa watamwona
Asante Humphrey pole pole, kaa huko yachunguze maandiko na utukumbushe kujiandaa kwa unyakuo.
Yaani MAGUFULI kaondoka kama Yesu katuonyesha viongozi wabaya wako vipi na viongozi Wema wako vipi 😭😭 tunakushuru Mungu Baba 🤲🙏
Sasa hv tumebaki na anayeabudu shetani.ndio maana anatuambia nawasalim kwa jina la jamuhuri
Mwenye sikio la kusikia na alisikie Neno hili ambalo Roho ayaambia Makanisa
Barikiwe sana mh pole pole Kumbe Mungu anawatu wengi sana awamu ya tano Mungu aliipa tunu kubwaga sana iliyo shehen watu watumishi wa Mungu
Ndugu Pole Pole huwa yuko vizuri kwenye nyanja zote...hata siasa, usanii, kuhubiri Kristo , muziki...aaaah! Kajaliwa aisee...Namshukuru Mungu kwa kuwepo kwake....hivyo Mama yake kabla yamkumzaa alimcheki kwanza ndo akatuletea...
Huyo polepole mnafiki wa dunia mwenye ndimi mbili amesha poteza waTanzania wengi
Unafiki wake nini?
Hamfley barikiwa., kwa ufahamu mdogo ulionao juu ya uliyosema ila jifunze vizuri kwani kuna mambo hujui kuyafundisha kama yamanishwavyo kwenye maandiko, pengine ni msingi wa imani yako uliyo uliyofundishwa, ila omba sana ujifunze ujue ili uokolewe😀😀😀 nimependa ujasiri wako wa kuongea unachokijua lakini brother yangu, unania ya kuujua ukweli. Ila jifunze zaidi maandiko.
Jina la Bwana Mungu lihimidiwe kwa ajili yenu Mr Pole pole
Uko sahihi Sana nijua wewe ni mwanasiasa tu kumbe hata kristo unjua sana
Huyu Ni SDA
Sasa atokee boya aseme hakusikia neno uone kichapo chake. Yesu anasema tazameni wevi na wanyang'anyi Wana watangulia kufika mbinguni. Mnao muhukumu Polepole sio wajibu wenu kuhukumu.
Kabxaaa nimeamin kaka
Mungu ni mwaminifu sana nitaomba tena kwajili yako
Polepole Mungu Ana makusudi nawe mwenye akili ataona ndani yako kuna nini Mungu bado anatuonyesha nini kwa hili
nmeelewa somo polepole upo gud
Mkubari yesu atakuaokoa
Nimefurahi sana' Masanja anavyopiga mahesabu' H....umenifurahisha sana
Polepole sijui niseme nini juu yako ila you're so smart.
Miaka 70 ukiwa na nguv miaka 80, hii kauli sio ya Mungu alisema Daudi, Mungu amekomea miaka 120 hapo hakusema tena.
Hapohapo Mungu anasema miaka 1000 qaqe ni kama siku 1, Mungu atujalie mwisho mwema kweli.
Excellent. Ubarikiwe Polepole mdogo wangu
Viongozi wote wangekuwa hivi nimependa
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kweli tuwetayari kwa unyakua Jesus Christ yuko mlangoni 🙏🙏🙏
Hongera! Ila uko katikati ya mbwa mwitu,unaweza kulijua neno lakini kama husimamii haki ni bure tu.Yawezekana ulipewa nafasi ili urudishe haki katika mbwa mwitu.Je unafanya hivyo.
Ungemuweka wazi haki ipi anayopaswa kuisimamia na hajafanya hivyo sio kuweka kijumla jumla
Sawa polepoe Uko sawa mtume Charles sospeter
This guy Mr Polepole is so talented. I thank GOD because of him.
Ni bahati kubwa kuwa na mtumishi huyu wa Mungu kwa kweli tunapaswa kukumbushana kufanya maandalizi kamili nyakati hizi
Asante mtumishi tukopamoja
Kweli umemuwakilisha Kristo Yesu kitaifa na haijawahi kutokea,kazi yako so bure Mungu atakutunuku,maana viongozi wengine huwa wanaaibu
Mbingu na dunia zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe, barikiwa mtumishi
Kweli jina lako lipo sawa polepole kweli wewe nitumishi wa mungu
Mungu hadhihakiwi.
Kuna watu wamevaa ngozi za kondoo ili hali myoyoni mwao ni mbweha.
Tafakari.
Hayo yako sisi tunamsikiliza na kufuata Neno kwani si lake ni la Mungu na sisi tunaishi kwa Imani kwa kusikia na si kwa kuona hata wachungaji na masheikh nao ni wanaadamu kama mimi na wewe na wanadhambi kumbuka hilo acha upuuzi wako
Tatizo lako unamezeshwa vitu, chochote atakachosema kiongozi wako unakibeba kama kilivyo, hata hukifanyii utafiti, ww unameza tu, sasa safari hii umemeza sumu, Polepole yuleeeee mbinguni,