BILA UOGA MBUNGE AINGIA NA POMBE BUNGENI "Mimi siyo kichaa nakuheshimu | MBUNGE MSUKUMA AMTETEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 228

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Рік тому +30

    Mbunge wananchi wa jimbi lako wakuongeze mitano tena umetuwakilisha vyema sana MUNGU akutunze

  • @mossesisaack5066
    @mossesisaack5066 Рік тому +19

    Dada Umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli ,Mungu akubariki . Niwaombe wabunge tuige mfano huu kuongea mambo ya kujenga nchi yetu kama huyu dada

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому +1

      kuongea ukweli kabsa ila utekelezaji kwa huyo rais wake utafsnywa maana awam hii maongezi tu hamna utekelezaji kabsa

    • @km4km437
      @km4km437 Рік тому

      Ama kweli tupo wachache wenye uwezo wa kuongea mambo yasiyo faa kwenye jamii dadaangu mungu akupe ujasiri kesho iwe njeema kwetu sote sio kwao tu yamoyoni yamenitoka nawachukia watu kama huyo alievaa kibakuli kichwani hajui hata kuonya wala kufundisha anataka aitwe mwalim cheeeee

    • @saitotimollel-8995
      @saitotimollel-8995 Рік тому

      Dada umeubariki sana moyo wangu kwa kusema ukweli mungu akubariki niwaombe wabunge

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Рік тому +21

    Mbunge ameongea point mpaka Mimi niliyopo huku Arusha imebidi nimpigie makofi,hongera sana kwake.nami naunga mkono hoja

  • @timothymoshi5800
    @timothymoshi5800 Рік тому +11

    Mheshimiwa Asante.Mimi siyo mnywaji, Lakini nimefurahishwa na mchango wako. Aidha nimefurahishwa sana ,tena sana jinsi ulivyo mjibu Huyo mzee. Majibu yako na mheshimiwa Tulia, yamemfanya ajue ana Akili na uelewa kiasi gani.Barikiwa mama.

  • @rudaerisa3721
    @rudaerisa3721 Місяць тому

    She is a genius MP with enviable swahili command , tumpigie makofi. Watching from Uganda

  • @georgemboneko9163
    @georgemboneko9163 Рік тому +13

    Dada umekitumia vyema kiti chako cha ubunge kwa mawazo chanya. Ubarikiwe

  • @charleschacha4076
    @charleschacha4076 Рік тому +10

    Hongera sana sana dada una kipaji waambie ukweli japo ukweli unauma

  • @darusinganziulenge9363
    @darusinganziulenge9363 Рік тому +2

    Mungu akupe maisha mrefu akuondolee usda na hasada msema kweli mpenzi wa Mungu kila anayesema kweli anawekwa kundi la kichaa je uyo anayeweka wenzake kundi la wakichaa je yeye anayoyafanya kijamii yanampendezesha Mungu ukweli wamtu upo ndàni ya nafsi yake kila mmoja ataubeba mzigo wake mwenyewe

  • @PendaaUrio
    @PendaaUrio Рік тому

    Naomba moja hapo nizimue mueshimiwa Asante sna ukweli umewapa waache kukualili maisha yakaisali apwe kaisali na ya mungu pew e mungu

  • @LinuskalokolaNicolaus
    @LinuskalokolaNicolaus 6 місяців тому

    Asante sana dada umeongea point kubwa sana na Nina uunga mkono hoja yako Asante sana na ubarikiwe sana dada💛💚💚💚💚

  • @medardkalinjuma5503
    @medardkalinjuma5503 Рік тому

    Dah mbunge wetu leo umejadili uovu kweli. Umeiudhi mbingu sana kwanafasi alokupa Mungu, umeitumia vibaya leo. Unywaji na wanywaji niuovu na hakuna mbingu kwa walevi.

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Рік тому

      Imemaanisha ni kwanini tuthamini vya wenzetu wakati vyetu vipo ?? KAMA NI DHAMBI BASI VIPIGWE MARUFUKU KABISA NA SIYO KURUHUSU VYA NCHI ZA KIGENI.

  • @KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih
    @KuhaniMbarikiwahalisi-nr7ih Рік тому +1

    Dada hongera sana kwa kusisitiza kuthamini vya kwetu alikuumba akubariki kwa kusema kweli

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Рік тому +6

    Safi sana endelea kumshika yesu mama wangu

  • @olesambekelaizer1117
    @olesambekelaizer1117 Рік тому +6

    Daah HUYU Mama amenissimua kwa Hoja yake natamani nimuhagi 😂😂😂 kwa pongezi Gongo letu safi san😂😂😂😂😂 tuboreshe ili iwe na tija kwa Taifa letu

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz Рік тому +3

    Nimekuelewa sana mawazo yako nimakubwa sana mh Mungu akubariki sana

  • @bahatisimfukwe3834
    @bahatisimfukwe3834 Рік тому +7

    Uko vizur mh wangu by simfukwe chole

  • @rehemashayo5024
    @rehemashayo5024 Рік тому +2

    Tungekuwa na kumi kama wewe nchi ingekuwa zaidi ya ulaga ❤❤

  • @JudithJackson-we6iu
    @JudithJackson-we6iu Рік тому +1

    Umeongea vizuri sana dada ubarikiwe sana

  • @fatmaissa5685
    @fatmaissa5685 Рік тому +14

    Tunauwezo wa kutengeneza wine hata katika ngazi ya kijiji kupitia sido

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Рік тому +2

    Gongo ibotreshwe iwe na viwango...Ajira zipatikane na tuviheshimu vya kwetu

  • @Nanata1995
    @Nanata1995 10 місяців тому +1

    Bakukubali

  • @BatroNgilangwa
    @BatroNgilangwa Рік тому

    Asante sana dada yangu Kwa hoja thabiti.

  • @samoramollel
    @samoramollel Рік тому +7

    Mwanamke unaakili sana.

  • @StevenSinkonde-w5r
    @StevenSinkonde-w5r 3 місяці тому

    Hongera sana kwa kusema ukweli

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Рік тому +5

    Hongera sana hawataki kupima tbs yetu

  • @nangugu1657
    @nangugu1657 Рік тому

    Dah ama kweli wanaichi wa momba wanamuwakilishi bungeni dada hongela sana upo vizuli hakika mungu akuzidishie miaka na miaka Ijayo wanaichi wa momba watambue uwepo wako bungeni

  • @ClementJacob-sd8lf
    @ClementJacob-sd8lf 3 місяці тому

    Wanywaje mupo twendezetu bungeni nimewapenda sana

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 5 місяців тому

    Asante sana pombe niharamu kwenye vitabu vyote

  • @naomipanja5768
    @naomipanja5768 8 місяців тому

    Mbunge wetu be blessed

  • @ombayemangare3088
    @ombayemangare3088 Рік тому +4

    Hii habari inastahili kujadiliwa katika bunge la Kenya.....napenda hoja hii

  • @TundaEmanuel-ns8kj
    @TundaEmanuel-ns8kj 4 місяці тому

    🔥Hawa ndio aina yawabunge tunawaitaj sio wale wanaoenda kula mpk wananenepa hovyo 😊

  • @LizzLissah-vg2tk
    @LizzLissah-vg2tk Рік тому

    Such amazing topic

  • @josephwachira-jz4bt
    @josephwachira-jz4bt Рік тому +2

    Dada yangu mheshimiwa umenena, mimi ni mkenya na nimefurahishwa na economic mindset ya mheshimiwa. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿

  • @rubensokoine6647
    @rubensokoine6647 Рік тому +3

    Jamani wabunge pombe nidhambi sana Mungu awa saidie sana

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Рік тому

      Kama ni dhambi kwanini zinaruhusiwa na Kama zinanunuliwa kwanini tuwaungishe mataifa ya mbali?? NADHANI HII NDIYO HOJA YAKE

  • @HassanNyawange-xj2cp
    @HassanNyawange-xj2cp 11 місяців тому

    Katika wabunge ambao wapo bungeni kwajili yakuijenga icho hii wewe upo miongoni mwao! Msukuma pia dada uyo ongozen maisha mtupambanie wakipato Cha chin.

  • @hamzajafary
    @hamzajafary Рік тому

    mungu akulinde usem ukwel

  • @RichadSeleman
    @RichadSeleman Місяць тому

    Safi xana mama

  • @gospelguest694
    @gospelguest694 Рік тому

    Mungu kutunze uendelwe kutetea wanachi wako waliokupa kibali na ukumbuke pia kuna taji yako mbinguni kaza mwendo ingawa utapigwa vita ila mungu hajawahi kuacha kuwalinda mashujaa wake

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb 5 місяців тому

    Yes sister 👏 🙌

  • @isamony58
    @isamony58 Рік тому +9

    nimependa iyoo mada tupewe uhuru tu gongo nipombe peke yakitaalamu mtwara oyeeeeee

  • @frankrevelian6919
    @frankrevelian6919 Рік тому +13

    kuna watanzania wana akili kinoumaaa yaan....

  • @Worldunite
    @Worldunite Рік тому +4

    Waafrika tuna kasumba mbaya sana, tunathamini vya nje tunadharau vya kwetu.

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب Рік тому

    Mungu akulinde na husda maana umeongea mitano haitoshi

  • @vitalismarunda6760
    @vitalismarunda6760 Рік тому

    Wabunge kama hawa kwenye Bunge letu ni wachache sana Safi sana Dada Anguu unaupiga mwingi aiseeee

  • @seriousmovie
    @seriousmovie Рік тому

    Daa!! Barikiwa sana mama momba hongereni

  • @andrewshirima6332
    @andrewshirima6332 Рік тому

    Upo sawa Mh.

  • @neemajumanne458
    @neemajumanne458 Рік тому

    Ongera mtumishi

  • @josephgurti7321
    @josephgurti7321 Рік тому +1

    Uko sawa

  • @jemxruni
    @jemxruni Рік тому

    Asant mama ❤❤❤❤

  • @ZakayoIbrahim
    @ZakayoIbrahim Рік тому +3

    Fantastic

  • @PaulinaMombo
    @PaulinaMombo 8 місяців тому

    V good gongo ililea nakutusomesha

  • @ShomaMaganga-pm4mf
    @ShomaMaganga-pm4mf Рік тому

    Umenena sana

  • @ElisianaGidion
    @ElisianaGidion Рік тому

    Hongera sana

  • @GilbertMuhandiki
    @GilbertMuhandiki 10 місяців тому

    Kuna vitu navishangaaga sana ukiona wabunge wanavowaka bungen kweli utasema wamechukia kumbe ni nguvu ya soda Kwa ajili ya maandaliz ya uchaguzi wa 2023 ila wajue na njue sisi watanzania tunatumia Kwa maigizo hayo na mkumbuke sisi ndo walipa kodi tuliona hayo maigizo yanayoendelea tunatumia sana sana.Tupunguze masiara na tuache masiara.

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Рік тому +2

    Gongo Nchi zingine ni pombe ya asili Namibia gongo inauzwa sokoni mpaka kwenye baa ndogo ndogo.

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Рік тому

    Wabunge wa chama kimoja ni wa hovyo sana mnadhan tumesahu zile hela zilizoibiwa pesa zetu wananchi...msituletee propaganda tunataka mjadili kuhusu zile pesa hizo habari za pombe ..waambien walev wenzenu ..tunataka pesa zetu zirud mtaan maisha magumu sana

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE Рік тому +7

    Umetengeneza point japo haikuwa imenyoooka mwanzo

  • @abatinkalango4571
    @abatinkalango4571 Рік тому +1

    Well said

  • @YohanaMabongo-no6rv
    @YohanaMabongo-no6rv Рік тому

    Mhe. Big up. Shida ni kwamba ukoloni umetulemea akilini. Tunakopi tu naku paste

  • @christophersikaonga4412
    @christophersikaonga4412 Рік тому

    Safi kabisa

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush8291 Рік тому +4

    kwa huyo mnae muita rais wenu hana akili wala moyo wa kuwajali wanainchi wa kawaida miaka mi 2 sasa mnaongea tu hamna utekelezaji hakuna hata faida ya bunge awamu ya samia hamna wakutekeleza anapenda maaovu sana huyo mama ndio maana anashindwa kuyazuia maovu na maaswi yupo kimya waiz wanaiba wapo tu

  • @MasterRugemalila-ze4ym
    @MasterRugemalila-ze4ym Рік тому

    Asante

  • @euphrasiantawatawa1510
    @euphrasiantawatawa1510 Рік тому +4

    Hivi
    wanini msimuache huyo mh Kondesta aongeee,mnakatisha katisha nini?

  • @victorbakarweha5375
    @victorbakarweha5375 Рік тому

    Sawa

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Рік тому +3

    Yani hili binge la sasa Lina vioja Yani wamekunywaaaa usiku mzima pombe zikawatuma waingie nazo wakazitetee

  • @JoachimMagori-vm9pg
    @JoachimMagori-vm9pg 4 місяці тому

    KUNA sababu ya kuwa na taasisi ya kukusanya wabunifu bila kujali vyeti vyao ili kubaini vipaji na bunifu nzuri.

  • @estherkibajiro3480
    @estherkibajiro3480 Рік тому

    Dada kaongea point,, Big up my Dada 👊

  • @SadiJangwani
    @SadiJangwani Рік тому

    Duuuh nimeipenda iyoo

  • @danfordmbilinyi1138
    @danfordmbilinyi1138 Рік тому

    Nice say

  • @EvenEvarist-sk6ur
    @EvenEvarist-sk6ur 3 місяці тому

    Dada mweshimiwa uposawa kabisa kabisa , wandugu watanzania .

  • @AgnesCherotich-v9b
    @AgnesCherotich-v9b Рік тому +1

    Kenya can never explain such 😅😅😅

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Рік тому +4

    Hapo elimu inatakiwa hayo anayo Zungumza ni kweli kabisa kwa sisi tunao fanya kazi za hotel tunaelewa anachosema mbunge sema hapo tatizo wanao kunywa wanatumia vibaya gongo ni sprit kama hizo alizo nunua mh yaani ni elimu tu hapo ni pana sana

    • @farajamlenga2791
      @farajamlenga2791 Рік тому

      Nmependa majibu yako kwa uyo mzee na Mungu ajutunze umeongea ponti sana nchi ingekuwa na wabunge wa namna iih hakika tungefika mbali

  • @geeva99
    @geeva99 Рік тому +3

    Mbona kama kalewa ye mwenyewe, akisikia taarifa analeta attitude, kweli pombe ina frequency mbaya hata ukikaanayo karibu tu

    • @UmmyUkasha
      @UmmyUkasha 9 місяців тому

      😂😂😂😂😂

  • @msusachalamanda
    @msusachalamanda Рік тому +1

    I miss you amina chifupa

  • @RonnyReena-z2e
    @RonnyReena-z2e 8 місяців тому

    🤝😘

  • @infoman0909
    @infoman0909 Рік тому +3

    Dear gambe

  • @winepreneur7329
    @winepreneur7329 Рік тому +7

    Sista ukitoka tuonane unikabidhi huo mzigo

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Рік тому +1

    Tena pombe yetu inalewesha vzur kweli...unabaki na akili.🤣🤣🤣🤣🤣akili ya kuanza nayo kesho.

  • @MagrethDominick
    @MagrethDominick Рік тому +1

    Umesema kweli kabisa

  • @williamjohn7907
    @williamjohn7907 Рік тому +1

    safiiiiiiiii

  • @MbokaSanga-zl2hj
    @MbokaSanga-zl2hj Рік тому

    Dada nimekupenda uongezewe miaka 50 bungeni

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Рік тому +3

    Dada una Akilisana

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza Рік тому +1

    Kiwanda chibuku muekezaji alie kuwa anakiendesha amerudi kukihitaji baada ya Tbl kushindwa kukiendesha jiji wamekataa wakati mkuu wa mkoa wakati huo kabla ya Makala hakuwa na shida ila jiji wamekataa sababu wanaijuwa

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Рік тому +1

    Pombe za kienyeji haitakiwi kwa sababu viongozi hawapata asilimia 10 ndo mana wanadharau ili tu ije toka nje

  • @GasperMfoi
    @GasperMfoi 8 місяців тому

    Jamani kwetu moshi tunaitafuta kwa toch nakumbuka zamani mtambo nyuma ya nyumba

  • @waratimsizu
    @waratimsizu 9 місяців тому

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @FarajaSanga-h2q
    @FarajaSanga-h2q Рік тому

    Ni mbunge wa kwanza mwenye mawazo chanya mama mwaga cheche kututete wa pika pombe wanateseka sana

  • @wilbartwilliam
    @wilbartwilliam Рік тому

    Well said madam

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Рік тому

      Hivi inakuaji mtu mzima Tena msomi anatamka maneno kisengere nyuma?
      Mfano:
      1 dhambi mtu anasema zambi
      2 R ( Ara ) mtu anatamka L ( ELO )
      3 serikali mtu anatamka selikali
      4 Brother eti blaza!
      5 Road eti load!
      6 light eti right
      7 Right eti light !!!! Duh, aibu sana.
      Kiukweli nawashangaa sana
      8. Kura eti kula!

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Рік тому +2

    Mbunge baada ya kukemea pombe unaenda kutetea pombe hiv umesoma na elimu yako inakusaidia kwel

    • @delimachesa5007
      @delimachesa5007 Рік тому

      Huyo ni mtumjshi wa serikali serikali haina Imani...Imani Ya wananchi ndioinakataza matumizi Ya pombe ila Serikali haikatai ndo mana inaruhusu importation ikiwa bidhaa haina madhara kwa watumiaji na ndo mana kuna taasisi ya kuthibitisha bidhaa kuingia kwenye mzunguko

    • @maulidimpili698
      @maulidimpili698 Рік тому

      @@delimachesa5007 ukisikia serikali ni watu sio jengo wala vifaa soma vitabu vya dini zote utaona pombe inavyokatazwa ila sehem yoyote inaposhuka elim ndipo walipoanza kutofautiana hao wasomi au wavumbuz wa vitu wanafalsafa wamechukua vitu kwenye vitabu vya dini zote ndio wanatamba mpk leo mawazo yao

  • @sebastiannyembe2660
    @sebastiannyembe2660 Рік тому

    Mwalimu Bora huingia darasani na zana za kufundishia

  • @levinatesha5317
    @levinatesha5317 8 місяців тому

    Dada sio poa😂😂😂😂😂

  • @AmaliAdinani
    @AmaliAdinani 10 місяців тому

    Amali

  • @michaelmatemu3490
    @michaelmatemu3490 Рік тому +3

    Hili Jambo wakati mtu anaongea alaf mwingine anasema taarifa inakata sana

  • @raphaelngulo1293
    @raphaelngulo1293 Рік тому

    Nimependa Mawazo ya Mh,Mbunge

  • @emazjassam2452
    @emazjassam2452 Рік тому +1

    Anapoint

  • @saitotimollel-8995
    @saitotimollel-8995 Рік тому

    Oka

  • @bausaluck6612
    @bausaluck6612 Рік тому +5

    Sasa izo zimemwangwa au waziri alitaka kujuwa laza ya KackDaniel

  • @altenkiswaga2533
    @altenkiswaga2533 Рік тому +1

    Hayo maneno kwanini ubunifu wa Tanzania udidimizwe

  • @SharifuBilal
    @SharifuBilal Рік тому

    Wazee wa kamnyweso woyeee

  • @neemakikoti5091
    @neemakikoti5091 Рік тому

    Mmh🚴🚴🚴