VITASA | Jose Hernandez vs Juma Choki | Mo Boxing 30/09/2022
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Tazama raundi nane za Mtanzania Juma Choki akimtandika kwa pointi Jose Hernandez kutoka nchini Mexico.
Ni katika #UsikuWaVitasa #MoBoxing kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, Septemba 30, 2022 likiwa ni pambano la utangulizi kuelekea pambano kuu kati ya Ibra Class vs Alan Pina. - Спорт
Tukiongelea ngumi huyu dogo yupo vizuri kuliko manondia wote mnaowaona hapo Tanzania 🇹🇿 akipata trainer mzur tu atafika mbali sana yuko professional
uko sawa kabsaa
Juma choki hongera sana sana sana uneonyesha uwezo wako tena bila kukata tamaa yule mmexico ni jini
Mmexco ni mbish hatareee,kavumilia sana misondo
Huyu choki ndio mabondia ambao wataleta ushindani sio akina mandonga, yuko vizur sana ana pumzi pia anaonekana ni very trained
hongera JUMA choki good performance
Choki leo amecheza chini ya kiwango sana
Chokiiiiiiiiiiiiii ni fire
Juma choki saf sana kaka
Hongera Kwa kutufurahisha watanzania
🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👽🇹🇿
Safi sana choki
Nasibu ni mchambuzi bora sana
Huyu jamaa choki kwa nilivyomuona kwenye hili pambano sina budi kumpijia saluti kilichobakia mazoezi azidishe
Class kaua
Juma nature tumepigika danload audio
Juma naturr
Kama ngoma
Huyo choki Hana ngumi nzito huyo wa k.o mapema TU japo siujui mchezo ila inaonekan tu
Jebu inauma light inatoa damu choki safi saaanaaa 💪🇹🇿🇦🇪
Choki ndio bondia alietimia ana kila kitu
Ubabe Ubabe
Refa nae mzembe badala ya kuseparate boxers ye anaelekeza kwa ishara
HAWA WA MXICO NI MA RED INDIANS UKIPIGANA NAO NI BALAA.
Piga wazungu hao
Mexico sio mekiko
Kwa Swahili ila. Wenyewe ukisikiaa wanasema mekiko na sio mexico Kama tunavyoisema sisi
Kwa Swahili ila. Wenyewe ukisikiaa wanasema mekiko na sio mexico Kama tunavyoisema sisi
Unaweza ukajua unajuq kumbe hujui😂😂